Тёмный

Dakika 10 Za Maangamizi- Dizasta Vina | Planet Bongo I 

EastAfricaRadio
Подписаться 496 тыс.
Просмотров 714 тыс.
50% 1

Mistari ya wimbo wa Kanisa imefanya kila mtu kumsikiliza sana Dizasta Vina na mistari hiyo imesisimua watu wengi sana.
Planet Bongo kila siku ya Jumatatu hadi Ijumaa saa 7:00 maacha hapa East Africa Rario kupitia 88.1 fm.

Развлечения

Опубликовано:

 

12 фев 2018

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 1,1 тыс.   
@bennyframa4505
@bennyframa4505 Год назад
Na hii ndio siku dunia ilipomtambua dizasta vina..historia ilandikwa hapa. Nakumbuka nilikuwa udsm kipindi hiko mwaka wa 3. Mixer na zile skendo za gwajima kuvuja video zake za uchi basi dizasta na hii session yake ika trend sanA. Na leo ni 2023 nimerudi hapa tena kusikiliza. Wote wanosikiliza hii session kwa mwaka huu 2023 acha like hapa tujuane.
@abelbehumble255
@abelbehumble255 11 месяцев назад
Unyama
@Asiejulikanatz
@Asiejulikanatz 9 месяцев назад
Oooi oooi oooi
@kissimbasaid4779
@kissimbasaid4779 8 месяцев назад
Uhakika
@benjangonelo4424
@benjangonelo4424 8 месяцев назад
Kbs
@officialmanji4438
@officialmanji4438 8 месяцев назад
Uhakika
@user-qr6sr8fn1p
@user-qr6sr8fn1p Месяц назад
Huyu mwamba nilimtambua kitambo nimerudi tena leo 2024 gonga like kwa wote 2024.🎉
@anuaryfernandez7230
@anuaryfernandez7230 5 месяцев назад
Dizasta Ni GOAT Kama Upo Hapa 2024 Ww Ni Mbuzi Pia
@mwakiboy968
@mwakiboy968 3 месяца назад
2024 April
@anuaryfernandez7230
@anuaryfernandez7230 3 месяца назад
@@mwakiboy968Mbuzi 💪🏿
@altos7500
@altos7500 3 месяца назад
😂😂💪💪
@jamalibakari3683
@jamalibakari3683 2 месяца назад
Tulio rudia 2024 like hapa
@denisyohana2738
@denisyohana2738 2 месяца назад
🔥
@mastaplan
@mastaplan Месяц назад
2024 @Dizastavina hii ndio dakika 10 Za maangamizi Bora Za muda wote.
@barakaisaya6059
@barakaisaya6059 2 года назад
4 yrs now, who came for this legend? Twende pamoja, he deserve the respects.🙌🙌. Man you are the Legend.
@nwntz
@nwntz 6 лет назад
watangazaji wote wanafki ndio maana hata hip hop a bongo haifiki mbali kwa sababu nyimbo kamka hiz "kanisa" hawazijui ila huku kitaa ndio misosi yetu..respect
@sharpaliofficial7455
@sharpaliofficial7455 6 лет назад
Nwn Kiranja Mkuu kweli kabisa
@pascalmasumbuko3787
@pascalmasumbuko3787 5 лет назад
kweli kabisa
@skm1143
@skm1143 4 года назад
Nwn Kiranja Mkuu we eat it and we swallow hard
@chrissmotela9107
@chrissmotela9107 3 года назад
sanaa broo watangazajii wengii n wakudaa tu
@geoffreycharles15
@geoffreycharles15 2 года назад
Sasa watangazaji wanaingiajeee apooo Mkulaaa??
@justinvalyanje3922
@justinvalyanje3922 6 месяцев назад
2024 tuanze kuzidish love kwa @dizastavina
@mr.mindscape255
@mr.mindscape255 2 месяца назад
kama uko apa 2024 gonga like apa
@kijikangaresort177
@kijikangaresort177 6 лет назад
Hii ni bleed huwezi ficha kwa kufuri... we jamaaa next level.. gonga like kumtia moyo huyu Common wa Bongo 😎
@rubberbandman1213
@rubberbandman1213 5 лет назад
Daaah jamaa kweli common wa bongo
@gratiouskimberly2949
@gratiouskimberly2949 5 лет назад
Breed
@gratiouskimberly2949
@gratiouskimberly2949 5 лет назад
Sio bleed
@ibrahimdeus1870
@ibrahimdeus1870 4 года назад
kijikanga resort Hakika dizasta Vina unaweza
@frankunatishakonde7374
@frankunatishakonde7374 4 года назад
Huyu mc anatisha habahatixh
@mtasma1994
@mtasma1994 6 лет назад
Daaaah kumbe Tanzania kuna wachanaji conscious wa Kenya mmeona....like for this
@asjoh5390
@asjoh5390 6 лет назад
Jamaa unaflow nzuri sana ya kumfanya mtu asiboeke kukusikiliza, flow yenye matamshi yanayosikika vizuri.....Dizastavina unafaa kuwa mainstream by now”!!!
