Тёмный

EXCLUSIVE: "HATA NIKIFA LEO SINA CHA KUJUTIA" - MR NICE 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 307 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 530   
@emmanuelmollel4526
@emmanuelmollel4526 4 года назад
Mr Nice ni kweli Duniani hutajutia na kila kitu umekifanya lkn kuna moja kvbwa umelisaha kaka ni KUMPOKEA YESU AWE BWANA NA MWEOKOZI WA MAISHA YAKO Hilo ni jambo kubwaa kumbuka kuna maisha baada ya maisha Yesu kristo anakupenda sana MPE maisha yako kaka na wewe itakua salamaaa yeye ni yote katika yote ameeen
@atanasifrancis3308
@atanasifrancis3308 5 лет назад
unafiki mbaya ...,Ulikuwa miongoni mwa wasanii wangu pendwa nikiwa mtoto ,ubarikiwe sana broo nyakati zinabadilika,hata wasanii wanawika leo kuna wakati watapitwa ,sasa kwanini watu leo wakusimange ?, Blessed broo Mr Nice
@charsmwaimu2598
@charsmwaimu2598 5 лет назад
Atanasi Francis
@atanasifrancis3308
@atanasifrancis3308 5 лет назад
Chars Mwaimu Naam,niambie
@shukuranikibona5893
@shukuranikibona5893 5 лет назад
Wanasahau kuwa siri ya #Mtungi aijuaye ni #Kata.....!
@yasinmakandalau4414
@yasinmakandalau4414 5 лет назад
Atanasi Francis k
@shadrackomondi7200
@shadrackomondi7200 2 года назад
Umemaliza kabisa
@EdgarKimutai
@EdgarKimutai 5 лет назад
Bongo musicians owes a lot to Mr. Nice.....they should give him maximum respect....this is the guy that introduced the good Bongo music to East Africa and especially Kenya.......hapa Kenya ukienda kwa majumbani, vilabuni, arusini......nyimbo ni za diamond, Rayvanny, Harmonize etc......long Live Mr. Nice
@amemohammed7493
@amemohammed7493 2 года назад
Uyo noma wakat wake ⏰ ulipo kuw 🔥🔥🔥🔥
@Kwise01
@Kwise01 Год назад
Mimi kabisa
@patrickmacharia3566
@patrickmacharia3566 Год назад
I really love this guy..... He is a Hero
@benjaminmwema4175
@benjaminmwema4175 Год назад
He was a good guy ... Songs that l liked from the start to date .... You are a legend Mr nice .,, Keep it up man
@jeamakaaka1thozzy337
@jeamakaaka1thozzy337 2 года назад
Your music still played here in Zambia. You're the best Mr nicr
@dafemuya3471
@dafemuya3471 5 лет назад
Hata ukapata pesa ngapi, huwezi kuwa kama Mr. Nice. Ligi yake tofauti sana
@mbidjisilunga2575
@mbidjisilunga2575 Год назад
Tokeya mwaka 2000 tungali watoto n'a tchapa mistari yote ya mister Nice Paka sasa 2023 najuwa kuimba album nzima ya mister Nice 🔥🔥🍻🍻🍻🍻🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@sirhilman
@sirhilman 5 лет назад
• Mr Nice we miss you a lot here in Mozambique! God bless you. 😇
@sheylagoncalves8568
@sheylagoncalves8568 3 года назад
Morreu?
@luckydubebello1131
@luckydubebello1131 2 года назад
@@sheylagoncalves8568 no he is alive
@husseinmorgan6264
@husseinmorgan6264 5 лет назад
One of my best interview kiukweli huwa nairudia mara nyingi sn hii interview kuiangalia na kuickiliza coz najifunza kitu kupitia hii video ni vizuri ktk safari ya maisha kila mtu aishi maisha anayoyataka yy, wengi wanaishi maisha ya kuigiza ila Mr Nice ameweka wazi kabisa maisha aliyojichagulia hii inanifundisha kuwa duniani hapa tunapita so you better live your life, ninachoamini kutoka kwa Mr Nice ni mpambanaji na kikubwa bado Mungu amemjaalia afya njema atarudi tu na kuzikamatia km zamani coz maji hayasahau mkondo wake @millardayo
@philemonkageleja3858
@philemonkageleja3858 3 года назад
Mr nice nilikalili nyimbo zako kama zote na nilitamba nazo kijijini kwetu na nikapata umaarufu kwa nyimbo zako huko kijijini.... Well done mr nice!.. still legend brother!.
