Тёмный

CHEO KIKUU ALICHO NACHO KUZIM ANAMILIKI PEPO ZA UTAMBUZI EV PASCHAL 

PASCHAL CASSIAN OFFICIAL  YOUTUBE
Подписаться 150 тыс.
Просмотров 53 тыс.
50% 1

#0766998994 #0788871769 #

Опубликовано:

 

24 ноя 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 371   
@user-ru2ck7ey7e
@user-ru2ck7ey7e 6 месяцев назад
Yaan watu bado hawaamini daah Mungu atusaidie sana
@Rashid-vm1fk
@Rashid-vm1fk 8 месяцев назад
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Bwana,wenye akiri tunakufahamu wasio jua maagizo ya hawa majamaa (devil agents) atasumbuka sana Mungu awafungue fahamu zao.
@user-zz9gr1vd9h
@user-zz9gr1vd9h 8 месяцев назад
Haombi hela ila ni sadaka kwaajili yakisaidia injili iendelee kwa njia ya mtandao watu wengi waifaham kweli ya Mungu maana. watu wanapotea bila kijua wanakoenda. haweki mgukoni mwake Mungu akubariki endelea kuipigania injli ya kweli
@edouardnsengiyumva1145
@edouardnsengiyumva1145 8 месяцев назад
Watu wanahubiliwa ukweli lakini ukweli wanawukataa wanakimbilia wanao hubili uongo ,paschal mungu akulinde
@samwelandrew3852
@samwelandrew3852 7 месяцев назад
Ukweli upi sass
@athanacnicholauc3555
@athanacnicholauc3555 8 месяцев назад
Naendelea kujifunza vitu vingi kutoka kwa watumishi wa MUNGU. MUNGU akubariki sana mtumishi katika kazi yake
@andreauisso3225
@andreauisso3225 7 месяцев назад
Hongera sana Baba kwa kusimamia ukweli ni wachache wenye uwezo wakuwasema manabii ya uongoo
@tinamkeko192
@tinamkeko192 6 месяцев назад
Barikiwa sana mtumishi asiekuelewa hatoelewa tena
@user-rj2sh1hg4f
@user-rj2sh1hg4f 8 месяцев назад
Mchungaji asante sana kwa ujumbe huu nakuombea mungu aendelee kukushika mkono unapoendelea kuhubiri kwa mataifa yote barikiwa sana ,ata watu wakucheke na kukukujeli usirudi nyuma endelea mbele ni linet toka kenya nabarikiwa sana kila siku kutokana na ujumbe wako kuhusu ukweli wa kurudi kwa yesu mara ya pili
@bettykinyami5096
@bettykinyami5096 Месяц назад
Mungu sio mungu
@WorshippersofGodarmy-ot1mk
@WorshippersofGodarmy-ot1mk 8 месяцев назад
Nawapenda sana watumishi wa mungu vijana wa yesu kama, mtalemwa, wa kanisa la ECCG anasubiri injili sana yenye maalifa isiyochanganya na uchafu, wa kinafiki
@gladnesnghwasa2670
@gladnesnghwasa2670 6 месяцев назад
Hakika
@fidelajackson2723
@fidelajackson2723 8 месяцев назад
Nakuelewa sana mtumishi wa Mungu wa kweli.endelea kuusema ukweli nina imani wapo watu watatoka kwenye hizo kanisa za wa tumishi wa shetani.
@IvanRugogo
@IvanRugogo 2 месяца назад
Navutiwa sana na Huduma yako Mtumishi wa Mungu na Mungu akutie nguvu uzidi kusonga mbele na huduma hii
@erickrao
@erickrao 8 месяцев назад
God bless you so much jesus will protect you man of God bila kuogopa chochotete tobua siri zao Wana pagawa waomini nakuzuia mengi kukosa kujua ukweli🇰🇪
@user-bg4fr8qd4y
@user-bg4fr8qd4y 7 месяцев назад
nëno la mungu ni upanga mungu akubaliki mtumishi paschal usikatishwe tamaa na wapumbavu mana wao husema hakuna mungu
@user-ii1qk9xn9z
@user-ii1qk9xn9z 8 месяцев назад
Umebarikiwa kuwaliko wote mtumishi. Unawakomboa wengi sana waliofungwa mioyo yao. Na kuzidi kutufundisha kujua mengi yaliyofichika. Bwana mwenyezi, neno lako linasema wale wakuchao na kufurahia kutii amri zako watafurahi milele. Ninakiri kwamba mtumishi atakuwa tajiri zaidi rohoni na mwilini na matendo yake mema yatadumu milele. Ninaamuru kwamba amani yake ni kubwa na utulivu wake hautasumbuliwa kamwe. Bwana kawafanye adui zake wanaoinuka dhidi yake kwa njia moja au nyingine kushindwa na kukimbia kwa njia saba kwa jina kuu la Yesu kristo.
