Тёмный
No video :(

DIDA AELEZA UKWELI WOTE KUVUNJIKA NDOA YAKE - "KISA WEWE NI FLANI NDIO NINYANYASIKE?" 

Wasafi Media
Подписаться 4,7 млн
Просмотров 168 тыс.
50% 1

DIDA AELEZA UKWELI WOTE KUVUNJIKA NDOA YAKE - "KISA WEWE NI FLANI NDIO NINYANYASIKE?"
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Опубликовано:

 

22 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 456   
@Noah-se3ni
@Noah-se3ni 2 года назад
Dida. hiyo sio nyota ya ndoa hiyo ni mikosi. utuolewa marangapi mwanamke wewe mmmm.
@flavy_kipps4025
@flavy_kipps4025 2 года назад
hakika mwanamke unajisifia ndoa 4🤣🤣🤣
@hidayaamani7150
@hidayaamani7150 2 года назад
nilijua hakuna muolewaji hapo minilijua
@felistersmejumaa5188
@felistersmejumaa5188 2 года назад
Uzuri nikwamba Mzee alishakula mzigo alhamdulillah 🙏🙏🙏
@kisimachamovemixzadjmackdj1555
@kisimachamovemixzadjmackdj1555 2 года назад
😆😆😆
@reynaaalrawahi4137
@reynaaalrawahi4137 2 года назад
😅😅😅
@binaljabirmshihirzanzibar8369
@binaljabirmshihirzanzibar8369 2 года назад
😂😂😂😂😂😂😂
@laurentraphael5470
@laurentraphael5470 2 года назад
😀😀😀😀
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 2 года назад
🤣🤣🤣🤣felister wewe
@sabraabdilnasir8826
@sabraabdilnasir8826 2 года назад
Aliitaka ndowa kwa madaha ila ndowa inataka ustahamilivu mkubwa sana bila ya kusubiri utaolewa na wanaume 100
@hidayaamani7150
@hidayaamani7150 2 года назад
huyo asha kua kunguru
@aishaamwalimu2887
@aishaamwalimu2887 2 года назад
Dada Dida nakupenda Amani ya moyo, furaha ya moyo ndiyo kilakitu,.
@kiri5807
@kiri5807 2 года назад
km una nyota ya ndoa ungedumu kwenye ndoa wacha kusifia maovu . una nyota ya uzinifu wewe umekaa naye huyo jamaa miaka 9 munazini kuja kuolwa miezi 2 tu sasa nyota imeng'ara wapi hapo ?
@bonywahab9565
@bonywahab9565 2 года назад
Huna akili... we unadhani Ndoa ni vitu... ndoa ni baina ya mtu na mtu sio vitu... we unadhan huo mkoba ndio ndoa eeeh! Unatuharibia dada zetu... akili huna...
