Makolo mna matatizo sana yaani mkishinda nyinyi mmeshinda kihalali tukishinda yanga tumependelewa,Tumenunua mechi,basi TFF iitoe tu yanga kwenye mashindano yote mbaki tu nyinyi mabingwa
kwan Simba na costal ilikuwaje? game y Simba vs cost Simba alibebwa alpewa penalty y uwongo pia refa almalza mpira tofaut na utaratib akihofia Simba kufungwa goal la 3,,, ko Simba alianza kubebwa yy,, dhid y cost,,, na Leo kabebwa yanga ko wote ni wanyanyanyi na team zote kubwa Simba yanga azam singida black stars Zina nunua match ko achen kujilalamisha nyie wote ni wambeleko tu
Ni kweli ni offside ni makosa ya kibendera. Ila gem yenu ni uongo hatukubebwa ninyi ndo mlibebwa na mkashindwa kutumia mbeleko mfano nafasi aliyopata ateba ilikuwa offside, dube alivutwa razak alistahili nyekundu, jana mmecheza na Namungo, Namungo wamenyimwa penalty kipindi cha kwanza. Makosa muwe mnaangalia na kwenu pia, dodoma mlibebwa penalty, musonda alifanyiwa faulo na camara ila mnaangalia diving za kibu na kusema penalty. 😂😂😂😂😂😂
Yaani me nasemea simba yetu ilinyimwa goli maana kibu alifunga kama baleke alivyofunga alaf baleke alizidi sana kibu alikuwa sawa na diara pamoja na jobu na pia aucho alikuwa golini
Hahahahahahha watu wa simba mtalalamika sana, iombeeni timu yenu, ushabiki wa hvyo hakuna...kuweni wazalendo. Kubalini kuwa yanga is the best team...wenzenu wanaingia wakiomba Mungu, nyie mnategemea mvua inyeshe. Asiyekubal kushindwa si mshindani
Mbona hata ilo goli clear offside 😂😂... Baleke anatokea nyuma kwa golikipa kwenda kugombea mpira unaogombewa na nyuma yake nakupeleka wavuni 😂... YANGA mtashinda Sana ligi ya Tanzania 🤦♂️🤦♂️.. Timu ya serikali
@@rexgodwill7353mbona mliifunga azam offside zote,na dodoma jiji mbeleko,na yanga ngao ilikuwa mle nne, na coast mbeleko ilikuwa mle tatu, mechi saba moja au mbili tu mmetoka kihalal
Kila mech mnafung kagol kamoja, na hata hako kamoja mnakoshinda kila mechi kana utata😂😂 laki timu inazungk mtandaoni ikijiita bingwa🤦eeh muwe mnaanglia na mechi z nje mjue maana halis y bingw
Nyie mademu wa yanga vp na nyie mnadhamiwa na Gsm ....maana kila siku yanga anawafunga wenye nembo ya gsm na nyie vichwa maji mnayo nembo iyo ya mme wenu
Kibu n mchezaji wa klabu ya Shirikisho na Baleke n mchezaji wa klabu ya mabingwa, goli la Kibu n sawa na goli aliloshinda mchezaji wa coastal apo, Wale Kenge tushawashona mechi 4 mfululizo na bado hawajasema😅