@modestamashoke9038
@modestamashoke9038 7 месяцев назад
Ni kweli kabisa mtumishi
@mpesastatements2265
@mpesastatements2265 8 месяцев назад
Amina mtu wa mungu ubarikiwe sana endelea kufungua watu sana
@omasogreatfamily5395
@omasogreatfamily5395 8 месяцев назад
Njia ya Yohana mbatizaji si rahisi lakini naamini Bwana atakulinda hadi utimize kazi yako🙏
@omasogreatfamily5395
@omasogreatfamily5395 8 месяцев назад
Tangu nianze kukuskia MTUMISHI wa BWANA,umenifunza mengi na kuniamsha usingizini. Mungu na akupe uzima utulishe chakula kinachofaa kwa wakati wake🙏 step by step with you servant of God to the day will hiding for life bcoz of Christ of Nazareth🙏 following u from Kenya in the name of Jesus Christ 🙏🙏
@RedSun-ms2zq
@RedSun-ms2zq 3 месяца назад
Pascal toka kitambo uko na mungu mwinjirist mungu atuokoe kwa kweli
@ulayaz
@ulayaz 6 месяцев назад
Mtumishi mungu akujaalie upate afya ya kupambana na matapeli
@musamshani8777
@musamshani8777 7 месяцев назад
Acha kuwasema watumishi wa mungu fanya like ulichotumwa wew kama kweli wew ni ntumishi wa mungu,unajua walikotoka,unajua mungu aliwatuma nin,wew ni mtu mbaya una roho kama ya yule Jamaa.
@GabrieliJumanne-lt8mx
@GabrieliJumanne-lt8mx 5 месяцев назад
Wewe ni mmojawapo wa wafuafi wa shetani.
@GabrieliJumanne-lt8mx
@GabrieliJumanne-lt8mx 5 месяцев назад
Sisi tunasoma biblia tunajua huyu mtumishi anasema ukweli
@emanuelmkama1325
@emanuelmkama1325 2 месяца назад
Kati ya yesu na Devi Nan nabii mkuu,ukjbu ILO swal ndo utajua uko kuzm au hai
@ElizabethMakwaia
@ElizabethMakwaia 20 дней назад
Omba macho ya rohoni ndugu,hata hili bado huoni?
@ardokipundwe94
@ardokipundwe94 6 месяцев назад
Mungu akusaidie mtumishi uzidi kutufungua Zaid na Zaid tupate kuelew aminaa
@annaamadeo-ge2dd
@annaamadeo-ge2dd 8 месяцев назад
Mungu aendelee kukutetea mtumishi. Maana hii ni zaidi ya vita
@GeophreyJames
@GeophreyJames 6 месяцев назад
Ubarikiwe mtumishi
@tvt1457
@tvt1457 6 месяцев назад
Neno la Mungu litasimama milele halitobadilika hata wanadamu waliwekaje shida tunapenda miujiza kuliko kujua neno la mungu linasema nini katika ahadi baraka na mafanikio kutoka kwa mungu ….. mjue sana Mungu ili uwe na amani ndipo mema yatakapokujilia hatuhukumu watu wanavaa mavazi yawapasayo wanaume wanaingia makanisani na wachungaji wanaona ni sawa kikubwa wapate baraka sio sahihi
@mariammnanka3404
@mariammnanka3404 8 месяцев назад
Mtumishi wa Mungu azidi kukutumia ili wengi tufunguliwe ufahamu,maana walio wengi wamefungwa ufahamu hawaelewi,Malaika walinzi wakulinde usiku na mchana
@user-ji2ks9ex9s
@user-ji2ks9ex9s 7 месяцев назад
Mungu akupe maisha marefu mtumishi wa kweli❤❤
@user-yk1hb6xk6r
@user-yk1hb6xk6r 6 месяцев назад
Hongera sana ndugu Mungu hakulinde
@martinahlighare6495
@martinahlighare6495 8 месяцев назад
Truly i believed these man , Geodavi, vile anatoa pesa kuwapa watu ni jambo jema. Ila nimejifunza mengi kupitia kwako mwinjilist. Mungu aturehemu tunaoamini kila madhabao ya miujiza.
