marefa wanazingua mm nilikua uwanjani nilikua uwanjani lile goli la yanga ilikua ni hofsaid ya wazi balked alizidi wakati beki anaokoa baleke alizidi kabisa
Ata nyinyi mnaona team zinanyimwa matokeo zinakatiliwa lazima asa unahis nn Kama sio yanga wapewe ubingwa mpira ni mchezo wa wazi zulma inaonekana wazi
Haya makosa makubwa sana wanayofanya waamuzi wa michezo ni kweli kabisa kuwa awa marefarii wanaharibu michezo ya ligi. Tafadhali waambieni TFF na Bodi ya Ligi waanze haraka sana kutumia VAR kwenye michezo mingi mikubwa ya Tanzania Premier League. Kuendelea kujadiliana mitandaoni haisaidii kabisa. Kinachohitajika hapa tu ni serious action plan ya TFF na bodi ya ligi kutekelezwa haraka. Msipofanya hivyo, basi ni kuwa hii timu inayobebwa siku zote na marefarii itapenda sana kuendelea kuzidharau timu nyingine katika ligi.