Тёмный

MAZINGE AMUUMBUA VIBAYA SANA PASTA ODADA KATIKA MASWALI NA MAJIBU JIJINI MWANZA 2004 MWAKA. 

Saimu gwao Online tv
Подписаться 226 тыс.
Просмотров 387 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

24 май 2021

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 515   
@fatmasalim8293
@fatmasalim8293 3 года назад
Mashallah tabarak Rahman sheikh mazinge mungu akuzidishie ilmi yarab ameen 🥰🥰🥰🥰🇴🇲👌
@lkshmykomar5472
@lkshmykomar5472 3 года назад
Amina Yarab alamin
@nadirabdullahal_hinai2016
@nadirabdullahal_hinai2016 2 года назад
آمين
@ndayisengashabani5931
@ndayisengashabani5931 2 года назад
Ææåååååæææææååæååææ
@AishaAbdallah-fi2hv
@AishaAbdallah-fi2hv 3 месяца назад
🎉🎉@@nadirabdullahal_hinai2016
@rawchah9920
@rawchah9920 3 года назад
allh akujaalie maisha marefu pro mazinge kaka
@mohammedrajabumwamba1322
@mohammedrajabumwamba1322 3 года назад
Anord wa mihadhara Ni mazinge maana kwenye anga zake mtu Haruki😀😀😀😀 mazinge na Jopo loote la waisilamu mwenyezimungu Awaweke kwa usalama na Amani Duniani na Akhera 🙏
@mwitaproduction5380
@mwitaproduction5380 3 года назад
Mungu akupe umri mrefu uzidi kuisambaza dini ya Allah pia ushinde changamoto zitakazo kukabil katika kazi nzito ya Allah
@idrisjafar37
@idrisjafar37 2 года назад
Amin ya rabbi❤
@maherzain615
@maherzain615 3 года назад
Allah akupe umri mrefu na afya. sheikh wetu mazinge.wakristo yataka mumshukuru sana mazinge ana hamu yakuwaokoa na moto
@henryshiyo5374
@henryshiyo5374 3 года назад
Mnamdihaki mungu kipuzi tu hapa mnatoa tafusiri zakibinadamu tena za ulimwengu huu hakika moto upo karbu yenu yalio alioandikwa ni mafumbo hivyo ya paswa kufumbuliwa kwa hekima si kushindana kama mpira wa miguu
@ellykiupa3696
@ellykiupa3696 2 года назад
@@henryshiyo5374 wewe hujielewi pole sana
@henryshiyo5374
@henryshiyo5374 2 года назад
@@ellykiupa3696 siku zote nyanyi haoni kundule ukweli hauna tabia ya kukubalika mapema hivyo sasa utaona sijielewi kwasababu tu ulishalishwa ya kipuziiii
@badruhamisi7289
@badruhamisi7289 2 года назад
@@henryshiyo5374 €
@badruhamisi7289
@badruhamisi7289 2 года назад
@@henryshiyo5374 *p* *pp***
@nakundwamkubwe7823
@nakundwamkubwe7823 3 года назад
Mashallah professor Mazinge DD Allah akuweke. 😍
@eshasalim5496
@eshasalim5496 3 года назад
Amiin
@badruhamisi7289
@badruhamisi7289 2 года назад
@@eshasalim5496 9ps
@raziaidd2392
@raziaidd2392 3 года назад
Ma shaa Allah sheikhe mazinge Allah awalipe kila la kheir
@eshasalim5496
@eshasalim5496 3 года назад
Amiin Ya Rabb
@avalonking1655
@avalonking1655 Год назад
Mazinge unatisha baba Allah azidi kukufunilia hingera sana big up Ma shaa Allah🙏
@ashourarashid289
@ashourarashid289 3 года назад
Uislam ndio dini ya kweli allah atupe mwisho mwema
@marimyussuf3374
@marimyussuf3374 2 года назад
Ameen ameen ya rabb
@jamalsaid7475
@jamalsaid7475 Год назад
Maa Shaa Allaah Alhamdulillah Kiboko yao Sheikh p
@suleimanabdull1958
@suleimanabdull1958 3 года назад
Ahsante Swaim this is Mazinge classic ninayo lkni kwenye video cassette Leo nimefurahi. Thanks.
