hizi sio zama za kuonekana mic kwenye video, wala picha kuyumbayumba, story idea bomba ila picture quality na baadhi ya washiriki wameonyesha kiwango duni sana
Shadow, hystoria ni njuri nime ipenda ila mwisho wake haijaa kaa sawa, ina bidi mutu oneshe kwamba baada ya shadow ku lipisha kisasi nini kili tokeya, kwasababu mutu akishaa kufa hawezi ku ishi na binadamu wa kawaida. Nawa fata toka Congo