Тёмный

DARASA LA UMEME jifunze kufunga Main Switch na saket Breka 

DARASA LA UMEME
Подписаться 22 тыс.
Просмотров 77 тыс.
50% 1

#wasafitv #ipotv #bingoonline #zamaraditv #shingotv #wasafimedia

Опубликовано:

 

16 май 2021

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 153   
@barakazegezege8016
@barakazegezege8016 Год назад
Nimeipenda iyo teacher nimekuelewa me mwanafunz wa umeme mwaka 1 unapatikana pande zp
@darasalaumeme7421
@darasalaumeme7421 Год назад
Dar es salaam
@jumakidunda78
@jumakidunda78 Месяц назад
Hii ndo maana ya kutumia mitandao vzr
@mondtd3854
@mondtd3854 3 года назад
Nashukulu sanaa umeniongeza kitu kwenye ufundi wangu , mungu akubaliki
@barakazegezege8016
@barakazegezege8016 Год назад
Nashukulu unanipa vitu ambavyo cijafundishwa bado asante Sana Mungu akuzidishie ufundi Zaid
@callmenick8552
@callmenick8552 2 года назад
Asanti kwa hayo...from Kenya ..
@emanueltheboss6598
@emanueltheboss6598 2 года назад
Na jee kufunga wire wa 2.5mm kweny taa na kweny socket hii ni nzuri kwel
@engineertarimo7345
@engineertarimo7345 2 года назад
Una nia nzuri ya kufundisha, lkn huna lugha ya kiufundi, na hata cable arrangement sii nzuri
@ushangabakari5801
@ushangabakari5801 2 года назад
Sasafundi hiyo looping uliyoifanya hapo kwenye mcb siitakuwa umechanganya saply moja kwenye socket na taa kwanini usingeweka kila mcb na waya wake 1.5 na 2.5 na mcb yake
@HelbethMlelwa
@HelbethMlelwa Месяц назад
Haichanganyi hiyo, hizo mcb ni kama switch
@medykado9119
@medykado9119 3 года назад
Kwamaana hiyo sasa connection za switch socket kwny junction box yake na za switch za taa j.b yake au
@ignassululu7663
@ignassululu7663 Год назад
Hapo kwenye matumizi ya taa umesema zinatakiwa ziwe taa nane ambazo zinaukubwa wa watt ngapi? Yaani kila taa iwe na watt ngapi?
@kelvinchifuka6628
@kelvinchifuka6628 Год назад
Mungu akubariki
@TumainiKyomo
@TumainiKyomo 2 месяца назад
Asante teacher kwa maelekezo
@brooeddy8965
@brooeddy8965 2 года назад
Mwalimu hapo waya unao ingia kwenye circuit breaker unakuwa na 10mm²,16mm²,n.k. je mwalimu hapo kwenye out let juu ya circuit breaker hizo waya za kusupply kwenye MBC zinakuwa na mm² ngapi.?
@khalfannguja9530
@khalfannguja9530 3 года назад
Umeme unaingia juu sio chini mwalimu
@salmaabeid8161
@salmaabeid8161 7 месяцев назад
Kwa hio hapo kwenye mcb ya ampere 10 inabid iingie wire ya 1.5 kwa sbb connection yake huko juu Ni kwa ajili ya taa si ndio??
@kevinnyasinga942
@kevinnyasinga942 Год назад
Ni aina vanilla za waya unatumia kwa main switch
@francismasha7286
@francismasha7286 Год назад
Asante mwalimu umenisaidia nitakuhitaji
@salmaabeid8161
@salmaabeid8161 7 месяцев назад
Kwa hio hapo kwenye mcb ya ampere 10 inabid iingie wire ya 1.5 kwa sbb connection yake huko juu Ni kwa ajili ya taa si ndio??
@AquelinaMayai
@AquelinaMayai Месяц назад
mbona hamna cable za earth
@user-od7op2ke9d
@user-od7op2ke9d 4 месяца назад
Naomb utupe uwezo wa way kulingana na uwingi wa vyumba mfano 1,2,3,4,5
@dishonraphael111
@dishonraphael111 2 года назад
Safi kabisaaa mwalimu mtema
@papiasmugabo6685
@papiasmugabo6685 8 месяцев назад
Nataka nambayako yaws what’s up
@mussayahya9676
@mussayahya9676 Год назад
Main switch ipi ni bora kuliko nyingine kati ya Tronic na Havells?
@jumakidunda78
@jumakidunda78 Месяц назад
Swali zuri sana
@mwanatz5980
@mwanatz5980 Год назад
Asante Mwalimu.
@barakagwau8636
@barakagwau8636 2 года назад
