Haombi hela ila ni sadaka kwaajili yakisaidia injili iendelee kwa njia ya mtandao watu wengi waifaham kweli ya Mungu maana. watu wanapotea bila kijua wanakoenda. haweki mgukoni mwake Mungu akubariki endelea kuipigania injli ya kweli
Mchungaji asante sana kwa ujumbe huu nakuombea mungu aendelee kukushika mkono unapoendelea kuhubiri kwa mataifa yote barikiwa sana ,ata watu wakucheke na kukukujeli usirudi nyuma endelea mbele ni linet toka kenya nabarikiwa sana kila siku kutokana na ujumbe wako kuhusu ukweli wa kurudi kwa yesu mara ya pili
Nawapenda sana watumishi wa mungu vijana wa yesu kama, mtalemwa, wa kanisa la ECCG anasubiri injili sana yenye maalifa isiyochanganya na uchafu, wa kinafiki
God bless you so much jesus will protect you man of God bila kuogopa chochotete tobua siri zao Wana pagawa waomini nakuzuia mengi kukosa kujua ukweli🇰🇪
Umebarikiwa kuwaliko wote mtumishi. Unawakomboa wengi sana waliofungwa mioyo yao. Na kuzidi kutufundisha kujua mengi yaliyofichika. Bwana mwenyezi, neno lako linasema wale wakuchao na kufurahia kutii amri zako watafurahi milele. Ninakiri kwamba mtumishi atakuwa tajiri zaidi rohoni na mwilini na matendo yake mema yatadumu milele. Ninaamuru kwamba amani yake ni kubwa na utulivu wake hautasumbuliwa kamwe. Bwana kawafanye adui zake wanaoinuka dhidi yake kwa njia moja au nyingine kushindwa na kukimbia kwa njia saba kwa jina kuu la Yesu kristo.
Tangu nianze kukuskia MTUMISHI wa BWANA,umenifunza mengi na kuniamsha usingizini. Mungu na akupe uzima utulishe chakula kinachofaa kwa wakati wake🙏 step by step with you servant of God to the day will hiding for life bcoz of Christ of Nazareth🙏 following u from Kenya in the name of Jesus Christ 🙏🙏
Acha kuwasema watumishi wa mungu fanya like ulichotumwa wew kama kweli wew ni ntumishi wa mungu,unajua walikotoka,unajua mungu aliwatuma nin,wew ni mtu mbaya una roho kama ya yule Jamaa.
Neno la Mungu litasimama milele halitobadilika hata wanadamu waliwekaje shida tunapenda miujiza kuliko kujua neno la mungu linasema nini katika ahadi baraka na mafanikio kutoka kwa mungu ….. mjue sana Mungu ili uwe na amani ndipo mema yatakapokujilia hatuhukumu watu wanavaa mavazi yawapasayo wanaume wanaingia makanisani na wachungaji wanaona ni sawa kikubwa wapate baraka sio sahihi
Mtumishi wa Mungu azidi kukutumia ili wengi tufunguliwe ufahamu,maana walio wengi wamefungwa ufahamu hawaelewi,Malaika walinzi wakulinde usiku na mchana
Truly i believed these man , Geodavi, vile anatoa pesa kuwapa watu ni jambo jema. Ila nimejifunza mengi kupitia kwako mwinjilist. Mungu aturehemu tunaoamini kila madhabao ya miujiza.
Wewe ni Mutumishi wa Mungu baba, neno la Mungu linasema mutaijuwa kweli nayo kweli iyo ita waweka ninyi kuwa huru. Mutumishi wa Mungu wao wenye kupinga maneno haya unyo yasema ni vipofu wa macho na roho
❤kwakweli ubarikiwe kwa ushujaa ulio nao na mahamzi mazito uliyo yachukuwa❤kwa kuweka mambk yote wazi pia na Mungu akutumie zaidi mpaka kieleweke Bwana akubariki sana Mtumishi
Kasiani naamini unaweza kukutana na shetani ana kwa ana ila huwezi kukutana na Malaika wa Mungu ana kwa ana. Waliopikiwa chakula wakielekea kuichoma Sodom na Gomorrah walikuwa nani?
