Usimuhukumu dida huwezi jua mambo ya siri alokua anamfanyia Mungu we umeona upande mmoja wa mavazi unajua dida kasaidia watu wangapi sadaka alizokua anatoa za kufuturisha watu mbona haya huyasemi acha unafiki mwaipopo mungu ndie mwenyekujua siri za waja wake
We mwaipopo mbona huna uadilifu ama unachuki na mazinge, Mbona Mufti wa Tanzania ndie aliemswalia dida na sheikh wa mkoa alikuwepo mbona hukuwasema ama wao wako sahihi mazinge pekee ndo kakosea
Wewe mwaipopo usichukue kazi ya mungu ya kuhukumu, kama dida ana dhambi ni kazi ya mungu kumpa adhabu acha kujipa ukubwa usio kuhusu, huyo samia aliingiza mwanamme msikitini mbona hujafungua youtube na kukemea?;
Mwaipopo umeona kabisa Mufti ndie aliemswalia dida ila unaogopa kuongea unajua utafungiwa usifanye mihadhara yako.ukaona umvae mazinge, Bila kufahamu mazinge kaenda kuwakumbusha waislamu wasidanganyike na uhai wa dunia warudi kwa mola wao na msiba wa Dida uwe ni funzo kwetu wewe unamshambulia
Mmmmhh we mwaipopo ni mchonganishi sana huyo mzee kaongea kwa utashi wake mwenyewe, sasa chadema inaingiaje hapo. Shehe mwaipopo siku zote huna hoja kabisa, halafu hujui kuchanganua mambo we umejaa chuki kwa wakristo tu huna lolote. Mzee aliyoyaongea ndio mnapenda iwe hivo