Binafsi nakupenda sana Haphurey Polepole.kiko kitu kikubwa sana ambacho Mungu amekiwekeza ndani yako kwa ajiri ya Taifa letu la Tanzania.Mungu akutunze.
Intelligent, respectful, wise. Humble and a good speaker. Baadhi ya hizi interview zimekaa "kiudaku" zaidi na zinalengea kudhailisha na waandishi wa habari wenye maswali yaliyopelea na yamejaa kama "kawivu" kidogo ... ila H.Polepole anajua kuwa tuliza na kurejesha mwelekeo wa kiheshima zaidi ktk mahojiano. Ila Mh. Humphrey, Kuna milangio Mungu atakufungulia ambayo hakuna mwanadamu atakayeweza kuifunga. Hata Musa alikaa jangwa la Midian miaka 40 mafunzoni. Kisha alirudi na kukomboa watu wake. Taifa la Israel.
Nilimpenda sana alipotuambia kuwa hawakuweza kuwamalizawahuni waliokuwa nao kulegizani na hata walipojitokeza na kuungama mbele ya mama kwamba wamekosa sana na kuomba msamaha kwa kutotimiza wajibu.kwa kuwa watenda ddhambi ndio walewale waliwashangilia kwa kupiga meza zetu kule mjengoni walipoingia C19na kuendea kukalia vile viti bila ridhaa ya chama cha siasa.Hivi ni kweli kabisa kwamba yale Mphd yaliyomo mle ndani hayaoni aibu kufunika uhuni uliofanywa na hao C19?
@@mohamedhaji2200 Kumbuka mwaka 2010 VIONGOZI WA CCM WALIKUWA WAKIIOGOPA MIDAHALO POLE POLE PEKE YAKE NDIYE ALIYE KUWA AKIHUZULIA MIDAHALO ALIJUA KAMA MAGUFULI ANGEKUJA KUWA RAIS ?
Walton anatia kiwingu hii ni njia ya mmnyamazisha hesitate nafasi ya kutoa hoja motomoto bungeni. Nafasi ya uraisi inakusubiri kaka usikose kurudi uchukua form ya uraisi
Walton hata wakijitahidi vipi kumnyamazisha hilo ni jambo lilopangwa na mungu watamcheleweshea tu lilopangwa na mungu huwezi kulifunga siasa haishi na wala haina muda jifunze kwa hayati magufuli na sumu alipewa akiwa waziri wa ujenzi hatimaye alikuwa Rais na Tanzania imeonekana maendeleo yake
Walton ridhiki kama ipo ipo tu utaichelewesha na huyo ni mti wenye matunda haushi kupigwa mawe hana hasira ana majibu ya ufasaha kila anapoulizwa swali mungu ambariki sana
Humphrey polepole,Ni kiongozi wangu bora ndani ya nchi.Siku zote nimekuwa nikijifunza kwake.Aidha,nimekuwa nikipenda namna anavyojenga hoja zenye mashiko, Namna anavyojibu maswali kwa ufasaha na namna anavyomtaja m/Mungu kwenye mazungumzo yake yote.Humphrey Polepole,ni mti wenye matunda,ndio maana siku zote amekuwa akipigwa mawe.Songa mbele jasiri mwongoza njia, cde.humphrey Polepole.
YANI ULIPO SEMA KUWA HUOMBI UONGOZI MUNGU NDIO ANAE KUTEUA AU KUTAKA HAPO NAENDELEA KUWA NA WEWE HONGERA SANA MTUSISHI NATAMANI NIPATE NAMBA YAKO YA SIMU
Mtumishi wa mungu na mtumishi wa watanzania hongera mungu akupe kila LA kheri ila SHULE YA uongozi usiiayche kabisa pamoja NA UZALENDO MAISHA YETU TUMEISHI SANA MIAKA 63 AU 65 KWA MUJIBU WA MIAKA AMBAYO AMWIAHI MTUME Mohammed ILA MUNGU NDIO ANAE PANGA KILA KITU ILA KUISHI KAMA NA BII SULEYMAN MIAKA HIO HAIPO ILA PLZ NATAMANI NIONGEEE NA WW MIMI MTANZANIA MNYONGE AMABE NATAMANI UWE RAISI WA TANZANIA NA WANYONGE MPAKA SASA KUNA ........... SITAKI KUSEMA MENGI ILA NAOMBA NIPATE MAWASILIANO YAKO MJOMBAA ANGU
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni,Polepole ni mmoja ya viongozi makini asiyeyumbishwa,kikubwa alichonacho ni hofu ya Mungu.Nakuona ukienda mbali sana kuliko hapo ulipo.
Mungu akusimamie,staki kuamin siasa.ila naona huwez tenganisha siasa na maisha,mwigizaji bora na anae vaa uhuska kindaki ndaki kama mwana siasa,anaweza tabasa panapo hitajika kulia
Magufuli alikua Mkweli....sidhani km alikua CCM kwelikweli kindakindaki!?? Ktkn mi ccm yote mijizi....ila najua mh polepole najua mzee chuma kakuachia Madini kibao kichwani....naomba uwabwagie huo ubalozi wao ili tuweze kuanzisha chama chetu...kitacholeta ukombozi wa uchumi wa kiukweli ukweli kwa wananchi watanzania....pamoja na chi ya Tanzania