@daudikiboko69
@daudikiboko69 Год назад
true aisee.leo ndio naona hii video imenistua sana
@geffects1141
@geffects1141 7 месяцев назад
Attention every body, Am here to declare that Dizasta is the real meaning of Vina . Thank you.❤
@kingrozay1677
@kingrozay1677 6 лет назад
HIPHOP is school of thought and dizasta just proved that
@oldskuladimuzabongo8873
@oldskuladimuzabongo8873 4 года назад
Very true
@davidkojo9525
@davidkojo9525 3 года назад
Listening to this for like the 8th time. Can't get enough. This talent.
@droneafrica
@droneafrica 6 лет назад
Baada ya one the Incredible leo nmempata Genius wa pili tz
@jayfarsaga4935
@jayfarsaga4935 Месяц назад
Nakubali sana
@tumainzacharia917
@tumainzacharia917 6 лет назад
Hii imeingia kwenye one among the biggest dakika 10 za maangamizi kutoka kwa Profesa tungo mwenyewe Dizasta vina akiwakilisha PANORAMA genge la wajenzi wa flows aka PanoRhymes ni nomaaaaaahh!! oiiiiiiiiiiiiiiiii
@farijidee2386
@farijidee2386 6 лет назад
Tumain Zacharia nakubal
@saidhassan570
@saidhassan570 3 года назад
11 September 2020. Still listening to the best hip hop technician. This ain't man its Allien trust me. Live long Dizasta
@lezamnukwa5652
@lezamnukwa5652 6 лет назад
kwenye mistari ya jamaa unakuta kuna physics geography n.k hii style anafanya dizasta na one incredible tu. nice rap mzazi
@nassoromaduhira8480
@nassoromaduhira8480 6 лет назад
Noma
@Joekwid960
@Joekwid960 6 лет назад
Umeona Mwana Huyu jamaa Kama One Kafanya Vyema
@jafetlaizer9191
@jafetlaizer9191 5 лет назад
hawa ndo wakali wao
@rubberbandman1213
@rubberbandman1213 5 лет назад
Kwa mtoni kuna jamaa anaitwa papoose
@oldskuladimuzabongo8873
@oldskuladimuzabongo8873 4 года назад
Kweli kabisa
@SPM_Mukong
@SPM_Mukong 6 лет назад
now this is the man i was praying you call in. He is a MONSTER!
@arthurmndolwa1444
@arthurmndolwa1444 2 года назад
Vina dizasta ni noma sana... bigup brother... nimekumanya sanaaaaaaa.... ukweli mtupu na hakuna wakupinga... mpangilio madhubuti kabisa wa mashairi... unaacha tunatafakari ujumbe kabambe... Mungu akutangulie brother... fungua macho ya watanzania kwa kupitia kipaji chako. Umenifurahisha sana. Now this is very rare. This is talent... Big up!!!
@alexmadafali4872
@alexmadafali4872 6 лет назад
Since day one hujawahi niangusha nakufahamu kwenye mic huwa hunaga Utani aiseee Mbeya boy Dizasta vina moja kati ya Rapper ambao wanaweza kukaa kwenye beat yeyote,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,PanoRhymes forever
@media-rs6lo
@media-rs6lo 6 лет назад
Kumbe dizasta anatokea MBEYA nilikua sijui
@alexmadafali4872
@alexmadafali4872 6 лет назад
Yeap
@yonamkisi9683
@yonamkisi9683 6 лет назад
niaje madafar ulikua hujui kama dizasta ni mtu wa mbeya
@abuumanyati4185
@abuumanyati4185 6 лет назад
Very conscious,huyu jamaa kwa uandishi wake na iyo flow, akizidisha hapo ataleta matatizo makubwa nchini bora abaki hapohapo!
