Ulifanya makosa makubwa sana tofauti na unavyofikiria na huwezi kuishi na mzungu maana unaonekana huna msimamo unageuka geuka, maandalizi yalikuwa ya muda mrefu kisha ukataka kuharibu nakusihi kamwombe msamaha kili ulikosea mdogo wangu.
Alipewa opportunity na akanza kuitumia vibaya, kuingiza watu katika entourage ya Kiba bila yeye kujua it's not just unprofessional but very dangerous, Kiba should keep him at a distance
Bro...Inategemea na Aina ya protein.... Unachosema height weight, na kila kitu....not all supplements works the same...and ofcourse protein inaendana na meal plan na mazoezi as well...
Kwani hiki kipindi mna camera moja tu jamani😢.... Media kubwa hii, mjitahidi kufanya kazi kiprofessional ndugu zangu. Naona cameraman anapata tabu kugeuza geuza camera