Mtumishi wa Mungu,Mimi nakuheshimu sana,ila tu ,natofaitiana nawe kwa kukutana na Mungu (Kupitia Kristo Yesu,) Yesu na malaika hutokea watu , Kibinafsi nimekuwa na maono Mara tatu,Yesu akinitokezea ,hila hitokea kiroho ,anajidhihirisha visawa kwa yule anakusudi naye kwa muda huo!
Ukweli lazima upingweee, paster mung akuinuee, n uzid kumuomba mung zaid.wwnaokatisha Tamaa wapo adi kwenye comment,,, ila s mbaya at kiping cha yesu walikuwepo.
Mtumishi upo sahihi asilimia mia...... Wapo watu wengne huwa wanaenda kwa manabii Hawa huku wakiwa wanajua kabisa!!! Unayoyasema yameandikwa kwenye biblia kabisa....ila sijui watu wanasoma wapi na hawajataka kumfaham YESU.. kingne wanaotaka mafanikio kwa muda mfupi ndo wanaokimbilia huko. Siku za mwisho shetani atakuwa anafanya maigizo ndo kqmq hivyo. Huyo n muongo ila watu hawajui!!
Kwa sasa nimeanza kuelewa kuhusu haya mambo! Kipindi nasoma sekondari zaidi ya miaka 15 iliyopita nilikuwa natamani sana kwenda Dar es salaam ili niende kwenye moja ya haya makanisa ambayo wayumishi wake huwa wakiwashika watu na kuanguka chini. Nilitamani sana niingie kanisani nikae mbele nione kama naweza kuanguka chini. Nahisi ulikuwa ni utoto ambao ulikuwa unanisumbua kwa sasa naamini kabisa ninaweza kuanguka chini vibaya sana. Mungu atusaidie
Sasa nimemariza kukukosoa kwa uongo wako, nategemea massege zako za kunitisha, maana wewe hutaki kukosolewa, kama yule mwenzio nilimpa maonyo sana naye akaanza kunitishia, mwisho wake akatishiwa mwenyewe,❤❤❤
Wanaadamu tusiwe wavivu Mungu anapatikana Mithali 8:17. Tumtafute. Injili ya Bwana Yesu alianza kwa TOBA. Kizazi cha leo Mwalimu wetu ni nani. Uvivu wa KUTOSOMA na KULITAFAKARI NENO LA MUNGU. MARANATHA.
Kuna ukweli juu ya hii jambo pascal analiogelea,ni kweli hakuna aliyemuona Mungu wa majeshi ,mkuu WA uumbaji wa kila kitu ulimwenguni na malaika viumbe viko karibu sana na Mungu huwezi iishi utakufa
Barikiwa sana mtumishi kwa kusema ukweli wa Neno ili watu wawe huru Maana wakiijua ile kweli itawaweka huru kweli kweli Jipe moyo mtumishi hatakuacha yuko na wewe popote pale unapopeleka ujumbe
MTUMISHI wa Mungu Cassian wewe UNAJUA unachosema juu ya watumishi wenzako. Yu mkini Mungu amekupa nguvu ya kuwasema, basi judgement ni kwa Mungu tu, hatuna woga kusikiliza pia, tuko darasani siku zote. AMEN BARIKIWA nawe.