@paulebby1552
@paulebby1552 4 года назад
Kabisa
@fanleck2922
@fanleck2922 4 года назад
Ahahahahah...dah
@rockyvlogs2214
@rockyvlogs2214 4 года назад
🤣 🤣 🤣
@oldskuladimuzabongo8873
@oldskuladimuzabongo8873 4 года назад
🤣🤣🤣🤣
@jozefuedmund2126
@jozefuedmund2126 3 года назад
Very true unaona nachokiona pitia nyimbo zake nimeweka comments
@abbas.salim.abbasbarbz-5447
@abbas.salim.abbasbarbz-5447 4 года назад
Dizasta vina is awesomely and tremendously doing data orientation full of awesome and positive information Creativity is intelligence and his role in this society is filled with inspirational Innovation Thumbs up This is real Hiphop What a Wrap !!!
@johhybrid8130
@johhybrid8130 Год назад
5 years down and guess what! Dizasta is a man of this game🙌
@Call.me.b3nj
@Call.me.b3nj Год назад
Unapewa maradhi bure af una nunua afya👌👌👌 Am here after 4 years THE real MC @Dizasta_Vina
@dannyeliya9010
@dannyeliya9010 3 года назад
huyu jamaa fundi asee kama una mkubali huyu jamaaa gonga like hapa👇👇
@mahrizainobaranchas7589
@mahrizainobaranchas7589 6 лет назад
Afu mwamba yuko serious kinyama,. Umetisha sana mwana ukome as Swahili wanaitaga
@jobkwadinasi493
@jobkwadinasi493 2 года назад
This guy raps in very nice , inspiration and unique style
@tumainibihemo7755
@tumainibihemo7755 6 лет назад
Mkali sana!! Mistari mitam kama vile nakitupa cha kwanza, Hawa ndo mfano wa Ma Mc wa Bongo ambao wanaweza fanya nisahau Kuwaskiliza watu kama Kina Common, Krs 1, Nasco Damas au The the roots, Big up Mi shabikiako tayari, Hata kama Kopi ya Album yako utauza raki 1 nitanunua.
@josseybourneventure4232
@josseybourneventure4232 6 лет назад
mm hata km lak 2
@privinusdecroshan135
@privinusdecroshan135 5 лет назад
Axnten xanaa mnaonipa moyo nakuja kivingne
@hemedihamisi7170
@hemedihamisi7170 6 лет назад
hongera man,, unaandika Sana kwa anaye elewa real hip hop atakuwa amenielewa,,,,we ni tofauti Sana na mistari mipasho ya kina boshoo
@emmanuelzao
@emmanuelzao 5 лет назад
The girl in a background makes some cool vibes
@eckiller
@eckiller 6 лет назад
#DIZASTAVINA We ndo king of dakika 10 za maangamizi Wengne watasubil. Respect bro #KINISA
@loyalcitizenofzamunda7894
@loyalcitizenofzamunda7894 4 года назад
I'm sayin' TZ, y'all are representing East Afrika hard man. Got the most substantive, dopest bars on the continent. And that Swahili, metaphors and word play is on another level KABISAA! One love from the diaspora from this brother from the 256! EA stand up!
@ndituzyamwashitete8087
@ndituzyamwashitete8087 6 лет назад
professor tungo,, kubali sana bro,,ncku niliyo kuwa naisubir kwa ham sana.
@kalungokhalfan91
@kalungokhalfan91 6 лет назад
Always Tamaduni music is a real Hip Hop Respect Dizasta 👊
@nickherman4
@nickherman4 6 лет назад
Dizasta Professor tungo Ametisha Mie nikimpendekeza mtu jua hiyo mtu ni noma kinoma Mlete stereo au Dubo Jesus
@charliedickson1089
@charliedickson1089 4 года назад
Ww ni mkagulu
@ujenzitanzania1274
@ujenzitanzania1274 3 года назад
Dubo hawezi tembea km hv
@abdillahimahamed1814
@abdillahimahamed1814 6 лет назад
Maaan...nimekutambua leo...na nimekuheshimu. ..kutoka marekani ujue kuanzia leo...am a fan...you killing it...bro....keep up..hip hop for real..I'll start looking and following you bruh....MZUKA..ndio huu man.
