Maarifa 'The Big Thinker' Rapa kutoka Kibaha akizitumia Dakika zake 10 za maanganizi ndani ya Planet Bongo. Planet Bongo kila siku ya Jumatatu hadi Ijumaa saa 7:00 maacha hapa East Africa Rario kupitia 88.1 fm.
Kutokana na kufatilia dakika 10 za maangamizi wasanii wenye majina hawawezi flow freestyle wanachana nyimbo zao tena kwa kuzisoma Lakini Hawa underground Wanatoa moja kwa moja kichwani na wanazimaliza dakika vyema kwa kitu kinaeleweka.... Big up Sana maarifa
Steven Karia na nilivyo sasa tofaut na hiphop😂😂😂atanichana bila kunimaliza akiishiwa nahamia kwa nchma then selementally😄hlf ntatua kwa wenye movement yao(lunduno)
Naamin huu ni muda sahihi wa kupata kile tulichokimiss mda mref kwenye hiphop bongo ,Ni mtu sahihi na umekuja kwa wakati sahihi .Ipo siku utaishi ndoto zako .HATAREEEEE........Maarifa ya Maarifa haikuwa rahisi na kwawanafki TUPILIAKULEEEEEE
Yani kilichotokea apo nikua *umefanya kitu ambacho watu awakuwaza itakua ivo* #Maarifa 😷 kweli *unaweza tembea juu ya maji wakasema umepoteza nauli* 😂😀😂😀💪
maarifa kibaha finest..... kunamitari tata humu unatakuwa uturiee sana kama kuna tuzo basi top 3 ...1 scoda 2 boshoo 3maarifa wagombeee tuzo maana wameuwaa nazani ingekuwa pow mwisho wa mwaka kukawa na show ya dk10za maangamiz tutalipa kiingilio fanyeni ivo ili kuwapa motisha wasani kama maarifa.... #0714988885