Тёмный

CHEKA TU. Queens Edition. Deo Gratius kwenye stage 

Cheka tu
Подписаться 473 тыс.
Просмотров 139 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 224   
@sarattaekedu2102
@sarattaekedu2102 6 лет назад
Kama unamkubari jamaa gonga like hapa anajua sana deo dah
@jackittah
@jackittah 5 лет назад
me mpogoro, hiyo sehmu ya wpogoro made me miss my bibi so much. maana ndio anaongea hiyo hivyo especially sehemu ya kunya hapo hahahhaa deo u made my morning aisee. good job
@robinsongina6334
@robinsongina6334 6 лет назад
He is the best out there. He has content. Most of Tanzania comedians don't have content. They are doing freestyle comedy which isn't all that but this guy right here,anajua nini anafanya. Hata comedy inahitaji maandalizi,lazima uwe na content n then on stage as you go on,unaweza kuchomekea freestyle kidogo,sio freestyle mwanzo mwisho. Hands down for this guy,all the time nikimuangalia anaonekana anajua nini anafanya. Utafika mbali brother. Keep doing the great works
@deo_gratius
@deo_gratius 6 лет назад
Robinson Gina Thanks man; I will keep doing my best
@robinsongina6334
@robinsongina6334 6 лет назад
@@deo_gratius Officially I am your fan brother. I need to attend one of your shows sometime soon
@deo_gratius
@deo_gratius 6 лет назад
Robinson Gina That’s would be great 👍. Karibu sana kwenye show
@robinsongina6334
@robinsongina6334 6 лет назад
@@deo_gratius Any shows sometime soon? Dates and venue please
@gloriousnp
@gloriousnp 6 лет назад
Robinson Gina man,you can say that again 🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽
@tildahongkong6086
@tildahongkong6086 5 лет назад
Aiseee huyu kaka ni konki 🔥🔥 anajua kuliko hata huyo idris huyu nomaa 🙌🏻🔥🔥🤣🤣🤣
@Omushonga
@Omushonga 6 лет назад
This's what stand up comedy means. Jamaa anajua sana huyu😂👏🏽
@deo_gratius
@deo_gratius 6 лет назад
Giddy 🙏 I Appreciate
@shaffinjama3166
@shaffinjama3166 6 лет назад
This guy has talent. Akiweka strategy nzuri at this tym, anaeza kuja kua diamond wa comedy bongo. Nyc work bro!
@deo_gratius
@deo_gratius 6 лет назад
SHAFFI NJAMA Du! 😊 Thanks 🙏
@judithmsengi6585
@judithmsengi6585 5 лет назад
Deo ur something else Narudiarudia lkn sichoki Mungu akuongeze bro #Deogratius
@deusgabri
@deusgabri 6 лет назад
Huyu jamaa ni comedian anajua kusimulia.....much respect bro...ila wape somo wenzako hawajui kupresent vizuri kama wewe.
@mrmrsmubamrmrsmuba8530
@mrmrsmubamrmrsmuba8530 4 года назад
Nc brother
@barikimvukye2467
@barikimvukye2467 6 лет назад
dah! #deo tangu shuleni Pandahill (pasec) kipindi hicho yuko Advance ...jamaa nibalaaa tangu enzi 2011/2012..nikiwa form one.....apliciate bro Deo.....
