Тёмный

DC Sabaya alivyoondoka na waliokula MILIONI 126 "mmekula mafichoni" 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 161 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

25 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 173   
@evawayesu5865
@evawayesu5865 5 лет назад
Mimi sikomu Tanzania 🇹🇿 alakini nashukuru sana kwa kazi nzuri munayo ifanya kwa raiya wenu hata sisi tuna ichi yetu ila tunatamani selekali la Tanzania 🇹🇿 kabisa Mungu abariki Tanzania
@ambingileambingo2309
@ambingileambingo2309 3 года назад
Ubarikiwe sana mh sabaya natamani sana uje na mbeya huku watu wanyooke
@rizikimfundo8897
@rizikimfundo8897 4 года назад
Sabaya jaman ni mtu ambay mungu amekushusha mlikuwaga wap jaman Mungu akubark mungu akutolee vkwazo vyote
@MrAbdulrahmank07
@MrAbdulrahmank07 5 лет назад
Safi sana wakuu wa wilaya nilikua sijawahi kuwasikia yani sasa ivi kweli asante magufuli
@erickchitumbi1308
@erickchitumbi1308 5 лет назад
Safi dc.simama imara na Mungu atakupigania
@adamkaita3009
@adamkaita3009 6 лет назад
aisee mpaka namuonea huruma dada wa watu
@felixkamkala3303
@felixkamkala3303 5 лет назад
SAFI SANA BIG UP MKUU WAWILAYA CHAPA KAZI MSAIDIENI RAIS WETU MCHAPA KAZI
@azashaban5846
@azashaban5846 3 года назад
mlikula kifichon mtalipa adharannn pigen2 makofii safii sana sabayaa👏👏👏
@saumuhassan6365
@saumuhassan6365 6 лет назад
Mackin khery kufa Mackini kuliko dhulma.
@irenelukumay877
@irenelukumay877 3 года назад
duuh uko vizuri dc sabaya
@rahmashabani6483
@rahmashabani6483 5 лет назад
Walizichukua mafichoni ,watazilipa hadharani.sawasaw!!!
@evawayesu5865
@evawayesu5865 5 лет назад
Shukurani sana kwa kukutetea wetu Mungu akubariki sana
@joeljoely2864
@joeljoely2864 6 лет назад
piga kaz sabaya
@emmanuelbonifas3517
@emmanuelbonifas3517 6 лет назад
kwa uelewa wangu mdogo huyo dada anakosa hata mbele za mungu yeye alitii mamlaka ya waliojuu yake so pambana na hao mh kwsb wapo
@benjaminreternyau30
@benjaminreternyau30 6 лет назад
sawa ila angejiuzulu au angelipeleka swala hilo juu zaid
@gracegrace6200
@gracegrace6200 3 года назад
Haya ndiyo yaliyomufunga Sabaya. Watetezi wa wanyonge. Watetezi wote wa wanyonge leo ndiyo wanawindwa.
@mmbarcelona2384
@mmbarcelona2384 5 лет назад
🇨🇩 good job
@jacobmakono389
@jacobmakono389 6 лет назад
..Jafo akukute na issue kama hiyo utakoma!
@gidionkadaraja1403
@gidionkadaraja1403 3 года назад
Sabayaaaa amelalaaa yoooooh
@larickmtui2852
@larickmtui2852 6 лет назад
Fyekelea mbali mzee baba
@mwinjumathomas5132
@mwinjumathomas5132 6 лет назад
Huyu mkuu wa wilaya naye ni CHUMA
@naomijeremiah1572
@naomijeremiah1572 5 лет назад
Kumbe DC sabaya Masai
@erickAfricatz
@erickAfricatz 3 года назад
Ilikuaga noma sana
@emanuelmollel8010
@emanuelmollel8010 6 лет назад
Hongera Dc
@ethanuk9437
@ethanuk9437 6 лет назад
Hiii serikhali alooooo.....chumaaa sanaa tunawaombeaa sanaa....
@zumbaabiyah3184
@zumbaabiyah3184 6 лет назад
Kk ole sabaya, kwl ww n bg boss, naona mikono mfukoni haipungui! 😎😇😱,hebu huyo dada muangalieni kwa jcho la pili kulingana na maelezo yake, sukuma ndani mapapa/ waliokuwa wakimuagiza!! 😇😷😞
@mazengomussa4736
@mazengomussa4736 5 лет назад
Anatokea mjinga mmoja kwenye mkutano anamsifia mtu kwa kusema fisiem oyee kwan umeckia huo ni mkutano wa chama? Na kama ulikua wa chama kwann hamkuitana kijani wenyewe?