Ahsante kwa somo zuri lakini nilikua napenda kujua namna ya kufunga earth wire kwenye main switch
@innocentdavid9810
@innocentdavid9810 2 года назад
Shukrani mkuu nimeelewa sana somo
@user-qq4cb1hk3u
@user-qq4cb1hk3u Год назад
Mwalimu ukiunga iyo N na 2 zinazotoa umeme kweny meter juu au chini ya sakit breaker uku kweny mcb haugeuzi kitu
@chaulafundiumeme7621
@chaulafundiumeme7621 2 года назад
Mkuu mbona hiyo Circuit breaker umeigeuza
@user-dv3fi3tg7h
@user-dv3fi3tg7h 7 месяцев назад
Asante sana engineer kwa darasa zuri nililolipata toka kwako Swali langu ni kwamba mbona main switch yako haina isoleter
@goodluckjohnpaul1518
@goodluckjohnpaul1518 3 года назад
Safi braza shukrani san
@user-pq8ph7fw4u
@user-pq8ph7fw4u 7 месяцев назад
Hayo ndio mambo ya kuelekezana kaka
@husseinmkwizu7549
@husseinmkwizu7549 2 года назад
nimekuelewa sana mwalimu
@victormayobo3571
@victormayobo3571 6 месяцев назад
good training lakini bainisha kama ni 3 phase or singly watching from Nairobi Kenya.
@user-jq7yn7ug2f
@user-jq7yn7ug2f 5 месяцев назад
Yes
@JobRutto
@JobRutto 6 месяцев назад
Asante mwalimu
@EnthusiasticAtv-gn6pb
@EnthusiasticAtv-gn6pb 6 месяцев назад
Teacher mbona cct breaker umeigeuza by songoro jackson
@changarawemichael5556
@changarawemichael5556 8 месяцев назад
Asante saaana mwalim
@sadiiqsulle3715
@sadiiqsulle3715 Год назад
Asante Ila apo unaweza ukaongeza mcb nyinine ya 40 ampere
@essaumbewa1822
@essaumbewa1822 Год назад
Ahsante mwalimu Apo nimekupata
@luqmanabubakar6097
@luqmanabubakar6097 5 месяцев назад
Mwalimuu! Kwanini umetumia SP na hukutumia DP hapo kwa Circuit Breaker?
@hashimmahmoud4336
@hashimmahmoud4336 2 года назад
Asante nimeelewa ila nauliza ikiwa kwenye nyumba taa zinapwesa pwesa huwa ni tatizo gani
@stephenfelix5158
@stephenfelix5158 Год назад
mcb ya c 32 inaweza kutumia sockect ngapi
@user-hn7dv1zm7w
@user-hn7dv1zm7w Год назад
Ahsante cn mwalimu nimepata kuelewa
@scbrothersshadracknacosmas7964
@scbrothersshadracknacosmas7964 2 месяца назад
Good🎉
@AjuaeShekhe
@AjuaeShekhe 3 месяца назад
d͚u͚h͚ b͚r͚o͚o͚ umeua🎉🎉🎉🎉🎉
@puresportstv9893
@puresportstv9893 2 года назад
Asante sana mwl
@HabakkukMbisse-zu1tp
@HabakkukMbisse-zu1tp 9 месяцев назад
Asante nieelewa sanaa
@omardogo3029
@omardogo3029 3 года назад
Mwalimu mi naomba kujuwa waya unaotoka kwenye mita hadi menswich please
@aminimwazani9483
@aminimwazani9483 Год назад
Mwalimu mfano hiyo earth ukutaka kuieka pia unaieka kuanzia huko nje kwa meta box ama unaiunga hapo hapo ndani
@paulodesmoni6226
@paulodesmoni6226 3 года назад
Kuna zile main switch ambazo huwa zinakuwa na kibati ambacho mcb zote hushikishwa pale je live itafungwa kwenye hicho kibati?
@chrisjay1337
@chrisjay1337 2 года назад
Mcb itafungwa kwa moja ambayo italinl zote
@GodfreyMponda-rh9mo
@GodfreyMponda-rh9mo Год назад
Huusiano/Kazi ya circuit breaker na isolater ni nini?
@JuliasJofu
@JuliasJofu 4 месяца назад
mm nataka kujuwa izo way unazitoaje kwenda kwenye jasheni box nazion zipo moja moja
@djyunsijin4097
@djyunsijin4097 3 года назад
Brother wengi wetu pia tunaomba kujua jinsi ya kuchora ramni za wiring kabla ya kupeleka tanesco
@fadhiliemmanueli.147
@fadhiliemmanueli.147 2 года назад
@@darasalaumeme7421 nambazko please
@aslamkhalilu6087
@aslamkhalilu6087 Год назад
Nawezaj kukupat kupat mafunz mengin tich ila naxhkur maan nime gain knowledge
@zackypapla5511
@zackypapla5511 2 года назад
Nice fundi
@BenedictoNdaheze-lt5dd
@BenedictoNdaheze-lt5dd Год назад
