Тёмный
No video :(

DIAMOND Afunguka ALIKIBA kutaka KUMUIBIA watangazaji wake 

Rick Media
Подписаться 872 тыс.
Просмотров 56 тыс.
50% 1

_________________________________________________________________________________
Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe RU-vid channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
_________________________________________________________________________________
Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 191   
@kichecheBurund
@kichecheBurund 3 месяца назад
Leo ❤nisiku mbaya kwangu ivi kwanini amu ni support kwa like naomba like basi❤
@munisialpha6465
@munisialpha6465 3 месяца назад
Njoo nikukande nikupe like
@MJEGEJEEE
@MJEGEJEEE 2 месяца назад
YANI usiomuomba MUNGU unakuja hapa kuomba likes 😅😅😅😅😅😂😂
@IssaAbushehe
@IssaAbushehe 3 месяца назад
Uislam umempendeza maa shaa Allah ifike wakati autumikie in shaa Allah
@MoneyKey247-fk4oy
@MoneyKey247-fk4oy 3 месяца назад
Mbona mnaandika kitu cha uongoo sijaona kauli ya diamonds kumlaumu kiba acheni umbeya pumbavu zenu
@careemdulla1629
@careemdulla1629 2 месяца назад
Hongera Diamond kwa kuwasaport wasanii wenzako pia achana na watu wenye wivu wa maendeleo eti kwanini unamsaidia Babalevo huo ni wivu tuu ukiona mtu anasaidiwa ni anajuhudi
@richkaja3317
@richkaja3317 3 месяца назад
Mond weye mtu wa watu bless sanaa
@gregoryndanu3541
@gregoryndanu3541 3 месяца назад
Diamond Godfather wa mziki wa Bongo💪🏾
@snipper4462
@snipper4462 3 месяца назад
Big up Mondi
@alilalji1306
@alilalji1306 3 месяца назад
Diva mnafik king akose watu wote amfate Diva Sura mbaya
@thethengomba355
@thethengomba355 3 месяца назад
The last question is very MEDIOCRE, very CHILDISH
@erdekingtv9563
@erdekingtv9563 3 месяца назад
Safi sana brother mondy umezaa watoto wengi kwenye maendeleo sijui harmo, vanny, mbosso, zuchu na sasa b levo ba
@hassanWanjiku
@hassanWanjiku 3 месяца назад
Aaaaah wivu wa Nini ama n vile Ali kiba amepokelewa acha za ovyo braza
@rewardyesse7314
@rewardyesse7314 2 месяца назад
Mtangazaji wa Millard ayo ameuliza swali zuri sanaa
@user-ky2uh2jd4j
@user-ky2uh2jd4j 3 месяца назад
Drp likes for simba and B levo
@user-jz6lm5yv4f
@user-jz6lm5yv4f 3 месяца назад
Hongera sana baba levo
@kabobajeanclaudenaftali6608
@kabobajeanclaudenaftali6608 3 месяца назад
Mungu aendeyee kukulinda kk
@AbuyDullah
@AbuyDullah 3 месяца назад
Kwanza tuanzee hapa Diva muongo hakutafutwa na crown ni kiki tu linatafuta nmna lisikike tu Lile li mwanamke Kuna watu kiba anawachkua na diva sio miungon mwao msidanganyike
@user-eq8yl1ms5f
@user-eq8yl1ms5f 3 месяца назад
Mwanaume kuombaomba like huo niushoga
@BenMahende
@BenMahende 3 месяца назад
ACHA ushamba, no life bila support
@ErickGadson-yg2xj
@ErickGadson-yg2xj 3 месяца назад
Diamond Hi the Big smart
@swahilifashion2206
@swahilifashion2206 3 месяца назад
Huyo mpuuzi Diva ataachaje kusema ilihali anatafuta kiki kwakua alitemwaga na Kiba tokea kitambo.. mpuuzi tu
@ndizoshukuru6142
@ndizoshukuru6142 3 месяца назад
Daaaah😂😂
@collinndabi1914
@collinndabi1914 3 месяца назад
Sura haionesh furaha
@niffonlinetz7214
@niffonlinetz7214 3 месяца назад
Unataka acheke cheke Sasa au
@user-nn9ds7uf2r
@user-nn9ds7uf2r 2 месяца назад
Sure
@mkadinali_ent.
