I liked that question on what shall happen the moment one of them shall feel like they are fed up with big man Stevoh...The way that question was brushed off left me with a lot of questions...
Great keep winning.no problem a man getting married by one man.why don't they talk about the lady who was married by 2 twins.it all depends with parents blessings
WARUMI 1:28Na kama walivyokataa kuwa na Mungu katika fahamu zao, Mungu aliwaacha wafuate akili zao zisizofaa, wayafanye yasiyowapasa. 29Wamejawa na udhalimu wa kila namna, uovu na tamaa na ubaya; wamejawa na husuda, na uuaji, na fitina, na hadaa; watu wa nia mbaya, wenye kusengenya, 30wenye kusingizia, wenye kumchukia Mungu, wenye jeuri, wenye kutakabari, wenye majivuno, wenye kutunga mabaya, wasiowatii wazazi wao, 31wasio na ufahamu, wenye kuvunja maagano, wasiopenda jamaa zao, wasio na rehema; 32ambao wakijua sana hukumu ya haki ya Mungu, ya kwamba wayatendao hayo wamestahili mauti, wanatenda hayo, wala si hivyo tu, bali wanakubaliana nao wayatendao.
@@puretv8742Mambo ya Walawi 18: 18 Wala usitwae mwanamke pamoja na dada yake, awe mtesi wake, na kufunua utupu wake, dada yake akiwa hai. HUPASWI KUOA MADADA WAWILI,AU KAMA HAWA WATATU PAMOJA.
New International Version Leviticus 18:18 “’Do not take your wife’s sister as a rival wife and have sexual relations with her while your wife is living.
Uovu katika siku za mwisho 2 TIMOTHEO 3:1 Lakini ufahamu neno hili, ya kuwa siku za mwisho kutakuwako nyakati za hatari. 2 Maana watu watakuwa wenye kujipenda wenyewe, wenye kupenda fedha, wenye kujisifu, wenye kiburi, wenye kutukana, wasiotii wazazi wao, wasio na shukrani, wasio safi, 3wasiowapenda wa kwao, wasiotaka kufanya suluhu, wasingiziaji, wasiojizuia, wakali, wasiopenda mema, 4 wasaliti, wakaidi, wenye kujivuna, wapendao anasa kuliko kumpenda Mungu; 5 walio na utaua kwa nje, lakini wakikana nguvu zake; hao nao ujiepushe nao. 6
I wonder wameokoka and they get married to one man how let's man have his own wife so how is this possible just because your twins I think this is just for internet
Pastor Ezekiel is my spiritual father kumbe umejuwa dear waede wapate ushauri Akh how cames waolewa na mume mmoja, I was having a tumar I time I went there now well
I was cheering these girls on until I listened to Evangelist Martin Ndungu. The book of Leviticus, the issue is not that they r three but that they are related by blood trying to pin one man who on the other hand is naive to the danger. If you have ears, hear. Visit Evangelist Martin Ndungu on this issue. Meanwhile we can all stop pretending that monogamy without committment to Christianity or whatever works. Married men are gay nowadays, have mistresses, married women have Ben 10s, we have a sponsor culture, married women looking for white men even when they have African husbands. At least all these 4 are open. Naive, but open.