Тёмный

CHEKECHE: Kukutana kwa Rais Kim Jong Un na Putin ni tishio kwa mataifa ya Magharibi? 

Azam TV
Подписаться 2,8 млн
Просмотров 63 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

2 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 125   
@GeorgeUsele-kr6qk
@GeorgeUsele-kr6qk Год назад
Urusi piga mbwa hao😂😂😂😂
@deusisindwa616
@deusisindwa616 Год назад
Uko vzr dhabit huwa napenda kukufatilia
@jonfredkewe3451
@jonfredkewe3451 Год назад
Wachambuzi mpo vizuri mkiwa hivo mtawasaidia Watanzania
@othumanomari1589
@othumanomari1589 Год назад
Nitafurai sana marecan akipigwa kwani simpendi sana anaizurumu Africa bado anatuuria watuwetu kama Gaddafi sadamu husein😢😢
@JumaJoseph-t4j
@JumaJoseph-t4j Год назад
Yesu ndio yupo nyuma ya Marekani atashinda ndio baba wa dunia❤
@modestwenceslaus9
@modestwenceslaus9 Год назад
marecan ndiyo nini???
@Kzm-c9u
@Kzm-c9u 2 месяца назад
​@@JumaJoseph-t4j yule yesu wa kizungu au?
@yassinmashautymashaury2734
@yassinmashautymashaury2734 Год назад
Upo vzury mchambuzi BW. Thabiti🎉🎉🎉🤝
@shabantelack5716
@shabantelack5716 Год назад
Thabit unajua sana , nmerudia mara 10 umetoa kama summury flani inayoeleweka
@braystuskibassa3842
@braystuskibassa3842 Год назад
Hakuna tishio maana wao wameongea na kuungana na mataifa zaidi hamsini kupeleke siraha Ukraine na majeshi kwanini mataifa mengine wasimuunge mkono mrusi Marekani ni waoga kuingia vitani direct bali wanatumia njia za mkato kuibua migogoro ili wauze siraha, madawa, n.k kwahiyo wanaona endapo Urusi itakuwa imara sera zao zitakuwa si kitu, maberi hili swala kwao pasua kichwa ila muda utazungumza
@chidiomari.65
@chidiomari.65 Год назад
Thabith mrangi anachambua vzr sana Maua yake hayo🎉🤝🙌🇫🇮
@allahisone6386
@allahisone6386 11 месяцев назад
🎉🤝🙌
@venancembwaga-uw6kb
@venancembwaga-uw6kb Год назад
😂😂😂😂😂 marekani anaumwa ugonjwa wa geopolitics nimekuelewa
@OmarOmar-vf9dv
@OmarOmar-vf9dv Год назад
Asanten sanaa kikubwa mchambuzi kwa asikimia kubwa amejitahid sanaa kutumia lugha ya taifa pasi na kuweka misamiati mingi yakigeni. Natumai wengi waliofatilia wamepata kuelewa zaid
@emmanuelenock6310
@emmanuelenock6310 Год назад
Thabit mrangi ni zaidi ya mchambuziiiiiiiii.....brilliant 🎉
@BONGOINMOTION
@BONGOINMOTION Год назад
Bro mlangi juzi tu nilikuwa namuuliza Bro Gangana juu ya hizi chambuzi,,,
@donizzo9570
@donizzo9570 3 месяца назад
Usiseme Urussi na Ukraine bali sema Urussi na marekani.. Alafu mwenzio mwambie marekani amejivisha ukilanja ila hawezi kuwa kiranja wa Dunia
@masungadutta3823
@masungadutta3823 Год назад
Huyu jamaa yuko vizuri sana kwenye uchambuzi
@anthonykiula6321
@anthonykiula6321 Год назад
Sanaa
@RAMADHANIAMIRI-i5y
@RAMADHANIAMIRI-i5y 3 месяца назад
Sana sana
@salehkhamis-ob8ln
@salehkhamis-ob8ln Год назад
Nilikua nikiusubiri kwa hamu huu mjadala.