Sasa mbona main switch haipo Mimi navyojua waya ukitika kwenye socket breaker unaenda kwenye main switch hapo haipo mwalimu
@lightinescharles5200
@lightinescharles5200 2 года назад
Som zuri fundi nimelipend nimeelew vzr
@user-vm7bc9sv7i
@user-vm7bc9sv7i 9 месяцев назад
mwalimu cjaona waya wa Earth inapofungwa kwenye main switch
@mrmeshack
@mrmeshack Год назад
safi sana kaka natamani ningelikuwa karibu nawewe ili niwe fundi maridadi kama wewe.
@gilbertcfc2959
@gilbertcfc2959 3 года назад
kupitia hiyo namba uliyoweka hapo juu, naweza kukufuata whatsapp kwa maswali binafsi?
@stephenfelix5158
@stephenfelix5158 Год назад
pia mcb ya A16 inatumika kwa taa ngapi au socket ngapi
@user-it4jh3ei5q
@user-it4jh3ei5q 3 месяца назад
Ethi way inayotoka arithini inachanganywa na waya gani
@EliaKija
@EliaKija Месяц назад
Jin's yakuunga circuit breaker na isolater
@FabianHamis
@FabianHamis 4 месяца назад
Engineer sijaona idolater hapo kwenye main switch je?hiyo haiwezi kuathiri mfumo mzima wa kiumeme?
@iamvavatz
@iamvavatz 7 месяцев назад
Samahani sijaelewa jinsi gani earth imepita
@GodfreyMponda-rh9mo
@GodfreyMponda-rh9mo Год назад
Mbona isolater aipo?
@justinjq7144
@justinjq7144 2 года назад
Poooool kabisa ni uwongo mtupu, kazi chafu
@noelymahenge2774
@noelymahenge2774 7 месяцев назад
😂
@jumakidunda78
@jumakidunda78 Месяц назад
Dah! Madini adhimu alafu mwamba wala hana kinyongo anaytema tu
@AbdallahAmor-vt7kk
@AbdallahAmor-vt7kk Год назад
Nashukur mwalim umenifunza kitu leo
@marcopendael1896
@marcopendael1896 Год назад
earth unaanzaje kuunga kiongozi
@CharlesMalonga-zf7qd
@CharlesMalonga-zf7qd 2 месяца назад
Thafadali nifunze quotation
@mohdhassan3633
@mohdhassan3633 Год назад
Je ukiiweka saketbreka kutoka kulia jeitakua na tatizo
@kajuakitu
@kajuakitu Месяц назад
Wewe ni Mwalimu
@ahmadifakii2727
@ahmadifakii2727 3 года назад
Asante sana kwa elimu unayotupatia👍👍 Nina swali mfano taa zikiwa chini ya 8 Soket zikiwa chini ya hizo 6 Kuna mazara yoyote na hizo taa8 ziwe Watts ngapi kila moja?.
@alsamali6964
@alsamali6964 3 года назад
Kila MCB inachukua taa ngapi au socket ngapi ? Msaada plz
@ahmadifakii2727
@ahmadifakii2727 3 года назад
Kingine ambacho nimekiona ni changa moto kwangu hii Mfano MCB 20 ilinijue inabeba mzigo kiasi fulani natumia kanuni gani?
@leudkihanza898
@leudkihanza898 2 года назад
Asante mwalim mtema
@stanslausmisana6938
@stanslausmisana6938 2 года назад
Asante saaana kwa somo zuri. Nimeelewa vzr kabisa. Sasa kwa maana hyo taa zinatakiwa na mcb yake na switch socket na mcb yake yaani kila njia iwe na junction box yake au? Je huwezi kufunga taa kwenye mcb ya 20 au? Mfano mcb ya 10 taa nane je mcb ya 20 huwezi kuweka taa 16?
@omarihamisi4517
@omarihamisi4517 Год назад
Huo waya unaotoka ñje mwalim kweny blacket ni ngpi kwa ngpi unaotoka ñje kuingia kweny main ßwitch
@darasalaumeme7421
@darasalaumeme7421 Год назад
10mm
@josephgeorge2464
@josephgeorge2464 Год назад
Sijaona 40 hapo mwalimu
@WilfredNyangwara-g8b
@WilfredNyangwara-g8b 21 день назад
Hii namba haifanyi kwa what's up napenda kuzungumza nawe tafadhali
@darasalaumeme7421
@darasalaumeme7421 21 день назад
@@WilfredNyangwara-g8b ipo au nitafute 0717159010
@mussaalawi3490
@mussaalawi3490 2 года назад
Je waya ambaz znatoka kweny MCB ata kama znaenda kwenye taa je znatakiwa ziwe saiz gan?
@dicksonmisana8259
@dicksonmisana8259 2 года назад
Kwenye taa 1.5 Kwenye socket switch 2.5
@jmastory1820