@deo_gratius
@deo_gratius 6 лет назад
Thanks man! 🙏 Singoi hoyeeeeee 😂
@barikimvukye2467
@barikimvukye2467 6 лет назад
100% sana bro am happy to see your talent bro....na zile Afro zako kakichanio kichwan mzee + ile school bag yako Mzee Bruda Jose macho tyu......miss those moments bro ....with mamushka hahahaha
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 4 года назад
Duh...Mimi nimetoka hapo 2000
@johnndege9020
@johnndege9020 6 лет назад
nakubaliiiii....comedian mwenzio nakusapot #deogratias👏👏👏👐
@cleopalaurent1090
@cleopalaurent1090 6 лет назад
Deo bhana...hamna namna...ni mwisho wa kazi
@deo_gratius
@deo_gratius 6 лет назад
Cleopa Laurent 🙏
@gracerechieyy98
@gracerechieyy98 5 лет назад
Just found another Fav comedian😂😂😂😂. DEO😍
@Jackiedaniel75
@Jackiedaniel75 6 лет назад
damn! man you kill it.. Mungu akutangulie tu
@elishambise7966
@elishambise7966 5 лет назад
I like this guy. He's precise and systematic. All his comedies are all about daily life.
@zeramakas8917
@zeramakas8917 6 лет назад
Kiukwel huyu kaka ananichekeshaga mpaka tumbo linauma anajua sana Mungu awabariki katika vipaji vyenu mnafanya vizuri sana
@juliusuronu8812
@juliusuronu8812 6 лет назад
Yan ningepata sehemu panapouzwa confidence..Nina kipaji Zaid ya ninachokiona, but bro Kila siku unanipa sababu ya kuthubutu, one day I will be there..to represent what within me
@movierecapsswahili1042
@movierecapsswahili1042 6 лет назад
Julius URONU Kp t up
@pisonmycah9408
@pisonmycah9408 6 лет назад
Be guided bro
@juicesodascience
@juicesodascience 6 лет назад
confidence ni kujaribu ukimwangalia mara yake ya kwanza alikuwa anahema uyo ila sa hv yupo fresh tu
@godfreyshao3914
@godfreyshao3914 6 лет назад
Confidence ni SKILL unaweza kujifunza usiache talent yako itulie bro
@juliusuronu8812
@juliusuronu8812 6 лет назад
@@godfreyshao3914 Nimekielewa sawia bro... nitaifanyia kaz
@AcklandackyMichael
@AcklandackyMichael 6 лет назад
😂😂😂😂😂😂😂💯💯💯 Your the best Deo, now speaking about comedy, the platform allow youth to grow and improve the talent.
@graciellachamz6534
@graciellachamz6534 5 лет назад
He is the best so far in Tanzania, nilikua sipendagi stand up comedy za bongo , ila huyu ni Hatareee , Hands town. Stand up comedy King ndo huyu wengine wote wasubiri
@habiburamadhani8506
@habiburamadhani8506 3 года назад
Daah blo mimi naelewa sana kaz yako sema kuna ile ya at list siioni
@kedyjohn1848
@kedyjohn1848 6 лет назад
Huyu jamaa is baaadnews asee ... hadi sikuhizi demu wangu haoni kama namchekesha tena.. 🤣🤣🤣
@azaboicomedy
@azaboicomedy 6 лет назад
Kedy John umetisha😂😂😂😂😂😂
@Agatee01
@Agatee01 3 года назад
Jamaa😂😂
@timothmwakakusyu4563
@timothmwakakusyu4563 2 года назад
Jipange mwana 😅😅😅😅😅
@mbatatakiazi1678
@mbatatakiazi1678 6 лет назад
i real like to attend one of your session. keep it up, wakenya tunaowaona sasa wamefikia hawakuanza leo, ni toka miaka ya sabini ya vihoja mahakamani na akina mzee ozwang na mama kayaiiiii
@khadijahassan3504
@khadijahassan3504 6 лет назад
