Тёмный

Chapati Mchambuko. Taaamu 

Malkia Foods
Подписаться 38 тыс.
Просмотров 47 тыс.
50% 1

Unga Kg 1
maziwa 3tbsp
sukari 3tbsp
chumvu 1/2 tsp
iliki 1tsp

Опубликовано:

 

4 май 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 45   
@user-oc4sq3xq5i
@user-oc4sq3xq5i 9 месяцев назад
Nashukuru mungu sasahv nimekuwa mtaalamu wakupik chapati
@cookingwithmimmo
@cookingwithmimmo Год назад
Asante kwa mapishi yako, nimeipenda sana
@ShaydaAlly-rm8ft
@ShaydaAlly-rm8ft 4 месяца назад
hongera sana dada ang unapka vzur sana
@mercymuhunyo8434
@mercymuhunyo8434 Год назад
From Tiktok am here❤
@patriciandinda8582
@patriciandinda8582 Месяц назад
Wow the chapati ever🙏🙏
@ElicahMugitya-ql7mo
@ElicahMugitya-ql7mo Год назад
Nimependa huwa nakufatilia na kujifunza kama maandazi n.k 😘
@SaudaMuhammedyussuf
@SaudaMuhammedyussuf 10 месяцев назад
Mimi nataka kuku😊😊😊😊
@zengeummu9575
@zengeummu9575 Год назад
Maaaashaallah huwa nakufatilia sana my dear na huwa najifunza mengii
@malkiafoods
@malkiafoods Год назад
Barikiwa sana love
@NackNzily
@NackNzily 27 дней назад
Jamn napenda niifnye biashar mtaj kam shingp
@JobNdeke
@JobNdeke Год назад
🎉🎉
@user-kd5mr7wu2x
@user-kd5mr7wu2x 11 месяцев назад
Nataka kujiunga na darsa lako naomba muongoz
@user-qn3wp7py8z
@user-qn3wp7py8z Год назад
@esterdanford5563
@esterdanford5563 5 месяцев назад
Wakati wa kukandia unaeka vegetable fat oil kama kimbo au prestige?
@kakozietho2303
@kakozietho2303 8 месяцев назад
❤❤❤❤
@zengeummu9575
@zengeummu9575 11 месяцев назад
Nataka kujiunga na madarasa yako, Naomba muongozo
@nattymnaro541
@nattymnaro541 9 месяцев назад
Samli ipi unatumia Malkia?
@roseberryhamoud6542
@roseberryhamoud6542 Год назад
Kucha zikiwa ndefu kwenye upishi ni mtihani.
@delightnkya6086
@delightnkya6086 11 месяцев назад
Nimeweza aisee Kila siku natamani kupika chapati
@fooddiarytz
@fooddiarytz Год назад
Chapatii ❤
@TeclaMtweve
@TeclaMtweve 7 месяцев назад
Dada malkia mejaribu kupika mara ya pili mefata process zile ila zimekuwa ngumu nimefeli wapi sijui
@user-vm1fq3qq9v
@user-vm1fq3qq9v Год назад
Nielekeze vitu ulivyochanganya
@maryjoseph926
@maryjoseph926 8 месяцев назад
Sijawahi jaribu haki jumapili ntajaribu
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 11 месяцев назад
Ndio kila mkunjo unamatokeo yake
@ElicahMugitya-ql7mo
@ElicahMugitya-ql7mo Год назад
Hello
@faridarashid1198
@faridarashid1198 Месяц назад
kwanza sili chakula cha mtu mwenye kucha ndefu wrong personal hygiene
@abdullahalmahrooqi8306
@abdullahalmahrooqi8306 5 месяцев назад
Assalam Aleikum mambo yamekwenda vizuri kilicho haribu mambo yote ni hizo kucha ndani umejaa uchafu wa kila aina hata ukinawa kwa sabuni hujawa msafi dawa yake uzikate kama za kubandika ndio balaa zaidi uamuzi uko kwako lakini ujue unalisha watu uchafuuuuu!!!!!