@emmanuelenock6310
@emmanuelenock6310 2 года назад
Hongera kuwa na nyota ya ndoa na talaka comrade🎉
@ramadhanmakame1328
@ramadhanmakame1328 2 года назад
Hahahah
@albs1448
@albs1448 2 года назад
🤣🤣🤣
@aishachambo8663
@aishachambo8663 2 года назад
😂😂😂😂
@messaabbas739
@messaabbas739 2 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@patrickmukundichalamila3038
@patrickmukundichalamila3038 2 года назад
Hivi ile michango ya mamilion jaman yanayochangwa inakuaje? Mungu anahuruma kwakweri kwa binadam sisi tulio na pua zilizotazama chini🙏
@aminahhuawei1133
@aminahhuawei1133 2 года назад
Didi habbty wangu hiyo siyo nyota ya ndoa hiyo nimikosi dada yangu ilaa ndiyo maisha nakupenda sana dida😘😘
@mkangaratz8640
@mkangaratz8640 2 года назад
Unajua ndoa nyingi zina vunjika kutokana Na maisha yamtu akishajiweza tu Bhas ukishaolewa inatakiwa Ubadilike sas mtu kaolewa lakini Habadiliki anataka awe sister duuh wabadilike hata kimavazi bado wana Usichana
@asiaa6573
@asiaa6573 2 года назад
Upo sahihi mpendwa dida, si wengine tulikumbuka kuachika tumeshapata ma presha na ubovu, mi nakuunga mkono mpendwa wangu
@MsAggie5
@MsAggie5 2 года назад
Si Siri, kuvumilia ndo kunakofanya tunauana siku hizi lol
@lovvy854
@lovvy854 2 года назад
Dida mwenye Sura huna Kunguru wew🤣😂 ukiona ndowa imefikia 4 wewe ni mzigo hubebeki
@fatmahchambo3131
@fatmahchambo3131 2 года назад
🤣🤣🤣🤣
@vincentmokenye4465
@vincentmokenye4465 2 года назад
Umeona
@hadijamwanana2471
@hadijamwanana2471 2 года назад
Mnafki ww wanaume 4 wote wawe mamakosa fyuuuuu uchi au kisima ndoo kila mwanamme anasweka dudu lake hata aibu msenge we
@najuf8021
@najuf8021 2 года назад
Mmmmmh Lakin ulituambia mnajuana miaka 3 hakuna jipya ambalo litakusumbua
@saimarmuhsin9578
@saimarmuhsin9578 2 года назад
Kwahiyo kila ndoa wanaume ndo wanashida mmmh jamani tumuogope Mungu ndoa ni ibada na siyo mapambo daima ukiingia kwenye ndoa bila ya Mungu matokeo yake ndo haya jamanini ndoa ni ibada tena nzito tumuogopeni Mungu
@faithjonathan3845
@faithjonathan3845 2 года назад
Dida kama mimi tu...maisha hayana haja ya kujipa stress ili mradi watu waoneneti una furaha. Na mtu ukijua kutafuta pesa yako hakuna kitakachokufanya ukae katika mahusiano au ndoa zenye shida sana.
@dotnatajoseph2620
@dotnatajoseph2620 2 года назад
Me nakupend Sana dida unamsimamo no kuzinguliwa kwani we nani? Yes 👏 ndo inavyotakiwa usiogope kusemwa usiogope aibu Kama mambo hayaendi sawa ondoka kichekwa si ujinga nakupend dida❤️❤️❤️
@juliethhouseofdesigns147
@juliethhouseofdesigns147 2 года назад
Ukiwa huwezi pika, kusafisha nyumba yako mwenyewe, kufanya vitu viwili vitatu, lakini unarudi saa sita usiku kisa hutaki uulizwe kuna muda ukifika uwe umeolewa au hujaolewa lazima uache kurudi usiku na ukiolewa lazima uwe na limit ya muda, aina ya marafiki, uvaaji ila ukijifanya uliumba mbingu na nchi ndio apo utajitia siogopi mtu hapana mwanamke huwezi shindwa ndoa zote huwezi kutana na wanaume wabaya kila siku wa kwanza anaweza kuwa sio au wapili ila watatu utakutana na anayejali jamani tusidanganyane si kila mwanamme ni pepo
@mamanmaria5888
@mamanmaria5888 2 года назад
Kweli dear umenena meneno mazito
@laurentraphael5470
@laurentraphael5470 2 года назад
Hilo litakuwa bomu la nyuklia.
@apichitseso4481
@apichitseso4481 2 года назад
Huyu lazima Ana kasoro zake ndoa zote 4 😲😲😲
@saumusanjiama6991
@saumusanjiama6991 2 года назад
Kweli kabisa
@heyumi2340
@heyumi2340 2 года назад
@@apichitseso4481 mtihan sana
@mselemamsomba6561
@mselemamsomba6561 2 года назад
bibi huna lolote, tulijua tu mh lazima akupige chini! unajua kulalana tu. mwanamke gan ata kupika wali hujui! bibi ushazeeka nyota ya talaka, mazafanta ww
@caslidajosephat8912
@caslidajosephat8912 2 года назад
Mm naoa hii harusi ilikuwa Ni dili la kujipatia fedha za zawadi na wasanii wengi Sana wanatumia hiyo system kujipatia kipato mm ndiyo Mana sichangagi harusi za mjini kuwapatia watu mitaji tu.