@mkadinali_ent. 3 месяца назад
Rick media nanyi wangese tu ,title mnaandika hapa n utumbo tu
@mussandikumana3561
@mussandikumana3561 3 месяца назад
Wala crown aina shida nao awo wangewaita wasingesema
@sospetershijah5619
@sospetershijah5619 3 месяца назад
Mbona Hans Raphael kaenda na alikuw wasaf? Achen ngonjera kila mtu anatafta riziki kw namna yake na kw njia yake anayoiona ni sahihi achen chuki wala mond hana shida yyte alishatangulia kweny hii biashara muda mref wala akuna tatzo ila sis mashabik ndio huwa tunaleta haya matabaka kw sabab ya chuki za kishabiki tu.
@maxlattinokiki8105
@maxlattinokiki8105 3 месяца назад
Diamond kuongea point sana !! Ila Babalevo liwache ku block watu mfanya Biashara hutakiwi kuwa na hasira
@sajidseleman6641
@sajidseleman6641 2 месяца назад
Good speach
@reginawilliamvictor3020
@reginawilliamvictor3020 3 месяца назад
Tunakubali simba
@tigejuma9865
@tigejuma9865 3 месяца назад
N kma mondi Hana Raha...konde alimkunja uso moyo wake una vuja damu...kma bahati bukuku alivyosema😅😅
@DMARVEL-qf5wy
@DMARVEL-qf5wy 3 месяца назад
Baba levo hayo ndio maendeleo na sio kuwa chawa sio Dili mzee baba
@roychogo2329
@roychogo2329 3 месяца назад
Njia aliyo chagua imemfanikisha😂
@rewardyesse7314
@rewardyesse7314 2 месяца назад
Diamond anajua kuongea kinoma
@user-gy9uf5wm1c
@user-gy9uf5wm1c 3 месяца назад
Wasaf diva awamlipi vizur,toka tu nenda crown media ukapige mwingi Maana kule ni nyumbani
@HasnaNassoro
@HasnaNassoro 2 месяца назад
Msipende uchinganish diamond na Alikiba msipo wasema jaman mambo yenu ayaendi?ipo siku mtajibu ayo ,hapa ni dunian kumbuka kesho,apa wakilumban mnafaid nini au mta faid kipi
@muniraahmed624
@muniraahmed624 3 месяца назад
Huyu Jamaa snitch sanaaaaa 🎭
@user-ix1dj1oe1h
@user-ix1dj1oe1h 3 месяца назад
Why?
@DonMuyuya
@DonMuyuya 3 месяца назад
Saidia kwanza baba yako
@abuuhamda6213
@abuuhamda6213 3 месяца назад
Wazaz wake walifariki mzee kıla siku huwa anasema
@st.alvincollege6184
@st.alvincollege6184 3 месяца назад
Baba yake yupi?
@eliuskamwelwe1018
@eliuskamwelwe1018 3 месяца назад
Godfather
@zaharanakim289
@zaharanakim289 3 месяца назад
Tai Sasa lilivyo kaa
@JordanRichard-vq6zz
@JordanRichard-vq6zz 3 месяца назад
Tai imekaa kichawa zaidi, uenda chawa wamo mle😹😹
@user-nn9ds7uf2r
@user-nn9ds7uf2r 2 месяца назад
du!
@EspoirSamy-st5le
@EspoirSamy-st5le 3 месяца назад
Zombi we 🎉
@frankmwinuka6298
@frankmwinuka6298 3 месяца назад
Zamani nilikuwa namuona ni mwana kumbe afadhali ya mwijaku kuliko huyu mondi
@shutheprincess4633
@shutheprincess4633 3 месяца назад
Ila mchiz anatumia kigodoro😊😊
@ikramalmas7039
@ikramalmas7039 3 месяца назад
Tafuta pesa harafu ikuzoee unatakata tuu
@hoseanobocka7140
@hoseanobocka7140 3 месяца назад
Hyo pesa kaka umasikini ndo unafifisha mwili
@PaschalGerad-xq4lw
@PaschalGerad-xq4lw 3 месяца назад
Bi levo baaa
@user-rp5fe7ie7t
@user-rp5fe7ie7t 3 месяца назад
jamaa linaroho mbaya unavo msikiliza kama vile mzuri vile
@hoseanobocka7140
@hoseanobocka7140 3 месяца назад
Roho mbaya yake Diamond ni ipi kipi kibaya aliwahi kukufanyia au kufanyia familia Yako ?????