@YvetteBafunyembaka
@YvetteBafunyembaka 2 месяца назад
Wewe ni Mutumishi wa Mungu baba, neno la Mungu linasema mutaijuwa kweli nayo kweli iyo ita waweka ninyi kuwa huru. Mutumishi wa Mungu wao wenye kupinga maneno haya unyo yasema ni vipofu wa macho na roho
@KakumbaElisha
@KakumbaElisha 7 месяцев назад
❤kwakweli ubarikiwe kwa ushujaa ulio nao na mahamzi mazito uliyo yachukuwa❤kwa kuweka mambk yote wazi pia na Mungu akutumie zaidi mpaka kieleweke Bwana akubariki sana Mtumishi
@rev.josephatmagori7209
@rev.josephatmagori7209 7 месяцев назад
Sema .... Nani atawaambia wajisahihishe.... Ni wewe wasipoelewa watakuchukia. Wakielewa, watasema Asante.
@user-uw5wy2yj8d
@user-uw5wy2yj8d 7 месяцев назад
Mungu akihifadhi zaidi na zaidi mtumishi wa Mungu asante sana sikujua jaman,sasa naelewa
@pascalmtivike
@pascalmtivike 7 месяцев назад
Hii ni Vita sana Mungu akulinde mtumishi wake
@jamesmulatya7709
@jamesmulatya7709 7 месяцев назад
Kasiani naamini unaweza kukutana na shetani ana kwa ana ila huwezi kukutana na Malaika wa Mungu ana kwa ana. Waliopikiwa chakula wakielekea kuichoma Sodom na Gomorrah walikuwa nani?
@lumierejason5019
@lumierejason5019 5 месяцев назад
Walikuwa ni malaika Walikuwa na meili wakinadamu
@user-fn3me3qj2s
@user-fn3me3qj2s 5 месяцев назад
Nakubaliana na wew mtumishi wanatupotosha sn mi sijawahi kuona Kama Kuna maombi ya Bei Kama mwamposa
@user-jv1qw8rw3k
@user-jv1qw8rw3k 8 месяцев назад
Barikiwa sana mtumishi kwa mafundisho mazuri
@jonassamwely
@jonassamwely 7 месяцев назад
Mungu akutie nguvu daima na Mungu akibariki una vita kali sana
@user-ji2ks9ex9s
@user-ji2ks9ex9s 8 месяцев назад
Barikiwa mtumishi wa Mungu nmeanza kukuelewa
@officialkinghimself2637
@officialkinghimself2637 8 месяцев назад
Mungu akubariki katika roho na kweri
@stellalochodo9163
@stellalochodo9163 7 месяцев назад
Mtumishi wa Mungu,Mimi nakuheshimu sana,ila tu ,natofaitiana nawe kwa kukutana na Mungu (Kupitia Kristo Yesu,) Yesu na malaika hutokea watu , Kibinafsi nimekuwa na maono Mara tatu,Yesu akinitokezea ,hila hitokea kiroho ,anajidhihirisha visawa kwa yule anakusudi naye kwa muda huo!
@faithfaith-zr6gz
@faithfaith-zr6gz 6 месяцев назад
Simuelewi huyu jamaaa ni tatizooo wangemjuaaaaa!!!
@user-cx8ne3nv6m
@user-cx8ne3nv6m 6 месяцев назад
Ukweli lazima upingweee, paster mung akuinuee, n uzid kumuomba mung zaid.wwnaokatisha Tamaa wapo adi kwenye comment,,, ila s mbaya at kiping cha yesu walikuwepo.