@aisha.abdallah.3979
@aisha.abdallah.3979 2 года назад
Ovyooo ndoa ustahamilivu bibi weee cjui anajikuta nani 😏😏😏😏
@fatmahchambo3131
@fatmahchambo3131 2 года назад
Yaani tena anaona sifa mwenyewe hapo 🤣🤣🤣
@rahimaan6481
@rahimaan6481 2 года назад
Anajikuta govinda wa kwenye kombolela 🤣🤣
@fatmahchambo3131
@fatmahchambo3131 2 года назад
@@rahimaan6481 🤣🤣🤣🤣🤣 jamani nimecheka
@nilykishiapinkshizya6606
@nilykishiapinkshizya6606 2 года назад
Ulichukua mume wa mtu ukidhani umedamshiii
@salehkhamis3000
@salehkhamis3000 2 года назад
Shughuli za israfu au za gharama kubwa kujionesha na ufahari Allah hutia laana ndio maana hazidumu, dada etu ana shida na msipate taab kuna watu Mungu kashatia mihuri kwenye mioyo hayo ko Kweny uchafu anafurahia Kweny kheri huchukia na kuona haina maana hiv ndivyo mama etu Dida alivyo maana sio dada mama mkubwa huyo tumeanza msikia tuko la kwanza mpk leo na sis wazazi sio poa
@asiahassan7851
@asiahassan7851 2 года назад
Huna nyota ya ndoa,bali una nyota ya kuachika kwenye ndoa😂😂😂😂
@christophermsekena616
@christophermsekena616 2 года назад
Kazi kweli kweli, una nyota ya ndoa au una nyota ya kuachika mama
@sixbertmwakaluwa5665
@sixbertmwakaluwa5665 2 года назад
Ana jini kuachwa😂
@malikzafarani172
@malikzafarani172 2 года назад
😄😄😄😄😄👊
@sarahwawuda5164
@sarahwawuda5164 2 года назад
@@sixbertmwakaluwa5665 kumbe umeliona hilo,na jini mahaba pia hakosi🤣🤣🤣🤣
@TheSalma1999
@TheSalma1999 2 года назад
Kweli dida you right kwani sh ngapi bwana ni kuhusu furaha yako asante
@ramak.9587
@ramak.9587 2 года назад
Nlisema awali uyu atamaliza limau na shaba haiwi dhahabu..Atalaumu na kubadilisha mafundi ilihali mgomba haufanyiki mbao. Kiburi na jeuri haitokupeleka mahali sura kama mku....
@lawmaina78
@lawmaina78 2 года назад
Tatizo unaparamia ndoa za watu na kuzivuruga, kama vipi kaolewe na vijana wakutafune waache waume za watu.
@heyumi2340
@heyumi2340 2 года назад
umeonaee
@MsAggie5
@MsAggie5 2 года назад
Wanaume mkae na wake zenu WA kwanza waache tamaa
@lawmaina78
@lawmaina78 2 года назад
@@MsAggie5 Wake tuko nao ndani, ila ukiona freshi kazi yako kuliwa na waume za watu, watakutafuna na kurudi kwa wake zao.
@MsAggie5
@MsAggie5 2 года назад
@@lawmaina78 sijasemea hao mnaowatafuna sijui nimesema swala la kuoa wake WA pili ambao at the end hamdumu hata mwaka. Ona sifa kutafuna wanawake WA nje UKIMWI nao utakutafuna ndo utajua lol
@lawmaina78
@lawmaina78 2 года назад
@@MsAggie5 kufuata waume wa watu utaishia kutumiwa bure hatimaye utawaacha kwenye ndoa zao, mwishowe uishie kupoteza muda wako bure. Bora kujipatia mume wako muishi kwenye ndoa yenu. Halafu haitokuja siku wanaume waache kutafuna, hicho kitu kitamu sana, huwa kinachizisha akili zinamhama mwanaume.
