Тёмный

DEO SUKAMBI NAFASI YA MWANAUME KWENYE FAMILIA 

Tacmen Group
Подписаться 13 тыс.
Просмотров 14 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

23 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 23   
@AgnessMsacky
@AgnessMsacky 11 месяцев назад
Mimi naomba nyie wanaume mnapoona mwanamme mwenzako hatendei haki familia yke mumuite mumkanye nakumueelewesha tatizo lenu mnaogopana ni wachache anaeweza kumshaur mwanaume mwenzie na akabadilika
@fortunataangelo5575
@fortunataangelo5575 Год назад
Mimi ni mwanamke,, nimekuelewa, sana kaka Deo, uko sahiiiiihiiiii asilimia 💯, yaani nakuelwa sana. Wote tukiishi hayo, hakuna ndoa itavunjika,
@amosibilingi4299
@amosibilingi4299 Год назад
Stella hakuna binadamu me/ke anayeweza hayo asemayo DEO 100% Kila mtu ni dhaifu eneo flani vile na mwingine eneo kingine ktk maisha yaleyale. Dawa ya yote ni kumuonea mwenzio huruma kwenye udhaifu wake
@kaachonjo263
@kaachonjo263 Год назад
Mke akiwa na stress anangeuka kiumbe hatari sana kwa mume na watot
@yassinmndeli2156
@yassinmndeli2156 Год назад
​@@amosibilingi4299 ❤❤❤❤❤❤a❤❤
@ndavadumayai4250
@ndavadumayai4250 Год назад
Kaka uko vizuri sana,na sahihi sana, wanaokupinga ni wale vilaza ambao hawajui majukumu yao, wanataka wafanyiwe majukumu yao na wake zao,& huku wakitaka kuheshimiwa km mume wapi ndugu zangu, mwanaume ukitaka heshima kuwa provider kwa mke& watoto wako, la sivyo mwanaume utaona dunia chungu
@geofreysinkala6064
@geofreysinkala6064 Год назад
Be blessed pastor
@amosibilingi4299
@amosibilingi4299 Год назад
Uongo wenye sumu Kali sana, Kuna watu wanapaswa kupewa hizo mike but wanaonekana mburula, afu wale mburula kabisa ndo wanapewa mike, huu ni uangamizaji wa jamii kupitia wanajamii wenyewe
@RuhamaJulius
@RuhamaJulius Год назад
Natamani mtumishi uunge group la Whatsapp hata kwa kulipia tuwe tunapata masomo yako hapo,Mimi umenibadilsha sana
@jenipherkavusha1661
@jenipherkavusha1661 Год назад
Asante Kaka wasikie na kuelewa
@yaelijoseph6338
@yaelijoseph6338 Год назад
Kaka Deo umeongea uhalisia wa ndoa za sasa...I wish wanaume wote wangesikia jamani 😢
@aminamrisho8878
@aminamrisho8878 9 месяцев назад
Exactly brother
@happynessmduma6096
@happynessmduma6096 7 месяцев назад
Kitabu Bei gani?
@amosibilingi4299
@amosibilingi4299 Год назад
Nikupe hii DEO, chukua itakusaidia, Ikiwa binadamu aliumbwa na Mungu akiwa si mkamilifu asilimia 100, vip atatekeleza majukumu yake Kwa mkewe Kwa asilimia 100?,. Hilo haliwezekani, Kila mtu hufanya Kwa kiasi katika Kila jambo, ni vyema wote mke na Mme ambao si wakamilifu watambue kuwa waliumbwa wakiwa hivyo, then waishi Kwa kuhurumiana pale ambapo Mmoja wao anapomiss majukumu yao
@rosemarykipesha4242
@rosemarykipesha4242 Год назад
Kweli
@lysaaljanes9078
@lysaaljanes9078 Год назад
Listening to you brother makes me question our understanding of men and our position in our society in the 21st century. I think we want to live in 21st century but at the same time we want to treat our wife's/daughters as we are in the 15th century. Some words used in this presentation doesn't respect our wife's/daughters.
@amosibilingi4299
@amosibilingi4299 Год назад
Acha uongo wewe, na vitabu vyako viko slightly useless perspectives. Acha kufanya hii kazi, nenda kakae chini utilize kichwa na hisia Kuna kitu Bado kinamiss kidogo,
@zakiamseka9698
@zakiamseka9698 Год назад
Sindano imeingia
@QueenSophie-rj7hu
@QueenSophie-rj7hu Год назад
​@@zakiamseka9698 umeonaee😅
@josephjulio6112
@josephjulio6112 Год назад
Tatizo kubwa la watanzania hawapendi kukosolewa
@EdnaEdna-bl9we
@EdnaEdna-bl9we Год назад
Baba umenena akika mungu akupe nguvu zakuweza kutujuza tusio yajua akika umebariki nafsi yangu
@sarahezekiel3301
@sarahezekiel3301 Год назад
Wenye hekima ndio wanauwezo wa kuelewa umuhimu na somo kama hili na wanaume wajinga swala la kutimiza majukumu yao wataona ni upuuzi no wonder they are unhappy and they mess up their families big time .
Далее
Как не носить с собой вещи
00:31
Меня знают уже все соседи😅
00:34
MENS Dinner 2023 HANANJA MASWALI NA  MAJIBU
17:23
Просмотров 65 тыс.
Nafasi ya Baba katika Familia - Dr Chris Mauki
9:29
Просмотров 10 тыс.
#ValentinesDay: Deo Sukambi - SELF LOVE
32:39
Dr. Chris Mauki - Tabia Za Mwanaume Party 2
12:06
Просмотров 3,8 тыс.
Dorice malle - Nafasi ya Mwanaume katika familia
13:01
Как не носить с собой вещи
00:31