@fredrickkagwa8853
@fredrickkagwa8853 Год назад
Najua America inaprint tu pesa na kuzitumia vibaya
@Mosessssss
@Mosessssss Год назад
Mchambuzi Upo vizuri sn
@mohamedsekimonyo
@mohamedsekimonyo Год назад
Jama yuko vizuri sana
@hassangaddafi2347
@hassangaddafi2347 Год назад
Viva Putin viva African ❤❤ 🔥🔥🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺💪💪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@kanobayirelambert8400
@kanobayirelambert8400 Год назад
Pamoja sana
@hamzahuseni2555
@hamzahuseni2555 Год назад
Mchambuzi huyu anaviwango vya hali yajuu honger
@evaristbamfu7149
@evaristbamfu7149 Год назад
Huyu jamaa ni mchambuzi kweli kweli. Lugha simple, no mbwembwe. Big up brother
@allahisone6386
@allahisone6386 11 месяцев назад
🙌🎉🙌
@akhanntahena2544
@akhanntahena2544 Год назад
Safi Sana Thabit huo ndiyo uchambuzi makini
@finiasfidelis1475
@finiasfidelis1475 Год назад
Kongore sana kwa Thabiti Mrangi mchambuzi wa mambo ya kimataifa na mikakati
@JeremiahMwalukosya-eh5nf
@JeremiahMwalukosya-eh5nf Год назад
Huyu jamaa nimchambuzi mzuri sana alifelri tu kwenye swala bandari alijishushia eshima sana CCM hawabebeki hata Kwa mna yoyote ile
@husseinjuma-h1q
@husseinjuma-h1q 2 месяца назад
Raymond mpe nafasi huyo mchambuzi atuchambulie kuhusu bokina faso na Rais wao Ibrahim Toure
@shabantelack5716
@shabantelack5716 Год назад
Apo japan Taifa linazeeka sijaelewa kabisaa😂😂😂
@sumatraveler1957
@sumatraveler1957 Год назад
😂😂😂Japan miaka ya nyuma ilikua taifa lenye nguvu kubwa Duniani but kwasasa amna kitu Ndio maana kasema hivo ni taifa lililozeeka ( Yaani limezeeka kijeshi )
@josephmwita6012
@josephmwita6012 Год назад
ni taifa ambalo lina wazee wengi kuliko vijana
@josephkostans9128
@josephkostans9128 Год назад
Bigup mchambuzi uko vizuli sana
@ibba8082
@ibba8082 Год назад
Pamoja kutoka FIZI D R Congo🎉
@nyembomajid1262
@nyembomajid1262 5 месяцев назад
dugu umemsikia huyo jamaa anavo poromosha madini ....congo mnawatu kama Hawa ao ni wale wasomi wakujisifia bila kusaidia raia kifikra, kielimu ,kistoria na mambo kazalika
@mkongwekarim3036
@mkongwekarim3036 Год назад
Mlangi 🎉🎉nimaua yako hayo
@saidymwajeka8612
@saidymwajeka8612 Год назад
Exarent very geneus boy🤝🇿🇦
@YohanaPetro-xv9tp
@YohanaPetro-xv9tp 2 месяца назад
Wamalekani Niwatu Ambao Wapo Kma Bongo move Au Wasani Wabongo Freva Wanapenda Kiki Ila Kwa Ukubwa Wavitebdo Mrus ndo mkubwa
@farusaimon3490
@farusaimon3490 Год назад
Hongera sana AZAM TV kwa kimtambua huyu Mwamba. Good job!
@GeorgeUsele-kr6qk
@GeorgeUsele-kr6qk Год назад
Hii sio TBC hii ni Azam Tv mwanzon walikuwa wanaleta unafiki saiv wameanza kuongea ukweli
@farusaimon3490
@farusaimon3490 Год назад
@@GeorgeUsele-kr6qk Asante sana kwa masahihisho ndugu! Sikuchunguza vizuri.
