Asalam aleikum ndugu katika imani natafta clip ya shekh. Shaffi ile akiwa kwa mjadala akitoa thibitisho ya mitumi kua waisilamu kutoka Adam mpaka Mtume Muhammad shukran!
Nawakubali Sana ndgu zangu ktk iman Sule Shafii na Mazinge Mungu azidi kuwapa Elim ili muweze kuwaondoa watu ktk kiza Mungu awalipe kila lililo la kheli kazi ya daawa ngum naijua
Muhsin Yahaya hawa wako gizani alafu wanajifanya wanaona lkn Nuru wanaipinga na msamaha unapatikana si kwa njia nyingine yoyote ispokua kwa DAMU ya YESU
MILLARD AYO THE AMAZING WORLD wanaakili sana wakristo ndiomana wasiona uhakika na mambo yao wanahangaikia mambo ya wakristo mchanakutwa na usikukucha,maana mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe,hata kitabu kinachosomwa sana na kujadiliwa hapo ni cha wacristo kinacho tumika kanisani