Mimi sikomu Tanzania 🇹🇿 alakini nashukuru sana kwa kazi nzuri munayo ifanya kwa raiya wenu hata sisi tuna ichi yetu ila tunatamani selekali la Tanzania 🇹🇿 kabisa Mungu abariki Tanzania
Kk ole sabaya, kwl ww n bg boss, naona mikono mfukoni haipungui! 😎😇😱,hebu huyo dada muangalieni kwa jcho la pili kulingana na maelezo yake, sukuma ndani mapapa/ waliokuwa wakimuagiza!! 😇😷😞
Anatokea mjinga mmoja kwenye mkutano anamsifia mtu kwa kusema fisiem oyee kwan umeckia huo ni mkutano wa chama? Na kama ulikua wa chama kwann hamkuitana kijani wenyewe?
kama sasa watendaji wanashindana katika kuchapa kazi...nahisi tunaanza muelewa uelekeo wa Magufuli....enzi hizo mkuu wa wilaya unamsikia kwenye maafa akikusanya rambi rambi
Yani wakikosa kukosoa wanamtizama mambo madooogo eti katia mkono mfukoni.mada hii ni muhimu achilia mbali hata angepiga magoti kunyenyekea. Lakini angalieni hoja ya msingi hapa!!FEDHA ZA UMMA