Kama polisi mnadai Chadema wana mpango wa kuvamia vituo vya polisi kutokana na uchunguzi wenu sawa.Mnawezaje kutumia mbinu hizo za intejensia kubaini hayo na mnashindwa kuwabaini watu hatari wanaowateka na kuwauwa watu mbalimbali wasio na hatia Kwa muda mrefu?
Police Hawa wanatumiwa na ccm maana ccm wameishiwa mbinu za uwizi wa kura Sasa wanataka kuleta vita wakitumia jeshi letu linatumika vibaya mno kama vijana 20 wanao dai duuu Hawa Bora hamza angekuwepo aliwamudu
Ni wazi polisi wetu wanabeba mdau wao lkn wskifikia kusingizia raia kwa kisingizio cha *intelejensia,inakuwa ni kama US na silaha za maangamizi za Iraq!!