Kutoka Congo 🇨🇩. Nimesikia kubarikiwa nakuona mabaki ya Mungu bado wapo! Nimeisikia sauti ya Mungu ikizungumuza kwa kizazi hiki kilicho haribika! Mungu akubariki mchungaji!
Praise GOD man of GOD.i love the way you rebuke sin, it's very rare in this generation to see a preacher rebuking sin.most of them pamper sin and the sinner be blessed man of GOD...
Amina Amina,Mungu amekuinua kwa makusudi yake maana wakristo wanaotembea na madhehebu yao hawataki kusikia jumbe za utakatifu wa ndani na nje kutoka kwenye ministries ambazo Mungu amezitenga pia kuhubir kweli katika siku hizi za mwisho,EAGT ni miongoni mwa wasiopenda kusikia kweli ya Mungu kutoka kwenye ministries,,,,,pia jiandae kupingwa na wakuu wa dini kaza moyo MUNGU yu upande wako.
Ni hatari kubwa sana. Wananyolewa,wanaoegesha na mengine tusiyo yajua. Mimi siendi saluni kwa yale siku moja nilikutana nayo kwenye saluni moja. Sikuamini. Dunia ipo pabaya.
Ukweli mtupu,nilipita karibu ya nyumba ya mchungaji,nikapitia kusalimia.nilibisha hodi,mchungaji akasema karibu,kuingia nikashtuka nikatoka mbio nje.maana mchungaji alikuwa na towel,tumbo nje,vischana vya praise and worship viko apo vinacheka na pastor wala havioni aibu.nikaenda zangu nyumbani...
Kwakweli Mungu akubariki Sana kwaujumbe,leo ndo najua kuna watu wananyolewa saloon sehem za siri?daah nahiiyo ya wamama kupanda boda kwa kuwasugulisha matiti boda ata km hawawaz ngono hakika nimejifunza na Mungu anisamehe sanaa acha niendelee kujifunza,