Тёмный

DHAMBI ISIYOSAMEHEKA NI IPI?(OFFICIAL VIDEO) 

Подписаться
Просмотров 161 тыс.
% 1 271

WENGI WANADHANI WAMEFANYA DHAMBI HII. SIKILIZA ILI UITAMBUE.

Опубликовано:

 

26 ноя 2019

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 252   
@DariahKaveri
@DariahKaveri Месяц назад
Mungu naomba msamaha kwa kushiriki meza ya Bwana nikiwa mwenye dhambi
@francisthomas748
@francisthomas748 11 месяцев назад
Hey pastor mafundisho Yako ni mazuri kabisa naomba siku Moja uje uko Kenya ulete hiyo mafuzo uko, Mimi ninashiriki katika kaniza la Enemasi SDA naomba ufike wakati Moja.
@BethLameck-sc9py
@BethLameck-sc9py 8 месяцев назад
Mungu akubariki baba hakika Mungu anakutumia
@user-fl6wo7zm5f
@user-fl6wo7zm5f 11 месяцев назад
Nimelewa mungu akubaruki mchungaji
@kazidotto8675
@kazidotto8675 Год назад
MUNGU Wangu nisamehe zambi zangu mm pamoja na familiya yangu maana nimetenda zambi nyigi zigine bila kujuwa nakuja kwako unisamehe kupitia mtumishi wako
@graceharoun
@graceharoun 24 дня назад
Amina barikiwa sana mtumishi nimejifunza hakika MUNGU anivushe salama pamoja na familiar yangu atusamehe kwa mengi tuliyomkosea
@fridafrancis1960
@fridafrancis1960 2 года назад
Sioshwi dhambi zangu ila kwa DAMU YA KRISTO TU ameen
@marthamwakatobe1596
@marthamwakatobe1596 2 года назад
Ahsante Mungu kwa mafundisho mazuri ya kutupa ufahamu kuhusiana na kumkufuru Roho Mtakatifu. Mungu wa mbinguni mpe maisha marefu mtumishi wako huyu .
@AzAz-sy6zp
@AzAz-sy6zp 4 месяца назад
Amen mungu akubarki san mtumishi
@deborahmfinanga3991
@deborahmfinanga3991 Год назад
Mchungaji mungu azidi kukubariki sana,umenifungua akili kwa kweli na mshukuru sana mungu kwa kukutumia njema,jina la bwana lipewe sifa.
@nintunzeleonel8062
@nintunzeleonel8062 4 года назад
Ubarikiwe sana mchungaji kwa kuweka ukweli wazi hakika wengi tulikuwa tunatenda mabaya bila kujielewa.Varikiwa sana.
@patriciakhakali4200
@patriciakhakali4200 3 года назад
My friend and sister in Christ shared with me one of your sermons a few days ago,I have been listening to your sermons, and they have been a blessing, I feel so much at peace .
@faithndeva8658
@faithndeva8658 3 года назад
Amen pastor nimejifunza mengi may God bless you
@lydiahnyaboke1995
@lydiahnyaboke1995 3 года назад
I have been following on your teachings moreso on prophecy and I must say you simplify things for me for easy understanding,I am enjoying prophecy so much.Be blessed and may God fill you with more knowledge and wisdom.