@agnesmwakilingo5804
@agnesmwakilingo5804 3 месяца назад
Yaani binadamu acheni mond anapambana sana kuisaka pesa.Hana ubaya nyie tu na Roho zenu.
@POINT_TV_
@POINT_TV_ 3 месяца назад
Ushukuriwe wewe diamond
@Luckreadyog
@Luckreadyog 3 месяца назад
Kila Mara Niki waona diamond na baba levo nakumbuka number one
@fadhilially7357
@fadhilially7357 3 месяца назад
MBONA MADANCER HAWANA MAISHA NA UWASAIDII
@mohamedmanga8391
@mohamedmanga8391 3 месяца назад
😊wivu utakupa ulcers 😂😂
@Ambaryeh
@Ambaryeh 3 месяца назад
hapo sasa
@ISSACKRICHARD
@ISSACKRICHARD 3 месяца назад
Fact kama yule iyobo du Ata gari Kali sijui kama anayoo😂😂😂
@barrynzeyimana6270
@barrynzeyimana6270 3 месяца назад
Kuwasaidia kivipi wakati wanalipwa? Kwakua kukusaidia ni kukuajiri baada ya hapo tumia mshahara wako kukuza maisha yako
@shabaniismaily1470
@shabaniismaily1470 3 месяца назад
Kwan ww ukilipwaa mshahara na boss wako unategemea aje kukujengea aje kukufungulia biashara hebu achaa ujinga
@Sisopotashiumz
@Sisopotashiumz 3 месяца назад
Simba tunakukubali saana wote na family yangu
@mohdkhalifa8828
@mohdkhalifa8828 3 месяца назад
Hakunaga chuki kwenye mafanikio
@starfireog8695
@starfireog8695 3 месяца назад
Naombeni sapoti ata Mimi naomba nimeaachia wimbo wangu mpyaa unaitw wewe kama mtataka kusikiliza starfire wewe
@BenMahende
@BenMahende 3 месяца назад
Mondi Nakukubali kuliko maelezo. Endelea kuwa na na moyo huo huo
@waltermfikwa4361
@waltermfikwa4361 2 месяца назад
Kwan hv mkiweka tu bila kuandika kuhusu Alikiba hamna watakaotazama!? Mavi kweli nyieee
@mstarabubeats2165
@mstarabubeats2165 3 месяца назад
KUSAIDIA NINI HAPO NDO UNAPOJISAHAU.FANYENI BIASHARA TANGU LINI UKASAIDIA MTU WEWE ROHO YAKO YA KOROSHO UMEMUUA MAVOKO A.K.A KING OF BONGO FLAVER
@benboyburundi2429
@benboyburundi2429 3 месяца назад
baba levo ndagukund kutoka Burundi big love G gong like kama unamkubali baba levo😂
@user-xs3wu8ej7t
@user-xs3wu8ej7t 3 месяца назад
Wewe ambaye sio mnafiki umefanya nn mzee fanya mambo Yako mzee
@user-nn9ds7uf2r
@user-nn9ds7uf2r 2 месяца назад
Usije kusema umeibiwa
@nicholauskilosa5336
@nicholauskilosa5336 3 месяца назад
Kubwa jinga linachekelea kama zombi
@user-nn9ds7uf2r
@user-nn9ds7uf2r 2 месяца назад
hahahahaha
@BIGSTAROGTZ
@BIGSTAROGTZ 3 месяца назад
@Whoisthismantalking
@Whoisthismantalking 3 месяца назад
Linafiki sana hili jamaa, linajifanya linasapot watu lakini ndio linaloongoza kwa kuangusha watu. Hakuna msanii aliyewai kutokea tanzania hii aliyewafanyia fitina wenzie kama Diamond.