@duniawadunia4824
@duniawadunia4824 2 года назад
Nyota ya ndoa Nyota ya talaka Masha"Allah? Allah akupe ndoa ya 5?
@ismailmasoud6001
@ismailmasoud6001 2 года назад
Tatizo sio NYOTA YA NDOA....tatizo HADHI ya kuwa MKE..!
@safiaimran6455
@safiaimran6455 2 года назад
@@ismailmasoud6001 kabisa
@EK-kp2np
@EK-kp2np 2 года назад
Dida nimekupenda bure, kila mtu lazima aishi kwa amani duniani humu, hakina aliyezaliwa kwa ajili ya mtu fulani bhana, eti kisa umeolewa basi uburuzwe kijinga, 😖Aku!
@rosendile8235
@rosendile8235 2 года назад
Yap hakuna cha ndoa ndowana hata ukiwa Gold unaachwa, hakuna cha kuvumilia mwisho ni Ishi kwa unavyo penda mwenyewe siyo kurudhisha jamii 🎶🎼🎤
@rithakuyala9951
@rithakuyala9951 2 года назад
Cheeefuuuuuuuuu mtu mzima oooovyooooooooo
@hidayaamani7150
@hidayaamani7150 2 года назад
dida ww ni bibi usijione mtoto shavu limesha shuka kwishnehi nyampua we
@zuleikhakhamis3303
@zuleikhakhamis3303 2 года назад
Mola atufunze kunyamaza na kuandika vibaya
@aishajumanne2698
@aishajumanne2698 2 года назад
😀😃😄chezea kuvamia ndoa ya mume wa mtu wewee..miezi 3 chaliii...hongera bi mkubwa...haya mumeo karudi
@safiaimran6455
@safiaimran6455 2 года назад
😁😁
@samirsaid7400
@samirsaid7400 2 года назад
MTIHAN UWO ULO NAO ILA FANYA TOOBA YA KWELI ALLAH AKUSAMEHE MAANA HUJUI ULITENDALO HAIWEZEKAN UMU KWENYE MTANDAO WATU ZAID YA HAMSIN WANA KUKATAA KWA TABIA ZAKO RUDI KWA ALLAH OMBA TOOBA PLZ🙏 WEWE NI MTOTO WA KISLAM KISIA MANENO YA KUONGEA MIDIA ISIKUPONZEE DADA ANGU KUMBUKA UMEUMBWA HUJAJIUMBA ,HUJUI MDA GANI ,NA WAPI ALLAH ATACHUKUA ROHO YAKE RUDI KWA ALLAH BADO NAFASI UNAYO DADA ANGU SISI BINADAM NI DHAIFU TUNAMAPUNGUFU YETU MKAMILIFU NI ALLAH TUU EM FIKIRIA WATU WOTE WAMEKUSEMA KWA MABAYA SO KAMA HAWAKUPENDI APANA WANAKUPENDA SANA ILA ULIMI WAKO UNAUTUMIA VIBAYA ,INAA LILLAH WAINA ILLAH RAJIUN.
@mikhitaryankombo9604
@mikhitaryankombo9604 2 года назад
Kustshamili kwenye ndoa ndio hekima nadhani kila wakati kuomba talaka unadhani ndio hekima ww umejichubua Kwan ww mwema acha tabia ya kuchunguliwa na kila mtu iyo ni laaana
@maryamrajabu4972
@maryamrajabu4972 2 года назад
Ila amepoa maana aliwambia walimwengu hawatachana akasema watu wavute viti wakae wasubili kuachana kwao kabra viti havijakaliwa ndoa imevunjika😜😜
@neemashao5328
@neemashao5328 2 года назад
Sasa Dida unaenda kufanya nn huko kwa wanaume wakat huwez kumcare mwanaume? Lakin afadhali umemuachia mwenye mume wake mume wake..