@ablamaryamsalehvg5eazhst3n52
@ablamaryamsalehvg5eazhst3n52 3 года назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-gmmdhdhaQlQ.html
@raiyaaaraiyaa6054
@raiyaaaraiyaa6054 3 года назад
MashaAllah, sheikh mazinge na wenzio. Allah awalipe kila la kheri
@fatumamuiya6089
@fatumamuiya6089 3 года назад
Amiiin
@jamilajamila4572
@jamilajamila4572 3 года назад
Shekh mazinge nakupenda sana shekh wetu
@eshasalim5496
@eshasalim5496 3 года назад
Amiin Ya Rabb
@wiliamramadhan6274
@wiliamramadhan6274 3 года назад
Mazinge mwehu tu
@jamilajamila4572
@jamilajamila4572 3 года назад
@@wiliamramadhan6274 wee ndo mwehu
@neemainabikorwa5570
@neemainabikorwa5570 3 года назад
Cheikh Mazinge na muomba Allah akupe umri mrefu wenye kheri na bakara, na wa islam wote .
@nicholasgabriel8805
@nicholasgabriel8805 3 года назад
Mazinge tafadhali naomba uokoke jehanam inakuhusu
@shakila3982
@shakila3982 3 года назад
Yaani kwa Mazinge huruki, alafu mwenye kipaza sauti kanimaliza, yaani akiambiwa achukue mike, ni kama radi chwa chwa mike inachukuliwa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@salumkagame509
@salumkagame509 3 года назад
Nami nimeona kama upepo
@onlyonetztv610
@onlyonetztv610 3 года назад
Nimecheka mno
@shakila3982
@shakila3982 3 года назад
@@onlyonetztv610 😂😂😂😂😂mimi ndio kabisaaa
@aminaluttu649
@aminaluttu649 3 года назад
Ahahahahha nimemuona kwel Ahahahahha dah
@ahmedotuman109
@ahmedotuman109 3 года назад
Mazinge Allah akujaalie pumz ili uzd kufubdsha makafir hawa
@jumjumsaid3552
@jumjumsaid3552 3 года назад
Huyu professor kweli
@minabuelysee8
@minabuelysee8 2 года назад
Allah atawalipa nyinyi wote mnatetea Dini ya Allah
@hilalkhalfan1452
@hilalkhalfan1452 3 года назад
Pro. Mazinge mpaka Sasa duniani basi Allah sw kakupa kipaji cha pekee. Maana huna stori 😂. Mtu akijamba tu unatoa andiko😂. Sichoki kukusikiliza tokea enzi hizo
@mwanaimaabdallah7825
@mwanaimaabdallah7825 3 года назад
🤣🤣🤣
@habibukalema3127
@habibukalema3127 2 года назад
Wallah mazinge kwa uwezo wa manan amejaaliwa sana
@rajabomar4505
@rajabomar4505 3 года назад
Pasta odada ana hasira kweli naona amehamaki kweli hahahahahahahah
@saumuseif9189
@saumuseif9189 3 года назад
Mazinge 😀 Allah akupe umri mrefu
@bonabonala5559
@bonabonala5559 9 месяцев назад
mazinge umefeli muhamadi ajatairiwa toka akiwa hause boy muhadi mpaka kumpata mjane adija
@edikiumbe7391
@edikiumbe7391 2 года назад
USTADH MAZINGE TUNAOMBA KABLA KUISHA HUU MWAKA WA 2022 UJE UJE UFANYE MDAHALO ZANZINBAR WAZANZIBARI YANI TUNAKUPENDA SANA NA TUNATAMANI HII MADA IFANYIKE KWETU ZANZIBAR INSHA- ALLAH
@falidiamiiamii-jz5pf
@falidiamiiamii-jz5pf 9 дней назад
Huy sh taungia ktamb kibok mpak leo sh mazng allah akuzdishie
@user-bu9wq4lp3f
@user-bu9wq4lp3f 3 года назад
Wakristo ingieni katika dini ya haki ukapate raha za milele
@kichenjekichenje2072
@kichenjekichenje2072 3 года назад
Dini iloyotolewa kwa mtu acyejua kusoma wala kuandika!Alitokewa na mtu akamwambia soma! Mohammed ,yeye alijibu nini?Huoni kama pale ndio mwanzo wa kupotoka kwenu,mana alimezeshwa maneno ambayo hakuyajua hata tafcr yke.Na alipotoka pale alikuwa na mapepo,sasa jiulizeni mapepo yanatoka kwa nani?
