Тёмный

WAKILI PETER MADELEKA ni POLISI! AFUNGUKA KUHOJIWA UTORO KAZINI - ASEMA YEYE ni ZAIDI ya IGP... 

Global TV  Online
Подписаться 4,9 млн
Просмотров 117 тыс.
50% 1

WAKILI PETER MADELEKA ni POLISI! AFUNGUKA KUHOJIWA UTORO KAZINI - ASEMA YEYE ni ZAIDI ya IGP...
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PESA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Опубликовано:

 

13 ноя 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 285   
@globaltv_online
@globaltv_online 8 месяцев назад
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
@africanuskimario1409
@africanuskimario1409 7 месяцев назад
Hongerababa
@josephatbwakome5711
@josephatbwakome5711 8 месяцев назад
Ukiwa umesoma na kuelewa vitu unakuwa na full confidence, Lowasa hakukosea kusema elimu elimu elimu.Congratulation wakili msomi Peter Madeleka
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 7 месяцев назад
Uyo bangi zinamzumbua
@fatmakiponda8170
@fatmakiponda8170 6 месяцев назад
Ama kweli ukimuamsha aliyelala utalala wewe...
@gasperswai6963
@gasperswai6963 8 месяцев назад
Hongera kaka! Hiyo ndiyo raha ya kuelewa mambo!!! Hadi rahaa!! Kaka unajua mambo mkuu!!!
@marianmartin7483
@marianmartin7483 7 месяцев назад
Kichwa kizuri sana hiki. Safi sana. Madeleka akili nyingi.
@leonardkinanda3284
@leonardkinanda3284 7 месяцев назад
Hongera kwa spirit ya kuwapambania watu wengine ! Mungu anawapenda watu kama wewe Doctor peter
@salumntulo1589
@salumntulo1589 7 месяцев назад
Unaweza kuta ni usalama wa taifa
@user-jh4hg2ev9s
@user-jh4hg2ev9s 6 дней назад
Tunakuheshimu na tunakupenda kwa kutumia taaluma yako kutetea watu.
@thomasgogomoka6404
@thomasgogomoka6404 8 месяцев назад
Very inspiration, natamani nikasome sheria, kwa manufaa yangu na jamii yangu. Huyu ndiyo maana halisi ya wakili msomi.
@godsson5954
@godsson5954 8 месяцев назад
nilikua sieleag mtu akiijita wakili msomi sasa huyu ni wakili msomi pasipo kujiita hayo maneno HUYU NDO THE REAL WAKIL MSOMI
@ibrahimaziz7158
@ibrahimaziz7158 8 месяцев назад
Dah cc tunatafuta ajira kwa nguvu lakini kumbe kuna watu wameajiriwa na hawataki ajira zao dunia round about bhan tutafute hela vijana
@eddyjabry6939
@eddyjabry6939 5 дней назад
I agree with you Peter! They did to me too and they destroyed my identity and my life… I’ve been living overseas since
@musanzowa8988
@musanzowa8988 8 месяцев назад
Wale wote tuliosoma Luka 3:14 mikono juu!