yaani sina la kuongea tuombe mungu nirud Tz nitakuja kuwaona ukopoa sana kaka love you my dear
@deo_gratius
@deo_gratius 6 лет назад
Khadija Hassan Thanks 🙏 karibu
@nicobura5543
@nicobura5543 6 лет назад
Kaka uko vizuri sana.. Keep it up
@vincentmasalu8922
@vincentmasalu8922 6 лет назад
Deo kaka Umeua keep the spirit up🙌🏾👏🏾
@roswitanaitus5415
@roswitanaitus5415 4 года назад
Daah nakupenda sana jaman yaan unaweza kinoma jaman
@ndossiadventurestz.6796
@ndossiadventurestz.6796 6 лет назад
Nikiwa nimeboeka nikija cheka tu bhac stress kwisha habari yake haswa kwa deo..mtoto,wa mama mboya
@darviswantana7669
@darviswantana7669 Год назад
Leo nmefatilia edition zote za deo hahaaaa he was doing very great
@jumamgallah9522
@jumamgallah9522 6 лет назад
Dah boi uko njema best comedian wa mwaka
@moherai9120
@moherai9120 6 лет назад
You never disappoint bro !! So called comedian 100%
@deo_gratius
@deo_gratius 6 лет назад
MOH ERAI 🙏
@naimamunishi1241
@naimamunishi1241 5 лет назад
I always like u deo...keep it up
@aronelius9515
@aronelius9515 6 лет назад
Kibabe sana bwana deo kipaji kipo sana
@arnoldraphael1294
@arnoldraphael1294 6 лет назад
Daaaaaaah unaweza ukaomba kua ndugu wa Deo asee
@believeinyourself9576
@believeinyourself9576 6 лет назад
Mwambaa kazaaaa, very talented
@peterchilipweli5004
@peterchilipweli5004 5 лет назад
wonderful: i didnt know brother kama ur talented like dat tukiwa chuo. Ila hapo kwa wapogoro aisee umepita mulemule ...keep it up bro.
@estherpetza5236
@estherpetza5236 6 лет назад
the besttttttttt👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼
@jamesjw.kizanga2602
@jamesjw.kizanga2602 6 лет назад
Show kali upat muda wa kuja kusoma comments noma sana 😂😂
@tolumnyama3935
@tolumnyama3935 5 лет назад
Deo bwana unajua kupangilia script zako vizuri zaidi mpaka raha yani..
@Iddahm-vb7nc
@Iddahm-vb7nc 11 месяцев назад
You are a comedy itself
@mbatatakiazi1678
@mbatatakiazi1678 6 лет назад
hahahahaaaaa! nimecheka kwa embe dodo liyela ela byuuuuuu angeongeza kamwali ka kuchindambindambeeee
@chiloclassic7004
@chiloclassic7004 6 лет назад
Mngeboresha saut kidog iwe inasikika vizur
@evajuma334
@evajuma334 5 лет назад
Hiki kipaji aisee🔥🔥
@snoop5265
@snoop5265 6 лет назад
Pung'o katika ubors wako..sema umetuchoma wamagetoni,furushi lishabuma 😂😂😂
@kautharyramadhan7263
@kautharyramadhan7263 5 лет назад
Ila we kaka dah 😂😂😂😂🔥🔥haya bana
@eliasaphbussa9332
@eliasaphbussa9332 6 лет назад
Mzee baba we n homa ya jiji 🔥🔥🔥
@welluschiwanga8445
@welluschiwanga8445 Год назад
Huyu jamaa najua sana
@emmeranranny3866
@emmeranranny3866 4 года назад
Mungu anipe conf na me jmn mana talent
@isubamen8602
@isubamen8602 6 лет назад
aseeeee we chariiii ni nomaaaaaaa
@barakaisrael257
@barakaisrael257 6 лет назад
Sasa Deogratius naona unatoa siri za geto 😂😂😂
@deo_gratius
@deo_gratius 6 лет назад
Baraka Israel 😄😊🙏
@alexjos7625
@alexjos7625 3 года назад
Anapita nazo zote
@jacksonmwaipaja5813
@jacksonmwaipaja5813 6 лет назад
We mzee ni hatar sanaa......