@carolgithigi1299
@carolgithigi1299 5 лет назад
Wow Mr nice..... You are a legend..... Mad respect 🇰🇪
@johnfaustinechannel746
@johnfaustinechannel746 5 лет назад
Cha kujutia kipo Mr Nice kutokumkubali Yesu kama mwokozi wa maisha yako na kuishia kuabudu starehe! Mda unaisha na mlango wa Rehema unafungika.
@adanletoo2530
@adanletoo2530 5 лет назад
Aliye kwambia yesu aingiza watu peponi n nani
@cpawilsonmashauri8686
@cpawilsonmashauri8686 5 лет назад
Yesu mshikaji tu kama wewe...
@silviapamba3756
@silviapamba3756 5 лет назад
Aliye kwambia hamjui mwenyezi mungu Nani??wacha kujifanya unamjua, hujui undani wake ila mungu Tu....tena pengine yesu kamkubali kukuliko hata wewe.
@adanletoo2530
@adanletoo2530 5 лет назад
@@silviapamba3756 make my day bitch!
@anethshio497
@anethshio497 5 лет назад
Siyo kila kikufaacho wewe kila mtu pia kitamfaa.... Kwani alikwambia anataka kwenda huko Mbinguni?😂😂😂😂
@sarahwanjala6601
@sarahwanjala6601 5 лет назад
Umebaki uokoke sasa juu kunahasara kabisa unapo kaa bila YESU mkubali awe Bwana namokozi wa maisha juu umekula rahaa bali huzuni iko mbele
@silviapamba3756
@silviapamba3756 5 лет назад
...but unajuaje km haombi mungu wake na kutubu??, kwani lazma aonyeshe hadharani kwamba amemkumbali mungu, si hata David was sinner but when it comes to God he is serious like nobody's business.. stop judging people on social media, it's just a short minutes clip, you don't spend time with them in real life to know them... Remember God hates hypocrisy, kuonyesha watu ati wewe unamwabudu, do it for your own good, without even announcing to us...
@shayopaterini8678
@shayopaterini8678 4 года назад
Sasa umejuaje hapo alipo sasa hivi
@zuluftiabubakar3643
@zuluftiabubakar3643 4 года назад
Amina
@charlesyotham7977
@charlesyotham7977 4 года назад
Safi sana sarah kwa msg nzur .huwo ndio ukwel hakuna cha ziada .yesu ndiye njia na kweli na uzma hayo mengine yana toka kwa muovu
@kigahedavid2178
@kigahedavid2178 2 года назад
Kulikuwa hakuna mitandao ila ulijulikana kila mahali hata cm zilikuwa shida, respect broo all time
@frankngajilo7137
@frankngajilo7137 5 лет назад
Mr Nice nilikutana naye mahali akatumia Kama laki tatu usiku mmoja ,wakati wanadai mhudumu akawa anadai kifujo maana aliambiwa amefulia jamaa akasema nalipa kwa mpesa ,mhudumu akawa haamini kumpa namba akalipa laki nne na kusema laki ongeza vinywaji kaunta nzima afu akaaga ,ni mpole sana na anatabasamu muda wote na ongea yake ya kinyrnyekevu sana
@shayopaterini8678
@shayopaterini8678 4 года назад
Duuuuuuu
@mohammedmhina3973
@mohammedmhina3973 Год назад
Duuh😀🙌🏽 sem usiam san mitandao naamn sasa maan wanamuita kafulia kumbe mwamba hajamua kuw high key tu kwny media
@JELSONMAUKI
@JELSONMAUKI 9 месяцев назад
Aiseee 😭😭😭😭 sio fresh kabisa binadamu bana. Naisi hyo mhudumu Aliona Abi Sana. Pande zioi hapo tujuze
@samchris1914
@samchris1914 5 месяцев назад
Daah noumaaa😂😂
@zulihanani7355
@zulihanani7355 5 лет назад
Me just love,we got married through yr songs utabaki juuuu
@pelelepe6440
@pelelepe6440 5 лет назад
Mr Nice give us one more song. You are a Legend.