@claudinebatamuriza7804
@claudinebatamuriza7804 4 года назад
Sinanjambo yakusema nawomba Mungu anisamehe pastor Mungu akumbaliki sinjuwe kitu cyakusema Mungu nisamehe
@sabathdaychannel2985
@sabathdaychannel2985 3 года назад
Nimebarikiwa pastor kwa huduma yako Mwenyezi Mungu akutangulie kwa utumishi wako
@marycheupe8613
@marycheupe8613 4 года назад
Haki nimejifunza mambo makubwa mno mtumishi. Haki mungu akubariki sana
@asharamadhan8806
@asharamadhan8806 4 года назад
Amina pastor Mungu akubariki nmeelewa kuhusu meza ya Bwana naomba Roho Mtakatifu aniongoze katika maisha yangu yote maana bila Yeye Mimi siwezi nakushukuru sana Mchungaji kwa Neno Lenye nguvu ndani ya Moyo wangu Mungu unaemtumikia akupe afia NJEMA pamoja na familiya Amina
@japhethgeriad4519
@japhethgeriad4519 3 года назад
Hallelujah
@cutestpuppies6632
@cutestpuppies6632 4 года назад
Nimebarikiwa tena na mahubiri yako pastor, Mungu akubariki sana 🙏🙏🙏
@user-no2tw5vb8j
@user-no2tw5vb8j 2 года назад
Doreen Edasi from saudi arabia, l lov the preaching man of God 💃💃💃💃💃💃💃💃
@maalady4631
@maalady4631 2 года назад
The best teacher of the word of God ...be blessed MoG
@elijanzioka9639
@elijanzioka9639 5 месяцев назад
I thank God for giving me good news ,be blessed pastor
@mariampeace6737
@mariampeace6737 5 месяцев назад
Huu Ni wa kweli kabisa MUNGU WA MBINGUNI Ampe Maisha marefu matakatifu
@shimwekagwiza3731
@shimwekagwiza3731 4 года назад
Asante pastor, nakupenda Sana maana unanifumbua macho kila nisikilizapo mafundisho yako
@janengaga2928
@janengaga2928 Год назад
Ameen barikiwa Mtumishi wa Mungu 🙏
@nelsonamani9489
@nelsonamani9489 5 месяцев назад
Pastor nashukuru sana Kwa mahubiri yako, Mungu akubariki
@mundesmokesen9314
@mundesmokesen9314 Год назад
Asante Sana mchungaji umenitoa sehemu moja kwenda pengine ubarikiwe
@amonidafa9665
@amonidafa9665 3 года назад
Hili somo sikuwai kulielewa...Asante Yesu kwamba leo nimeelewa...The victory belongs to Jesus our savior
@dorothyokeyo5454
@dorothyokeyo5454 3 года назад
Very touching I don't know the truth about dhambi ya zisizo samehewa .I like your preaching zina nisonga karibu na Yesu
@kevinigendi6080
@kevinigendi6080 4 года назад
Pastor l really love your preaching am from Kenya thank you so much
@amonidafa9665
@amonidafa9665 3 года назад
Stay connected man of God
@v_simon2677
@v_simon2677 3 года назад
Napenda sana kuskiliza mahubir Mungu aendelee kuwabarik ili muendelee kutufundisha ili tuelewe
@christinajmnkenyi724
@christinajmnkenyi724 3 года назад
Pastor Mmbaga namshukuru Mungu kwa kukutumia ww kama chombo kunena nasi,naamini kwa Jina la YESU KRISTO ,hubiri hili litaniokoa na ugonjwa ulioko ndani yangu.
@miriamngosha6856
@miriamngosha6856 3 года назад
Eh mungu atusamahee na atuepushe na midogo yetu mungu wangu Nimeogopa sana
@judithpius9687
@judithpius9687 4 года назад
Hubiri zuri sana, ni muhimu Kujua Dhabi isiyosameheka. Mungu akubariki pr unapotusaidia kuyajua maandiko.
@dottocharles7809
@dottocharles7809 4 года назад
Pastor nimefarijika sana kwa hubiri hili Mwenyezi Mungu azidi kukutumia kuifunua kweli ya Mungu kwa watu wake nipo Mwanza Kirumba S.D.A nafurahi sana mahubiri yako
@annesilengo2717
@annesilengo2717 4 года назад
Bwana Yesu asifiwe kwa ajili yako wewe mtu wa Mungu hakika nimejifunza pa kubwa sana juu ya dhambi isiyosamehewa. Mungu apanue mipaka ya maisha yako man of God. Anne from Kenya
@romanmaroa3389
@romanmaroa3389 2 года назад
Man of GOD, I am much bless and I love your preaching and teaching, God bless you. I am from kenya
@rachelmanema9044
@rachelmanema9044 4 года назад
Pastor tunaomba utembelee makanisa yetu ufundishe hili somo ubinafsi na ubaguzi unamaliza watu tuombee sana hasa ukabila umezidi
@marymichael8197
@marymichael8197 4 года назад
Mungu azidi kukutumia kwa kazi njema. Nimebarikiwa na fundisho!
@GilesKhamis
@GilesKhamis Год назад
Past hongera sana kwa somo
@anusiathavedasto9916
@anusiathavedasto9916 4 года назад
Samahani mchungaji kwa wale wnaokuwa chini ya marudi tayar wamejitenga na meza ya bwana iyo imekaaje
@mahindiumakinisa4732
@mahindiumakinisa4732 7 месяцев назад
Ahsante kwa hili somo
@patiencehumbled3519
@patiencehumbled3519 2 года назад
Amen,nilikuwa natafuta injili ya ukweli,mtumishi ubarikiwe maana nimeipata kwako kupitia mtumishi wa Bwana mwinjilisti Paschal Cassian
@benardakyoo7475
@benardakyoo7475 4 года назад
God bless you pastor nimejua kwel na itaniweka huru kwa Jina la Yesu kristo
@gloriatoo22
@gloriatoo22 3 года назад
Kenyan 👀 I love your teachings..be blessed too
@davidginono625
@davidginono625 4 года назад
Ni kwanini..nikitubu mara nyingi dhidi ya dhambi fulani mpaka ninajisikia niko huru lakini nashanga tamaa zinanizidi alaf naanguka tena? Nisaidie basi...