@kizdady2544
@kizdady2544 3 месяца назад
Wacha umalaya wewe kipofu wa maisha 😅
@user-wv1ls4oh4l
@user-wv1ls4oh4l 3 месяца назад
Ujakosea uyu kama chui tu akicheka ndioamekasilika
@user-by9cu9to1y
@user-by9cu9to1y 3 месяца назад
Liliangusha Mamako, sivyo?pumbavu zako
@user-jh9yv1zp1l
@user-jh9yv1zp1l 3 месяца назад
Mjomb ako ww kakup nn?ach kuongea kam mwanmke
@niffonlinetz7214
@niffonlinetz7214 3 месяца назад
MASIKINI AKILI ZETU BANA 😂😂😂
@BekaJoo
@BekaJoo 3 месяца назад
Kigoma moja hyo😅
@NelbatKasekwa
@NelbatKasekwa 3 месяца назад
Ulitaka afanye nini diamond I amewabeba wasanii wamekiwa wakubwa wewe unasema mnafiki wewe umewabeba wangapi acheni chuki
@user-jh9yv1zp1l
@user-jh9yv1zp1l 3 месяца назад
Simba
@AllyBabu-kr6lg
@AllyBabu-kr6lg 3 месяца назад
We achana na uyo chawa nenda kawanunulie waimbaji wako maroboti mahana viws zao changamoto 😢😢😢😢😢
@piusmwakyembe4545
@piusmwakyembe4545 3 месяца назад
Nawe kamnunulie mkeo kama unaona rahis
@AllyBabu-kr6lg
@AllyBabu-kr6lg 3 месяца назад
@@piusmwakyembe4545 haaaaaaaaaa
@kizdady2544
@kizdady2544 3 месяца назад
@@piusmwakyembe4545ata suruwali ya ndani hawezi mnunulia 😅
@solomonsamuel3584
@solomonsamuel3584 3 месяца назад
Kamununulie mkeo kigodoro kwanza make na yeye nyuma hapaonekani
@gwidjiqshabani2082
@gwidjiqshabani2082 3 месяца назад
HARMONIZE 🐘 AKIFUNGUA MEDIA BONGO SIKU HIYO HIYO NTAHAMA😂 MAANA MEDIA ZINAKUA ZINAMILIKIWA NA WASENGE. KONDE GANG HAKUNA SHOBO.
@reganndossi1833
@reganndossi1833 3 месяца назад
Drop like hapa
@Makokola
@Makokola 3 месяца назад
Baba levo mm shabiki yako nakupongeza naomba niwe store keeper was ofisini kwako kaka
@-thegreat-zawadimmasa307
@-thegreat-zawadimmasa307 3 месяца назад
Ongera Simba
@alilalji1306
@alilalji1306 3 месяца назад
Baba levo amekuwa
@mkadinali_ent.
@mkadinali_ent. 3 месяца назад
Huyu mtangazaji wa mwisho n mshamba saaan unakosa kujiongeza diamond kwa alichokijbu mpaka baba levo anakusaidia wee nyooo nini😂😂😂
@BernandoPrudent
@BernandoPrudent 3 месяца назад
Simba mina kukumbali sana
@NkusiFred
@NkusiFred 3 месяца назад
Diamond nasibu ikija kwenye suala la kifikra hapa namutii hususan kimuziki WA bongo na, taalabu
@GoodluckAnno
@GoodluckAnno 3 месяца назад
Kaka apo umesema tumia ulicho nacho kupata usichonacho
@amirjuma8020
@amirjuma8020 3 месяца назад
Ila huyu jamaa dah mbele ya camera huwa anajua sna kuzba watu macho lkn usiloljua n usku wakiza mwenyez ambariki b levo ba
@eliuskamwelwe1018
@eliuskamwelwe1018 3 месяца назад
Ko we mungu ndo unajua mabaya yake hongera😅😅
@user-xe8wi5ez4u
@user-xe8wi5ez4u 3 месяца назад
Diamond ni mtu wakusapot watu
@KhamisLilos
@KhamisLilos 3 месяца назад
Na mpaka mutakunya mnao mchukia mtu kama huyu
@user-cj6fi4gy5f
@user-cj6fi4gy5f 3 месяца назад
Huyu mkundu tu na ni shoga tu mchoyo ki midia cha ujinga 😂😂😂😂😂😂😂
@jamesmusonda1914
@jamesmusonda1914 3 месяца назад
Baba Levo yuko royal sana kwa Diamond yani ni rafiki wa kweli siyo fake
@johnmwasilu7087
@johnmwasilu7087 3 месяца назад
Saraphina kila siku anapigwa za uso maswali yake ya kijinga jinga 🤣🤣
Далее
لدي بط عالق في أذني😰🐤👂
00:17
Просмотров 3,2 млн