Kw nn kwel Ibrahim rahb uy mchambuz wa sias za kimataifa yuk vzr sn na anastahik kw kila chekecha awepo ni mtaalam aliebobea ktk Diplomasia ao wengn hua wanaongea na kupelek tu hawan uhakik wa wanachokisem na hoja zao wanatoa kw namn ya mitazamo yao ilivoo
NATO ni tishio kubwa endapo itashinda vita na rushia ,tujiulize umoja wa kujihami dhid ya nani na ifahamike baadae itakua lazima kujiunga nato tukiwasapoti now,itafikia ukihitaji mkopo lazima ujiunge nato kama ilivyo now ukitaka pasport lazima uchanje .ukuu wa rusia unafaida kubwa kubalance demokrasi
Russia sio mwendawazimu ameeleza wazi kuwa nato na marekani kua karibu na mipaka yke mchambuzi huyo sio anaupande waki magharibi nimemfatilia sn Nato wamekua kupigana vita vingi duniani Afghanistan, iraki, Libya nanyingi Russia wakijiunga lazima wapigwe tu
Urusi inaitaji kutumia nyuklia zao sio kwamba hao wa Sweeden na Finland kujiunga na nato ni usalama wake mdogo hapana anachoitaji putin ni kuchukuwa dola kupitia nguvu aliyonayo ya kivita hayo ndio malengo ya putin
Putin Ameishambulia Ukraina bila wao warusi kushambuliwa endapo Putin atashambulia Sweden na Finland nayeye atashambuliwa! Tena kwa nguvu kubwa huko huko kwao!
Kwa kuzungumza ni jambo rahisi lakini kiuhalisia ni jambo gumu tofauti na vile unavyoona Ukraine sio alikuwa hapendi kuishambulia ardhi ya Russia ila ulinzi wa Russia ndo kikwazo