@lucyjeremia1381
@lucyjeremia1381 2 года назад
Huyu huyu sabaya aliyeokoa pesa kwa mafisadi Leo hii a nateseka gerezani na kulia kweli Mungu wewe ni muweza Baba sabaya awe huru kuanzia sasa
@jamesjoseph7929
@jamesjoseph7929 2 года назад
Jamani leo yupo ndani tena.
@musamuhammedi7354
@musamuhammedi7354 6 лет назад
Mbunge yupo dar
@jacksonkira7976
@jacksonkira7976 3 года назад
Kweli anatetea wanyonge
@rizikimfundo8897
@rizikimfundo8897 4 года назад
Kweli kabisa sokoine amezaliwa tena
@devybernardlaizer7713
@devybernardlaizer7713 5 лет назад
Kazi kafanya nzuri kama ni mikono kuweka mfukoni atajirekebisha tu kikubwa nidhamu ya kazi na pamoja nawananchi
@innocentkitundu6637
@innocentkitundu6637 6 лет назад
Dah maskini Dada wa watu
@shijaemmanuel6525
@shijaemmanuel6525 6 лет назад
Asante
@amanestomihi2599
@amanestomihi2599 3 года назад
Eti Sokoine hii nchi ilipitia kipindi Cha vituko sana
@joshuajacob9487
@joshuajacob9487 4 года назад
Dada kaongea ukweli
@aloycemwakatala2634
@aloycemwakatala2634 6 лет назад
Cheka sana yakimkuta jirani Omba yasikukute.
@esthertumbo3968
@esthertumbo3968 6 лет назад
u
@davidulenje1264
@davidulenje1264 5 лет назад
kama unakula jasho LA watu kwa kweli usijisumbue kuomba yasikukute yakukute tuu na mungu haskii maombi ya wazdhulumaji
@tumainsawe6960
@tumainsawe6960 3 года назад
@@davidulenje1264 sawa kabisa
@obedmwakalonge1372
@obedmwakalonge1372 6 лет назад
kama sasa watendaji wanashindana katika kuchapa kazi...nahisi tunaanza muelewa uelekeo wa Magufuli....enzi hizo mkuu wa wilaya unamsikia kwenye maafa akikusanya rambi rambi
@bintiiddy7043
@bintiiddy7043 4 года назад
😁😁😁😂😂😂😂😂
@shijaemmanuel6525
@shijaemmanuel6525 6 лет назад
Sukuma ndani
@deonicemollel4205
@deonicemollel4205 5 лет назад
Umenenepa bro c kipindi hicho nakubeba na toyo daah kweli maisha propaganda piga tuko pamoja sana my brother
@ally2nyiii318
@ally2nyiii318 3 года назад
Rais samia huyu ole sabaya asirudi kweny uongozi kbs kbs
@amanestomihi2599
@amanestomihi2599 3 года назад
Unyonge Ni laana
@d-thepraise4150
@d-thepraise4150 5 лет назад
Sioni chamaana zaidi ya siasa tuu ya ccm ,
@خالدالشقصي-ت2ك
@خالدالشقصي-ت2ك 6 лет назад
Wanyonge tupo oman tunateseka
@rostamkamazima1012
@rostamkamazima1012 6 лет назад
Allah atakusimamia
@shekhekhandereizer559
@shekhekhandereizer559 5 лет назад
خالد الشقصي ndg ivi uko vp wanawatesa sana warabu
@juliusandrew39
@juliusandrew39 5 лет назад
mnafata nn oman ndugu zangu, kila siku mnapata taarifa za ushenzi wa waarabu lakin hamkomi... tulieni nyumbani ndugu zangu
@ayshasalim6118
@ayshasalim6118 5 лет назад
Up sehm gn mpnz
@issarajabu1386
@issarajabu1386 4 года назад
Nimempenda sana uyo dada amekuwa mkweli
@erickmapunda4231
@erickmapunda4231 6 лет назад
Wilaya zipo 30 tz wangepatikana akina olesabaya 30 mambo yangekua mazuri.