@user-bu9wq4lp3f
@user-bu9wq4lp3f 2 года назад
@@kichenjekichenje2072 huyo yesu nae alisomea wapi jamani
@mangeraalbert7982
@mangeraalbert7982 3 года назад
Mazinge Allah will protect you, amin
@aminamohammed5373
@aminamohammed5373 3 года назад
Profesa mazinge aallaha akuweke akupe afya kila penye uzito allaha akufanyie wepes inshaallah tunakupenda ❤
@ibrahimfarha3853
@ibrahimfarha3853 2 года назад
Quoran kwenye vicwa vyenu .....bible kwenye vicwa vyenu Allah awaingizeni peponi bila isabu mnaifanya kazi kubwa
@makenakendi9014
@makenakendi9014 3 года назад
ALLAH BARIIK
@hajiahmad2328
@hajiahmad2328 3 года назад
Mazinge kiboko yenu wakiristo
@SodanaMrisho-hu4by
@SodanaMrisho-hu4by 4 месяца назад
Mungu akujaze kheri
@victornzai93
@victornzai93 Месяц назад
17:10-14, reading: 'And God spoke to Abraham saying: … This is my covenant which you shall keep between me and you and thy seed after you - every male child among you shall be circumcised. '
@baaliyanuun416
@baaliyanuun416 3 года назад
Kiboko ya wakiristo komando wa uislam prof MAZINGE 🤣🤣🤣
@mangeraalbert7982
@mangeraalbert7982 3 года назад
Amri wetu
@farhatislam6550
@farhatislam6550 3 года назад
Nampenda kwA ajili ya allah..yaarab mlinde kwA kila shari.
@joezeno8
@joezeno8 3 года назад
Hana lolote
@joezeno8
@joezeno8 3 года назад
Mazinge hana lolote
@farhatislam6550
@farhatislam6550 3 года назад
@@joezeno8 Sasa Kama wewe jiná pekee linaitwa Joe zero umebakisha nini mwenye sufuri 😆😆😆
@sumaonemaloko1815
@sumaonemaloko1815 3 года назад
Hatari sana Mazinge mungu ampe maisha marefu na ya baraka🙏🤝🤲🏼🤲
@hamisishekifu7526
@hamisishekifu7526 Год назад
Tutaelewatu,
@gideonmwangi3535
@gideonmwangi3535 6 месяцев назад
Mazinge kazi yake nikurukaru bado anajidifedi na bibilia kwakiristo sitoki
@user-ty1fq7sw4l
@user-ty1fq7sw4l 8 месяцев назад
Anafurahsha can maznge
@khatibjuma9455
@khatibjuma9455 2 года назад
Allah akupe nguvu zakuwashinda makafiri waongoke njia
@BensonMpomo
@BensonMpomo 4 месяца назад
nachokipenda Kwa waislamu ukiwauliza swali la kimaandiko kama kunaandiko atakujibu Kwa kujupa haya lakini wakristo unamuuliza we tarehe 25 mwezi wa kumi na mbili ni suku ya kuzaliwa yesu anaacha kujibu kama aya ipo au haipo ye anaanza kuangaika na vitu ambavyo havipo
@msellemseif3102
@msellemseif3102 Год назад
Professional.Habib Mazinge
@salmamwanyiro8348
@salmamwanyiro8348 3 года назад
Huyu pastor kakurupuka akujui shekh mazinge huyo kwenye sura yake kashindwa
@KambaleShabani
@KambaleShabani Год назад
A s l m a l km.nashukuru.kwa.mihadharz
@wazoboy1319
@wazoboy1319 2 года назад
Mazinge ni mfano wa kuigwa ,,ni mtu ambaye amejariwa ,,kipaji maarum kwajiri ya kuitangaza dini kwa makafiri ,,mora ampe maisha marefu azidi kuipigania dini
@shabamuhidin634
@shabamuhidin634 3 года назад
mda wote nimekaa natazama sjaona ata mara moja pastor katoa andiko ata moja
@user-im2db1nc9b
@user-im2db1nc9b 2 года назад
Ni vizuri mtu akiuliza kwa utulivu basi mnamjibu kwa Busara sio ugomvi uislam ni Salaam hata tukamilishe Uislam wetu kwa usalama
@mswabumhogo1334
@mswabumhogo1334 3 года назад
ety akili imeingiwa na mafut ya taaaaa