@peterngassalah6454
@peterngassalah6454 6 лет назад
Ebwanaee nifanye mpango hii niiplay kanisan maana nimaubili tosha nikitoa kudadeki mazee dzastar on🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@jacksonwagalah
@jacksonwagalah 2 месяца назад
wa 2024 tujuanee jaman Gonga likee hapoo
@herbethlukogela7657
@herbethlukogela7657 Год назад
Nobody can rap above this
@lamarabdurahman2767
@lamarabdurahman2767 6 лет назад
Washkaji kama hawa ndo wananifanya niamin Mziki wa hip hop Unaweza kuishi hadi wajukuu wakaukuta_ Acha kina madee waendelee na Mziki wao
@ibrahimkanuto3514
@ibrahimkanuto3514 5 лет назад
kendrick Lamar jembe hili
@godfreybenedicto3577
@godfreybenedicto3577 4 года назад
"Hizi dk kumi za Maangamizi za huyu Ndgu yangu ##usipozielewa kuna matatzo kwenye Ubongo wako (Brain Yako). Jah Thanks kwa kuzaliwa Tanzania 🌍🇹🇿🇹🇿. "
@davidkojo9525
@davidkojo9525 3 года назад
Man, TZ is full of talent. Dizasta you good man. So much respect. Enyewe wewe ni tofali la kuchomwa
@alkaullahmediaTz
@alkaullahmediaTz Год назад
leo January 2023, nimetazama tena. dizasta vina
@maxwellwige1071
@maxwellwige1071 6 лет назад
Tukiwaka tunaweza kumgeuza fid kuwa sagna......🔥🔥🔥🔥🔥
@timothmwakakusyu4563
@timothmwakakusyu4563 6 лет назад
Maxwell Wige hapo hatari sana jamaa anajua balaa
@maxwellwige1071
@maxwellwige1071 6 лет назад
Nomaaa....🔥🔥🔥🔥
@ziggibro
@ziggibro 6 лет назад
Kama unakubali haijawahi kutokea!! Gusa Like
@audaxminde5314
@audaxminde5314 3 года назад
Link
@audaxminde5314
@audaxminde5314 3 года назад
Oslo I'll
@hansmtalikwa9745
@hansmtalikwa9745 6 лет назад
Kwa mwaka 2018 huyu ndo kaangamiza vyema dakika kumi za maangamizi n nooooooooma sana # dizasta
@davidmdavid4869
@davidmdavid4869 6 лет назад
Daaah nimekubal dizasta umeua mbaya mzee salute nataman wangekupa nusu saa
@user-wx6qb3fh3m
@user-wx6qb3fh3m 2 месяца назад
lisaaa lizima ingependeza
@mapheneino
@mapheneino 6 лет назад
Kuanzia leo ww ni DIZASTA KIMA.. Yaan Nyani mzeeeeee
@daniikirunda4010
@daniikirunda4010 6 лет назад
Hatarii sana profesa tungo....nakuelewa kitambo toka STAKI GAME
@gideonaire_ke
@gideonaire_ke 6 лет назад
Kazi nzuri Dizasta. Big up 🇰🇪
@abdullahamadmwinyi8233
@abdullahamadmwinyi8233 6 лет назад
Big up vina umetetendea haki 10 zko ukiongeza bidii utafika mbali sana sana
@jibrilsheikh9949
@jibrilsheikh9949 Год назад
This guy is dope... Jamaa yuwatema 🔥🔥🔥🔥. One love from Kenya +2547
@wachugypsumtz2061
@wachugypsumtz2061 5 лет назад
Verry Conscious aisee..Thats Hip hop...Unajua bro muda utaongea
@masaimara3750
@masaimara3750 6 лет назад
Pengo la uno ni dizasta, unakubali gonga like hapa
@salumusalumu1493
@salumusalumu1493 6 лет назад
we noma zaidi yao nakubali DIZASTA VINA kweli vina nimeviona mzee baba......up
@johnsonayo
@johnsonayo 5 лет назад
uno hana pengo
@mussashally660
@mussashally660 5 лет назад
Uno Mbishi Chunda hawana pengo
@gasperallute23
@gasperallute23 5 лет назад
hakuna pengo la uno
@kukuproject2533
@kukuproject2533 5 лет назад
Yaaah
@thugboy4227
@thugboy4227 6 лет назад
Dizasta vina mshenzii wa tabia kauaaaaaaaa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@shaqdizo7678
@shaqdizo7678 4 года назад
Talented, smart, and you do your research I give you 💯, flow tight, lyrics 👌🏿👌🏿keep it up
@ARUSHA_NAILS
@ARUSHA_NAILS 5 лет назад
*30/4/2019 bado .namsikiliza **#dizastavina** nani mwingine.?*
@emmanuelchipindi5450
@emmanuelchipindi5450 4 года назад
Kanisa
@ellymtima3673
@ellymtima3673 4 года назад
me evryday
@johnsonmarick45
@johnsonmarick45 4 года назад
Ujumbe mzuri sana kwa makanisa na waumini, #Dizasta vina mc mahiri.
