Kama ni dhambi dhahabu au madin yoyote kuyaweka mwilini naomba unieelezee na wazee 24 nao wana dhambi? Maana wamevaa taji za dhahabu kichwani mwao. Ufunuo 4:4 Pia ktk maono ya yohana Yesu alionekana amevaa vazi jeupe na mshipi wa dhahabu kifuani Ufunuo1:13 .Je hapo pamekaaje naomba unielezee.
@therezapetro5725 wazee 24 ni roho na mataji wamevikwa baada ya kuingia Mbinguni, pia lazima ujue kuna uchafu wa Mwili na roho sasa uchafu wa mwili unakuzuilia kuingia mbinguni ndio maana Mungu anakutaka ujisafishe, 2 Wakorintho 7:1 Basi, wapenzi wangu, kwa kuwa tuna ahadi hizo, na tujitakase nafsi zetu na uchafu wote wa mwili na roho, huku tukitimiza utakatifu katika kumcha Mungu.
Amina baba Asante kwa somo hili dunia ijue, ila kuna watumishi wengine ukifundisha watu wasijipambe et anasema kanisa litakua lakishamba, Mungu atusaidie niliwahi fundisha somo hili kanisani kwangu chungaji akajaiumalizia kuwa watu mjipambe tu kanisa nisije likawa lakishamba nilichoka kiukweli , Mungu anikumbuke tena amina
NA SISI JAMI YA WAMASAI TUNAPENDA UTAMADUNI YETU YA KUVAA BANGILI MA SHANGA NA UREMBO MINGI SHINGONI. na Wahubiri wetu hawatukatazi. Hata wanakwaya wetu wanavaa sana urembo shingoni. Mungu fungua macho za kiroho za wahubiri wetu. AMEN 🙏.
Mtumishi mungu akuinue saana Asante. Sasa Mimi Nina swali nje inatupasa tuvae Saa? Na pili Mimi Nina swali tena kuna kipengele ya bibilia ,kinasema .kujipamba kwenu kusie Kwa kusuka nyoele ,Sasa Natália kujuwa apo bíblia inakataza ama una turekebisha? Asante naomba muniele ivyo ivyo sijue sana Swahili.I fr. Mozambiqui.
Wanadamu wana shindwa kuelewa Neno la Mungu kwasababu ya uvivu wa kusoma Neno na kulielewa Wana waisraeli walikuwa wanavaa vito vya thamani kwasababu ya miungu yao ukisoma habar za yule mfanyakazi wa lbraim alienda kutoa posa kwa rabani Biblia inaendelea kusema mtu yule kati ya zawadi alizompa rebeka vilikuwemo na vikuku NB: wana wa Israel walikuwa wanatumia vitu kulingana na miungu yao,mf; kama unaenda kuoa kwa wasukuma wazee wanakwambia tunataka pombe huwezi wabishia kwa maana unafuata wanachosema wao, kwahiyo husivae vikuku kwa sababu vilipelekwa kwa Rebecca
Mchungaji nakosea Sana au nimekuelewa tofautu Sana vitu hivyo Nani aliviumba mbaona watu Wana chimba dhaabu na kutajirika hii nini Mungu ameweka hivi vitu ili viwe dhambi kweli mbona unatumia Sana agano lakale..sema twaweza kutumia vyote ispokuwa kuviabudu.
Imeandikwa uombe kwa jina la Yesu. Nasio kwa jina la bikra Maria Kwasababu Yesu alifufuka peke yake na Maria bado anasubiri kufufuliwa ile siku ya mwisho
Acha uongo tumeambiwa tukipambe Kwa vikuku heleni rozari ni sala kamili ya kumwabundu mungu aliye hai pia tunaomba mama bikra maria atuombee Kwa mwanaye kama alivyoomba kwenye harusi ya kana miujiza wa kwanza wa yesu kristo wahubiri watu wamjue mungu wa kweli usitishe watu mambo ya mapambo mavazi hayatupeleki mbinguni
Kuna vitu huwezi kuelewa mpaka uchukue gharama ya kumuomba roho mtakatifu akujulishe wewe binafsi,mi nilikuwa siamini lakini nilipoamua kumtafuta Mungu nilipata majibu . Ushauri wangu sio kwa mapambo tu hata jambo jingine ukiona utata nenda mbele za Mungu atakuambia
KUMUOMBA maria NI MAFUNDISHO YALIYO MAAGIZO YA WANADAMU. Bali Bwana Yesu anasema tumuombe yeye:- YOHANA 14:13-14 13 Nanyi mkiomba lo lote kwa jina langu, hilo nitalifanya, ili Baba atukuzwe ndani ya Mwana. 14 Mkiniomba neno lo lote kwa jina langu, nitalifanya. Na pia Bwana Yesu asema, tumuombe Baba yake kwa jina lake YOHANA 16:23 23 Tena siku ile hamtaniuliza neno lo lote. Amin, amin, nawaambia, Mkimwomba Baba neno lo lote atawapa kwa jina langu. WALA SIYO MAPENZI YA MUNGU WATU KUMKIMBILIA maria BALI MWANAWE YESU KRISTO YOHANA 6:40 40 Kwa kuwa mapenzi yake Baba yangu ni haya, ya kwamba kila amtazamaye Mwana na kumwamini yeye, awe na uzima wa milele; nami nitamfufua siku ya mwisho. KUMBE MAPENZI YA MUNGU NI WOTE WAMWELEKEE MWANAWE. NA KWA WALE WASIYO YATII MAPENZI YA MUNGU (HAO WAOMBAO KWA maria) YESU KRISTO AWAAMBIA KAMA ILIVYOANDIKWA KTK :- MATHAYO 7:21 21 Si kila mtu aniambiaye, Bwana, Bwana, atakayeingia katika ufalme wa mbinguni; bali ni yeye afanyaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni. Mathayo 7:21 KWAMBA HAWATAINGIA KTK UFALME WA MBINGUNI KWASABABU HAWAKUYAFANYA YALIYO MAPENZI YA BABA YAKE, BALI YA WANADAMU.