@bettykinyami5096
@bettykinyami5096 Месяц назад
Yesu sio Yesu, Mungu sio mungu
@bettykinyami5096
@bettykinyami5096 Месяц назад
Yani herufi kubwa tafadhali YY. Mm
@simaojacintojumane3202
@simaojacintojumane3202 7 месяцев назад
Deus te abençoe e continua te usar muito mais
@user-ii1qk9xn9z
@user-ii1qk9xn9z 7 месяцев назад
tu laisses qui tranguille? et pour utiliser quoi?
@user-uw5wy2yj8d
@user-uw5wy2yj8d 8 месяцев назад
Yaani sasa hapa ndyo naelewa ubarikiwe sana Paschal sana
@YvetteBafunyembaka
@YvetteBafunyembaka 2 месяца назад
Watumishi ambao wangali na tembeleya haki na kweli ya Mungu ni wachache sana
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 7 месяцев назад
Tunawajitaji watu kama hawa.Wafungue macho hao vipofu ndugu.E n delea kuwafundisha.vipofu .❤
@revocatusbahatibussiah5201
@revocatusbahatibussiah5201 8 месяцев назад
Mtumishi upo sahihi asilimia mia...... Wapo watu wengne huwa wanaenda kwa manabii Hawa huku wakiwa wanajua kabisa!!! Unayoyasema yameandikwa kwenye biblia kabisa....ila sijui watu wanasoma wapi na hawajataka kumfaham YESU.. kingne wanaotaka mafanikio kwa muda mfupi ndo wanaokimbilia huko. Siku za mwisho shetani atakuwa anafanya maigizo ndo kqmq hivyo. Huyo n muongo ila watu hawajui!!
@barakamkofiwa
@barakamkofiwa 7 месяцев назад
indeed mwinjilisti uko sawa kwa upeo wangu na nilivyo isoma Biblia kitabu kizuri chenye mwongozo wa safari ya mbinguni.
@jameschilongwe7620
@jameschilongwe7620 7 месяцев назад
Weka hoja mezani Mungu mwenyewe atajua siku ya mwisho ngano ni ipi na magugu ni yapi.
@henrysizya239
@henrysizya239 8 месяцев назад
Kwa sasa nimeanza kuelewa kuhusu haya mambo! Kipindi nasoma sekondari zaidi ya miaka 15 iliyopita nilikuwa natamani sana kwenda Dar es salaam ili niende kwenye moja ya haya makanisa ambayo wayumishi wake huwa wakiwashika watu na kuanguka chini. Nilitamani sana niingie kanisani nikae mbele nione kama naweza kuanguka chini. Nahisi ulikuwa ni utoto ambao ulikuwa unanisumbua kwa sasa naamini kabisa ninaweza kuanguka chini vibaya sana. Mungu atusaidie
@AshrafuJonny-sz4gs
@AshrafuJonny-sz4gs 7 месяцев назад
Kweli kabisa ubarikiwe kwa kutujulisha matapeli
@user-ys2eg6dz9v
@user-ys2eg6dz9v 7 месяцев назад
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu
@WorshippersofGodarmy-ot1mk
@WorshippersofGodarmy-ot1mk 8 месяцев назад
Sasa nimemariza kukukosoa kwa uongo wako, nategemea massege zako za kunitisha, maana wewe hutaki kukosolewa, kama yule mwenzio nilimpa maonyo sana naye akaanza kunitishia, mwisho wake akatishiwa mwenyewe,❤❤❤
@user-dy9ht1on7y
@user-dy9ht1on7y 7 месяцев назад
E
@emanuelmkama1325
@emanuelmkama1325 2 месяца назад
Uongo upi apo
@SelinaDorcas
@SelinaDorcas 2 месяца назад
Ww haona la kusema
@SelinaDorcas
@SelinaDorcas 2 месяца назад
Ww hauna lakusema
@HopefulFlower-sn4kg
@HopefulFlower-sn4kg 6 месяцев назад
KAZI YA MUNGU NI KMHUBIRI KRISTO WATU WAJE KWA YESU. WIVU UMEWAJAA KILA KUKICHA UNAWAHUBIRI WATU. ACHA UTAAHIRA.