@felixsamford4168
@felixsamford4168 7 месяцев назад
Huyu br yuko vizuri sana zaidi ya sana tanzania tunahitaji vichwa kama hvi
@thomaskiponda6079
@thomaskiponda6079 8 месяцев назад
INCHI TAMU IKIWA NA WATU KAMA HAWA❤❤❤❤❤❤
@noelkipera6581
@noelkipera6581 8 месяцев назад
Jamaaaa linajua hadi raha respect madeleka
@user-hj3ky9zy6y
@user-hj3ky9zy6y 8 месяцев назад
Mh madeleka nakuku bali Sana mungu akubaliki
@jacobpatrick7936
@jacobpatrick7936 7 месяцев назад
Nikachukua mkoba wangu nikaondoka zangu,hii kauli imekaa ki mamlaka sana
@jumamagoma1743
@jumamagoma1743 8 месяцев назад
Akili.kubwa.huyu.sio.bashite.nape.mwigulu..na.vilaza.wegine.big.up
@jamesukombozi5216
@jamesukombozi5216 8 месяцев назад
Madereka ni mtu mwenye akili nje na Elimu ya shule
@liberatusulaya2269
@liberatusulaya2269 7 месяцев назад
Jamaa anajikubali Kwa fact sana, bigup msomi
@EleziaNzowa-el7gi
@EleziaNzowa-el7gi 7 месяцев назад
Yaa inaleta raha sana kuwa na watu waelewa kama hawa katika nchi yetu, safi sana wakili madeleka mungu awe nawe daima
@user-bc8gj8uk3g
@user-bc8gj8uk3g 8 месяцев назад
Huyo mwamba huwa namkubali saaana kwakujiamin kwake kajb kwa jeur saaana kamanda wa police wa mkoa nivitu vidogo saaana salute mwamba madeleka
@user-ol5ih9wh1p
@user-ol5ih9wh1p 7 месяцев назад
Wow so good 💪🏻💪🏻
@michaelmabula7444
@michaelmabula7444 7 месяцев назад
Yupo na kazi maalumu
@LuganoPondo-km8ub
@LuganoPondo-km8ub 8 месяцев назад
Kweli wanaotuongoza Hawana uwezo wa kufikiri,na wenye uwezo wa fikra wako nje ya madaraka
@Asajile490
@Asajile490 6 месяцев назад
Tatizo wananchi Na ccm yao
@makongoronyerere1564
@makongoronyerere1564 3 дня назад
Hata mm nakuamin
@starjay3052
@starjay3052 6 дней назад
kweli police 👮 sio kabisa kama mimi siwapendi police na naraani ata siku mwangu akiwa police yani mimi sio baba yake police baada ya kusaidia watu wao wanakandamiza watu
@mashannapapaaa9582
@mashannapapaaa9582 7 месяцев назад
Hongela Sana
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 8 месяцев назад
Knowing the law is a part of protection.✌️
@simontamba2189
@simontamba2189 7 месяцев назад
Thats why they don't teach from childhood Coz they will not rule us
@starjay3052
@starjay3052 6 дней назад
😁😁 nimewapiga chini
@dennisezakiel3380
@dennisezakiel3380 День назад
Ukijua sheria raha sana
@emilianchibinda82
@emilianchibinda82 8 месяцев назад
Madeleka na Jeshi la polisi hawana tatizo wala ugomvi wowote kati yao, wanaolipamba jambo hili lionekane kama kuuuuubwa ni waandishi wa habari
@emmanuelsitayo1977
@emmanuelsitayo1977 7 месяцев назад
Brilliant discussion learned counsel.
@mmewaswida
@mmewaswida 7 месяцев назад
Inachekesha kwa kweli, hasa hizi behavior za polisi wetu
@majidukalokola7253
@majidukalokola7253 8 месяцев назад
Madeleka na Mwabukusi wanafaa wajiunge na Chadema kisha wagombee ubunge, ndipo wapate jukwaa safi la kupambana na wabadhilifu serikalini.
@manilabonalumanula9210
@manilabonalumanula9210 8 месяцев назад
Ni kwl, lkn si hadi wachaguliwe? Ama Chadema ndiyo wameunda/wataunda serekali? 🏃🏃
@godsonkilua7738
@godsonkilua7738 8 месяцев назад
Nakukubali sana wengi wanakosa haki zao kwa kutokujua sheria , Mungu akutangulie ktk huduma yako
@lotimwansule5017
@lotimwansule5017 8 месяцев назад
Hao police wa Arusha hawana uwezo wa kumhoji Wakili Msomi madeleka ,sawa na Waziri mkuu amhoji Rais
@user-kw3oc8np6o
@user-kw3oc8np6o 8 месяцев назад
siyo kila kitu lazima ucoment bro
@JuliusMtunguja
@JuliusMtunguja 8 месяцев назад
Unafaa hata kuwa mbunge ukatetee wananchi jimboni mwako. Hongera.