@josephshidukiseni8758
@josephshidukiseni8758 4 года назад
Nimepataa kitu pastor... Kiukwl hapo kwenye kushiriki meza ya BWANA wengi tunatenda kinyume kabisaa... Ilaa asante kwa somo sasaa tumejifunza... Ubarikiwe
@witnessmbowe6217
@witnessmbowe6217 4 года назад
Pasta mwangu Ana kaujeuri mtumishi Nifanyeje
@zephaniahmwendwa3840
@zephaniahmwendwa3840 2 года назад
iam so blessed with that teachings
@wycliffephinus4237
@wycliffephinus4237 4 года назад
@pastormbaga you're real exciting me for l want to be a doctor but also a pastor ,you're my role model in Christ.
@maryaoko5027
@maryaoko5027 2 года назад
Mtumishi.....niko na swali....sasa ukila na ndio lkwa umempokea Yesu na hamkua na mafunzo alafu ukashirikishwa
@kissanselu8569
@kissanselu8569 Год назад
Yaani ubalikiwe mtumishi
@paulraymond68
@paulraymond68 3 года назад
Hakika nimekuelewa be Blessed Pastor Mbaga na Mungu azid kukutunza
@jessikaakinyi8445
@jessikaakinyi8445 3 года назад
Ni kweli pastor kuna Aunt yangu anaombea watu wanapona Ila yeye ako na goita aponi na watu wanapona hadi leo ako na hiyo goita
@barakajoseph1816
@barakajoseph1816 4 года назад
Mungu azidi kukutumia kwa kazi yake Pr,songa mbelee
@betronsokanya9071
@betronsokanya9071 4 года назад
Nimebarikiwa sana...namshukuru Bwana Yesu Kristo kwa kuniokoa,na pia nakushukuru wewe mchungaji kwa kukubali kufikisha ujumbe wa Yesu mwenyewe.amina
@user-os3vo4sm2n
@user-os3vo4sm2n 8 месяцев назад
AMEN Barikiwa
@selfaakinyi512
@selfaakinyi512 4 года назад
Kweli shetani ananitatiza na. Usingizi, ila nguvu ya Roho mtakatifu ananiongoza, soma zuri, be bless pastor from qatar
@damah8431
@damah8431 4 года назад
Pia niko Qatar dadangu nipe number yako
@enockosongoh4374
@enockosongoh4374 3 года назад
Frank mkenya from Kenya napenda Sana mahubiri yako pastor
@changarawemichael9795
@changarawemichael9795 4 года назад
Ni Mimi mwenyew nimeongelewa Bwana YESU niguse
@mercynyanchoka6283
@mercynyanchoka6283 3 года назад
Amen, hua nafuatilia kutoka hapa saudia, barikiwa sana
@happymbilinyi7564
@happymbilinyi7564 4 года назад
Mungu akubariki sana mtumishi nabarikiwa sana n.a. Huduma yako Mungu azidi kukutunza tupate mengi zaidi
@karyinabdulmamboleo1940
@karyinabdulmamboleo1940 3 года назад
Ooh hallelujah
@philbertmashaury1985
@philbertmashaury1985 4 года назад
Pr. Amina sabato ijayo ni meza ya Bwana nimepata chakufanya
@marthajames7492
@marthajames7492 4 года назад
Bwana akubariki mchungaji uzidi kutumika shambani mwake
@nyamogafamily4262
@nyamogafamily4262 4 года назад
Barikiwa Sana pastor mbaga
@yohanamabubu2491
@yohanamabubu2491 4 года назад
Kristo wa neema yote akubariki sana mtumishi kwa ajili ya neno zuri.