@emilyrissling9703
@emilyrissling9703 6 месяцев назад
Assnte mtumishi kwa huu ufunuo,
@janemhangomhango5841
@janemhangomhango5841 6 месяцев назад
Amen Pascal nakuamin hakuna Nabii waukweri
@user-po7zh4zz2k
@user-po7zh4zz2k 6 месяцев назад
Wanaadamu tusiwe wavivu Mungu anapatikana Mithali 8:17. Tumtafute. Injili ya Bwana Yesu alianza kwa TOBA. Kizazi cha leo Mwalimu wetu ni nani. Uvivu wa KUTOSOMA na KULITAFAKARI NENO LA MUNGU. MARANATHA.
@user-ij8je9eg4t
@user-ij8je9eg4t 6 месяцев назад
Mungu akupe maisha marefu
@user-bp4wv4jo2i
@user-bp4wv4jo2i 6 месяцев назад
Kuna ukweli juu ya hii jambo pascal analiogelea,ni kweli hakuna aliyemuona Mungu wa majeshi ,mkuu WA uumbaji wa kila kitu ulimwenguni na malaika viumbe viko karibu sana na Mungu huwezi iishi utakufa
@mercyetago4020
@mercyetago4020 7 месяцев назад
I like the way you imitate tgem. Very funny.
@user-uf7vr4ju4s
@user-uf7vr4ju4s 7 месяцев назад
Ubarikiwe sana mtumishi laiti tungepata mtumishi kama huyu kenya❤❤❤❤❤
@hellenagati9498
@hellenagati9498 7 месяцев назад
Wapo ni wewe huwajui
@loycep7785
@loycep7785 8 месяцев назад
Barikiwa sana mtumishi kwa kusema ukweli wa Neno ili watu wawe huru Maana wakiijua ile kweli itawaweka huru kweli kweli Jipe moyo mtumishi hatakuacha yuko na wewe popote pale unapopeleka ujumbe
@shadidusalim2246
@shadidusalim2246 8 месяцев назад
Nikweli MUNGU amfunike kwadamu yake
@Rhodacious_tv
@Rhodacious_tv 6 месяцев назад
Amen mtumishi wa Mungu naomba Mungu wa mbinguni azidi kukulinda
@rahabnkya8276
@rahabnkya8276 7 месяцев назад
MTUMISHI wa Mungu Cassian wewe UNAJUA unachosema juu ya watumishi wenzako. Yu mkini Mungu amekupa nguvu ya kuwasema, basi judgement ni kwa Mungu tu, hatuna woga kusikiliza pia, tuko darasani siku zote. AMEN BARIKIWA nawe.
@mabondolawrence1812
@mabondolawrence1812 7 месяцев назад
Hajamhukumu yeyote huko sahihi
@RachelSimon-wj3pu
@RachelSimon-wj3pu 7 месяцев назад
Usiogope kusema ukweli juu ya kristo yesu watu waokolewe
@floramongi1410
@floramongi1410 6 месяцев назад
Afanyae kinyume na maandiko sio mtumishi wa Mungu acheni kuwaita hivyo hao ni mapepo
@selestinimassawe3601
@selestinimassawe3601 7 месяцев назад
Yesu akupiganie mtumwa wa Yesu
@user-dy9ht1on7y
@user-dy9ht1on7y 7 месяцев назад
Sawa tume kuwerewa ira kaa ukijuwa usimuukumu mtu yoyote apaduniani subiri mungu ndio atakae waukumu tafa thari acha kuwasema watu chamusingi tufundishe neno ra mungu kaka mbona ivyo kwani unaubiri au una waukumu watu
@RedSun-ms2zq
@RedSun-ms2zq 3 месяца назад
Amewasema wapi yeye anasema vitu vya kweli ili tusiendelee kkukumbatia manabii wa uongo
@IvanRugogo
@IvanRugogo 2 месяца назад
Wala hata ajahukumu mtu hapo soma ISAYA 58:1 Utamuelewa anachozungumzia
@SelinaDorcas
@SelinaDorcas 2 месяца назад
Ingia dip na utafakari anayo yaongea
@PrinceHendry-hp8vv
@PrinceHendry-hp8vv 8 месяцев назад
Pambana na shetani na watu wenye dhambi wamjue yesu kwa watumishi hutaulizwa chochote coz sio kaz yako
@RedSun-ms2zq
@RedSun-ms2zq 3 месяца назад
Ndo mliokamatwa na roho za kishetani kwa hiyo ashindwe kukemea maovu
@PrinceHendry-hp8vv
@PrinceHendry-hp8vv 3 месяца назад
@@RedSun-ms2zq Huna ufahamu
@paulnabiikakule
@paulnabiikakule 6 месяцев назад
mimi ni mutumishi ila ndungu yangu huyu ambaye anatukana mutu anafatana namaisha yake mwenyewe siyo kufwatiliya maisha yawatu katika bibia hauzungumuze kutukana ila inasema tutawatambuwa kwamatendo ila matendo haya yamatukano siyo vizuri usiwaharibiye wengine sifa ili wewe ufaulu,tuhubiri habari njema siku hubiri njina lamutu ila yayesu kristo hiyo nitama u
@emilyrissling9703
@emilyrissling9703 6 месяцев назад
Kanisa limefika mahali pagumu, wakristo wamepotea kwa kutaka miujiza, kutabiriwa, nakadhalika,ila bibilia iko wazi siku za mwisho watatokea MANABII WENGI, NA WATAPOTEZA WENGI, JE UNAYE mfuata anatumia bguvu za mungu au nguvu za shetani? Asabte sana Brither Casian jwa kufungua Dari ukweli ujulikane,
@Magufuli.