@user-nr1bf7iu8z
@user-nr1bf7iu8z 3 года назад
Allahu Akibaru
@abdallahbinzayd3464
@abdallahbinzayd3464 3 года назад
Takbiriii
@bmstatic8150
@bmstatic8150 2 года назад
Mash'Allah
@thedriver.michael.3975
@thedriver.michael.3975 2 года назад
Sikuja kuitengua torati bali kuitimiliza 😲😳 huyu Odada aitwe Okaka 🇸🇿🇹🇿
@suleimansuleiman1127
@suleimansuleiman1127 3 года назад
Usihame kwanza Mike 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@WILLIAMCHINA
@WILLIAMCHINA 9 месяцев назад
Torati Ndio Ndio Kitabu Anacho idai Mazingira Wewe Unasimamia Kitu hukijui , Wewe umedai kolaani imeteremshwa Maneno Hayo kaongea Mtume Torati Ni Musa kaongea Kupitia maongezi Na Mungu Sasa Wewe unachoamini Niujumbe alipokea muhamadi unavuruga Wenzio
@user-bu9wq4lp3f
@user-bu9wq4lp3f 3 года назад
Wewe ndio mjinga acha kubabaika onyesha injili ww
@ahmedshaffiq8888
@ahmedshaffiq8888 2 года назад
Ww kalale tuh mkafiri
@husnaodhiambo6848
@husnaodhiambo6848 3 года назад
Mashallah
@calvinmangwea9249
@calvinmangwea9249 2 года назад
Shekh maulana
@calvinmangwea9249
@calvinmangwea9249 2 года назад
Shekh maulana
@latifalatifa2838
@latifalatifa2838 2 года назад
Nakupenda sana mazingi
@missrukia9661
@missrukia9661 3 года назад
Subhanallhaaa
@costazia6507
@costazia6507 2 года назад
Pastor big up sana mtumishi MUNGU wetu akubariki sana mtumishi unaongea ukweli Ila ata biblia inasema wengine wanaambiwa kwa mafumbo ili ata wakiambiwa wasielewe Pambana na kazi ya bwana wetu yesu kristo thawabu yako ipo 🙏🙏
@ahmedshaffiq8888
@ahmedshaffiq8888 2 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣ww kalale
@khatibramadhan8740
@khatibramadhan8740 2 года назад
Polee
@mussaluhizo5693
@mussaluhizo5693 Год назад
Doh unanfurahisha sana mazinge
@yahyasalum5634
@yahyasalum5634 3 года назад
Mashaallah
@RtnhunterRenixy-ej3zp
@RtnhunterRenixy-ej3zp 9 месяцев назад
Aisee mazinge hatari nakukubali Kwa hoja zako
@ramadhaniathumanibatumnwa1842
Mashalah mfundisheeee huyo hajui
@marimyussuf3374
@marimyussuf3374 2 года назад
😂😂lazima ubabaike 2 odada ukirist cio din jmniiiiiiii
@zaitunimrisho6377
@zaitunimrisho6377 3 года назад
Mazinge kiboko
@nassoroseif8576
@nassoroseif8576 3 года назад
Mazinge nimwalim wa walim
@avalonking1655
@avalonking1655 Год назад
Huyu pastor anaitwa odada au dada😀😀😀
@kamalmukaddam1297
@kamalmukaddam1297 3 года назад
Mashaalah
@thabitimzungu8381
@thabitimzungu8381 3 года назад
Takbiiiir
@kinyanyaonline3658
@kinyanyaonline3658 3 года назад
Allah akupe umri mrefu Aamin
@jamilaalfarsi7712
@jamilaalfarsi7712 3 года назад
Limeshidwa majibu ilokafiti linababaisha ss kwann yy kashindwa kutoa andiko baibol nimkusamyiko wavitabu?? Lisikuumize kichwahilo mazinge linakimbia swali kwasababu halinajibu kafiri iloooo
@hmmarjabi4283
@hmmarjabi4283 3 года назад
Wewe jamila umeonaje
@shomariabrahman2876
@shomariabrahman2876 3 года назад
Subhanallah
@abdullahyusufutabu3521
@abdullahyusufutabu3521 2 года назад
Thanks
@ramadhaniathumanibatumnwa1842
Mueleweshe Shekhe wetu
@peterpaul6665
@peterpaul6665 3 года назад
Hakuna pasta apo huyonni muislamu mwenzako ...akili ndogo sana....