@massculini
@massculini 3 года назад
Mr nice can never be replaced , He remains the legend forever
@obadiasylvester8509
@obadiasylvester8509 5 лет назад
Mr.#kikulachooo daaaah your the best come back again brother
@reubenfavour
@reubenfavour 5 лет назад
Piga Like Tukienda..... Mr Nice Is A LEGEND
@justommoja2405
@justommoja2405 2 года назад
"Sometimes, to be silent is a good answer to fool people" Legent i salute you 👍
@paulinamon9087
@paulinamon9087 5 лет назад
Nimependa kujiamini kwako mr Nice.
@frozen4rozen475
@frozen4rozen475 5 лет назад
Legend uyu jamaa ndo alifyeka nyasi pakawa na njia
@oscarwamburi9420
@oscarwamburi9420 3 года назад
Kabisa
@elbarrey3305
@elbarrey3305 5 лет назад
Subuhannnallah... Huna cha kujutia dah Mnyez Mungu akupe uelewa na uanze kujijutia kable haijakukuta sakaratul-mauti 😭😭😭
@gabrielshewio6599
@gabrielshewio6599 4 года назад
Wewe ndio mpumbavu, kila mtu na maisha yake.
@rhiophiri9645
@rhiophiri9645 5 лет назад
Mr Nice where exactly r you?people r terribly missing u, usimply melted and evaporated,come back on stage ...man .I have personally felt ok to see u and hear ur voice
@rodhachepngeno9277
@rodhachepngeno9277 4 года назад
Rhio Phiri mwambie 🤔🤔🤔
@misigarojeandedieu1865
@misigarojeandedieu1865 3 года назад
Happy to see you again Mr nice...it's been so long time...Rwanda tuna ku miss sanaaaaa 💓💓💓💓, happy new year by the way bro....sauti lako..moyo wako mwema..utulivu...wako, nyimbo zako zote siwezi sahau..kikulacho, lakini nilipenda collabo yako na harmonize..( sina)...we mtu wa watu, blessed man..
@beniciopitatapuleta6342
@beniciopitatapuleta6342 9 месяцев назад
I'm happy to see Mr Nice ,I remember his songs I love so mush, God bles him,here in Mozambique I anjoy his songs.
@princespider5854
@princespider5854 5 лет назад
All n all Mr nice ni legend ndio mwenye bongo fleva na ndio msanii east Africa alieshika more money kwenye tasnia ya mziki
@anselimhans6342
@anselimhans6342 5 лет назад
Aika mmbee.
@johnmessi6831
@johnmessi6831 5 лет назад
Nakukubali wewe sio mnafiki unaishi unavyo taka na sio watu wanavyo taka keep it up nice
@franklwehela7595
@franklwehela7595 5 лет назад
Sijawahi sikia skendo ya kipuuzi juu ya Mr.Nice. Ofcoz you deserve to be Mr.Nice.
@zaitunabdalla1319
@zaitunabdalla1319 5 лет назад
Millard jamani c kila mtu ana Mike yake...
@paulalphonce5848
@paulalphonce5848 5 лет назад
Zaitun Abdalla Umeonaa eehh!!!????