@zamdakimaro2973
@zamdakimaro2973 2 года назад
DIDA TATIZO LAKE KUBWA SANA UMAAARUFU,NA PIA HELA ,NA PIA HAPENDI KUHESHIMU MWANAUME NA KUTII KWAKE HAKUNA sIJUI HATA KAMA VYOMBO ANAOSHAGA HUYU
@khamisshee5131
@khamisshee5131 2 года назад
Ndowa ya 4 alafu wasema una bahati ya kuolewa jamani kweli hao walio kuowa wote wana makosa ww 2 ndio una makosa duuuh miezi 8 ndoa chaalii
@getwellsoon189
@getwellsoon189 2 года назад
UKIKUTANA NA MKOROFI MMOJA ASUBUHI, BASI HUYO MTU NI MKOROFI, LAKINI UKIWA UNAKUTANA NA WAKOROFI SIKU NZIMA UJUE WEWE NDO MKOROFI.
@Ms_meydon
@Ms_meydon 2 года назад
mim inaniuma ile michangooooo 💔😩wangenipa mim
@rosemzava5149
@rosemzava5149 2 года назад
😂😂😂😂😂
@awavaxog5726
@awavaxog5726 2 года назад
Oya mdau wew sura yako kwani ikoje mbn kutwa mitandio
@miriamkwembe
@miriamkwembe 2 года назад
Wanaosema kupika oh kufua, hivi kuoa watu wanaoa ili wapikiwe? Majukumu ya ndoa moja na nyingine yanatofautiana. Na sio dhambi mwanaume kusema hataki kuhudumia familia peke yake na si dhambi mwanamke kusema hataki kupika. Chamsingi tafuta wa kuendana na wewe, ajue mapema yapi unamudu yapi huwezi, tusiishi maisha kwasababu ndio watu waishivyo, je wewe unapenda utaratibu huo? Ama tu, mimi mwanaume lazima nifanye.
@bjzee1981
@bjzee1981 2 года назад
Mwanaume ni lazima ahudumie familia yake ila mwanamke sio lazima kwa mujibu wa dini ya ki islam
@hillaljnrkisunzu7737
@hillaljnrkisunzu7737 2 года назад
Wewe si mwanamke wa kuolewa wewe ni mwanamke wa starehe
@miriamkwembe
@miriamkwembe 2 года назад
@@hillaljnrkisunzu7737 Nimeolewa namshukuru Mungu
@aminarajabu5795
@aminarajabu5795 2 года назад
Aaaah Dida jmn! Umeshakuwa mtu mzima mpaka sauti ni ya kizee!! Kwanini basi usipotezee tu hizo ndoa kama zima kushinda!!? Tafuta wapi unakosea urekebishe, lzm kuna sehemu unapwaya. REKEBISHA BIBI.
@alexanthony5860
@alexanthony5860 2 года назад
Big up double D
@rahimaan6481
@rahimaan6481 2 года назад
Hiyo sio nyota dada ni hila mwanamke asifiwi kuolewa na kuachwa
@gradnessshitindi3694
@gradnessshitindi3694 2 года назад
"nmezaliwa na nyota ya ndoa" ila nyau wewe semaga nna nyota ya UKIMWI
@alexanthony5860
@alexanthony5860 2 года назад
Nakupenda jinsi unavojikubali
@anosiata8242
@anosiata8242 2 года назад
Huna lolote. . Wewe una matatizo ukiona mwanamuke anaolewa anaachika mala 5 Ujue yeye ndiye ana matatizo. Hovyo.