@jmastory1820 2 года назад
Kwani live ya taa auwez ukaitumia kwe soketi
@aslamkhalilu6087
@aslamkhalilu6087 Год назад
Nashkur ila nawezaj kukup
@yeokambarage95
@yeokambarage95 3 года назад
Teacher sorry naomba kuuliza waya wa eth unatoka kwenye mita ?
@yeokambarage95
@yeokambarage95 3 года назад
@@darasalaumeme7421 OK shkran sana Mkuu
@raymondraphaer6172
@raymondraphaer6172 3 года назад
Nice nimeelewa
@ibnmambotv5586
@ibnmambotv5586 2 года назад
Samahani, mwalimu hiyo Amph16, inatumika katika nini? Pia kwenye Nyumba zetu zakupanga huwa waya mmoja wameunga taa na sakati hii inakuwaje? Mwalimu naomba ufafanuzi
@rizionesegeza9742
@rizionesegeza9742 3 года назад
upo sawa xn lakni mbona main switch nyingi hazna msb ya A40 upande wa jiko la umeme au heater
@yeokambarage95
@yeokambarage95 3 года назад
Msb ya A40 kwel haipo kwan tunatengeneza KTU kulingana na uhitaji wa mutu
@tikilodauresi8290
@tikilodauresi8290 3 года назад
kama wiring ni ya chumba kimoja na umeconnet mfumo mmoja yaani taa na socket je MCB ya 20A inafaa?
@tikilodauresi8290
@tikilodauresi8290 3 года назад
@@darasalaumeme7421 kwa hyo ili isitrip inatakiwa niweke kubwa zaidi ?na je nikiweka kubwa kwenye upande wa taa hapatakua na madhara?
@fredmaru9495
@fredmaru9495 2 года назад
👌
@africanuchebe8989
@africanuchebe8989 2 года назад
Asante ila apo kwa neutral apo cjaelewa inapelekaje umeme na kuwasha taaa
@mariamatanas5088
@mariamatanas5088 3 года назад
Mm cjaelewa juu ya main switch
@David-ko6vt
@David-ko6vt Год назад
Sawa nimekulewa mwalim Sasa samahani nahitaji unisadie juuu ya waya hizo zilizo Toka kwenye meter Kuna live na neutral ambazo umesema tuna funga popote ukitaka Sasa kufunga unafunga upande mmoja to kama ni live ni live Kam ni neutral ni neutral
@StoneMsaku-zb9ym
@StoneMsaku-zb9ym 3 года назад
pa1 sana mkuu
@papiasmugabo6685
@papiasmugabo6685 8 месяцев назад
Jambo una what’s up
@fanuelmagesa9326
@fanuelmagesa9326 2 года назад
kirefu cha MCB Ni nini
@hajingarigapo7972
@hajingarigapo7972 3 года назад
mimi mbona nasikia kuna waya ya arsingi ndio ipi
@m_farmers_limited8509
@m_farmers_limited8509 2 года назад
Mwalimu mbona sijaona n ya aridhini
@chriskanguna7180
@chriskanguna7180 3 года назад
Mwalimu wangu kwaiyo hiyo MCB ya 20A inaweza kufunga switch socket nane?
@dicksonmisana8259
@dicksonmisana8259 2 года назад
Nimemuelewa vzr amesema 20A inaweza kufunga socket switch 8 lkn ni bora zaid ukafunga kwa socket switch 6
@abuumagomba3394
@abuumagomba3394 2 года назад
Mwanang switch socket nane utaipa mzigo mzito sana hyo mcb maana duuuh sio poa mwanang
@paschalgerald255
@paschalgerald255 3 года назад
16A je?
@josephjuma140
@josephjuma140 2 года назад
mm sijaelewa hiyo waya nyeusi hiyo Nene yiyo yanini
@aloycesanchez1685
@aloycesanchez1685 Год назад
Taa nane za ukubwa gani
@elifurahaelisha4380
@elifurahaelisha4380 2 года назад
Mbona kuna main which zina nyaya zinaingilia chino zinazo toka hazionekani
@fundiazamdstvstartimes6556
@fundiazamdstvstartimes6556 2 года назад
Waya kutoka kwenye mita unaingilia juu au chini ?????
Далее
Smart Sigma Kid #funny #sigma #memes
00:26
Просмотров 9 млн
DARASA LA UMEME jinsi ya kuweka na kupima Earth Rod
12:51
Jifunze jinsi gani unaweza kufunga Sub-Meter Kataumeme
6:09
DARASA LA UMEME two way switch connection
32:53
Просмотров 54 тыс.
Electrical Wiring At The Meter Box (DIY Version)
18:12
Smart Sigma Kid #funny #sigma #memes
00:26
Просмотров 9 млн