@zaitunabdalla1319
@zaitunabdalla1319 5 лет назад
@@paulalphonce5848 bwana weeee... Ajichokesha yani
@zaitunabdalla1319
@zaitunabdalla1319 5 лет назад
@THE GREAT AFRICA bwana weeee... Mi hata namuonea huruma
@selemanimasatu2421
@selemanimasatu2421 5 лет назад
Ayo ashazoea kuwasogezea
@ezekielelia4295
@ezekielelia4295 5 лет назад
😂😂😂
@wabogojo
@wabogojo 5 лет назад
Bosi Wangu Nakukubari Sana 🙏🏾Mungu Azidi Kukubariki Inshallah 🙏🏾 Mr Nice
@rajabumasoud9954
@rajabumasoud9954 5 лет назад
Mlitisha sana
@kharounngavason7930
@kharounngavason7930 5 лет назад
Umeburuza Sanaa life bro nakubali
@florencenjoroge2844
@florencenjoroge2844 5 лет назад
We love u Mr nice🇰🇪🇰🇪
@KIZOB
@KIZOB 5 лет назад
Rugeh alikumaliza kimziki nakumbuka akitaka urudi kwake ndio urudi kwa game. ..big up sana Mr nice rest in peace ruge
@user-sw5zf7qj1b
@user-sw5zf7qj1b 4 месяца назад
Loved yo songs since my childhood
@mbidjisilunga2575
@mbidjisilunga2575 Год назад
Tu es uneLégende 🇨🇩🇨🇩tokeya congo🇨🇩🇨🇩✌️✌️wewe djo Simba wa kweli
@bahatistrongwoman
@bahatistrongwoman 4 года назад
Waaah ila we Mr Nice hahaa nyimbo zako zilikua juu sna
@michaelkessy5740
@michaelkessy5740 5 лет назад
Watu wemepitia mengi......Jamaa 2004 huko alitisha sana
@itsyourboy.vicky_771
@itsyourboy.vicky_771 4 года назад
@ v
@aimabiz8393
@aimabiz8393 Год назад
Yeah! Tembea na pesa kwa booty ya Gali! Big up to you! Nilikua napendo nyimbo zako wakati nilikua Primary school I love you from Burundi !
@dochdodava
@dochdodava 3 года назад
Ayo Respect;!!! Unawapa mudaaa kabsaaa!!! Wajua... @dochmuzik confirmed!!!
@xcarrentacar3985
@xcarrentacar3985 5 лет назад
Big up bro nakumbuka sana nilikuwa mdogo wako mtaani
@jean-baptistenkurunziza2949
@jean-baptistenkurunziza2949 5 лет назад
Endelea na mziki wako MR NICE. Watu wengi baado wana kupenda.
@neemaruben5427
@neemaruben5427 2 года назад
Kbsaaa
@robertmaingi4635
@robertmaingi4635 5 лет назад
Nampenda sana Mr nice jina bado IPO tena sana jina kubwa hiyo
@sulemanmadahatv1691
@sulemanmadahatv1691 4 года назад
Chakujutia kipo kaka, hujampa YESU maisha yako, unatakiwa uokoke ndo ujue utamu wa maisha haya
@shayopaterini8678
@shayopaterini8678 4 года назад
Umejuwaje sasa wewe kama hajampa yesu maisha au unataka afanye matangazo
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 3 года назад
Kuokoa siyo show off kuji tangaza
@thefinalstand2022
@thefinalstand2022 5 месяцев назад
Haswaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
@jacklinemakena6260
@jacklinemakena6260 4 года назад
Much love from Kenya Mr nice
@ruthmbewe4883
@ruthmbewe4883 Год назад
Were is this guy anyway Mr nice.... We mis your music 🎵 give us new album. We love your music here in zambia.