@magrethmlewa3422
@magrethmlewa3422 2 месяца назад
Ila watu mmezidi ujuaji kwenye maisha ya watu unakula wewe kwan ebu acheni watu waishi maisha yao uyo ni mtu mzima anajua anachokifanya
@abdullahalmahrooqi8306
@abdullahalmahrooqi8306 2 месяца назад
@@magrethmlewa3422 huu ndio ujinga wacha watu wafanye mambo yao kama haya ya mtoto kaingiliwa na baba yake kaka kamuowa dada yake tena anatolewa kwenye mitandao anahojiwa halafu anajibu mtoto mzuri kama huyu nimeona hasara aolewe na mtu baki Subhana Llah nyie wapigieni debe mtayakuta na mtaulizwa hata ikiwa kafiri Mungu ni yuleyule mmoja.
@abdullahalmahrooqi8306
@abdullahalmahrooqi8306 2 месяца назад
@@magrethmlewa3422 huyu ni mwanamke ndio ukaingia kati kujibu angelikuwa mwanamme ungetia lako au unataka akupende kwa kumtetea? Wewe hujui kama kuna watu wakienda haja wanapangusia karatasi au jiwe sasa huyo akusukumie chapati itakuwaje utasema unahisi harufu ya hiliki au karafuu?
@abdullahalmahrooqi8306
@abdullahalmahrooqi8306 9 месяцев назад
Salam tuandikie vipimo unga wa maziwa vijiko vingapi? sukari chumvi? Maji glass ngapi? Mafuta? Na huyo jogoo hana heshima anapiga kelele au anataka chapati mpe mimi nitalipa.
@malkiafoods
@malkiafoods 9 месяцев назад
Angalia kwenye description box dear
@lilianjulius9500
@lilianjulius9500 Год назад
Mbona zangu hazichambuki hivo,nakosea wapiii😢
@AAA-zu1vy
@AAA-zu1vy 11 месяцев назад
Pol sn my 😂😂😂😂 jaribu tena uone😅😅😅😅
@Awatee
@Awatee 8 месяцев назад
​@@AAA-zu1vy😂😂😂
@esthermollel1461
@esthermollel1461 Год назад
Kama hupendelei sukari unaweza usiweke.
@malkiafoods
@malkiafoods Год назад
Ndio, usiweke dear
@user-kv5eo8ix9k
@user-kv5eo8ix9k 10 месяцев назад
Wanawekaga hamira hawasemi
@user-jm4jw6qb1t
@user-jm4jw6qb1t 10 месяцев назад
Alf kweli nimegundua
@happylema6763
@happylema6763 7 месяцев назад
Hakuna hamira inayowekwa bwana jaribu kila mara utapata matokeo mazuri zinavimba vizuri tuu
@neemakusenha2540
@neemakusenha2540 Год назад
Dada unga ni ppf??
@malkiafoods
@malkiafoods Год назад
Ndio dear
@stellashayo1242
@stellashayo1242 Год назад
Mafuta gani umechomea chapati zako? @malkia?
@malkiafoods
@malkiafoods Год назад
Samli
@zainablema17
@zainablema17 Год назад
Далее
Chapati laini za kuchambuka
8:01
Просмотров 1,9 тыс.
I wish I knew this Chapati recipe before!
12:47
Просмотров 2,2 млн
Help Barry And Barry Woman Scan Prisoners
00:23
Просмотров 2,8 млн
Survive 100 Days In Nuclear Bunker, Win $500,000
32:21
Maandazi Chap Chap
4:23
Просмотров 25 тыс.
Jinsi ya kupika chapati laini kwa urahisi
8:56
Просмотров 3,8 тыс.
PILAU NYAMA TAMU INAPIKWA HIVI
5:19
Просмотров 49 тыс.
How to Make Kenyan Chapati || soft and layered Chapati
10:25
Chapati Lain bila kukanda /chapati mchambuko
4:42
Просмотров 8 тыс.