@avenaaleoamo5095
@avenaaleoamo5095 4 года назад
Asante kwa ajiliya mafundisho haya yamenitoa sehem moja kwenda nyingine endelea kutufunulia zaid
@kabalata1506
@kabalata1506 4 года назад
Amina Pastor Bwana Yesu akubariki sana
@melissateddybearcossan9506
@melissateddybearcossan9506 4 года назад
Aise leo nimeelewa kwa nini wanasema kaputula wazungu badala ya suruali ni kwa sababu wanapenda kaputula
@aganzearthur6205
@aganzearthur6205 2 года назад
Mucungaji nakusihi saana huyo musemo umetumiya eti hao waamiwako eti nibyasharazako Mungu hawezi kuwufurahiya hizo nikondoo umepewa na Mungu na maziwa zinayokupa ili kaziya Bwa iendele yangine unayo niyaziyada
@veronicaenock7292
@veronicaenock7292 4 года назад
Amen Pastor Mmbaga ubarikiwe sana 🙏🏻🙏🏻
@happinessshilie4019
@happinessshilie4019 2 года назад
Jina la BWANA litukuzwe
@MaryWilson-vg2mm
@MaryWilson-vg2mm 3 года назад
Nabarikiwa sana napenda mafundisho kwakweli.
@elizabethlukumai4521
@elizabethlukumai4521 4 года назад
Asante mtumishi mungu akuinue zaidii
@williammwanawima7996
@williammwanawima7996 4 года назад
Somo zuri sana, pastor MMbaga, ILA HUYO MSOMAJI HATUMSIKII KWA SABABU HATUMII MIC. UNGESOMA MWENYEWE ULIYE NA MIC.
@kinggwalu114
@kinggwalu114 2 года назад
Ahsante sana baba nabarikiwa kwer
@emmamedia8155
@emmamedia8155 2 года назад
Yaaaaani huyu mchungaji Basi tu Yuko poa Sana Hadi cyo poa!!!!
@eliabamayi4344
@eliabamayi4344 4 года назад
Waaa jamani haya mafundisho yamenigonga moyo Sana,, barikiwa sana mtumishi sijui niseme nini aki
@mwleliakimnyama6846
@mwleliakimnyama6846 4 года назад
Yes pr.
@rehemanashon3739
@rehemanashon3739 9 месяцев назад
Barikiwa sana Pastor
@zachaeousmithea9488
@zachaeousmithea9488 2 года назад
Wonderful preacher
@seyaorongo7466
@seyaorongo7466 4 года назад
Somo zuri umeiponya nafsi yangu barikiwa sana
@ernestmbowe9153
@ernestmbowe9153 4 года назад
Barikiwa nimekupata vzr na unatoa darasa
@antoniraphael9124
@antoniraphael9124 3 года назад
Kwakweli adi kwenye RU-vid nacheka wambea hao wapoooh labda namm nimewai kuifanya nimesaau mungu anisameee
@buhatwatv8106
@buhatwatv8106 3 года назад
nime elewa, ubarikiwe sana MCHUNGAJI
@user-bj8zf3rd4z
@user-bj8zf3rd4z 8 месяцев назад
Glory be to God always
@vailethmarack374
@vailethmarack374 3 года назад
Barikiwa Mch kwa somo hili.
@chibugamedia7313
@chibugamedia7313 4 года назад
Barikiwa sana
@estherkusaga9181
@estherkusaga9181 3 года назад
Pastor hili somo ni adimu makanisani uwelewa Wa juu namna hii ni mdg sana
@miriamisack3220
@miriamisack3220 4 года назад
Asante mungu kwa neno hili asante baba
@jackmollel3942
@jackmollel3942 2 года назад
Napenda sana haya mahubiri
@user-xy6jr8ew5w
@user-xy6jr8ew5w Год назад
Asante Mungu kwa ajili ya mtumishi huyu.
@mutangajohn3689
@mutangajohn3689 2 года назад
MUNGU akusaidiye pastor
@estermsigwa1476
@estermsigwa1476 2 года назад
Amen nimepata kitu
@joyceyusuph448
@joyceyusuph448 4 года назад
Barikiwa mchungaji somo hili limenijenga kwa namna yake
@maureenjovial6083
@maureenjovial6083 4 года назад
Amen asante Yesu kwa ili somo
@heritierba9868
@heritierba9868 2 года назад
Fundisho nzuri tena
@amanisteven2212
@amanisteven2212 4 года назад
Amina pastor Ubarikiwe.
@miloboreshaafya3362
@miloboreshaafya3362 4 года назад
Mchungaji mungu akujalie na akutie nguvu
@boyhd2480
@boyhd2480 2 года назад
Barikiwa mchungaji
@anithabuberwa2253
@anithabuberwa2253 4 года назад
Kanisa lako liko wapi mtumishi wa Mungu? Natamani ningeungana nanyi katika ibada za kila siku nimepanda sana mafundisho yako naona kuna kitu kikubwa sana ndani yako kimewekwa na aliye juu, mimi nipo Morogoro.