@hindisaidi5097
@hindisaidi5097 5 лет назад
Yani wakikosa kukosoa wanamtizama mambo madooogo eti katia mkono mfukoni.mada hii ni muhimu achilia mbali hata angepiga magoti kunyenyekea. Lakini angalieni hoja ya msingi hapa!!FEDHA ZA UMMA
@andersonmshama9694
@andersonmshama9694 6 лет назад
Mnamjaza upepo atawanyoosha kweli
@jescamassawe2519
@jescamassawe2519 5 лет назад
ole sebayo 💪💪💪
@humphreymalema3024
@humphreymalema3024 6 лет назад
Wanyonge gan gan mbona sehem nyingine mnawanyanyasa hao mnaowata wanyonge
@eliyasanga6374
@eliyasanga6374 6 лет назад
🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃watazitapika sasa
@priscadaniel7
@priscadaniel7 3 года назад
Mmmm
@lillianlucas5337
@lillianlucas5337 5 лет назад
Jamani kuna mtu ana namba ya mkuu wa wilaya ya hai
@kassimmnyamisi7461
@kassimmnyamisi7461 3 года назад
Lkn wangefikiri jinsi alivyofanya kazi kuwasaidi wananchi wangemfunga hata mwaka tu
@fredykephacy9230
@fredykephacy9230 5 лет назад
jamaniii nakupenda mkuu was wilayaa
@edwardmkwelele
@edwardmkwelele 4 года назад
Diwani fala
@sudymgeni701
@sudymgeni701 3 года назад
Uyo kasema ukweli tafuta wale wakubwa ndio waliokula iyo pesa
@leilathango8411
@leilathango8411 4 года назад
Yani popote ulipo kaka kunywa soda lipa mwenyewe
@masumbukojoseph7522
@masumbukojoseph7522 6 лет назад
Nahicho cha ccm hoye kimetoka wapi
@mako331
@mako331 6 лет назад
Mbunge anapanga maandamano huko Dar
@eliusandrew9121
@eliusandrew9121 6 лет назад
Duuuuuuh pigeni makofi
@mohamedalaraimi6813
@mohamedalaraimi6813 5 лет назад
Pesa za Tanzania nje nje hakuna njia nzuri za control
@ally2nyiii318
@ally2nyiii318 3 года назад
Tunapochagua kiongoz lazima tuchunguze vizuri ole sabaya mbona katili hana hekima busara maarifa yupo unafikikir anavuta bangi naomba akapimwi akili
@TheAlman
@TheAlman 6 лет назад
Ingekuwa kweri mbona mungu angeibariki zaidi tanzania ila ukweri munaujuwa wenyewe
@susananyasani6526
@susananyasani6526 4 года назад
Sabaya angechaguliwa kuwa Mbunge na kutetea haki ya Wanyonge
@victordonald8462
@victordonald8462 4 года назад
Duh
@jackrinaman7521
@jackrinaman7521 6 лет назад
Duuu hiv hii ni awamu yangp vile
@ajuayejumaomari7577
@ajuayejumaomari7577 6 лет назад
jackrin aman awamu ya kumi ndugu ni balaa haijawai kutokea
@khadijanjama9016
@khadijanjama9016 6 лет назад
jackrin aman 🤣🤣🤣
@fishfarmingservicestz5095
@fishfarmingservicestz5095 5 лет назад
Nice
@chujikassimu5039
@chujikassimu5039 5 лет назад
Awamu ya 6 hiii mamaaaa
@joshuasabasi3118
@joshuasabasi3118 3 года назад
Kamsifie tena boya wewe
@emanuelmollel8010
@emanuelmollel8010 6 лет назад
Kweli huyo mzee kacheka kinafiki
@damascentkijebeli1601
@damascentkijebeli1601 6 лет назад
Nyie viongozi mmerogwa na nani...mnataka kuwaanisha watanzania kwamba umaskini ni sifa....