@arafampoma3399
@arafampoma3399 4 года назад
Mr. Nice kiukweli umepotea lkn kama ungejiwekeza mpk leo ungekuwa bado upo 🔥 🔥 🔥 🔥 lkn ulibugi mbona wakina propfesa mpk leo yupo juu wewe unajisifu ujinga eti starehe
@nezumamakame3565
@nezumamakame3565 5 лет назад
Cha kujutia kipo achana na mziki na mastarehe rudi kwa mola wako aliekuumba kabla hujafa mungu akuongoe amiin
@bibiemohamed6044
@bibiemohamed6044 3 года назад
Hakika atajuta kila mtu...mwema na mbaya kujuta lazima mbaya atajuta kwa kua 0 na mweme atajuta kua kwann hakuzidisha wema bc
@nyimbizikamtima1356
@nyimbizikamtima1356 4 года назад
Aisee nimependa sana maneno yako kila kitu kinawakati wake upo sawa kabisa
@majanja3466
@majanja3466 3 года назад
The king 🤴 Ever 🇧🇮 East-Africa alituburudisha sana.
@ellyraj3797
@ellyraj3797 5 лет назад
Kaka bado Mungu huja mweka mbele kwahyo unacho chakujutia huhu
@johnkyara1498
@johnkyara1498 4 года назад
Huyu jamaa napoteza mda mwingi kupambana na Adui anajishitukia sana it means alipata pesa akatumia vibaya
@rimkaerdogan8430
@rimkaerdogan8430 5 лет назад
Leo Mimi ni wa 1kuona vidéo Yako ♨️♨️from burundi
@Zoe-ow5vf
@Zoe-ow5vf Год назад
Kuna moja usipofanya utajuta milele,mpokee Yesu awe Bwana na mwokozi waaisha yako.ili ukifa akukaribishe kwake,huo ulimwengu mwingine hatuna machaguzi ulicho amua huku ndicho kutakuamulia kule ulae wapi.kule hakuna free will kama huku.
@EdwinJaphet
@EdwinJaphet 5 лет назад
Hahahahaaaa, Mr Nice umenifurahisha sana, salute kwako nakukubali sana
@michaelmaziku991
@michaelmaziku991 5 лет назад
Acha hizo Nice umefulia hukujua kesho itakuwaje acha kupotosha vijana
@ibrahimpius893
@ibrahimpius893 5 лет назад
Sura yako na yeye nani aliyechoka zaid
@michaelkessy5740
@michaelkessy5740 5 лет назад
Sasa hivi yuko vizuri Uganda analindwa kama rais
@HabilyTech
@HabilyTech 5 лет назад
Sura yako mbaya hadi roho
@ruthgitau6374
@ruthgitau6374 8 месяцев назад
Mr Nice was top in 2002 in kenya🇰🇪fagilia song and kikulacho.
@zjuniorofficial2464
@zjuniorofficial2464 5 лет назад
Mtu asimdharau Mr Nice ni jamaa mwenye busara sana mimi napenda anacho kiongea
@hamidaalhabsi8568
@hamidaalhabsi8568 3 года назад
Nikweli kabisa UKITAKA kusaidia mtu usijioneshe ndivyo anavyo penda mungu
@kimpalambapj
@kimpalambapj 2 года назад
R.I.P brother "Mapinduzi" still I'm watching on the interview of your favorite artist, Mr. Nice.