@KassimSalumu-fk6yk
@KassimSalumu-fk6yk Год назад
@@GeorgeUsele-kr6qk kivipi
@miltonjohn9779
@miltonjohn9779 7 месяцев назад
​@@GeorgeUsele-kr6qk hujui kitu dogo tulia
@yonathanbanyikwa1813
@yonathanbanyikwa1813 11 месяцев назад
Mrusi anamfaham vizuri mmarekani, anamheshim Sana ndio maana ataishia Ukraine hawezi kugusa mwingine.
@jafariHabibu-jc9zf
@jafariHabibu-jc9zf Год назад
Tumewapata asanteni
@eliasndomba7937
@eliasndomba7937 Год назад
Watu 14 awapendani ...wakielewana ni hatali mno Nimejifunza kitu kikubwa sana
@fikirininasoro5272
@fikirininasoro5272 4 месяца назад
Muwe mnachambua na mgogoro wa Irani na marekani pamoja na Israel
@ShehaHaji-k8t
@ShehaHaji-k8t Год назад
Hahahahaha makofi kwko jembe
@JanenyirambonaJanenyiram-sc7lv
@JanenyirambonaJanenyiram-sc7lv 11 месяцев назад
Huyu kama ana uelewa mkubwa kuhusu siasa, inasikika wazi.
@angelamwewe1948
@angelamwewe1948 Год назад
Mchambuzi thabiti..... Namkubali Sana jamaa.. mzee wa mikakati
@jkifutu7936
@jkifutu7936 Год назад
Nawakubali sana
@fidelfidel-jz4iw
@fidelfidel-jz4iw Год назад
Africa tunatakiwa kuwa makini sana hawa maghalibi wana nia mbaya na Africa tusilale maanake viongozi wetu wamalizika sanaa wakati wao roho zipo juu wanajua uchumi wao upo hoi mali asiri wanazotegemea zimetiwa mchanga.
@victorsanga2229
@victorsanga2229 Год назад
Akili ndogo ya kufikiri, leo mnashindwa kuigiza mafuta kwa kuwa hamna dola ya Marekani., haya hao warusi, korea kusini, china wapo wapi kuwasaidia? Maisha ya warusi, china, north korea wengi ni ya kawaida tu. Mapato yetu kwenye utalii tunawategea ulaya na Marekani
@KassimSalumu-fk6yk
@KassimSalumu-fk6yk Год назад
@@victorsanga2229 kivipi
@msangodiesel3132
@msangodiesel3132 Год назад
Ni hatari mlangi salute kwako
@nsabimanasuleyman2008
@nsabimanasuleyman2008 Год назад
Tunashkuru
@jonfredkewe3451
@jonfredkewe3451 Год назад
Nimekukubali Sana mchambuzi
@maniamba.tz_
@maniamba.tz_ Год назад
Mchambuzi uko vizuri
@gstone830
@gstone830 Год назад
Putin👍🏻
@DevyMtanza-fc2nn
@DevyMtanza-fc2nn Год назад
Tupo pamoja
@noelnjementi8511
@noelnjementi8511 3 месяца назад
Zabit namkubali sn
@abuubakarhaji2078
@abuubakarhaji2078 Год назад
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@rajabuathumani1586
@rajabuathumani1586 Год назад
Mrangi iko vzr mno
@noelnjementi8511
@noelnjementi8511 3 месяца назад
Nampenda sn
@othumanomari1589
@othumanomari1589 3 месяца назад
Hao wanaurafiki waundugu
@hamisramadhan-eb3ie
@hamisramadhan-eb3ie Год назад
Uraaa 😂
@rajabuhamisi2769
@rajabuhamisi2769 Год назад
Uraaaaaaaass
@kenochieng3098
@kenochieng3098 3 месяца назад
Uko vizuri sana
@godfreydavid6267
@godfreydavid6267 Год назад
Drone kutoka Iran ilikuaje? Urusi hahitaji silaha kutoka Korea Kaskazini!!! Sijaelewa
@theteacherchance6750
@theteacherchance6750 Год назад
Hivi vijombo vya vihabari vya 'tenzeniye' vinatoa wapi uthubutu wa kujadili ishi ya Urusi na Korea. Marekani hakuna kijiji hayupo duniani. Mfatilieni Edward Snowden mtaelewa.