@Magufuli. 8 месяцев назад
Mungu azidi kukutia nguvu ili uendelee kuwakaba kooni.
@samwelandrew3852
@samwelandrew3852 7 месяцев назад
Akukabe wewe na familia yako
@gasparlubaga5866
@gasparlubaga5866 7 месяцев назад
Mtu wa Mungu nakuelewa sana
@denniskitongamutie5332
@denniskitongamutie5332 7 месяцев назад
Mahubiri yako makavu sana hayana hata roho wa mungu....mtumishi hubiri achana na wengine na utabarikiwa
@bettykinyami5096
@bettykinyami5096 Месяц назад
Acha aseme ukweli watu wanapaka kwenda Mbinguni waokolewe, sio kupenda miujiza lakini huna mahusiano na Mungu
@evelynetitus974
@evelynetitus974 7 месяцев назад
Hubiri neno sio watu
@user-uc2rc1kz4x
@user-uc2rc1kz4x 7 месяцев назад
Daaa unafundisho mazuri Sana mtumishi
@user-sk9zr4bn2k
@user-sk9zr4bn2k 6 месяцев назад
Ubarikiwe Sana soma yohana 15:1:5
@issayarashid9845
@issayarashid9845 7 месяцев назад
Fedha Mali na Dhahabu vyote ni vya Bwana ....
@michaelmasalago8068
@michaelmasalago8068 7 месяцев назад
Duu kwakweli ndugu pascian umeninitoa usingizi ktk ulimwengu huu wawahubili feki, unaongea ukweli. Hongera Kwa kuashuhudia hayo.
@SilviaRafael-mc5ki
@SilviaRafael-mc5ki 7 месяцев назад
Mungu mwenyewe ndo atakaekuja kuhukum ila sio binadam
@ParteAfter3600
@ParteAfter3600 7 месяцев назад
Mtumishi Kuna nyimbo ya ajabu umeimba chorus inasema "twahitaji msaada wako" Ni nyimbo ya baraka kubwa sana. Shalom
@GiftMwawasi-cn4fg
@GiftMwawasi-cn4fg 6 месяцев назад
Tafadhali kilicho Cha maana kwako ni kufundisha hilo neno la mungu wako na Wala sio kumuongea mtu mwingine.huo muda wakumsema mwingine.
@neemamarko176
@neemamarko176 8 месяцев назад
Barikiwa
@NorahAlex-iz7mt
@NorahAlex-iz7mt 7 месяцев назад
Naendelea kujifunza mungu tusaidie
@YOSHUAMWAMPETA
@YOSHUAMWAMPETA 7 месяцев назад
Mwamposa hana watu BALI WATU NI WA MUNGU NA Mungu ndiye anayewaleta kwake kwa njia hiyo ili WAMJUE YESU KRISTO WA NAZARETI.
@MariaMdemu-xt5cv
@MariaMdemu-xt5cv 7 месяцев назад
Mungu atusaidie , tujue watumishi sahihi ambao wametumwa na KRISTO , muujiza ndo inawachanganya wengi ,wanaposikia kunakupokea gari au nyumba wanajua ni Mungu , kumbuka Mungu hawezi kukupa kama hufanyi kazi jibidiishe na Mungu atakubariki Kwa kile unakifanya ......
