Oyaaah wee hii chemistry nomaaaaa asee akika fid q we father asee iyo miondoko umetishaaaa, , , , ale chino chino...kaka amapiano ni yako hii bongo hakuna ka ww kwenye miondoko ya piano
Aisee, it's my first-time nimesikiliza music wa Amapiano mpka mwisho because of FidQ, i had doubts about hip hop kwenye Amapiano lakin Faridi nimekuvulia mikono, this thing is a hit mzee, nimebaki mdomo wazi..man, FidQ MVP, and GOAT in African Hip Hop
Ohha bonge moja la ngoma. Wacha wabonge ila ndio linasonga. Twende ngosha wanaman na chino wanaman,pamoja sana man,wacha nijiite dula wanaman.100,000/100
Tuachane na amapiano huu wimbo wame tumia akili kubwa sana kuupangilia Ngosha wana man ame waza sana kukwepa kwenda na muondoko wa ama so katumia AmaHip Hop Noma sana 🔥🔥🔥
Kafanya kutoa mifano kwa wanahiphop wengine kuwa unaweza imba amapiano na ukabak kweny misingi Lengo kufikisha ujumbe na ustoke kweny line, kwahy Ayo ni maelekezo kwahyo tutegemee amahiphop kibao na na mc kibac. Gwara kwako jasir mwongoza njia
Rockycity😁💯🔥🔥🔥🔥 gonga likes hapa tuinue dudeee hili zito linalovuruga pande zote iwe#BMAX LOUNGE ni kifo🔛 iwe kitambaa cheupe n fujoooo@ CHINOOOOOOOHHHHHHH📶📶📶📶📶📶📶📶📶📶📶📶📶📶📶📶
Fid Q mistari yake inaingia kwenye kila beat maana ana ufundi sana Ngosha kaua KIBABE Sana ❤️💪🏿🇹🇿 Kama unakubali vibe la Chino Kidd na Ngosha gonga like