@lawrenceomwenga7289
@lawrenceomwenga7289 3 года назад
Mazinge hajui kujibu maswali.
@ummsalyass1096
@ummsalyass1096 2 года назад
I hate the way mazinge anakuwa so rude anaongelesha mwenzake anampeleka kama mtoto 😢😢😢hatujaambiwa tufunze dini kwa njia hii, lazima tukuwe Wapole na hikma sio kwa design hii sheikh maizinge😢😢😢
@analyticalguru5851
@analyticalguru5851 2 года назад
Wakristo wajanja sana na waongo usiwache waongo waonge
@lkshmykomar5472
@lkshmykomar5472 3 года назад
Watakuwelewa2 komando wetu lazma watasalut ww ndo kiboko ya o
@wiliamramadhan6274
@wiliamramadhan6274 3 года назад
Mazige huna jipmy
@issackkachega8392
@issackkachega8392 2 года назад
Waooo maashaallahh mwenyez mungu akulinde
@lkshmykomar5472
@lkshmykomar5472 2 года назад
@@issackkachega8392 amina ishalla naww piya
@fatahhugan8978
@fatahhugan8978 2 года назад
Takbiir allahu akbar
@barkyabdallahsuleiman7069
@barkyabdallahsuleiman7069 2 года назад
Mazinge may Allah guide you mashaallah
@elispiuselias1339
@elispiuselias1339 2 года назад
huyu jamaa anajua mpk mazinge kalazimisha mada nyingine, amekosa mada iwe nyingine! toa andiko acha kuzunguka!
@waytvtz2549
@waytvtz2549 2 года назад
Wewe mazinge jibu swali acha kuzunguka mbuyu kwa maneno ya kejeli
@MakataWaMakatani
@MakataWaMakatani 4 месяца назад
😂 subhanallah 🤣 ALLAHu swwamaad ❤
@jamilaalfarsi7712
@jamilaalfarsi7712 3 года назад
Yanimikafiri mm naishangaa mn yanakuja kuuliza maswali nahayajajipanga au yanafkiri yenyewe hatoulizwa? Yani yakiulizwa maswali yenyewe hujubabaisha kanakwamba hayaelewi kiswahili
@ummuhkhalfan5542
@ummuhkhalfan5542 3 года назад
Tena wanajifanyaga wamekomoa kweli sasa wakijibiwa na kuulizwa wao wamajizunguushaaaa weeeee
@jamilaalfarsi7712
@jamilaalfarsi7712 3 года назад
@@ummuhkhalfan5542 umeona eeee yani hujakwenye midahalo kwamarefu namapana namiswali yao yakijinga wakijitapa Leo naenda kuwaumbua waislamu yakiuliza na yakajibiwa hujifanya hayaelewi na yakiulizwa yenyewe maswali hujifanya viziwi mikafiri mwana
@ummuhkhalfan5542
@ummuhkhalfan5542 3 года назад
@@samuelcn9253 Masha'Allah kama ilivyo shule somo hilo hilo akija mwalim huyu humuelew na huyu unamuelewa sana ndo hivyo hivyo ktk dini umpate mueleweshan na mdadavuaji tatizo la mazinge hafundishi yeye anajibu swali tu vipi ushasilim ndugu yangu kabla malakul maut hajakupitia
@ummuhkhalfan5542
@ummuhkhalfan5542 3 года назад
@@samuelcn9253 Kuna mhadhara wa mitume wa zamani walikuwa dini gani ndo nafatilia wanaonyesha channel mbalimbali
@omarykseko9876
@omarykseko9876 3 года назад
Usiwatukane wenzio kenge we
@faridalitela8730
@faridalitela8730 8 месяцев назад
Mazinge wapeleke darasani hao
@user-fy4op1sw2f
@user-fy4op1sw2f 6 месяцев назад
Duuh kumbe odada zunga😂😂😂😂
@abdulismaisma5069
@abdulismaisma5069 2 года назад
Mash'Allah!
