Cancer, yaanza vipi?
takreeban sotte tuna mtu twamjua ambae amepata cancer, pengine ni mtu katika family, jirani ama rafiki...
katika video hini naeleza kuhusu cancer namna inavyo anza, kuanzia kueleza mwili wa binaadamu umeumbwa vipi, na mambo inaotokea mpaka mtu akawa na cancer..
natumai mutaelewa vizuri..
kama una masuali yoyote, andia kwenye comment..
#Cancer #CancerSurgery #Cancersurvivor #surgery #healthcare #womensurgeon #femalesurgeons #kenya #nairobi #mombasa #chadwickboseman #kenyansurgeon #womeninsurgery
Music by: www.bensound.com
14 окт 2024