@mwafrikabarz4507
@mwafrikabarz4507 6 лет назад
DEar Kanisa👊Dizasta #prof.tungo, ur the hip hop monster💯💯💯🔥
@movahussein1532
@movahussein1532 6 лет назад
Gonga like nyingi km unamkubali dizastA
@philipo7929
@philipo7929 6 лет назад
Mamae🙌🙌🙌🙌 we ni moto wa kuotea mbali
@balikiabdala823
@balikiabdala823 Год назад
Oya jama anajua sana
@mathiasjackson70
@mathiasjackson70 Год назад
Big up Dizasta! The Lady at the back seems to understand and enjoy the Vinas more that all of us. 🤣
@ibracadabra7687
@ibracadabra7687 6 лет назад
Hivi ndo vitu ambavyo masikio yangu yana penda kuvisikia
@emmanueldrawerhq7526
@emmanueldrawerhq7526 5 лет назад
Sure bro,but sio nyege za mafara
@victorcampbell2659
@victorcampbell2659 6 лет назад
first time to see 10 min. to be 10 sec. yuko sawa fid akawa sajna
@oldskuladimuzabongo8873
@oldskuladimuzabongo8873 4 года назад
🤣🤣🤣🤣
@josephgermanus9994
@josephgermanus9994 2 года назад
Myfavorite rapper of all time...
@alimkumba9459
@alimkumba9459 2 года назад
miaka 1000 hakuna atakae vunja hii people talent ya hali ya juu respect planet bongo jamaa afanye nyingine please we miss dizastar vina
@nsajigwamwakolo6007
@nsajigwamwakolo6007 6 лет назад
Prof #Tungo acha awafundishe... 👏💯💯🔥🔥🔥🔥🔥
@davidkojo9525
@davidkojo9525 2 года назад
I still watch this every week.
@baloziubalozini5074
@baloziubalozini5074 6 лет назад
"Single sentence ninaye analyse full CHAPTER"!!.,Kibaha mile moja me ni 8 miles EMINEM". Midondoko on point,you are the Lyricist lyrics mzee Baba,mpk fifi anang'ata vidole that means #UMEMCHUKUA mbali sana kifikra 7:57-8:30's..
@kenmclive7776
@kenmclive7776 Месяц назад
2024 still here listening this guy straight from Kampala Uganda 🇺🇬🇺🇬🇹🇿
@chrisostomehaule2152
@chrisostomehaule2152 6 лет назад
``na hii ni breed mwana hawezifichwa na kufuli`` Tisha sana brother
@goodluckdamian9521
@goodluckdamian9521 Год назад
tulio rudi kweny dakika 10 za maangamiz baada ya zile distrack tujuane 😅
@jeffmacharia9598
@jeffmacharia9598 5 лет назад
Respect from Kenya...🇰🇪
@ohzee8922
@ohzee8922 6 лет назад
Dizasta/ one the incredible/ kinya Hawa jamaa hatari sana
@mextraveller1946
@mextraveller1946 Год назад
5th May 2023 still on this masterpiece 🙌🏾
@mazubukamajaliwa5798
@mazubukamajaliwa5798 6 лет назад
Mtaani kwetu za namna hii masela wanaziitaga"Kanjibai Flow"
@husseinidd5751
@husseinidd5751 6 лет назад
Mistari CONCIOUS ...Salute Kwako
@nonstopafrica
@nonstopafrica 6 лет назад
Ata ukitaga yai uwez ryms juu ya hapa dizasta vina ni incredible group usimuweke na watoto wasio jua anachoma zaid ya jua
@Itsdodwell
@Itsdodwell 3 года назад
Huyu jamaaa ni moto nasemaa firee💯💯huyu infaa wafanye kolabo yaani hit moja safy wakiwa na James moto💯✔️✌️
@noahsilungwe5140
@noahsilungwe5140 6 лет назад
Conscious rapper... Goood sana
@kijikangaresort177
@kijikangaresort177 6 лет назад
Noah Silungwe kanisa imebeba maana kubwa sana
@brisketkidari1623
@brisketkidari1623 6 лет назад
Sjakuskiliza ila nshakukubali kabla hujachana dizasta vina
@josephnyanda8921
@josephnyanda8921 5 лет назад
Damn who z back here n still watchin again n again..this nigga got skillz...hongera mwanangu ufanyie kweli huu mziki
@alkaullahmediaTz
@alkaullahmediaTz Год назад
planet bongo, frida aman alkuwa analeta vibe sana. anaskiliza kwa makin
@mpjozzegalvanize4926
@mpjozzegalvanize4926 6 лет назад
Dizasta noma, dk 10 hazimtosh Natamani kuwaona #blackfire & #adamu_shule_kongwe
@daniikirunda4010
@daniikirunda4010 6 лет назад
mpjozze galvanize bila kumsahau mtaalam SHAULIN SENETA
@mpjozzegalvanize4926
@mpjozzegalvanize4926 6 лет назад
Danii Kirunda yah man mzee wa #simu_ya_dada. Kwel jamaa naye mkal wa #storytelling
@ibraahmapexah5418
@ibraahmapexah5418 6 лет назад
bila kumsahau mbeya boy chuma
@kingrasdee445
@kingrasdee445 5 лет назад
Aisee jamaa anaweza san huy mbon , hakka n mistari yenye mantic sio kelele, big up 2u Dzasta boy U'a talented 4sure.
