Nimekupenda bure brow.... Skuizi unaga zarau Allah barik, afu umeongea vizuri sana na mwenye kupenda amani ndio mtu bora kwa familia.... Big up broo,.... 🇰🇪 n hop Early ata respond in a gud way, bifu ekeni mbali muimarishe nchi wallahy wengi watafraia
WOW this Boy he is more like are president.I will tell you Way Diamond platnumz he is Wise emotionally und Physikalische.ln swahili ana Fikiria,ako na moyoni na ana Tenda.I Love you "DP" you Shows much Love this Show me that you dont habe Enemy or Bf with your bro Alikiba,This Show' s us we schould Show Love allover the World i like your speech bro Platinum welldone and Good work😍😙🤗🙌🙌🙌👌🙏🙏❤
SIMBA TUNAKUKUBALI SANA ILA MZEE BABA VIKUKU ACHANA NAVYO UNATUTIA AIBU USIWAIGE WAZUNGU WASHAZOEA UCHOKO ANAEKUBALI MANENO YNGU AGONGE LIKE CONK CONK CONK WATANYOOKA TU
Diamond plantumz Ana akikiii snaaaa huyu jamaaa na Naona namna gan anashauku kuupelekaaa mziki wa bongo mbele mungu am-barikiii..Kama na ww umemuelewa gongA like twenDe sawAaaa
Merci beaucoup Mr platnumz..vous êtes toujours le meilleur...du est Africa. ...Big-up 2 you my star...ukiwa na kiba kwenye festival itapendeza xana mimi kama shabiki nawaunga mkono🖒
Alicho kisema ni kizuri sana Na ni wazo nzuri tu ila mashabiki kwa midomo yenu ninyi ndo mta kuwa mna ongelea mengine tofauti alafu ikaja kutokea #alikiba aka acha kukubaliana Na wazo la mdogo ake..... #DjB2kzer0 from #Canada 🇨🇦
Yani kaka km ulikuwa kwnyw mawazo yangu csi ndio tunaowatngenezea wasanii bifu sidhani km daimond angekuwa na chuki moyoni angemtaja jina tena kasema ningefurahi sana km kakaangu Ally atakuwepo nahisi bifu lao limetengnezwa na fans
Uko mtuu mzuuri sanaa maasha allaah mmungu akuzidishiee wallaahi una hurumaa , una mapenziii , na una ubinaadamm na binaadamm wenzioo jenginee huna choyoo walaa roho mbayaaa na kitu kikuubwa nilicho kupendeaa kwanzaa kumjali mamayakoo na kumuweka mbelee na mshauri wakwanza katika maisha na kazi zakoo kwahili alhamdulilaah yaaraby akuzidishieee na azidi kukumiminiaa baraka ilaaa mdogowanguuu nnasikitikaa kumtupa na kumzarauu baba yakoo kwaninii unatowa hukumuu ya kumuwadhibuu kwanii mwenye kubukumuu hayupooo auu kasahauu miee nnakuomba umuwachiee mwenyewe mmungu amuhukumiee ikiwaa kuna baya loloote alilo kukoseaa huwezi juwaa kulitokea ninii auu sheittaani kampitiaa mdogo wangu diamond jitahidi sanaa kumsamehee anaee kukoseaa na aliee kukoseaaa kwani na wewe ni kiumbee ushakosa mangapiii na hujafa bado hujakamilikaa you never know in future sameheee ili na wewee usamehewee soote ni binaadamm na binaadamm nidhaifuu kilaa mmojaa ana mapungufu yakee ndio maana mmungu akatuwekeaa milango wa tobaa diamond huna haki ya kumuhukumuu mzazi wakoo so plzz duniaa ni mapitoo na atujuwii linii auu saangapii tutaondoka na kwenda kukutana na mwenye kuhukumu so plzz , plzz ,plzzz mswamehee mzazi yaani babayakoo ili na wewrr usamehewe na mola wakoo palee ulipo koseaa na utapo koseaa Hayaaa sasaa nakupa nasahaa sasa kaa utulizeeee akiliyakoo wacha kudanga dangaa fikiriaa kuwa wewr ni baba wa watotoo unatakiwaa ujiheshimuu ilii uheshimikeee uje kuwajengeaa heshima watoto wakoo sasa tafuta auu fikiriaa kurudi kwa mama watoto wakoo uyamalizee kwa kusawazisha yaliyo ya kharaam na kutengeneza yaliyo ya halaalii kubwa ni kumuomba radhi mola wakoo na mama watoto wakoo yaani ZARRY umuoweeee tenaaa umuowee muwe mke na mumeee ilii mutuliee muilee familiyaa yenuu kwa njiaa ya halaali na furraakha SHUKRAAN kwaleoo maoni yanguu ni hayooo
Kinaniuma kitu kimoja watu wa reggae awapewi nafasi kabisa ktk matamasha ya Tanzania yote imefika atua hata vipindi wamevitoa kwenye TV na radio zao da!!
Kweli ummoja ni nguvu unajitahidi sanakutaka kaka yako awepo mungu atampa nafasi alli kiba awepo jamani.kwa nia safi Inshallah mungu akufungueni na akuwekeeni wepesi
ukicheki huku simba, ukigeuka kulia konde boy, ukicheki kushoto van boy na mboso kan, hujakaa sawa unamcheki konki konki konk master oil chafu spati picha patakuaje
Diamond "SIMBAA" ktk siku umenifurahisha ni hii siku kumuomba kakaako Ally ajumuike nimekupenda bureeee hapa ndio pale wanaopenda uchochezi kwenye kutengeneza bifu wanapoumbukaaaaaa dadeq