Mistari ya wimbo wa Kanisa imefanya kila mtu kumsikiliza sana Dizasta Vina na mistari hiyo imesisimua watu wengi sana. Planet Bongo kila siku ya Jumatatu hadi Ijumaa saa 7:00 maacha hapa East Africa Rario kupitia 88.1 fm.
Na hii ndio siku dunia ilipomtambua dizasta vina..historia ilandikwa hapa. Nakumbuka nilikuwa udsm kipindi hiko mwaka wa 3. Mixer na zile skendo za gwajima kuvuja video zake za uchi basi dizasta na hii session yake ika trend sanA. Na leo ni 2023 nimerudi hapa tena kusikiliza. Wote wanosikiliza hii session kwa mwaka huu 2023 acha like hapa tujuane.
watangazaji wote wanafki ndio maana hata hip hop a bongo haifiki mbali kwa sababu nyimbo kamka hiz "kanisa" hawazijui ila huku kitaa ndio misosi yetu..respect
Jamaa unaflow nzuri sana ya kumfanya mtu asiboeke kukusikiliza, flow yenye matamshi yanayosikika vizuri.....Dizastavina unafaa kuwa mainstream by now”!!!
Hii imeingia kwenye one among the biggest dakika 10 za maangamizi kutoka kwa Profesa tungo mwenyewe Dizasta vina akiwakilisha PANORAMA genge la wajenzi wa flows aka PanoRhymes ni nomaaaaaahh!! oiiiiiiiiiiiiiiiii
Vina dizasta ni noma sana... bigup brother... nimekumanya sanaaaaaaa.... ukweli mtupu na hakuna wakupinga... mpangilio madhubuti kabisa wa mashairi... unaacha tunatafakari ujumbe kabambe... Mungu akutangulie brother... fungua macho ya watanzania kwa kupitia kipaji chako. Umenifurahisha sana. Now this is very rare. This is talent... Big up!!!
Since day one hujawahi niangusha nakufahamu kwenye mic huwa hunaga Utani aiseee Mbeya boy Dizasta vina moja kati ya Rapper ambao wanaweza kukaa kwenye beat yeyote,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,PanoRhymes forever
Dizasta vina is awesomely and tremendously doing data orientation full of awesome and positive information Creativity is intelligence and his role in this society is filled with inspirational Innovation Thumbs up This is real Hiphop What a Wrap !!!
Mkali sana!! Mistari mitam kama vile nakitupa cha kwanza, Hawa ndo mfano wa Ma Mc wa Bongo ambao wanaweza fanya nisahau Kuwaskiliza watu kama Kina Common, Krs 1, Nasco Damas au The the roots, Big up Mi shabikiako tayari, Hata kama Kopi ya Album yako utauza raki 1 nitanunua.
I'm sayin' TZ, y'all are representing East Afrika hard man. Got the most substantive, dopest bars on the continent. And that Swahili, metaphors and word play is on another level KABISAA! One love from the diaspora from this brother from the 256! EA stand up!
Maaan...nimekutambua leo...na nimekuheshimu. ..kutoka marekani ujue kuanzia leo...am a fan...you killing it...bro....keep up..hip hop for real..I'll start looking and following you bruh....MZUKA..ndio huu man.
"Single sentence ninaye analyse full CHAPTER"!!.,Kibaha mile moja me ni 8 miles EMINEM". Midondoko on point,you are the Lyricist lyrics mzee Baba,mpk fifi anang'ata vidole that means #UMEMCHUKUA mbali sana kifikra 7:57-8:30's..