@Linsha1993-hw9kl
@Linsha1993-hw9kl Год назад
Wamemfanya nn mpaka leo na yupo urusi na amepewa mpaka uraia na haja fanya lolote
@eliasndomba7937
@eliasndomba7937 Год назад
Jamaa anajua sana
@jestonelazaro6543
@jestonelazaro6543 Год назад
Acha uboya ujui kbsa historia ya Korea yaani baada ya bomu la Hiroshima Japan Korea ilikuwa chini ya Japan ukasainiwa mkataba wa kutokuwa nakoloni lolote so ili usssr Soviet na USA wasipigane wakagwana Korea north ikapewa Russia na south ikapewa Marekani na Russia ikaipa marekani Alaska desert marekani kukwepa vita chini y
@lucasalbertomseti1578
@lucasalbertomseti1578 Год назад
Hebu kosoa kiungwana basi
@josephkostans9128
@josephkostans9128 Год назад
Ukikisoa kiungwana utaeleweka vizuli zaidi wakati mwingine. Huyu mchambuzi yupo vizuli sana ila kumbuka mwanadamu hakosi kasoro ama kupitiwa hiyo ni makosa ya kibinadamu so lazima tujali ktk hilo
@annurmohamedi9824
@annurmohamedi9824 Год назад
Russia "aliipa" marekani Alaska?? Historia umejifunzia wap?? Na lini hilo jambo lilitokea ?? Google bas ili ikusaidie ilikuwaje Alaska iwe Marekan jambo gan lilifanyika
@KassimSalumu-fk6yk
@KassimSalumu-fk6yk Год назад
Wewe mjinga sana huyu, mwamba Masters kachukia Israel na kafundishwa maprofesa bobezi wa mikakati dunia na mfuatilie kuanzia sasa, ndio maana wengi wamekupinga mpuuzu wewe
@lughanojohn4211
@lughanojohn4211 Год назад
Sasa wewe unajitamba kujua historia za watu? 🙄Vipi kuhusu historia yako sasa turudi apo
@daudimabumba2887
@daudimabumba2887 Год назад
Wewe nimchambuzi acha hao wengine kusifia2 magharibi
@mussaminogapegeitapigaasow9165
Huyo ndoomchambuz wakwel kuliko yule mwingine
@MouriceNdomba-zr5hx
@MouriceNdomba-zr5hx Год назад
Hata warusi wengi wanaasili ya kiyahudi ndomaana mwizraeli amekaa kimya kwenye huu mzozo
@emanuelpiniel5277
@emanuelpiniel5277 Год назад
Chambueni jambo Kwa ufsaha sio mchambue kama ushabiki wa mpira
@albertbissaga1425
@albertbissaga1425 Год назад
Madhumuni ya kuiangusha marekani ni nini? Na hatima ya dunia hapo baadae?
@husseinmanyanga1587
@husseinmanyanga1587 Год назад
Mchambuzi yuko zvizur sana tuko pa1
@IbrahimlyenjeNtupwa-ju4ej
@IbrahimlyenjeNtupwa-ju4ej Год назад
Hamuelimarekani haishindanishwi nataifaloloteduniani
@BernadPeter-zy8tv
@BernadPeter-zy8tv Год назад
Mdanganya uma
@KassimSalumu-fk6yk
@KassimSalumu-fk6yk Год назад
Mpuuzi wewe, jamaa masters kachukia Israel
@jumambarale699
@jumambarale699 Год назад
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@shijamohamed369
@shijamohamed369 Год назад
Je N. KOREA HAFIKIRII KUIVSMIA KOREA
@ramadhanimtozeni8030
@ramadhanimtozeni8030 Год назад
Thabit, hakika wewe ni gwiji wa siasa za kikanda, hongera sana.