@ramadhanisakalani8372
@ramadhanisakalani8372 6 лет назад
Saafiii sanaaa fungaaaa woteee
@amenyekibona8730
@amenyekibona8730 6 лет назад
pongezi kwako mkuu,,, tengeneza tanzania
@kennedyombewa7974
@kennedyombewa7974 3 года назад
aliyeshuka au aliye maskini ni huyo muuza mtumba au sabaya asiyekuwa hata na mifuko gerezani, ety ukoo wa wanyonge na makofi yakulazimishana
@kasomamama4774
@kasomamama4774 6 лет назад
Wanyonge nn
@ibrahimmungure7493
@ibrahimmungure7493 6 лет назад
Hii awamu haifai mlizoea kupiga! .Na aliepiga asali isimpate hapa ni moto
@ahmedjack4135
@ahmedjack4135 3 года назад
nani yupo hapa bada ya huyu sabaya kutiwa mikononi mwa police na yy
@husseinomary4466
@husseinomary4466 4 года назад
Sasa namuelewa huyu mkuu wawilaya uteuzi nisahihi huu
@piusmdoe3551
@piusmdoe3551 6 лет назад
naomba maana ya unyonge
@nicethamanonga5855
@nicethamanonga5855 4 года назад
Maendeleo yatakuja kama yote Tz maana kila kiongozi anajitahidi kupiga kazi ili asitumbuliwe .tumbua2 imesaidia viongozi kuamka na kufanya kazi
@fredreckmwakalinga3475
@fredreckmwakalinga3475 6 лет назад
unajuwa vyeo vya kupewa busara mara nyingi zero kujiona mungu mtu sema ajakutana na aliyepida
@farajihassan5382
@farajihassan5382 5 лет назад
Afadhali. Umsifie. Mnyama fungo. Kuliko. Kumsifu. Tundulisu. Fungo. Anaakili. Mzuri. Angalia. Akili. Ya fungo.mfano. fungo. Anaeishi. Tandale. akitembelea. Tandika. Hawezi.akachafua. mazingira. Kule tandika. Akiwa. Na haja kubwa ndogo. Nilazima. Atafanya. Kila njia.arudi harakasana. Hata kwakukatiza. Shughuli. Muhimu. Arudi. Kwao. Tandale. Ili. Aweze. Kujisaidia. Sehemu. Maalum. Aliyo jipangia. Fungo bwana. staarabu. Sasa. Nduguyetu. Lisu. Anashindwa. Kuelewa. Kama. Unauchafu. Sii urudi. ukaumwage. Kwako. Kwanini. Uchafue. Mazingira. huko. Marekani. Na kwingineko. wakati. Unajuwa. Unakituo. Chako. Cha kunyea. Mavi. Unakwenda. Kunyea. Kwenye. Miji. Ya wazungu. Unachafua. Mazingira. anakushinda. Fungo fungo. Anaejuwa. Wapi. Pakuachia. Uchafu. Wake. Hata akimtembelea. Rafikiyake. tandika. Atarudi. Kwao tandale. Kunya. Nahuko. Kwao. Hachafii. Mazingira hovyo. Nilazima.afikiee sehemu yake aliyojiwekea. Sasa bwana. Antipaki. Lisu. Unaambiwa. Rudi kwenu. Ukashirikiyane vyombo vya dola. Ili upate. Mustakabali. Wa tatizo. Lako. Wewe unambwela mbwela. Tu huko ulaya. Tafadhali. Ujuwe hata. Wanyama wanahikima. Msome fungotungo. Uchafu. Wake haendi. Kuusambaza. Kwenye. Msitu. Wa wenzie. Anajua. Na wao. Wana maviyao. Yananuka. Kama yakwake. Au zaidi ya kwake. Sasa. Lisu. hatujasikia. Kama. Unavyo. Sema wewe. Mwenyewe. Unamkosoa. Raisi. Hukosoi. Taifa. Sisi tusiye. Soma hatukuelewi. wewe. Rudi. Kwenu.ujeulalamike. namalizia. Kwakuwa. Humjui myama. Fungo fungo. Njoo. Kwetu. Huku. Tutakuambia. Habari ya mnyama. Fungo. Anasifa. Kibao. Za hekima. zake. Fungo. Kwa mpunga. Usiseme. Ukimpika mtamu. Hata. Ukimuunga. Kwa nazi na nyanya. Anassifa. Nyanya. Anazishikilia. Mwenyewe mkononi. Hicho kibwagizo. Cha watu wa. Kusini. Tafakari.
@fredreckmwakalinga3475
@fredreckmwakalinga3475 6 лет назад
Kazi zinafanyika mitandaoni ni awamu hii tu wananchi nayi acheni unyonge mkakabiliane hko hko mahakamani kuliko kudhalilishwa
@fathermore9772
@fathermore9772 6 лет назад
Fredreck Mwakalinga wanazalilishwa nini wao walivyo kwapua jasho la watu maskini kama ivyo bila aibu ..ulitaka waitwe chumbani ndio waulizwe...
