Hana maana yaan bora jiwe utajengea kuliko yeye Leo huyo wakumsaliti maalim seif kwel kunguru afugiki sasa kakipata nn zaidi yakujichafua tu Nakuonekana hana maana
wakati alipokuwa anaitajika na wagombea mbalimbali nchi nzima wa cuf na licha ya kuombwa na wazee kutokufanya hivyo hasa ukizingatia vita kuu iliyokuwa mbele yao lakini yote hakujali aliwakimbia akaenda kula raha Rwanda