@floramongi1410
@floramongi1410 6 месяцев назад
Asante maria mdemu
@nathalieswedy3653
@nathalieswedy3653 7 месяцев назад
Kama mapepo yanatambua Je MUNGU hatambui mmmh shida ni kufukiri MUNGU hawez ubiria watu wasio mjua mungu wamjue acha kuwatoa waliomkir yesu km anatambua kupitia jina la YESU mbona km unateseka
@GamalieliMusembi-wv6sg
@GamalieliMusembi-wv6sg 8 месяцев назад
Daaah!!! Sawa Tumekusikia vyema huwa nashindwa kuwaelewa hao wanaosema hawakuelewi.... Mbona unaeleweka vyema sana!!! Shida nini? Yani me mwenyewe sijaokoka lkn nakuelewa mno na nataka niamue kuokoka rasmi nianze kuishi maisha ya uchaji Kristo... Sasa hao nikwann hawakuelewa??? Daaah! Semann Cassian usichoke ndugu yangu wala usivunjike moyo kabisa.. Me mwenyewe umenisaidia sana wala nisikufiche pia naomba unikumbuke kwenye maombi tafahdar sana nakusihi mkumbuke.. Natamani sikumoja nikusaidie kazi ya Kristo kupaza sauti ya hekima ya Mungu... Pia nataka nimpokee Kristo kwakweli... Naitwa Gamalieli Musembi plz nikumbuke uombapo Cassian plz roho yangu inakuamini ww kua nimjumbe hakika wa Mungu wa mbinguni Jehova.
@mackfasonmoshi4629
@mackfasonmoshi4629 8 месяцев назад
Daah!!! Ndugu yangu G. Musembi.. nimekupata kaka. Nakuombea uokoke kaka. Utajua mengi zaidi. Huyu Brother P C anayo mengi mazuri japo baadhi hawamwelewi..esp hili la "kushambulia"....Barikiwa..
@GamalieliMusembi-wv6sg
@GamalieliMusembi-wv6sg 8 месяцев назад
@@mackfasonmoshi4629 Mungu wa mbinguni akubariki sana ndugu yangu..
@user-eu6ql9zl7n
@user-eu6ql9zl7n 8 месяцев назад
Ufaham unakamatwa bdio maana hawaelew ombea faham za watu
@nenolauzima5281
@nenolauzima5281 8 месяцев назад
Wasioekewa wamefungwa wana macho lakini hawaoni, wana masikio lakini hawasikii...
@NeemaPaulo-iw3gi
@NeemaPaulo-iw3gi 7 месяцев назад
Amena m2mishi ufahamu we2umefungwa kabsa nakuelewa sana
@valenakomba9218
@valenakomba9218 7 месяцев назад
Aminaa. Ni kweliii kabisa.
@kelvinyesaya3304
@kelvinyesaya3304 7 месяцев назад
Ubarikiwe
@user-cp7ci3tm2r
@user-cp7ci3tm2r 6 месяцев назад
Wasema kweli mtumishi !! Sema yote, aminiye ataokoka, asiyeamini ataamini akiwa kuzimu katika shimo la Moto.