@davidqauki5088
@davidqauki5088 3 года назад
Kak mzaz daaa!!! Unajua aisee, nyie ndomarapa hawa wengine niu2mbo2 one love brother";
@ramadhanimostoni8273
@ramadhanimostoni8273 3 года назад
Physics+Chemistry+Biology+Mathematical+Geograph=VINA DAVISTA✔
@emmanueldanken3832
@emmanueldanken3832 6 лет назад
Kwangu kumi za maangamizi zimeshaisha yamebaki matrela tu. Dizasta tisha sana mbaba
@rodgersgingila9367
@rodgersgingila9367 6 лет назад
dizasta number moja... panorama authentic.....fundi toka ktambo
@peterpottertv2894
@peterpottertv2894 6 лет назад
ee bwana ee we mkali shout out kwako
@georgemogori9764
@georgemogori9764 6 лет назад
Maninja wa tamaduni Ni mwixho wa mochano Dizaster vina Siku mbaya, Hard, cter kadata
@chrissjoel7752
@chrissjoel7752 3 года назад
*29-03-2021 baada ya kumzika MAGUFULI nakuja kujifariji na hawa wanyamwezi* 😢😢😢😢😢🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌 msosi wa kitaa ni Hip Hop
@amocabdallah7616
@amocabdallah7616 6 лет назад
dizasta, panorama,,Pow Pow nakukubar xana umetisha mna,,
@wazi7719
@wazi7719 4 месяца назад
Oyaa wakuu nimerudi tena kula madini ya Bro Dizasta vina... Hiki kichwa ni wakina baba levo mia😂 Respect Bro
@nickb3289
@nickb3289 6 лет назад
Aaaah dizasta duh balaaa jingine ATAR SANA YAN 🔥
@manjaruujr6504
@manjaruujr6504 6 лет назад
Dizasta nina ngoma zako ninazo zote mzee afu sichokagi kuzisikiliza kaza achana na izo flesh sijui
@nyererelazaro411
@nyererelazaro411 5 лет назад
nomasana kamada michano
@lukesindiya2164
@lukesindiya2164 5 лет назад
dizasta ni zaidi ya star salute kwako mwamba
@Peterwiz_254
@Peterwiz_254 Год назад
Dizasta vina, Bosongo Artist approved this 👌 5 yrs down the line bado tunaisikiza
@MrRabbih
@MrRabbih Год назад
The deepest rapper in Africa this guy. Nigga so deep maahn🔥🔥🔥🙌🙌
Далее
DAKIKA 10 ZA MAANGAMIZI : BOSHOO
12:13
Просмотров 504 тыс.
Dizasta Vina - Best Friend
8:28
Просмотров 220 тыс.
Dakika 10 za Maangamizi : Duga Mawe
11:30
Просмотров 210 тыс.
SIKU 10 ZA MAANGAMIZI : CADO KITENGO NA YEDEDEE
12:27
Mtoto Wa Mjini-ft dizasta Vina-2014
3:43
Просмотров 13 тыс.
Dizasta Vina - Nobody is safe 5
6:07
Просмотров 98 тыс.
Dizasta Vina - Wimbo usio bora (Official Music Video)
5:13
Dizasta Vina - Hatia IV
7:37
Просмотров 154 тыс.
How Many Balloons Does It Take To Fly?
0:18
Просмотров 154 млн