@kiazikitamu3985
@kiazikitamu3985 8 месяцев назад
Huyu kapitiliza vyeo vyote Ana akili ya kizidi cheo cha Rais na sio lazima uwe mbunge kutetea wananchi
@bonifasimichael1320
@bonifasimichael1320 7 месяцев назад
Upo sahihi wakili.mungu amewaandalia makao mazuri pamoja na mh. Mwabukusi
@NeemaLieda-qz3kd
@NeemaLieda-qz3kd 8 месяцев назад
Huyu jamaa angestahili kuwa mkufunzi mkuu wa chuo cha maofisa wa polisi Tanzania anauwezo mkubwa sizani kama yupo mkubwa wa.polisi a.mbae anaweza kupiga nae michi
@FridayMwassa
@FridayMwassa 7 месяцев назад
Kwa mifumo yetu ya kumsujudia watawala wala msingemjua,kuna wanasheria wengi sana nchi ungejaribu kujiuliza kwanini hawasikiki wala kujulikana
@RajabJuma-pe9ml
@RajabJuma-pe9ml 7 месяцев назад
Yani mkuu ukitaja police dam mpaka inanisisimka mana walisha nipiga bilakosa walidai Mimi nimzururaji nikawaonyesha kilakitu nanilpo Toka lakn nilpgwa huyo askari police mpaka Leo nikimuangalia mh! ila Haina shida
@simontamba2189
@simontamba2189 7 месяцев назад
Pole mzee
@user-le3oc2xz1f
@user-le3oc2xz1f 7 месяцев назад
Uko vizur sana hongera
@damaka_
@damaka_ 6 месяцев назад
education
@ashachitemo7816
@ashachitemo7816 7 месяцев назад
Huyu ni jasusi.Serikali ina siri kubwa sana.
@venancemwarabu7168
@venancemwarabu7168 7 месяцев назад
Upo sahihi
@michaelboniphace3685
@michaelboniphace3685 7 дней назад
Hana ujasusi wowote
@omaryngurangwa8241
@omaryngurangwa8241 5 дней назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Acha waende kichwakichwa tu😅
@user-pj7ng8il4t
@user-pj7ng8il4t 8 месяцев назад
Brilliant man
@furaha7154
@furaha7154 8 месяцев назад
Ok sawa
@DoganJagard-dn2sk
@DoganJagard-dn2sk 8 месяцев назад
Madereka unafaa uwe katibu mkuu chadema
@NdeshaPaul-uz9bw
@NdeshaPaul-uz9bw 7 месяцев назад
Wakili mahiri zawadi kutoka kwa Mungu hongera sana mtoto wetu na wakili wetu. Mungu akubariki sana na akuongoze daima maana uko vema kabisa mbele za Mungu na walimwengu. Binadamu hawakuelewi isipokuwa wale Mungu atakaowafunulia. Ni mtu wa pekee mwenye karama ya pekee. Ni mkweli na muwazi ndiyo maana upo shujaa. Mungu azidi kukulinda akupe baraka nyinginyingi sana Madereka unaaminika hata anayekutazama TU anakuamini kabla hujaongea naye. Tuanazidi kukuombea kila la kheri katika maisha Yako.
@hamisinamulya8810
@hamisinamulya8810 8 месяцев назад
Bright man,mungu akubaliki
@samwelkessy9129
@samwelkessy9129 8 месяцев назад
Safi sana kaka
@michaelmwalimu6057
@michaelmwalimu6057 7 месяцев назад
Wana sheria bwana
@bensonlameck6348
@bensonlameck6348 7 месяцев назад
Smart sana
@omaryjudasymwanga7172
@omaryjudasymwanga7172 8 месяцев назад
Sasa masaa 24 ndani ya PGO jumlisha miaka sita ya bila maulizo na walimweka ndani kwa sababu ambazo hazikutajwa na mlengwa madeleka hii sikama walimpa go ahead bila kelele wana sababu zao hawa hawapo serius na pia hatakama jeshi ni moja lakini mwenye mamlaka ya kuita huyu jamaa ni mkuu wake kule Zanzibar maana alipotelewa na mtu ambaye naye pengine alijua aliridhia upotevu wake
@GalusChikawe
@GalusChikawe 7 месяцев назад
I'm on ..