@thobiassamwel4077
@thobiassamwel4077 6 месяцев назад
Acha upoyoyo wewe,Yan kila mtumishi mwenye nguvu ni freemason kwan Mungu yeye hana watu wake jamani.Hapa kuna chaku jifunza na tuwe macho tu mi sina shaka na watumishi wa Mungu,God is good all the time🎶
@rosemarynyakamo3051
@rosemarynyakamo3051 5 месяцев назад
Kuna point za Msingi Apo kweli Mungu hawezi kuonana na mtu Ana kwa Ana
@SelinaDorcas
@SelinaDorcas 2 месяца назад
Ivi ww ukimuona yesu ana Kwa ana utakuaje
@user-op1nl2gb1t
@user-op1nl2gb1t 7 месяцев назад
Ongey usiongope 🔥🔥🔥
@sashalemmoh3264
@sashalemmoh3264 6 месяцев назад
Smeni mtumishi❤
@user-zk8eu7jz6v
@user-zk8eu7jz6v 7 месяцев назад
Nakuelewa sana
@user-mp8tk1gj1w
@user-mp8tk1gj1w 7 месяцев назад
Cassian anaongea kweli kwa sababu yey katoka huko kwenye freemason so amewaona huko kwahiyo ata ile ajali freemason walitaka kumwuua kwa sababu katoboa siri
@KokolikoKokoliko
@KokolikoKokoliko 6 месяцев назад
Uyu awe freemason wawapi ww
@blessedEmmanuel-mm4sn
@blessedEmmanuel-mm4sn 6 месяцев назад
Kama Mungu hajakupa neema ya kua nabii, nabii ni spirit so kama huna kaa kimya, wewe ni mchungaji, chunga kondoo wa Bwana, wewe ni mwinjilist hubiri injili watu wamjue Mungu, huna karama ya ya unabii au ya kitume kaa kimya acha poyoyo, insuch anaepaswa kuhukumu ni Mungu siyo mwanadam, wewe huna lolote kasome bible acha alolo apeche
@GeophreyJames
@GeophreyJames 6 месяцев назад
Nabii gani anaruhusu mabinti wacheze uchi kwenye madhabahu, hata kwa akili ya kawaida tu haikubaliki
@EmmanuelNyinyigwa
@EmmanuelNyinyigwa 7 месяцев назад
Mtumishi napenda NI kuskilize Sana shida unaonge kwa sauti Sana kwani ukitufundishi kwa sauti utaratbu hato elewa?
@irenemuia2718
@irenemuia2718 8 месяцев назад
Amen 🙏
@RichardDamian-mp7kv
@RichardDamian-mp7kv 8 месяцев назад
Yesu kristo alikuja Kwa ajili ya dhambi
@stevendavid8054
@stevendavid8054 8 месяцев назад
Amin
@johnmasalu2435
@johnmasalu2435 7 месяцев назад
Mtumishi wa Mungu unahubiri vizuri lakini jitahidi vizuri sana, nashauri uwe unatoa mafungu husika na mahubiri yako-barikiwa na Bwana
@iamdivineimage
@iamdivineimage 6 месяцев назад
Hana reference huyu ni mwanasiasa
@floramongi1410
@floramongi1410 6 месяцев назад
​@@iamdivineimageAcha ujinga tulia ujifunze Cassian ni mtumishi wa Mungu
@iamdivineimage
@iamdivineimage 5 месяцев назад
@@floramongi1410 Nikuambie kitu, kama wewe ni msomaji mzuri wa neno la MUNGU utajua kutofautisha kati ya Mtumishi wa MUNGU na mtafuta Kiki..... Toka anaanza huduma alianzia na kiki ya kuwa yeye alikuwa freemason mara alikuwa mchawi na akawa anahubiri kuhusu hayo but baada ya soko kubadilika kajiingiza kwenye kuponda Watumishi maarufu...... Ni wapi imeandikwa kuwa hilo ni jukumu lake ikiwa Yesu mwenyewe alisema, "yaache magugu na ngano vikue pamoja"? Kumbuka Mtume Paulo naye alisema, iwe kwa kheri au shari ni lazima injili ihubiriwe.... Kikubwa ajikite kumhubiri Kristo na siyo kutafuta Contents
@HopefulFlower-sn4kg
@HopefulFlower-sn4kg 6 месяцев назад
Wee Casian,km unasoma biblia huna Ufahamu. Muombe Roho mtakatifu akupe ufahamu.
@SelinaDorcas
@SelinaDorcas 2 месяца назад
Ww waonyesha wajua...mm nakuombea Kwa mungu akusamehe😅😅😅
@SelinaDorcas
@SelinaDorcas 2 месяца назад
Ww waonyesha wajua...mm nakuombea Kwa mungu akusamehe😅😅😅
@kingsolomoni-xp3dv
@kingsolomoni-xp3dv 7 месяцев назад
Nani kakwambia ukiongea kwa kupiga kelele ndio tutakuelewa 😂😂😂 achakelele 😂😂 ongea kistarabu
@masumbukobenjamini8920
@masumbukobenjamini8920 8 месяцев назад
Amina
Далее
Good deed #standoff #meme
00:15
Просмотров 407 тыс.
Чистка пляжа с золотом
00:49
Просмотров 369 тыс.
Это конец... Ютуб закрывают?
01:09