Alaf uyo DC kirahisi tu anaongea ujinga ivi ao mnaowaweka madarakani wamesomea wP shule gan yakitanzania yenye ujinga kama huu mtu kapigwa risasi na police nyie mnachukulia kawaida tu
Hizi damu zinazomwagwa na upotevu wa watu inathaman kuliko misaada au gharama mnazozitoa kufariji familia zenye maafa. Tz ni nchi ambayo haikupaswa kuwa hivi majesh yetu yapewe matumiz sahihi ya silaha wkt wa mikisanyiko ya kudai haki
Iko hivi amani haiondolewi na wananchi bali watawala mnaharibu ninyi na kama msingeenda nakutumia. Nguvu ya siraha ,jifunzeni ngorongoro Rc Makonda kaagiza polisi waende lakini wasimguse raia bali wawa linde ,nahakuna fujo yoyote iliyo tokea ,kwanini hamjifunzi kwa makonda
Jamani wewe police ulieuwa kijana huyu sijui wewe utaponaje na hiyo damu ya kijana mdogo namna hii hata wakuu wakulinde namna gani hutapona mungu aliepokea damu ya kijana kwa mkono wako atakunyatia atakulipa na sijui wewe una watoto au hutazaa na ikiwa utazaa sijui utawalelea wapi maana hayo mambo ni machukizo sana
Serikali ijipange sana matukio yanazidi kila siku mara ngorongoro mara usega itafikia hatua nchi nzima watu wachoke kwa matukio haya,,, poleni wana familia kwa kupoteza mkombozi wafamilia 😢
Hongera sana mkuu wa wilaya, kujitokeza kwako ni kwenye msiba huu ni jambo jema .Lakini jambo jema zaidi, wote walio kamatwa waachiwe huru na mrudi kwenye meza ya mazungumuzo.