Sawa tume kuwerewa ira kaa ukijuwa usimuukumu mtu yoyote apaduniani subiri mungu ndio atakae waukumu tafa thari acha kuwasema watu chamusingi tufundishe neno ra mungu kaka mbona ivyo kwani unaubiri au una waukumu watu
mimi ni mutumishi ila ndungu yangu huyu ambaye anatukana mutu anafatana namaisha yake mwenyewe siyo kufwatiliya maisha yawatu katika bibia hauzungumuze kutukana ila inasema tutawatambuwa kwamatendo ila matendo haya yamatukano siyo vizuri usiwaharibiye wengine sifa ili wewe ufaulu,tuhubiri habari njema siku hubiri njina lamutu ila yayesu kristo hiyo nitama u
Kanisa limefika mahali pagumu, wakristo wamepotea kwa kutaka miujiza, kutabiriwa, nakadhalika,ila bibilia iko wazi siku za mwisho watatokea MANABII WENGI, NA WATAPOTEZA WENGI, JE UNAYE mfuata anatumia bguvu za mungu au nguvu za shetani? Asabte sana Brither Casian jwa kufungua Dari ukweli ujulikane,
Mungu atusaidie , tujue watumishi sahihi ambao wametumwa na KRISTO , muujiza ndo inawachanganya wengi ,wanaposikia kunakupokea gari au nyumba wanajua ni Mungu , kumbuka Mungu hawezi kukupa kama hufanyi kazi jibidiishe na Mungu atakubariki Kwa kile unakifanya ......
Kama mapepo yanatambua Je MUNGU hatambui mmmh shida ni kufukiri MUNGU hawez ubiria watu wasio mjua mungu wamjue acha kuwatoa waliomkir yesu km anatambua kupitia jina la YESU mbona km unateseka
Daaah!!! Sawa Tumekusikia vyema huwa nashindwa kuwaelewa hao wanaosema hawakuelewi.... Mbona unaeleweka vyema sana!!! Shida nini? Yani me mwenyewe sijaokoka lkn nakuelewa mno na nataka niamue kuokoka rasmi nianze kuishi maisha ya uchaji Kristo... Sasa hao nikwann hawakuelewa??? Daaah! Semann Cassian usichoke ndugu yangu wala usivunjike moyo kabisa.. Me mwenyewe umenisaidia sana wala nisikufiche pia naomba unikumbuke kwenye maombi tafahdar sana nakusihi mkumbuke.. Natamani sikumoja nikusaidie kazi ya Kristo kupaza sauti ya hekima ya Mungu... Pia nataka nimpokee Kristo kwakweli... Naitwa Gamalieli Musembi plz nikumbuke uombapo Cassian plz roho yangu inakuamini ww kua nimjumbe hakika wa Mungu wa mbinguni Jehova.
Daah!!! Ndugu yangu G. Musembi.. nimekupata kaka. Nakuombea uokoke kaka. Utajua mengi zaidi. Huyu Brother P C anayo mengi mazuri japo baadhi hawamwelewi..esp hili la "kushambulia"....Barikiwa..
Acha upoyoyo wewe,Yan kila mtumishi mwenye nguvu ni freemason kwan Mungu yeye hana watu wake jamani.Hapa kuna chaku jifunza na tuwe macho tu mi sina shaka na watumishi wa Mungu,God is good all the time🎶
Cassian anaongea kweli kwa sababu yey katoka huko kwenye freemason so amewaona huko kwahiyo ata ile ajali freemason walitaka kumwuua kwa sababu katoboa siri
Kama Mungu hajakupa neema ya kua nabii, nabii ni spirit so kama huna kaa kimya, wewe ni mchungaji, chunga kondoo wa Bwana, wewe ni mwinjilist hubiri injili watu wamjue Mungu, huna karama ya ya unabii au ya kitume kaa kimya acha poyoyo, insuch anaepaswa kuhukumu ni Mungu siyo mwanadam, wewe huna lolote kasome bible acha alolo apeche
@@floramongi1410 Nikuambie kitu, kama wewe ni msomaji mzuri wa neno la MUNGU utajua kutofautisha kati ya Mtumishi wa MUNGU na mtafuta Kiki..... Toka anaanza huduma alianzia na kiki ya kuwa yeye alikuwa freemason mara alikuwa mchawi na akawa anahubiri kuhusu hayo but baada ya soko kubadilika kajiingiza kwenye kuponda Watumishi maarufu...... Ni wapi imeandikwa kuwa hilo ni jukumu lake ikiwa Yesu mwenyewe alisema, "yaache magugu na ngano vikue pamoja"? Kumbuka Mtume Paulo naye alisema, iwe kwa kheri au shari ni lazima injili ihubiriwe.... Kikubwa ajikite kumhubiri Kristo na siyo kutafuta Contents