inasikitisha sana kuona sasaiv Kila mtumishi wa Mungu unatumia picha yake kufundisha mafundisho ya wanaotumika na shetani. Nakuomba sana mtumishi Muombe Mungu akupe ufunuo wa kiroho kuwajua lakn sio kueka Kila picha. Mfano pastor Chris ni mtu wa Mungu kabsa na anasimamia kwa nguvu sana injili ya Mungu daah inaumiza sana kuona umeeka picha yake hapa. lakn pia waambie basi na watu watumishi wakwel unaowajua Leo maana watu unawaacha njia ya panda na ukwel hata Sasa bado wapo watumishi wa kwel Mungu anawatumia
Aisee kumbe kila anaefanya miujiza sana kwako ni Mtu wa Shetani, akina Pastor Chris mafundisho Yao Yako strict ni injili ya Kristo sema kila ukiona miujiza ni mingi unaingiwa na mashaka ❤❤❤
Asante somo nzuri rakini watu walikuwa wanapendana arafu wakifika kuwowana razima ikiwa wako dini tofawuti muke alikuwa amugewukie mwana wume abatiziwe dini yamume ndo wanakuwa pamoja kwasababa imani tayari nimoja.
Mhhh! Mama wa dini zote...ACHA UWONGO PASCHAL....unatafuta waumini kwa nguvu....😢 halafu kuhusu walokole enzi za kina Paulo walitoka wapi na ukatoliki ndo ulikuwa umetawala?? .....Hata Nebukadreza aliua, akakufuru na akaongoka.
Mimi namkubaligi sana huyu mtumishi,,lakini kitunbacho nashindwa kumwelewa mbona watumishi wengine wote anawaona waongo.Hata Kama ilitabiriwa watakuja Nabii wauongo,lkn Sasa ndiyo wote waliopo waongo?
Lakini sasa kwann umewaweka hao watumishi picha zao hapo,mbona kati yao hapo wapo wanahubiri vizuri hawatoki nje yaneno,mimi nakukubali sana,lakn kwakiweka picha zawezio nahuku ukihubiri mambo yanayowadanya waonekane wao niwauongo wote mimi hapo hapana mtumishi,siyo sahihi.Kama weww unafanya hivyo hauoni unachukia nafasi ya Mungu,Mungu afanye nn sasa.Wapo wanaosimama katika neno pekee kufundisha watu,lkn kwann unawaona waongo wote mkweli peke yako,mmmmh Mbingu sote tunaitaka lkn Mungu tusaidie,maana unavyowasema vby watumishi wengine kunawashirika wanaamua kuondoka nakuacha lmani mara baada tu yakisikia kiongozi wake kasemwa vby,ama kawekwa picha yake hapo,katika mapokeo ama uelewa wakulipokea jamno tumetofautiana.
Uyo ni wivu unakusumbuwa ndiyo Sababu unapiga Kelele kwenye mitandao Na kuingiliya Mayisha watumishi wa ukweli wewe umechanganikiwa na sura Yako inaonyesha kabisa wewe ndiye mutumishi washetani na wa kristu wote wamekukimbiya
Sasa mtumishi paschal sizani kama utakua ujaona video ya bahati bukuku. Amedai kua urembo unaitajika mbinguni, yaani ata makalio navyote kama make up. Chtistina shusho, umemupa vidonge vyake 👍tamaa iilikua imemzidi. Bahati kakulipa mbona ujamripua?staki unipe wasi wasi mtumishi
😂😂😂 ndoa kamari. Nilidhani nitaoleka Tanzania, kumbe sio maana imani yangu haitaambatana nao. Itakua sijafungiwa nira sawa sawa. Mungu kwa mapenzi yako naomba usaidizi wa kukaa na marafiki wa imani maana hakuna shirika wa giza na nuru.
Sasa ndo umuweke askofu gwajima kwenye hilo genge ndugu yangu?....mbona wamchukulia poa sana....huyu ni mjoli wa Bwana...hata kama wamuona kakosea jambo muonye ila sio kumuweka kundi moja na magugu...usifanye hivo next time maana unakuwa unaushambulia mwili wa kristo....haitakuacha salama hata wewe.