Hey pastor mafundisho Yako ni mazuri kabisa naomba siku Moja uje uko Kenya ulete hiyo mafuzo uko, Mimi ninashiriki katika kaniza la Enemasi SDA naomba ufike wakati Moja.
MUNGU Wangu nisamehe zambi zangu mm pamoja na familiya yangu maana nimetenda zambi nyigi zigine bila kujuwa nakuja kwako unisamehe kupitia mtumishi wako
My friend and sister in Christ shared with me one of your sermons a few days ago,I have been listening to your sermons, and they have been a blessing, I feel so much at peace .
I have been following on your teachings moreso on prophecy and I must say you simplify things for me for easy understanding,I am enjoying prophecy so much.Be blessed and may God fill you with more knowledge and wisdom.
Amina pastor Mungu akubariki nmeelewa kuhusu meza ya Bwana naomba Roho Mtakatifu aniongoze katika maisha yangu yote maana bila Yeye Mimi siwezi nakushukuru sana Mchungaji kwa Neno Lenye nguvu ndani ya Moyo wangu Mungu unaemtumikia akupe afia NJEMA pamoja na familiya Amina
Pastor Mmbaga namshukuru Mungu kwa kukutumia ww kama chombo kunena nasi,naamini kwa Jina la YESU KRISTO ,hubiri hili litaniokoa na ugonjwa ulioko ndani yangu.
Pastor nimefarijika sana kwa hubiri hili Mwenyezi Mungu azidi kukutumia kuifunua kweli ya Mungu kwa watu wake nipo Mwanza Kirumba S.D.A nafurahi sana mahubiri yako
Bwana Yesu asifiwe kwa ajili yako wewe mtu wa Mungu hakika nimejifunza pa kubwa sana juu ya dhambi isiyosamehewa. Mungu apanue mipaka ya maisha yako man of God. Anne from Kenya
Ni kwanini..nikitubu mara nyingi dhidi ya dhambi fulani mpaka ninajisikia niko huru lakini nashanga tamaa zinanizidi alaf naanguka tena? Nisaidie basi...
Nimepataa kitu pastor... Kiukwl hapo kwenye kushiriki meza ya BWANA wengi tunatenda kinyume kabisaa... Ilaa asante kwa somo sasaa tumejifunza... Ubarikiwe
Mucungaji nakusihi saana huyo musemo umetumiya eti hao waamiwako eti nibyasharazako Mungu hawezi kuwufurahiya hizo nikondoo umepewa na Mungu na maziwa zinayokupa ili kaziya Bwa iendele yangine unayo niyaziyada
Kanisa lako liko wapi mtumishi wa Mungu? Natamani ningeungana nanyi katika ibada za kila siku nimepanda sana mafundisho yako naona kuna kitu kikubwa sana ndani yako kimewekwa na aliye juu, mimi nipo Morogoro.
Nenda kwenye kanisa lolote la Waadventista wasabato lililokaribu na wewe ushiriki ibada, maana pr ni mchungaji wa kanisa hili. Hauna haja ya kumfata Dodoma, hapo hapo Morogoro yapo makanisa mengi ya SDA.
Baba mchungaji, hata kama niko mbali, umenifundisha kitu ambacho sijawahi kufundishwa toka kuzaliwa kwangu. Mchungaji, ahsante sana, hakika nakupenda sana. Ww ni nuru ya hiyo ulimwengu wote. Mchungaji ameeeeennnn. Mchungaji ubarikiwe sana. Mchungaji naomba namba zako ili siku mmoja niweze kuja mpaka kanisani, au hata nikusalimie tu ktk mawasiliano ya simu.
Pia wengi tumeshirik meza ya bwana bila kupambanua na yamkin yametukuta mabaya kwa ajil ya kutokupambanua sasa tufanyeje ili tusipatwe na mabaya? swali la pili ikiwa tayari umesha mkufuru roho mtakatifu tufanye nini tupate kusamehewa, na hali yakua tunajua ukitubu dhambi na kujitakasa kwa damu ya yesu ndipo tunahesabiwa haki ss inakuwaje hapo?
@@ayubuminja334 nikwamba, umeshiriki meza ya Bwana bila ya kupambanua kwa kina, inamaana ulikuwa hujui kiundani vizuri si ndio??? Sasa hapa hutapatwa na jambo lolote baya kwasababu ulikuwa hujui. Lkn kama unafahamu vyema na ukula mwili wa Kristo isivyostahili bac unaweza patwa na matatizo. Lkn kama ulishapitia mafundisho ya kipaimara, nikwamba huruhusiwi kula meza ya Bwana bila kupata kipaimara. Yaan kama hujapata kipaimara usisogelee ktk meza ya Bwana.
@@ayubuminja334 kaka, kumkufuru roho mtakatifu ni dhambi ya milele, yaan hutasamehewa daima hata utubu, ni kwamba hutasamehewa kabisa. Kumkufuru roho mtakatifu ni mtu kumdharau Kristo Yesu, kumkana, kutokumwamini, kumtukana Mungu, yaan na mengine yote yanayofanana na hayo. Sasa mtu wa aina hii hana msamaha hata atubu vip, huyu mtu hawezi kusamehewa. Lkn kama unaonaga ktk filamu mbalimbali, utaona watu wanamkufuru roho mtakatifu. Mfano mzuri ni kupigwa chata ya alama666. Yaan ukishawekewa hii alama na ww umeridhia bac hutasamehewa hata uvue nguo mchana kweupe. Ni hivyo tu.
Lakini kwa hio damu ya yesu sisi tumesamehewa dhamb kwa hio damu yesu tumewekwa hur kwa hiyo damu ya yesu yote yamekwisha kwa hio damu ya yesu tumepata ondoleo la dhambi huwa wana manisha nini kama kuna dhambi isio samehewa