@sospeternyambok5145
@sospeternyambok5145 3 года назад
I love this guy really so much I wish could meet Mr nice one day big up bro
@Vincentksang277
@Vincentksang277 2 года назад
Big up legend...time yangu nilienjoy Sana nyimbo zake
@chunaamina8719
@chunaamina8719 4 года назад
Kwa kweli umeongea point nzuri, yaani ukitoa msaaada sio lazma camera ichukue ulimwengu utambue, bali Mungu tuu
@allyanthony3489
@allyanthony3489 5 лет назад
Uko vizur Mr Naic kweli haunaga majivuno
@bernardzibwe3279
@bernardzibwe3279 5 лет назад
Ally Anthony
@shabanimshana2981
@shabanimshana2981 4 года назад
Umefulia maneno ya mkosaji hayo
@rachaelnzisa3787
@rachaelnzisa3787 5 лет назад
Big up Mr nice you will be always a legend
@bibip9181
@bibip9181 Год назад
Good point broo hakuba bongo fleva kama Mr nice😍😍
@uvccmichenjezya2350
@uvccmichenjezya2350 5 лет назад
story nzuri sana na nimeipenda sana .. tatizo inapoteza ladha kwa kuwa na ADDS nyingi mno
@emanuelnyagaya6328
@emanuelnyagaya6328 3 года назад
Mr. Nice am your fan since you've started your music carrea I like you
@kainmzangwa8899
@kainmzangwa8899 4 года назад
Big up bro ulisomeka sana na unasomeka sana wew ndio uliosafisha njia ya mziki wetu wa bongo
@laurentprochess8278
@laurentprochess8278 5 лет назад
Duh!!!aisee mpaka arusha kwenda kwenye starehe kweli pesa ina jeuri aisee
@TheSalma1999
@TheSalma1999 5 лет назад
Bless your heart brother
@mariamalongo8803
@mariamalongo8803 Год назад
Uneongea vizuri Mr Nice Nakumbuka wimbi wako .kikulacho
@JofreyDamson-nm6ec
@JofreyDamson-nm6ec 4 месяца назад
Mr nice nikweli unavyosema mambo yamtu siyo yakiyadisi sana mungu hapendi
@PenielLema
@PenielLema 5 лет назад
Superb interview ever by homie celeb.
@jameshaule5460
@jameshaule5460 5 лет назад
Kumbe bata alizokula nice sio za nchi hii dah alf mbona lafudhi yako sijaisoma mzee
@orlandamirasse8047
@orlandamirasse8047 2 года назад
King of King Mr. Nice
@piusnkwale
@piusnkwale 5 лет назад
Naona umejikita kwenye kujisifia kuliko kujibu maswali ya msingi
@mmn7480
@mmn7480 3 года назад
😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣
@qaltumsaid3095
@qaltumsaid3095 4 года назад
We love you mr nice 😍
@zanzibartraditionalcooking6516
@zanzibartraditionalcooking6516 2 года назад
Him the king him self
@mwanahawabakari718
@mwanahawabakari718 2 года назад
Mwana wakat ule Bata tumeinjoy acha tu mista nice hata Mimi nimeinjoy mzee mbunge aawe nikilia tu mpunga huo
@gabrielzakaria2810
@gabrielzakaria2810 2 года назад
We bro nmekwelewa ila sasa rud kwa mung ila kiuchumi upo vzr
@vveronicamakori2297
@vveronicamakori2297 3 года назад
Our mentor Mr nice we love u
@belzylucas7275
@belzylucas7275 Год назад
Nimekumisss sana mr. Nice
@subiramohd885
@subiramohd885 5 лет назад
Umezeeka Duu kweli kila kitu kinamwisho.Hongera yko kwa Majisifu memgiii
@rajabumasoud9954
@rajabumasoud9954 5 лет назад
Hahahaha
@trogers2545
@trogers2545 5 лет назад
Mbona wamshikia mic na ana yake mkonononi
@RamazaniMulongeca
@RamazaniMulongeca 5 лет назад
TRogers 254 Uzoefu bro, helewa hali.. he’s addicted 🙌
@Sanyah-le1od
@Sanyah-le1od 5 лет назад
I thought so too.
@tuly_tulive_tv_online_0140
@tuly_tulive_tv_online_0140 5 лет назад
Mmmmh kama umeona studio ya MR:NICE gonga like hpa
@tuly_tulive_tv_online_0140
@tuly_tulive_tv_online_0140 5 лет назад
Kama umeona MR NICE KAVAA koti kubwa na mwili wake mdogo gonga like hapa
@faizaboubacar5064
@faizaboubacar5064 4 года назад
Milad nimependa sana jinsi unaviouliza masuali #Mtangazaji bora kwangu #From Comoros tunakusiliza sana #
@wycliffmomanyi8628
@wycliffmomanyi8628 4 года назад
Tunakutambua Kenya ...usidharau mwezie maisha fumbo
@emmanuelkweka4776
@emmanuelkweka4776 5 лет назад
Nenda Uvira, na Kivu DRC utapiga show za kufa mtu wanakukubali sana huko.