Hivyo ni vitu vidogo sana la msingi fundisheni kusudi lililomleta Mfalme Yesu duniani .nalo ni Ufalme wa Mbinguni na huko vitu vyote vitaeleweka.unachofundisha ni mambo ya dini na madhehebu ambalo sio kusudi la MFALME ELOHIM.mmedanganywa nama wa makahaba
Kanisa lako hawavai epete wakifunga ndoa? Jamani basi watu wot waliokwisha kufa wako motoni mbona hukufundishavtoka mwanzo kuokoa watu wengi? We Mungu anajua.
Shida Yako ww uliecoment hivi ndio hutaki kuelewa .kama upo sawa,tofautisha YESU NA MUNGU na kama agano la kale unasema halina maana,je walioliunganisha na agano jipya tuwaite wajinga!kumbuka neno la MUNGU haliwi la kale au kuku
Wanadamu wana shindwa kuelewa Neno la Mungu kwasababu ya uvivu wa kusoma Neno na kulielewa Wana waisraeli walikuwa wanavaa vito vya thamani kwasababu ya miungu yao ukisoma habar za yule mfanyakazi wa lbraim alienda kutoa posa kwa rabani Biblia inaendelea kusema mtu yule kati ya zawadi alizompa rebeka vilikuwemo na vikuku NB: wana wa Israel walikuwa wanatumia vitu kulingana na miungu yao,mf; kama unaenda kuoa kwa wasukuma wazee wanakwambia tunataka pombe huwezi wabishia kwa maana unafuata wanachosema wao, kwahiyo husivae vikuku kwa sababu vilipelekwa kwa Rebecca
Wanadamu wana shindwa kuelewa Neno la Mungu kwasababu ya uvivu wa kusoma Neno na kulielewa Wana waisraeli walikuwa wanavaa vito vya thamani kwasababu ya miungu yao ukisoma habar za yule mfanyakazi wa lbraim alienda kutoa posa kwa rabani Biblia inaendelea kusema mtu yule kati ya zawadi alizompa rebeka vilikuwemo na vikuku NB: wana wa Israel walikuwa wanatumia vitu kulingana na miungu yao,mf; kama unaenda kuoa kwa wasukuma wazee wanakwambia tunataka pombe huwezi wabishia kwa maana unafuata wanachosema wao, kwahiyo husivae vikuku kwa sababu vilipelekwa kwa Rebecca
Wanadamu wana shindwa kuelewa Neno la Mungu kwasababu ya uvivu wa kusoma Neno na kulielewa Wana waisraeli walikuwa wanavaa vito vya thamani kwasababu ya miungu yao ukisoma habar za yule mfanyakazi wa lbraim alienda kutoa posa kwa rabani Biblia inaendelea kusema mtu yule kati ya zawadi alizompa rebeka vilikuwemo na vikuku NB: wana wa Israel walikuwa wanatumia vitu kulingana na miungu yao,mf; kama unaenda kuoa kwa wasukuma wazee wanakwambia tunataka pombe huwezi wabishia kwa maana unafuata wanachosema wao, kwahiyo husivae vikuku kwa sababu vilipelekwa kwa Rebecca
Hiyo ni miungu migeni kumbuka dhahabu ili watu waipate lazima ifanyiwe manunga sasa huoni apo ukivaa unavaa mashetani Watu wana sema tutatakasa Mali ya shetani haitakasiki Na Mungu awi radhi na wapumbvu