@starjay3052
@starjay3052 6 дней назад
😂😂 awezi kua na jeshi makini alafu wasijue platin kamanda yupo wapi apa ndio nimesitisha kua atuna jeshi makini na kila siku nasema sasa mmemsikiliza wakili msomi madeleka nakubali sana mzee
@ibrahimutuwaamiri9163
@ibrahimutuwaamiri9163 22 часа назад
NAJILAUMU SANA KUTO KUSOMA SHERIA
@elinazijonasi2957
@elinazijonasi2957 8 месяцев назад
SHULE imebakia silaha ambayo wakati Fulani watu wameitumia kwa manufaa mapana binafsi ya jamii na kinyume chake pia
@odoieriasmonga6591
@odoieriasmonga6591 8 месяцев назад
Raha ya kujua sheria ndiyo hiyo
@wanatangawaja6397
@wanatangawaja6397 7 месяцев назад
Mwenyezimungu akuzidishie
@mdemualphonce1559
@mdemualphonce1559 8 месяцев назад
Madeleka mungu akulinde
@josephgitagano4533
@josephgitagano4533 7 месяцев назад
Excellent Advocate.
@deogratiuswambura7597
@deogratiuswambura7597 8 месяцев назад
Hawa mapolise wamekuwa kanakwamba hawakuzaliwa na wanadam hawana roo ya kibinadam
@user-ev2sm1rg4t
@user-ev2sm1rg4t 7 месяцев назад
Mungu akulinde peter
@elisaabraham-xr5zj
@elisaabraham-xr5zj 8 месяцев назад
Hongera kaka
@HamisSaid-uc5jm
@HamisSaid-uc5jm 8 месяцев назад
Boss nimekukubali sana natamani niwe karibu nawe nijue mengi
@kwasmokweka9598
@kwasmokweka9598 8 месяцев назад
Madeleka oyeeee
@subetizaid6515
@subetizaid6515 8 месяцев назад
Huyu jamaa kweli msomi
@user-vy5ei1xl4p
@user-vy5ei1xl4p 7 месяцев назад
Elimu ina mhimu sana katika maisha ya sasa
@geraldmadirisha2100
@geraldmadirisha2100 7 месяцев назад
Nadhani Sheria ina umuhimu sana katika maisha ya sasa kwa kuwa bado watu wengi wenye Elimu wanateseka
@mgegebrand
@mgegebrand 7 месяцев назад
Salute kwako Wakili
@johngibson3089
@johngibson3089 8 месяцев назад
Asante Wakili
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 7 месяцев назад
Wewe mpaka sasa wee ni jasusi ilo halipingiki
@askofkibwe6106
@askofkibwe6106 7 месяцев назад
Sheria ya kweli ni ya Mungu t
@alexurassa
@alexurassa 7 месяцев назад
Nimekuelewa sana madeleka
@ThomasKajiru
@ThomasKajiru 7 месяцев назад
Subirini akifa na kuanza kusomwa risala yake ndio mutaijua Tanzania 🇹🇿 vizuri
@tazamamaajabuyaulimwengu2786
@tazamamaajabuyaulimwengu2786 7 месяцев назад
Jamani mwenye namba ya huyu wakili naomba anipatie
@user-ph2tk3cy9s
@user-ph2tk3cy9s 8 месяцев назад
Kweli kabisa
@user-nz9wf4bf2u
@user-nz9wf4bf2u 5 месяцев назад
Nakukubali
@EmmanuelMajele-ny2hk
@EmmanuelMajele-ny2hk 4 дня назад
❤❤
@josephinarobert3325
@josephinarobert3325 8 месяцев назад
Siyomtoro wanataka kumsumbua
@fundimadishiarusha4828
@fundimadishiarusha4828 2 дня назад
Azam tv Arusha burundi kwa wote