@edgarnandonde48
@edgarnandonde48 2 года назад
unajua kuwasema wenzako tu hata aibu huna duuh ushakua bibi sasa 🖕🖕🖕
@fatumakassim64
@fatumakassim64 2 года назад
Anaona aibu sana tu sema anajikadha mpuzii uyu
@malikzafarani172
@malikzafarani172 2 года назад
Hata useme nn ushaliwa acha maneno mengi
@najuf8021
@najuf8021 2 года назад
Ila kumbi lamoto kama Jina lake tu nimoto kweli
@elizabethmhinga4730
@elizabethmhinga4730 2 года назад
Ana nyota ya ndoa kisha ana nyota ya kuachika
@MrNdanguza
@MrNdanguza 2 года назад
Sura mbovu kama mgongo wa kobe ,huna jipya .
@fatumakassim64
@fatumakassim64 2 года назад
😃😃😃😃😃😃Ashukuru kuwa anapesa tu maana sura mbaya kwelii
@yakaramayaka1456
@yakaramayaka1456 2 года назад
Hongera Dida
@seifali992
@seifali992 2 года назад
Unazan ndoa masham sham.
@yazu3007
@yazu3007 2 года назад
Kinyago cha mpapure hiko
@Ikkiyoongi
@Ikkiyoongi 2 года назад
Anyamaze astiriwe ss😂😂😂😂
@hamisibakali9271
@hamisibakali9271 2 года назад
UYU NAE KAMA AJJI MANARA 😂😂😂
@user-gi4ls3bh3l
@user-gi4ls3bh3l 2 года назад
Hata Hana nguvu maongezi yake muogope Allah wewe mwanamke hupumzi unakusubua
@alainlwesso8426
@alainlwesso8426 2 года назад
Mama wakufunga nakubomoa ndoa, umetuchosha sasa, inabidi kuvumilia na kudumu sio zarau
@magrethyeremia2279
@magrethyeremia2279 2 года назад
Umri unaenda Sasa jmn,🤣🤣🤣
@magrethyeremia2279
@magrethyeremia2279 2 года назад
Jamn jamn,tujiandae kwa michango
@zuwenaalamin8985
@zuwenaalamin8985 2 года назад
Yaan huyu dada angekuwa mzuri jmn sijui ingwkuwaje loh!
@sadiamassage9589
@sadiamassage9589 2 года назад
Usiringe sana bibi kama hajakukula hapo umezalewa na nyota ya ndowa lakini hudumu nimepeleleza unamdomo kwa wanaume ulosema hamtoachana mueke viti muzubiri sikunyengine usiseme kwakujigamba nikuomba mungu tu ndiwa idumu
@evelynensanga3330
@evelynensanga3330 2 года назад
Nyota yanini? 😂😂😂😂😂😂 hivi husikii hata ayibu kweli ?nenda ujifunze ndowa ni nini lize hovyo
@ismailmasoud6001
@ismailmasoud6001 2 года назад
Nyota ya NDOA anayo lkn HADHI ya kuwa MKE Hana...!...bora aende tu'..!
@suzanamwangingo2995
@suzanamwangingo2995 2 года назад
Asanteee dida
@yazu3007
@yazu3007 2 года назад
Wee panya hata hujuwi lolote unambiwa yupo mwenye na kher nawe na sio wapo tumbiri wa kunichubuwa hehehehehehe
@yusufudongote6440
@yusufudongote6440 2 года назад
Huyu anajiona mzr😓😓😓
@twiseghekisilu8845
@twiseghekisilu8845 2 года назад
Nyota ya ndoa na talaka!