@mimamelchior7821
@mimamelchior7821 5 лет назад
Daah allah Akbar vijana uliokuwa nao wapo vizuri lkn ndugu mmmh usiseme aujutii unajutia Kwa mtazamo Tu Hali si shwari
@marumiz
@marumiz 5 лет назад
Teh teh teh
@mimamelchior7821
@mimamelchior7821 5 лет назад
@@richardtungaraza7509 alie sema anafanana nae ni Nani ndugu ndio unaamka
@mohammedomar1371
@mohammedomar1371 5 лет назад
Amesahau kama kuna mungu
@mohammedomar1371
@mohammedomar1371 5 лет назад
@@mimamelchior7821 Amesahau kama kuna mungu na uharamu yuwajisifia
@shukuranikibona5893
@shukuranikibona5893 5 лет назад
@@richardtungaraza7509 .Anataka atongozwe ngoja atongezwe na agongwee kichupa hatarudia tena kuongea hayo maneno #Mr.Nice anatumia kipaji chake halisi na hawezi akafanya mkataba na #Shetwani wakati kipaji kapewa na MUNGU...!
@ruthnjambi7432
@ruthnjambi7432 3 года назад
I love you Mr nice...
@catherinebassanga2252
@catherinebassanga2252 4 года назад
Nikweli kabisa Mr nice hakuna msanii yoyote yule ambaye anaweza kufananishwa na wewe
@abdoulkarimmabulu1416
@abdoulkarimmabulu1416 2 года назад
I love Mr Nice
@destinandbros1095
@destinandbros1095 3 года назад
Mr Nice kumaliza ndani ya yesu ndiyo kumaliza vizuri,sikusema mimi mtakatifu ila ndilo njiya sote tunatamani.
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 3 года назад
Kwani huyo Yesu anasemaje
@adamsilumbe2764
@adamsilumbe2764 5 лет назад
Daaah nimependa mazungumzo ya nice kaonyesha ukomavu
@dastansimpanzye5558
@dastansimpanzye5558 4 года назад
Mirrad Ayo, Ungemwambia aachie wimbo mwingine akumbushie enzi zake. kuku kapanda baiskel bata kavaa izoni!!!! Mimi napiga deki hahaa
@munirahlytuu123
@munirahlytuu123 3 года назад
Uzur wako unanipa kiwew nifny nn ili niwe n ww hta kula sil m nakuwaza wweeeee
@upendorobert7298
@upendorobert7298 5 лет назад
umebakiza kujikoboa mwili tuu ka mkongo man, hongera
@p.kasongot979
@p.kasongot979 5 лет назад
Fuck you coz wa congo viwanda vya cream ni bya baba yazo. Wekuma aise wa bongo wangapi wana jichubua
@derrickthedon91
@derrickthedon91 4 года назад
Haha pesa mpaka inawekwa kwenye butiii... Noma sana
@sellah4603
@sellah4603 4 года назад
Kama umemuelewa Mr nice gonga like
@nuurinkluge7584
@nuurinkluge7584 5 лет назад
His true 👍🏻👍🏻👍🏻👍🏻💜💜🙏🏼Goodbless
@mzeewajambo8293
@mzeewajambo8293 5 лет назад
Mr nice kitambo sana nilikuwa nakubali sana bishoo enzi nipo darasa LA pill😂😂 Jamaa ulitamba sana
Далее
🫢 #tiktok #elsarca
00:11
Просмотров 4,4 млн
Throwing Swords From My Blue Cybertruck
00:32
Просмотров 11 млн
Средневековый киборг
00:39
Просмотров 534 тыс.
Diamond Platnumz - I miss you (Official Video)
4:59
Diamond Platnumz - Kamwambie (Official Video)
3:47
Просмотров 12 млн
Ferre Gola - 100 kg
6:11
Просмотров 13 млн
🫢 #tiktok #elsarca
00:11
Просмотров 4,4 млн