@meckitilidatushabe
@meckitilidatushabe 7 месяцев назад
Big up bro
@user-ey8cb3wu9h
@user-ey8cb3wu9h 7 месяцев назад
Kama unajua ni raha sana hongera zako
@asalitamu5182
@asalitamu5182 7 месяцев назад
Safi
@edgarmbehikya8150
@edgarmbehikya8150 8 месяцев назад
Congrats
@neemamasimba2981
@neemamasimba2981 7 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Kaka nimekupenda mno mno , ila sasa watu wana woga kukuunga mkono kukomesha uovu uliopo, yaani Tz ingekuwa paradiso kama haki ingetendeka kisawasawa
@deogratiuswambura7597
@deogratiuswambura7597 8 месяцев назад
Kaka nimekukubali sana kwa majibu yako
@YusuphSadallah-um4sp
@YusuphSadallah-um4sp 7 месяцев назад
Fact ✌️
@michaelabrshamsaidimu367
@michaelabrshamsaidimu367 8 месяцев назад
Madeleka huwa hakurupuki,kwakua si mvivu wa kusoma
@Selemanjohn-se1el
@Selemanjohn-se1el 4 часа назад
😂😂😂 nimemkubali
@ibrahimmhesi387
@ibrahimmhesi387 4 дня назад
alikuwa A coy
@wynjonesmwakolo496
@wynjonesmwakolo496 3 дня назад
Nimekusikiliza mkuu hakika unaweza unajiaamini
@user-le7pv1wo2j
@user-le7pv1wo2j 8 месяцев назад
Mmmh
@user-om2uq8vs6o
@user-om2uq8vs6o 8 месяцев назад
Madereka hoyeee
@user-fx9wv7wk5b
@user-fx9wv7wk5b 8 месяцев назад
Namimi mdogo wako ezekieli nakupa bigup pambana
@adilhabib8988
@adilhabib8988 7 месяцев назад
Uliletwa kwa ajili ya mashekhe wetu
@askofkibwe6106
@askofkibwe6106 7 месяцев назад
Nimekuelewa
@zakayomasingoti9238
@zakayomasingoti9238 7 месяцев назад
This is fact
@ShekiyaoHussein-ki4ty
@ShekiyaoHussein-ki4ty 7 месяцев назад
Huyu Mueshimiwa anamengi lakini nisiri yake hawezi kufunguka yote ni mtihani kweli fikiria kuacha kazi ya upolisi si mchezo kaangaliambele
@user-jt1ly6uq5p
@user-jt1ly6uq5p 5 дней назад
Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ibara ya 13
@MACHOYATAI-jk6fu
@MACHOYATAI-jk6fu 8 месяцев назад
Hii dunia ni ngumu sana
@aminitu3766
@aminitu3766 6 месяцев назад
Yap !! Ila mwamb naona yy na polisi mbalimbali kabixa ha apendi kabix dhuluma zinazofanywa na polisi Mungu kakupitisha uko ili ufanye amendment na eatu ajue kama usingekaa uko usingejue haya
@_don777
@_don777 7 месяцев назад
Kama umeona Genius Gonga like
@enockmbise
@enockmbise Месяц назад
Kweli wangu.
@johnyusuph3221
@johnyusuph3221 8 месяцев назад
Akili mingi
@user-xy2hf5pl5y
@user-xy2hf5pl5y 10 часов назад
Madeleka uko sawa kabisa ulipwe hali zako zote
@dicksonfrank5098
@dicksonfrank5098 7 месяцев назад
Duuu🙄 ww n kiboko najua uongo uliojificha utaenda kuwekwawaz kupitia ww, Mungu akubarik sanaaaaa kk naumenenavyema sanaaaaa Police 🚓 wamekuwa n wazulumu hakil za watu🤐
Далее