Stella hakuna binadamu me/ke anayeweza hayo asemayo DEO 100% Kila mtu ni dhaifu eneo flani vile na mwingine eneo kingine ktk maisha yaleyale. Dawa ya yote ni kumuonea mwenzio huruma kwenye udhaifu wake
Kaka uko vizuri sana,na sahihi sana, wanaokupinga ni wale vilaza ambao hawajui majukumu yao, wanataka wafanyiwe majukumu yao na wake zao,& huku wakitaka kuheshimiwa km mume wapi ndugu zangu, mwanaume ukitaka heshima kuwa provider kwa mke& watoto wako, la sivyo mwanaume utaona dunia chungu
Uongo wenye sumu Kali sana, Kuna watu wanapaswa kupewa hizo mike but wanaonekana mburula, afu wale mburula kabisa ndo wanapewa mike, huu ni uangamizaji wa jamii kupitia wanajamii wenyewe
Nikupe hii DEO, chukua itakusaidia, Ikiwa binadamu aliumbwa na Mungu akiwa si mkamilifu asilimia 100, vip atatekeleza majukumu yake Kwa mkewe Kwa asilimia 100?,. Hilo haliwezekani, Kila mtu hufanya Kwa kiasi katika Kila jambo, ni vyema wote mke na Mme ambao si wakamilifu watambue kuwa waliumbwa wakiwa hivyo, then waishi Kwa kuhurumiana pale ambapo Mmoja wao anapomiss majukumu yao
Listening to you brother makes me question our understanding of men and our position in our society in the 21st century. I think we want to live in 21st century but at the same time we want to treat our wife's/daughters as we are in the 15th century. Some words used in this presentation doesn't respect our wife's/daughters.
Acha uongo wewe, na vitabu vyako viko slightly useless perspectives. Acha kufanya hii kazi, nenda kakae chini utilize kichwa na hisia Kuna kitu Bado kinamiss kidogo,
Wenye hekima ndio wanauwezo wa kuelewa umuhimu na somo kama hili na wanaume wajinga swala la kutimiza majukumu yao wataona ni upuuzi no wonder they are unhappy and they mess up their families big time .