@user-ty1fq7sw4l
@user-ty1fq7sw4l 8 месяцев назад
Waggum sema mazinge kayatimba
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 3 года назад
😂😂😂😂Mkono WA sweta mazinge
@sabrinakhamis7731
@sabrinakhamis7731 3 года назад
😂😂😂😂😂😂
@saidahmed9688
@saidahmed9688 10 месяцев назад
mhadhara mzuri
@mickmonster9140
@mickmonster9140 3 года назад
Taqbireeee
@abdallahsultan8528
@abdallahsultan8528 Год назад
Huyu mwamba noma
@kulthumhaji6928
@kulthumhaji6928 3 года назад
Mdahalo ni mzuri na ni Darasa zuri.
@sabrinakhamis7731
@sabrinakhamis7731 3 года назад
Pasta wacha uongo...umemuota shuzniger..waenda toa uongo kanisani
@pharijarasarungi3166
@pharijarasarungi3166 Год назад
Hi
@omarychipeta3148
@omarychipeta3148 Год назад
allah a2pe mwisho mwema
@WILLIAMCHINA
@WILLIAMCHINA 9 месяцев назад
Mazinge Ni Muongo , Vitabu corani Inadai Kitabu Cha Mungu Nani Kakuletea Ni Muhadi Muhadi Alikuwa Nani ? Nimtu na Yeye Ndio alisema kaongea na Mungu ,
@Jabaman207-ue6sk
@Jabaman207-ue6sk 2 месяца назад
M,a mazinge
@adammasunga5363
@adammasunga5363 3 года назад
Mbona mnamtoa kwenye maana na kuongeza maswali ambayo hajajanayo Shida mazige hamumujui propaganda nyingi sana
@davidjoel-mk4og
@davidjoel-mk4og 4 месяца назад
Mbona humpi nafasi huyo jamaa aongee unapokonya maiki mjingaa wewe
@MwenbapoleKambili
@MwenbapoleKambili 3 месяца назад
Coroani ni maneno ya nani
@user-lp6oy7wt6j
@user-lp6oy7wt6j 3 года назад
Nimecheka saana saana
@rezikomer9552
@rezikomer9552 2 года назад
Sasa huyo kuamini kama mohamad ni mutume hajamini huko kutahiriwa kunamkera nini na ana hasira zanini kwa nza amjuwe kuwa ni mtume. ndio atake kujuwa kama ametahiriwa nini hivi maswali ya faida yako nini hayo maswali gani
@dotomohamed7523
@dotomohamed7523 Год назад
Kwan kutahiliwa kwa ibdahim na muhamad yy kunamuus nn
@muanashaswaleh5110
@muanashaswaleh5110 3 года назад
Watatairiwa wapi wakristo wote magozi vifumbu virefu
@lillykhalayi80
@lillykhalayi80 3 года назад
Hahahaa kweli,Paulo mwanzilishi wa ukristo hakutahiriwa,wakristo watatahiriwa vipi?
@msellemkassim2515
@msellemkassim2515 Год назад
John 6-45
Далее
ВИРУСНЫЕ ВИДЕО / Бекон 😅
00:31
Просмотров 227 тыс.
ПОЮ НАРОДНЫЕ ПЕСНИ🪗
3:19:41
Просмотров 1,8 млн
НОВАЯ ПАСХАЛКА В ЯНДЕКСЕ
00:20
Просмотров 72 тыс.
MAZINGE KUKURU KAKARA.
54:09
Просмотров 48 тыс.
Mazinge vs Saimoni   Baba jina lake nani  1 2
9:58
Просмотров 106 тыс.
Wakristo wapata dozi yao kwenye mdahalo wa Mbezi
1:05:38
Просмотров 349 тыс.
KUKURU KAKARA ..  MAZINGE VS PASTOR
33:37
Просмотров 146 тыс.
SWALI LA Dt Pro MAZINGE HALIJIBIKI
17:03
Просмотров 117 тыс.
ВИРУСНЫЕ ВИДЕО / Бекон 😅
00:31
Просмотров 227 тыс.