Wewe Mziwanda Ni sawa na Mwanasiasa, Ni porojo tu. Halafu ujue kuwa Ni kweli wajibu wajibu wetu ni kutafuta elimu. Lakini sio kila elimu ni ELIMU. Baadhi ya Elimu Ni za upotoshaji.Upotoshaji nao Ni elimu. Mwenye uwezo wa kupambanua hoja ndiye msomi wa kitaaluma. Acha porojo.
Wacha kuwatukana waislamu wenzako makafiri.kabla ya matusi unganisha family yako uhakikishe wanaswali swala tano Kila siku waamrishe mema na uwakataze mabaya huo ndo uislamu
@@iddydawood2020 ukiwa na elimu hiyo utakufuru sana mana katika hiyo nguzo za kiislamu hata mitume hawamo wala malaika wake wala qurani haipo ukiwa na uislamu huo utakosea sana ila M/Mungu kawataja maswahaba wake wakiwa hai kuwa tayari amewapa pepo maana yake kuwa tayari aliwaridhia na Mungu akisha ridhia ikisha wewe mwenzangu ukisema wametajwa wapi sijui unakuwa umejiweka kundi gani..labda uislamu wako una mashaka mana siku hizi hata ndugu zetu wasio waislamu huweka majina ya kiislamu ikisha hutuma meseji za kupinga uislamu
Mziwanda unatakiwa kuwa na hekima na kuyapima yale unayoyaongea maana huko unakoelekea unakwenda kuharibu Hilo tusi unalosema mashia wanamtukana swahaba mtukufu Omari wewe unapolirudia tusi lilelile ni sawa na kumvunjia heshima Omary kwa mara nyingine,tazama sifa na kuongea sana zinampoteza mtu iga mfano kwa masheikh kama kina Kundecha,kina Walidi tazama wanavyoengea,
@@isaliisu3408 mimi nikajuaa nadhihakii kitabu cha mungu ivi leo mwanangu anazariwa my 2023 anakutana na kitu kama hichi mara shogaaa mara ving'olaa ataelewaa nini kuna vitu vingi vya kuvifundishaa sasa ajee uku uswahilinii aonee vitukoo vya watoto wa kiislamuu vitu wanavyovifanyaaa yeye anaongeaa na watu ambao wap wanaaminii kama anavyoaminii yeye ataweza kubadilishaa nini sasa acha akahukumu mungu keshoo ww iyo cyo kaz yakooo angaika na hawa vijana wadogoo ambao wameshapoteza awapo kwenye dhehebu lolote lkn wanaitwa hamisi ally, shabani nk
@@salmaabdallah1362 Duh ujinga ni mzigo mzito sana . Huoni kua hawa mashia ndio wa kwanza watu waelimishwe nao tazama walivyokuvuruga akili unasema wao wanaamini kama yeye wewe unaijua imani ya mziwanda na mashia ni moja ? Unaelewa kweli unachokisema wewe ? Hao wa mtaani unowasema hawana imani yoyote myoyoni mwao zaidi ni ujinga tu lkn shia ni imani fulani tena inanasibishwa na dini ndio maana had wewe umeona wasemwe wa mtaani huko hapo ndio inapokuja tofaut ya elim na mawazo matupu kuwasema mashia ni jambo la kwanza kabla ya walevi na wazinzi na wala unga kwavile wewe wajua wanakosea hao walevi na hujui wanakosea shia basi kuna haja ufundishwe ubaya na kuna haja watu wawaseme shia hadi wajulikane Kama wanavojulikana walevi kua wanakosea.
We kaa chini ufundishe watu wacha kuwananga hizo nahau zako na swarfa na balagha hazikuwepo hata wakati wa mtume na maswahaba, Hiyo Allahumma swallii tunavuta ni kwa kua hizo beti ziko kwenye mfumo wa mashairi sasa we ikate uone inakua haina ladha tena, Masheikh wakubwa wamesoma hivyo hata Mziwanda hajafikiria kuzaliwa kwani unafikiri walikua wajinga.
Mziwanda umewagonga mashia utawaweza vita hiyo mwachie Abu Lfadhwili au unataka wakutafute wakupe pesa kama kweli kwa ajili ya Dini utarudia tena kama kiki hautarudia tena ndio imetoka hiyo ushauza jina watakutafuta wakupe pesa zako hutowataja tena ngoja tusikilizie
@@abalfadhilabdulqahari3018 Ndio hivyo Akhiy sio kua mashekhe zetu hawajui ubaya na kupinda kwa hawa jamaa lkn wamekaa kimya kama hawajui vile kumbe midomo imeshonwa wapo baadhi ya watu wakitaka pesa kwavile wanajua mashia wanatoa sana pesa ili kununua watu hua anajifanya kuwagusa ili wamfate wampe chochote na wapo wakweli hawabadili msimamo wakianza mwanzo mwisho kila wakipata munasaba wa kuwabainisha wanawabainisha. Pia wengine hushindwa kuwafichua mashia kwasababu ukiwagusa tu kuna vitoto kama kumi vitakushambulia sasa usipojipanga utakuta unashindwa umjibu nani ndio unaingia mitini jiii.
Kwahio kasim mafuta pekee ndie alietakasika akiwarad mashia hawezi kukubali pesa ila muharamu umechungulia ndani ya nafsi yake ukaona kua anaweza kurubuniwa kwa pesa. Yani pongwe kuna balaa