@zephaniahgiftedbygod960
@zephaniahgiftedbygod960 4 года назад
Barikiwa sana Anitha Pastor anapatikana Dodoma mjini
@dannychagana3019
@dannychagana3019 4 года назад
Nenda kanisa la SDA hapo Morogoro watakusaidia namna ya kumpata huyu mchungaji
@MaryMary-hw8fr
@MaryMary-hw8fr 4 года назад
Amen mtumishi ubarikiwe sana unafundisha mpaka unaelewa bila shida.
@jordanmashaka50
@jordanmashaka50 4 года назад
Nenda kwenye kanisa lolote la Waadventista wasabato lililokaribu na wewe ushiriki ibada, maana pr ni mchungaji wa kanisa hili. Hauna haja ya kumfata Dodoma, hapo hapo Morogoro yapo makanisa mengi ya SDA.
@isaiahstadius2383
@isaiahstadius2383 4 года назад
Anitha Buberwa karbu MAZIMBU SDA unaweza kunitafuta kwa namba 0672911001 nitakuelekeza.
@user-zc1xq8xk1i
@user-zc1xq8xk1i 6 месяцев назад
Wote ni walewale
@witnessmalangalila91
@witnessmalangalila91 4 года назад
Barikiwa sn Mtumishi
@micamathew6433
@micamathew6433 4 года назад
Baba mchungaji, hata kama niko mbali, umenifundisha kitu ambacho sijawahi kufundishwa toka kuzaliwa kwangu. Mchungaji, ahsante sana, hakika nakupenda sana. Ww ni nuru ya hiyo ulimwengu wote. Mchungaji ameeeeennnn. Mchungaji ubarikiwe sana. Mchungaji naomba namba zako ili siku mmoja niweze kuja mpaka kanisani, au hata nikusalimie tu ktk mawasiliano ya simu.
@ayubuminja334
@ayubuminja334 4 года назад
Pia wengi tumeshirik meza ya bwana bila kupambanua na yamkin yametukuta mabaya kwa ajil ya kutokupambanua sasa tufanyeje ili tusipatwe na mabaya? swali la pili ikiwa tayari umesha mkufuru roho mtakatifu tufanye nini tupate kusamehewa, na hali yakua tunajua ukitubu dhambi na kujitakasa kwa damu ya yesu ndipo tunahesabiwa haki ss inakuwaje hapo?
@micamathew6433
@micamathew6433 4 года назад
@@ayubuminja334 nikwamba, umeshiriki meza ya Bwana bila ya kupambanua kwa kina, inamaana ulikuwa hujui kiundani vizuri si ndio??? Sasa hapa hutapatwa na jambo lolote baya kwasababu ulikuwa hujui. Lkn kama unafahamu vyema na ukula mwili wa Kristo isivyostahili bac unaweza patwa na matatizo. Lkn kama ulishapitia mafundisho ya kipaimara, nikwamba huruhusiwi kula meza ya Bwana bila kupata kipaimara. Yaan kama hujapata kipaimara usisogelee ktk meza ya Bwana.
@micamathew6433
@micamathew6433 4 года назад
@@ayubuminja334 kaka, kumkufuru roho mtakatifu ni dhambi ya milele, yaan hutasamehewa daima hata utubu, ni kwamba hutasamehewa kabisa. Kumkufuru roho mtakatifu ni mtu kumdharau Kristo Yesu, kumkana, kutokumwamini, kumtukana Mungu, yaan na mengine yote yanayofanana na hayo. Sasa mtu wa aina hii hana msamaha hata atubu vip, huyu mtu hawezi kusamehewa. Lkn kama unaonaga ktk filamu mbalimbali, utaona watu wanamkufuru roho mtakatifu. Mfano mzuri ni kupigwa chata ya alama666. Yaan ukishawekewa hii alama na ww umeridhia bac hutasamehewa hata uvue nguo mchana kweupe. Ni hivyo tu.
@ayubuminja334
@ayubuminja334 4 года назад
Lakini kwa hio damu ya yesu sisi tumesamehewa dhamb kwa hio damu yesu tumewekwa hur kwa hiyo damu ya yesu yote yamekwisha kwa hio damu ya yesu tumepata ondoleo la dhambi huwa wana manisha nini kama kuna dhambi isio samehewa
@ayubuminja334
@ayubuminja334 4 года назад
@@micamathew6433 ni kweli kuhusu meza ya bwana nimekuelewa vizuri .