@ombenmichael3473
@ombenmichael3473 3 года назад
30 jela
@alijuma675
@alijuma675 6 лет назад
Iyo ilikua ni mahaka au
@jumakapora2691
@jumakapora2691 6 лет назад
Funga. hao. majambazi. sana. '''''''
@judaspantaleo9779
@judaspantaleo9779 5 лет назад
Makofi yanalazimishwa???!!
@albertshauri751
@albertshauri751 5 лет назад
Yaani ni shida
@rasnchimbi
@rasnchimbi 6 лет назад
Inaelekea kuna kausiasa hapo.
@saidasimba9979
@saidasimba9979 6 лет назад
Eee walimtafuta asiyejua kitu chochote ili awe ana sign
@ramadhankibwana6425
@ramadhankibwana6425 6 лет назад
Mkuu uyo anahatia alikuwa anapelekeshwa tu ila cha kufanya wakamate wale mabosi wake tu
@dicksonulotu9717
@dicksonulotu9717 6 лет назад
Mbunge afanye izo kaxi?
@manyaramrema6531
@manyaramrema6531 6 лет назад
Ila we mkuu wa wilaya unavimba sana! Unaongea mikono mfukoni haya hivyo ni vyeo vya kupita!
@unclesamtz6048
@unclesamtz6048 6 лет назад
Maisha Maisha we mwenyewe umemuona huyu jamaa?!
@mohamedjuma423
@mohamedjuma423 6 лет назад
Kama ilikua una kubali washakutia ktk shimo hao
@husseinkonz5192
@husseinkonz5192 6 лет назад
Wanyooshe hao
@goodlucktarimo6170
@goodlucktarimo6170 6 лет назад
Apelekwe Mahakamani sio kuhukumu MTU huna uhakika
@eliuskivuyo6521
@eliuskivuyo6521 6 лет назад
piga kazi wakwetu
@prosperyendayenda1934
@prosperyendayenda1934 6 лет назад
Daaah kweli maisha tusi kariri huyu alikua mwalimuwangu asee secondary very bright
@monicajulius905
@monicajulius905 5 лет назад
Msameheni jmn kasema ukweli
@manyotaskipper5765
@manyotaskipper5765 6 лет назад
Dada anaziwa huyo akienda jela atakuwa chakula cha Mkuu wa gereza
@neemakilomoni4258
@neemakilomoni4258 6 лет назад
Abdulatif Said 🤣🤣
@mamyabdalah885
@mamyabdalah885 6 лет назад
Fekelea mbali wote
@sponsor7882
@sponsor7882 6 лет назад
Africa tabu hazitakwisha
@deusmauka9626
@deusmauka9626 6 лет назад
Awataje waliopo nyuma ya pazia.
@sebastianngimba4850
@sebastianngimba4850 5 лет назад
Mnyonge nani?
@gloriamichael7935
@gloriamichael7935 6 лет назад
nimecheka huyo aliyesema wanyonge wako oman .ndg hujachelewa muombe Mungu wako akurudishe kwenu haraka
@prettyh7509
@prettyh7509 3 года назад
😅😅oman hakuna wanyonge bali wachapa kaz
@elinikomniko4411
@elinikomniko4411 6 лет назад
Hata kama ninyi ni watawala kuongea na watu umeweka mikono mfukono ni KWAMBA hukufunzwa vzuri,unawalazimisha kupga makofi?
@georgesamwelchacha7680
@georgesamwelchacha7680 6 лет назад
Eliniko nniko Kuweka mikono mfukon Haipunguzi taaruma na elimu Alio nayo wewe siulikimbia umande hahaha Nakutania tu bwana!!!
@zungumanmziray7659
@zungumanmziray7659 6 лет назад
safi San naomba muangaliye huyu dada
@unclesamtz6048
@unclesamtz6048 6 лет назад
eliniko mniko kabisa yan duh!!
@shukurumwangosi1537
@shukurumwangosi1537 6 лет назад
Aiseeh Huyu dada unasahau awamu ya ngap looooh
@ayubundelwa9572
@ayubundelwa9572 5 лет назад
njoo handeni uwaokoe wanyonge wa kabuku
Далее
Wait for it 😂
00:19
Просмотров 1,4 млн
DC AVAMIA HOTELINI AMKAMATA JAMAA NA MILIONI 11 BANDIA
5:44
MISSION IMPOSSIBLE [59]
21:52
Просмотров 22 тыс.
RC Mghwira Ambeba Dc Sabaya Mbele ya Askari Wake
15:33
Просмотров 222 тыс.