ACT Wazalendo yapokea wanachama 45 pamoja viongozi wa CHADEMA Mkoa wa Lindi, wanachama hao wamepokelewa na Naibu Mwenyekiti wa chama ambaye pia ni Waziri Mkuu Kivuli Ndugu Isihaka Mchinjita. Viongozi waliojiunga ni pamoja na Mwenyekiti BAVICHA mkoa wa Lindi Zainabu Lipalapi, Katibu wa Jimbo, Mwenyekiti wa wazee, Mwenyekiti wa jimbo, na Muweka hazina.
#taifalawote #maslahiyawote #habari #matukioonlinetv
8 сен 2024