@gretagonga2966
@gretagonga2966 6 лет назад
Still the best #Deo😊😊😘
@deo_gratius
@deo_gratius 6 лет назад
greta gonga thanks 🙏
@rockyvlogs2214
@rockyvlogs2214 6 лет назад
Yeah hajapatikana mwingine
@vanitosha844
@vanitosha844 6 лет назад
I love Deo he is the bestest
@laurynurban5847
@laurynurban5847 5 лет назад
nakupenda bureee jmn
@barakamwakibete7212
@barakamwakibete7212 5 лет назад
All the way up Deo Mboyaaaaaa!!!!
@francismngumi5125
@francismngumi5125 6 лет назад
Uko vizuri brother keep it up
@حديجهحسن
@حديجهحسن 6 лет назад
Ahahaaahaa mbavu zangu jamanniii
@mohammedrashid7735
@mohammedrashid7735 6 лет назад
great show, ombi langu ongezeni stage
@yascoguidezanzibar
@yascoguidezanzibar 5 лет назад
kam n ww mpogor gong like
@marypeter3062
@marypeter3062 6 лет назад
good work deogratius i see u far
@khamiszuhura7060
@khamiszuhura7060 6 лет назад
nc sana deo unaweza sana
@sizaburton7318
@sizaburton7318 6 лет назад
Deo unasema vitu vitutokeavyo gheto broo, uko Right
@Albartzmss
@Albartzmss 6 лет назад
Hahahaha jamaaa f#la xanaaaaaa #wapogolooooooooooooo😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@abassabdisalan6657
@abassabdisalan6657 6 лет назад
From Kenya hapo ghetto story kanibamba sana...
@deo_gratius
@deo_gratius 6 лет назад
Abass Abdisalan 🙏
@abassabdisalan6657
@abassabdisalan6657 6 лет назад
You should come to Kenya jokes ka hizo they kill the audience...
@kingiileopold3544
@kingiileopold3544 5 лет назад
Big up sana jamaa anajua
@philipo7929
@philipo7929 6 лет назад
uko vzr sana bro tena sana tu hata skupngi
@deo_gratius
@deo_gratius 6 лет назад
philipo Tv 🙏
@mohdmchumi1899
@mohdmchumi1899 4 года назад
You made my day deo
@glorymoshi2552
@glorymoshi2552 3 года назад
You know guy dearrrrrrrrrrrrrrr
@felistasakaya7022
@felistasakaya7022 6 лет назад
Keep going, there is way on you
@mfalmegideon
@mfalmegideon 6 лет назад
Deo is amazing Guy 🙌🏾🙌🏾😄
@deo_gratius
@deo_gratius 6 лет назад
King Gideon 🙏
@japhetgoza2862
@japhetgoza2862 6 лет назад
Jamaaaa anajua san
@athumanomary9523
@athumanomary9523 6 лет назад
Nice sana broo nimeisahau chachilishow sikuiz ni cheka2 ila cc wa mikoan tuwekeen mpya
@paschalmotera7934
@paschalmotera7934 6 лет назад
boreshen saut basi , but onger bro deo uko vzr kazanaaaaa
@timothmwakakusyu4563
@timothmwakakusyu4563 2 года назад
Inawezekana Kenya wanatuzidi kwa stand up comedy kitakwimu ila hakuna comedian anaweza kufika level ya huyu mwamba ktk stand up comedy 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@michaelgabriel6617
@michaelgabriel6617 6 лет назад
Yaaan hii ndi video yangu ya kila cku
@mctidohondoa1652
@mctidohondoa1652 6 лет назад
Ndio namjua leo
@IringoAdventChoir
@IringoAdventChoir 6 лет назад
Hongereni Sana Bongo Cheka Tu Kwa Kufany Stand Up Comedy, nashauri tu boresheni Kwenye Kuingia Mtu akiwa anatajwa tu Anatokea back faster tu kwenye Shangwe Zile, ili pia Isionekane video ni ya Dk Nyingi, mana Inatakiwa iwe hata Dk 5 tu.
