Anord wa mihadhara Ni mazinge maana kwenye anga zake mtu Haruki😀😀😀😀 mazinge na Jopo loote la waisilamu mwenyezimungu Awaweke kwa usalama na Amani Duniani na Akhera 🙏
Mnamdihaki mungu kipuzi tu hapa mnatoa tafusiri zakibinadamu tena za ulimwengu huu hakika moto upo karbu yenu yalio alioandikwa ni mafumbo hivyo ya paswa kufumbuliwa kwa hekima si kushindana kama mpira wa miguu
@@ellykiupa3696 siku zote nyanyi haoni kundule ukweli hauna tabia ya kukubalika mapema hivyo sasa utaona sijielewi kwasababu tu ulishalishwa ya kipuziiii
Pro. Mazinge mpaka Sasa duniani basi Allah sw kakupa kipaji cha pekee. Maana huna stori 😂. Mtu akijamba tu unatoa andiko😂. Sichoki kukusikiliza tokea enzi hizo
USTADH MAZINGE TUNAOMBA KABLA KUISHA HUU MWAKA WA 2022 UJE UJE UFANYE MDAHALO ZANZINBAR WAZANZIBARI YANI TUNAKUPENDA SANA NA TUNATAMANI HII MADA IFANYIKE KWETU ZANZIBAR INSHA- ALLAH
Dini iloyotolewa kwa mtu acyejua kusoma wala kuandika!Alitokewa na mtu akamwambia soma! Mohammed ,yeye alijibu nini?Huoni kama pale ndio mwanzo wa kupotoka kwenu,mana alimezeshwa maneno ambayo hakuyajua hata tafcr yke.Na alipotoka pale alikuwa na mapepo,sasa jiulizeni mapepo yanatoka kwa nani?
17:10-14, reading: 'And God spoke to Abraham saying: … This is my covenant which you shall keep between me and you and thy seed after you - every male child among you shall be circumcised. '
nachokipenda Kwa waislamu ukiwauliza swali la kimaandiko kama kunaandiko atakujibu Kwa kujupa haya lakini wakristo unamuuliza we tarehe 25 mwezi wa kumi na mbili ni suku ya kuzaliwa yesu anaacha kujibu kama aya ipo au haipo ye anaanza kuangaika na vitu ambavyo havipo
Mazinge ni mfano wa kuigwa ,,ni mtu ambaye amejariwa ,,kipaji maarum kwajiri ya kuitangaza dini kwa makafiri ,,mora ampe maisha marefu azidi kuipigania dini
Torati Ndio Ndio Kitabu Anacho idai Mazingira Wewe Unasimamia Kitu hukijui , Wewe umedai kolaani imeteremshwa Maneno Hayo kaongea Mtume Torati Ni Musa kaongea Kupitia maongezi Na Mungu Sasa Wewe unachoamini Niujumbe alipokea muhamadi unavuruga Wenzio
Pastor big up sana mtumishi MUNGU wetu akubariki sana mtumishi unaongea ukweli Ila ata biblia inasema wengine wanaambiwa kwa mafumbo ili ata wakiambiwa wasielewe Pambana na kazi ya bwana wetu yesu kristo thawabu yako ipo 🙏🙏
I hate the way mazinge anakuwa so rude anaongelesha mwenzake anampeleka kama mtoto 😢😢😢hatujaambiwa tufunze dini kwa njia hii, lazima tukuwe Wapole na hikma sio kwa design hii sheikh maizinge😢😢😢
@@samuelcn9253 Masha'Allah kama ilivyo shule somo hilo hilo akija mwalim huyu humuelew na huyu unamuelewa sana ndo hivyo hivyo ktk dini umpate mueleweshan na mdadavuaji tatizo la mazinge hafundishi yeye anajibu swali tu vipi ushasilim ndugu yangu kabla malakul maut hajakupitia
Sasa huyo kuamini kama mohamad ni mutume hajamini huko kutahiriwa kunamkera nini na ana hasira zanini kwa nza amjuwe kuwa ni mtume. ndio atake kujuwa kama ametahiriwa nini hivi maswali ya faida yako nini hayo maswali gani