E, mungu kwanini umeyaruhusu haya yawapate viongozi wema naakinafarao wanaendelea tu kuitafuna nchi. Nyie kinafarao nyie hakika mungu atafungua bahari mtamezwa tu ipo siku yenu
Eee mungu,kwan hawa watu waliomfanyia ubaya baba yetu makonda,Tunaomba mungu ukawape adhabu kali hao watu ambayo hawatakuja kuisahau maisha yao yote,inasikitisha sanaaa duuuu.Tunamuombea sanaaa atapona kwa imani ya bwana wetu yesu kristu.Tunakupenda sanaaa baba yetu makonda tunasikitika sanaaaa duuuu! pole sanaaa baba
Mungu !! Hakuna Kama wewe mungu wetu sisi site Ni wanadamu tuu,, nakuomba mlinde mtumishi wako paul makonda hata baya lolote lisimpate maadui wote washindwe na kulegea katika jina la yesu Kristi,, ameen
Wee mungu mponye mtumishi wako makonda tetea Affya yake Kama kweli ndivyo ulivyo mponye naituma damu ya yesu ikayeyushe uovu huondani ya damu yake kwenye mishipa mifupa na ndani ya mwili wa mtumishi wako makonda, na hao waliofanya uovu huo ukaurudishe kwao na kizazi Chao Mara Saba ktk jina la yesu
makonda wetu mungu akulinde ulipo utakufa bali utaishi mpaka utimize kusudi uliloitiwa duniani na mungu, na shimo lililochimbwa kwa ajili yako watadumbikia wenyewe amen.
Kwaheri sana nninakosa imani kuwa Makonda nimeoteshwa kuwa Makonda Ameshafariki hii ndio ndoto niliyooteshwa kuwa makonda ameshakufa ni wkt mgumu umewafika kutangaza kwa wale waliohusika
Pole mtumishi wa Mungu ila Mungu yu upande wako hutafu bali utaishi mtoto wa Yehova hujamaliza kazi uliyo pewa na Mungu kufanya katik kanisa hili jipe moyo mkuu Mungu yu nawe usiogope
Mungu baba na damu ya yesu ikashuke juu ya kiongozi Makonda na kumponya.Mungu usiruhusu nguvu kazi hii ya Taifa ipotee kiaibu namna hii Mungu baba tena jambo mpiganie kiongozi huyu Amen.
Mungu Ampe Afya njema makonda alejee kwenye kazi yake aliopewa namama , Mama nakupenda sana naomba kama nikweli ametendewa udhalimu huu makonda nahao watu wapo naomba waadhibiwe iwe fundisho kwawengine, naumia sana mtu anaesaidia wanyonge , duh Bas tu , Ee Mungu nakuomba uwape maisha malefu Rais Watanzania pamoja natendajiwake ambao wanajitoa kikamilifu kuitenda kazi yawananchi Watanzania wape nguvu na Afya njema, Amina.
Mungu anaona yote. Yona 1 2 3 4! Utapata majawabu mengi. Tumuombee baba huyu, na mungu akisikia kuomba kwa mzigo juu ya Makonda, basi jibu chanya litapatikana lazm.
Hakika roho yangu inauma sana juu ya mambo haya. Watanzania tujitafakari mno, kwani hali ya wasiwasi imekithiri si tu kwa viongozi bali hata kwa yeyote aliye msema kweli. UNAFIKI, CHUKI, WIVU, TAMAA na mengine ya giza vimeshamiri mno. MUNGU ATUREHEMU WOTE.
Hivi hii serikali iko seriously kwel...yani kiongoz anazungumza hivi jeshi la polisi limenyamaza...tuliliona hili kwa JPM leo kwa mkuu wa mkoa ila mm niseme Siku moja ataumbuka afanyae haya
Wema wako unaowafanyia wananchi ukufuate popote ulipo hata kama ni hiyo sumu haitakudhuru kwa jina la yesu tunakuombea mema waja maadui yako waishi ili waone mema mungu atakayokutendea