Тёмный
Dr. Maryam Badawy
Dr. Maryam Badawy
Dr. Maryam Badawy
Подписаться
I am a medical doctor in Kenya, currently undergoing my specialized training in General Surgery at the University of Nairobi.
I am passionate about Breast Cancer Surgery and Treatment which is my intended sub-specialization...
I aim to educate the public of different medical issues, with a focus on surgical conditions and cancer.
Stay tuned!

Disclaimer: information on these videos are purely educational and are not a substitute for medical advise, diagnosis or treatment. Seek medical advise from your doctor regarding any medical condition you might have.
What is done to a breast lump
6:02
3 года назад
Sababu za kensa ya matiti
5:33
3 года назад
Breast cancer risk factors..
4:39
3 года назад
Breast cancer screening
4:31
3 года назад
Kupimwa Kensa (cancer screening)
5:22
3 года назад
Cancer screening...
5:14
3 года назад
Are you risking getting cancer?!
9:00
3 года назад
Cancer, How does it start?
8:16
3 года назад
Cancer (Saratani)
8:21
3 года назад
What is a hernia...?
8:36
4 года назад
Hernia ni ugonjwa gani??
7:07
4 года назад
What is Disc Prolapse?
4:05
4 года назад
What happens after your surgery??
10:38
4 года назад
Baada ya operesheni hufanywa nini??
9:36
4 года назад
Комментарии
@ommydec2887
@ommydec2887 12 дней назад
Mnapatikana wapi
@ommydec2887
@ommydec2887 12 дней назад
Ndugu yangu hana raha kabisa sababu ya ernia
@ommydec2887
@ommydec2887 12 дней назад
Ndugu yangu raha kabisa kwasababu ya hio ngiri
@BofuMlanzi
@BofuMlanzi 19 дней назад
Kuna mtu mmoja nilimsikia akisema ikikaa miaka mingi inatumbuka hapo ni kifo tu hakuna tiba je, ni kweli?
@BofuMlanzi
@BofuMlanzi 19 дней назад
Kuna mtu mmoja nilimsikia akisema ikikaa miaka mingi inatumbuka hapo ni kifo tu hakuna tiba je, ni kweli?
@BofuMlanzi
@BofuMlanzi 19 дней назад
Kuna mtu mmoja nilimsikia akisema ikikaa miaka mingi inatumbuka hapo ni kifo tu hakuna tiba je, ni kweli?
@BofuMlanzi
@BofuMlanzi 19 дней назад
Somo zuri mno mawasiliano muhimu mno.
@janemugambi6825
@janemugambi6825 20 дней назад
Great info
@KatisaKamwela
@KatisaKamwela 24 дня назад
Mtoto Wang anasumbuliwa na hernia
@IddyMussa-ou9ze
@IddyMussa-ou9ze Месяц назад
Mm mguu unaniuma sana kama nitasimama ama kutembea
@IddyMussa-ou9ze
@IddyMussa-ou9ze Месяц назад
Mm mguu unaniuma sana kama nitasimama ama kutembea
@IddyMussa-ou9ze
@IddyMussa-ou9ze Месяц назад
Je Kuna tatizo laweza kutokea kama uta sex
@TheSickGirlShow
@TheSickGirlShow 2 месяца назад
I just had vats pleuradesis and cannot remember the last few months.