@nurumbamba184
@nurumbamba184 2 месяца назад
2024🎉 watchers
@luganoseme867
@luganoseme867 6 лет назад
Big up bro umetisha sanerr
@claudiousonyi8211
@claudiousonyi8211 2 года назад
Awesome
@ireneshao5889
@ireneshao5889 6 лет назад
😂😂😂😂😂well done Deo gratius
@RahimNarsis
@RahimNarsis 6 лет назад
this guy is really funny tho, big up.
@deusdeodavid5360
@deusdeodavid5360 6 лет назад
Deo wewe ndio mtu unaenifanya niipende na kuangalia show kama hizi
@nasmamdimu3903
@nasmamdimu3903 5 лет назад
hah ah a deo kichwa
@sweetestgospelmelodies5723
@sweetestgospelmelodies5723 6 лет назад
Ahahaha Deo unazingua
@goodluckmoshi5544
@goodluckmoshi5544 3 года назад
Deo you are a genie
@heltrudahbruno2068
@heltrudahbruno2068 5 лет назад
Sauti haijakaa vzr rekebishen ndug zangu
@mtaalamwamambo2099
@mtaalamwamambo2099 6 лет назад
bro, we ni Nomaa Asee!
@deo_gratius
@deo_gratius 6 лет назад
Prince Mushy 🙏
@cypriankassanga6897
@cypriankassanga6897 6 лет назад
I like the show
@felistasakaya7022
@felistasakaya7022 6 лет назад
Nakuelewa bravoooo
@jismamaunga9166
@jismamaunga9166 5 лет назад
Konkoi konkiii konkii Nmekusomaaa
@BidayoTV
@BidayoTV 6 лет назад
Daa good job Deo
@fariddimalila581
@fariddimalila581 5 лет назад
Lower your expectation😂😂😂😂😂😂😂
@isunaslabs4733
@isunaslabs4733 6 лет назад
Hands down, Deo is talented.
@chigypt
@chigypt 6 лет назад
Hands Up!!!!
@ilhammshana234
@ilhammshana234 6 лет назад
nakubali sana kaz yako mwamba yan siez angalia Mara moja kiukweli stresses zinaisha japo nipo mbali lkn najion km nipo bongo.... kipaji kikubwa sana upo nacho baba la baba... nikisema sana nahis ntaharibu acha niishie apa
@deo_gratius
@deo_gratius 6 лет назад
Ilham Mshana 🙏 Asante
@nasmafarmsltd9146
@nasmafarmsltd9146 5 лет назад
@@deo_gratius umebarikiwa jàmàñ nataman nirud tz nije nione show live
@Antary9
@Antary9 6 лет назад
Kama Kuna nafasi za usajili bado, Nipo hapa kwa hilo, Nitaleta kile nitakachojaaliwa, Nipeni nafasi 🙏🏿
@elzearselestine5000
@elzearselestine5000 5 лет назад
Uyu jamaa ni shdaaaaa
@karatakomba4972
@karatakomba4972 6 лет назад
Deo unatisha
@bobleeswagger8166
@bobleeswagger8166 6 лет назад
Settings za sauti zimekuwaje??
@gracerichard8593
@gracerichard8593 5 лет назад
Deo we kiboko
@omaryadam6783
@omaryadam6783 6 лет назад
Mzee hadi mto lumemo
Далее
CHEKA TU. Tribes Edition. Deo Gratius kwenye stage.
21:49
Это было очень близко...
00:10
Просмотров 1,6 млн
Million jamoasi - Amerikaga sayohat
12:37
Просмотров 220 тыс.
CHEKA TU. Mzalendo Edition. Deo Gratius kwenye stage.
22:27
JOL MASTER/CHEKA TU-WASUKUMA
11:03
Просмотров 15 тыс.
CHEKA TU. Queens Edition. Idris Sultan kwenye stage.
14:03
Tanzanian's and their English "struggles" - MC Pilipili
13:45
CHEKA TU. Kings Edition. Deo Gratius kwenye stage.
26:59
Это было очень близко...
00:10
Просмотров 1,6 млн