@temuemanuel4671
@temuemanuel4671 Год назад
Thabiti Mrangi kwa kweli ni kichwa sana
@KhadijaAli-j7r
@KhadijaAli-j7r Год назад
Hongera sana broo sabit upo poa sanaaa
@MiriamMwalukisa-oy4xl
@MiriamMwalukisa-oy4xl Год назад
Leo saa mbovu inaongea ukweli
@BONGOINMOTION
@BONGOINMOTION Год назад
Saa mbovu unamaana Gani?
@Pedeshee01
@Pedeshee01 Год назад
Habib miriam hujambo
@KassimSalumu-fk6yk
@KassimSalumu-fk6yk Год назад
Kivipi
@jkifutu7936
@jkifutu7936 Год назад
Nakukubali sana mdogo wangu
@CristianochwarzeneggerRonaldo
So nice ❤️
@juliusdonard933
@juliusdonard933 Год назад
Putin n mwamba
@charlesmagahi-rr6wl
@charlesmagahi-rr6wl Год назад
Hiko hiko ni kiswahili gani? Sahihi ni hicho hicho.
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 Год назад
Acha kudeal na vitu vidogo angalia mambo ya msingi
@graysonpastory1918
@graysonpastory1918 Год назад
​@@fahadfaraj6474hiyo ndio sifa ya watu wenye wenye ubongo mdogo kutafuta Vitu vidogo
@miltonjohn9779
@miltonjohn9779 7 месяцев назад
​@@fahadfaraj6474Hivyo vitu visigo ndivyo vibavyotakiwa Ili mtu aongee kiswahili sahihi. Au na wew ndio wale ambao wanaongea kama wanatafuna makande. Sehemu ya kuweka R wanaweka L na sehemu y L mnaweka R
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 7 месяцев назад
@@miltonjohn9779 soma ulichoandika basi maana naona hata kuandika kwako mtihani "visigo" ndio nini mbona unaandika kama umekula nyanja chungu
@albertbissaga1425
@albertbissaga1425 Год назад
We mshabiki wa upande wa urusi, maana yake unajipa matumaini ya ushindi, kumbuka hata warusi wameuwawa wengi vitani, harafu usidanganye nyukilia za mchina hafuati za USA, pia mrusi hana submarine Kama za USA .
@salimali-rf9er
@salimali-rf9er 3 месяца назад
Wewe unaweweseka tu utafikiri una maradhi ya kifafa,kwani hata hujui unachokisema
@mamlomamlo9064
@mamlomamlo9064 Год назад
Marekani ndio israeli hawezekani
@BabaBalingasi-hp6gd
@BabaBalingasi-hp6gd Год назад
Atapigwa tu. Israel anapewa kichwa tu. Anapigika. Mbona Hitler aliwatandika
@tekashisixtynin9threewithd727
Yes american kwanza is the land of honey and milk
@eliasndomba7937
@eliasndomba7937 Год назад
Ujielewi Bado....Duniani imebadirika mno
@bennymochiwa4800
@bennymochiwa4800 Год назад
​@@tekashisixtynin9threewithd727American is a land of Murderers and sodomised
@graysonpastory1918
@graysonpastory1918 Год назад
​@@tekashisixtynin9threewithd727nani kasema hayo nchi ya mashoga na usagaji
Далее
Учёные из Тринидад и Тобаго
00:23
LIVE: UN Security Council meets on 'Leadership for Peace'
2:27:12
Учёные из Тринидад и Тобаго
00:23