@AminaHamis-zo6mm
@AminaHamis-zo6mm 2 месяца назад
Mimiaminahamisi nijibu
@AminaHamis-zo6mm
@AminaHamis-zo6mm 2 месяца назад
Namadokta hao wako spitali gani
@AminaHamis-zo6mm
@AminaHamis-zo6mm 2 месяца назад
Spital take ikowapi
@kwisa4899
@kwisa4899 2 месяца назад
Dokta una balaa wewe
@WardaMwanapingi
@WardaMwanapingi 2 месяца назад
Mm nina ilo tatizo ten linanisumbuwa san
@WardaMwanapingi
@WardaMwanapingi 2 месяца назад
Mm nina ilo tatizo ten linanisumbuwa san
@WardaMwanapingi
@WardaMwanapingi 2 месяца назад
Habar docta unapatikan wap
@teedullah5708
@teedullah5708 2 месяца назад
Mwapatikana wapi wewe
@user-ww7ye6lc4d
@user-ww7ye6lc4d 4 месяца назад
😢😢 doctor mwanangu kavimba korodani moja naomba nisaidie mwanangu apone
@user-ww7ye6lc4d
@user-ww7ye6lc4d 4 месяца назад
Mwanangu kavimba korodani moja doctor nisaidie mwanangu apone
@mohaategemeo3867
@mohaategemeo3867 5 месяцев назад
Asalaam alaikum doctor,wapatikana wapi katika hii kenya
@areenkasongo5568
@areenkasongo5568 5 месяцев назад
Dawa yake ni ipi
@swabramaro8900
@swabramaro8900 6 месяцев назад
Allahbarik dada
@MariamNecmi-cy2jl
@MariamNecmi-cy2jl 8 месяцев назад
Dr asanteee sana Kwa somo
@badria5771
@badria5771 8 месяцев назад
Dr mm nn shida ya ukeni nna uvimbe kwenye mlango wa uke hapa nje na ndani kidogo na ulikuja kwenye mimba ya mwangu wa kwanza ikawa linakua kama puto bada kuzaa nikachomwa shundani tupu tupu kuvutwa maji sasa saivi nna watoto 4 tena nayo bado ila sio kubwa nambiwa na lazima upreshen na badae mara kije litunge usaha ila haliumi bali nikiwa kwenye siku zangu lina vichomi vichomi kwa mbali sasa jee kweli hakuna dawa mana ni la mda na nna hofu sana na upasuwaji
@ShukuruJulliasi-gj1pw
@ShukuruJulliasi-gj1pw 10 месяцев назад
asante san
@betricealifrred3926
@betricealifrred3926 11 месяцев назад
Mimi mtu mzima na harnia
@anndaniel4055
@anndaniel4055 Год назад
Kama nimepatika nayo ni fanye nini Dr , nalia 😭😭😭🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️
@WilsonEmmanuel-bs6op
@WilsonEmmanuel-bs6op 11 месяцев назад
Asante Sana Dada mungu hakupe maisha malefu Uwasaidie watu kwakua mungu hamewaeka watumishi kamanyie
@WilsonEmmanuel-bs6op
@WilsonEmmanuel-bs6op 11 месяцев назад
Ngarama
@mamualberth7403
@mamualberth7403 3 месяца назад
Asantee
@davidburuma
@davidburuma Год назад
Baada ya oparesheni je kunauwezekano wakuendelea kutoa mbegu kwausahihi ama ?
