Dah mtume s.a.w alisema miaka elfu nyuma kwamba "Itafika wakati maisha chini ya kaburi ni bora zaid kuliko ya duniani" Ndo haya dunia yote imejaa kamari
Leo haramu imekuwa ndo halali na Halali imekuwa ndo haramu Dunia imekwisha tumrudie Allah Mauti yanakuja Kubeti ni HARAMU kw herufi kubwa ukubali ukatae
Hivi huyo Mwijaku ni mwanaume gani asiyekua na msimamo kama mwanamke. Yaani YEYE na Haji Manara wana muonekano wa kiume lkn wana mioyo ya kike ya kutokua na msimamo, huku wanataka na kule wanataka. Yaani hawo hawafai kabisa kufanya nao kazi. Hawana ujasiri na uvumilivu wa kiume. Ni wanaume mavazi tu hawoo
@@boxpoacher1072 aah boy sio kwa staili hiyo ya undumilakuwili mara kwa Harmonizer mara kwa Diamond, mara kwa akina Hersi mara kwa akina MO Dewji. Mbona akina Juma Lokole au Baba Levo hawana kieleele hicho na Pesa wanapata. Maana hiyo tabia ya hivyo baadae itamcosti ujue, ataonekana hana maana