@dottomboye972
@dottomboye972 Год назад
nimekuelewa sana dk
@elizabethlinus4952
@elizabethlinus4952 Год назад
Jama mi niko mombasa shanzu mwanangu ako na hio shida kitovu chake kimetoka sana
@athumanikhamisi3377
@athumanikhamisi3377 Год назад
Maashaallah somo zur
@estamwangolombe1372
@estamwangolombe1372 Год назад
Mwanangu anatatizo hilo nakupataje ana mwaka mmoja na nusu
@dr.maryambadawy7063
@dr.maryambadawy7063 Год назад
Waeza kupiga simu 0789105555 kupata appointment
@ramamakelo5374
@ramamakelo5374 Год назад
Asante Dr
@stivinpatrick4476
@stivinpatrick4476 2 года назад
We unapatikana wap mm ninayo iyo shida 0782123684
@chaterassk6967
@chaterassk6967 2 года назад
Nzuri sana ahsante kwa kutuelimisha
@absonngata5830
@absonngata5830 2 года назад
asante kwa somo na mm mwanangu ana huu ugonjwa wa hernia mpaka tuliambiwa na doctor tutafute mesh ili afanyiwe hyo tiba
@meaningoflife651
@meaningoflife651 2 года назад
Mwanangu ana 6weeks aisee kitovu kimetoka nje naogopa naona kinaongezeka sasa sijui nifanye nini
@haythamchimamy9076
@haythamchimamy9076 2 года назад
Vp kwa mtoto,wangu ana miezi kumi ana kitovu kikubwa km kdole cha katkat
@dr.maryambadawy7063
@dr.maryambadawy7063 Год назад
Hiyo pia ni hernia, waeza kumleta tumpime, piga simu 0789105555 kuweka appointment
@TawufiqKaijage-ri8dt
@TawufiqKaijage-ri8dt 25 дней назад
@@dr.maryambadawy7063 mi niko Tanzania tunafanyaj
@petrodenice8406
@petrodenice8406 2 года назад
Unapatikana wapi dk mm nina tatizo hilo au namba.ya.simu
@dr.maryambadawy7063
@dr.maryambadawy7063 2 года назад
Premier hospital
@petrodenice8406
@petrodenice8406 2 года назад
Iko mkowa gani hapa tanzania dkt au tupe namba ya sim
@kaysancindy6822
@kaysancindy6822 2 года назад
Upo wap jaman
@dr.maryambadawy7063
@dr.maryambadawy7063 2 года назад
Premier hospital iko.mombasa kenya, mtaa wa nyali
@goodnessmlimahadala4731
@goodnessmlimahadala4731 2 года назад
@@dr.maryambadawy7063 nina tatzo Dr. Naomba namba yako
@nyangokapono1609
@nyangokapono1609 3 года назад
Wapatikana wapi
@dr.maryambadawy7063
@dr.maryambadawy7063 2 года назад
Premier hospital.
@sundayadam4305
@sundayadam4305 Год назад
​@@dr.maryambadawy7063 mm niko na huu ugonjwa sasa cjui utanisaidia vp
@dr.maryambadawy7063
@dr.maryambadawy7063 Год назад
@@sundayadam4305 you can call 0789105555 to make an appointment
@beatricepasience3101
@beatricepasience3101 3 года назад
Doctor naomba nitumie namba zako
@petrodenice8406
@petrodenice8406 3 года назад
DKT. Unapatikana, wapi,mm,nina,tatizo,hilo,la,ennia
@athumanmvungi4527
@athumanmvungi4527 3 года назад
Asante
@Abdulrahman.84
@Abdulrahman.84 3 года назад
Aslm alkm.mimi nimefanya kama harara mwenye titi langu kisha chini ya kwapa kuna maumivu hadi juu ya bega jee hio naeza kwenda kufanya vipimo?maana ninauoga kwenda hospital sababu dadangu alipata maradhi hayo
@dr.maryambadawy7063
@dr.maryambadawy7063 3 года назад
Waleikum salam. Ndio ni lazima uende hospitali kupima. Ni muhimu sana khususan vile dadako alipata, usiogope kwenda hospitali, mtu ni uzuri apatilize mapema ndio apate matibabu kwa haraka
@Abdulrahman.84
@Abdulrahman.84 3 года назад
@@dr.maryambadawy7063 na naeza kwenda hospital gani wenye ujuzi kufanya hivyo vipimo
@said18175
@said18175 3 года назад
.Thank you
@dr.maryambadawy7063
@dr.maryambadawy7063 3 года назад
your welcome
@FAlmansour
@FAlmansour 3 года назад
Ahsante sana dr Maryam kwa kutuilimisha topic hii muhimu khaswa kwa community yetu nakubaliana sana na umuhimu wamazowezi kwa mwili hata kama nusu saa kila siku naamini uwangalifu wa afya yako ndio utajiri wako ... Mungu akubariki na kila lakheri 🤲🏽
@dr.maryambadawy7063
@dr.maryambadawy7063 3 года назад
ndio ni mambo muhimu sana..shukran kwa comment yako..