@Ikkiyoongi
@Ikkiyoongi 2 года назад
Asante
@kennyalbert7777
@kennyalbert7777 2 года назад
😄😄😄😄mamae huyu dada pikipiki nni ndoa ya 4 😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆
@aisatahaisatah2612
@aisatahaisatah2612 2 года назад
Kbs wanawake tutafute pesa ili tuwe namamuzi
@othumanikamilagwa1129
@othumanikamilagwa1129 2 года назад
Maamuz au upumbav tu ameshakuwa bibi sasa....🤔🤔😁
@sweetie6934
@sweetie6934 2 года назад
Sema una nyota ya talaka na sio ndoa shwaini weee
@nzeyimanamwavita1904
@nzeyimanamwavita1904 2 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nyota ya talaka 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@zenahdallactv1799
@zenahdallactv1799 2 года назад
Dida ni njaa ndio yamsumbua,anazulumu wanaume mahari zao
@shanihamimu5288
@shanihamimu5288 2 года назад
Dida ni.mekupenda.sana
@jumamohamed1233
@jumamohamed1233 2 года назад
HUYU DIDA NIKIMSIKILIZA KWENYE KIPINDI CHA WASAFI NAHISI NI MWANAMKE MWENYE AKILI TIMAMU KUMBE NI MBWA HIVI!! YAANI NIMEMSHUSHA HADHI NA HUYU INAVYOONEKANA NI KAHABA, NAMSHUKURU MUNGU ALIYEMNUSURU HUYO MEYA
@amanimapenzi571
@amanimapenzi571 2 года назад
Hahaha wacha ma feelings......that's her style
@SYLMASVISIONFORSCIENCE
@SYLMASVISIONFORSCIENCE 2 года назад
Ndoa ngumu sana
@raissaraiyannaas3249
@raissaraiyannaas3249 2 года назад
Mungu akuongoze upate kuongoka iyo sio nyota dada yang izo nishida utazion siku yakuhesabiliwa Jarib kumuogopa Mungu maan mbele kugumu jana tulikuepo leo tupo hakuna anae ijua kesho tutakua wapi? Ivoo jitulize upat kutulizwa . iyonyota utatamani ikuteteye mbele ya Muumba wako ila haitowezekana ,usisahau kua Dunian tunapita. 😒
@oziljuma2503
@oziljuma2503 2 года назад
Zile zawadi na michango inakuwaje au ni mtaji
@monucamwambanje3128
@monucamwambanje3128 2 года назад
Kweli kabisa Dida umeongea ukweli yann safii sana Dida amani na furaha ndo jambo la msingi bora ndoa ivunjike lakn nikae kwa amani
@user-gi4ls3bh3l
@user-gi4ls3bh3l 2 года назад
Mimi mwenyewe tele mitiani nanimetulia kwani subra huvuta Keri na Allah anapenda mja mwenye kusubiri
@sasharahma7360
@sasharahma7360 2 года назад
Mashaallah
@sasharahma7360
@sasharahma7360 2 года назад
Kumbe nimejitahd has miaka 22 yaallah nipe subira yangu ilete heri inshaallah
@nahyialetomia9284
@nahyialetomia9284 2 года назад
Bahati ya ndoa wa mpito? Kuwa na haya mwanamke
@azzahavyarimana2613
@azzahavyarimana2613 2 года назад
Didaaaa🥰🥰🥰
@janetahmed6948
@janetahmed6948 2 года назад
Dida mashamsham
@ashudahiza7871
@ashudahiza7871 2 года назад
Dada mm nawewe kama tumetoka tumbo moja siwezi kuvumilia badae nipate maradh kisa nini hapa chini kwangu nimetoka sina hata mia na maisha yanaenda na sidangi wala nn wengi waoga ndiyo maana wanaumizwa
@ismailmasoud6001
@ismailmasoud6001 2 года назад
Kuumizwa wapi Hamjui kulea NDOA.....Mwanamke Kutwa kiguu na njia mpk JASHO la kwapa, ...kuambiwa hutaki...Hupiki hupakui...Mke wa hivyo wa kazi gani..?.... wengine mko kama VIBURUDISHO vya WALEVI mjini hamna HADHI ya kuwa MKE wa MTU..!
@ashudahiza7871
@ashudahiza7871 2 года назад
@@ismailmasoud6001 Nyie baadhi ya yenu walio wengi wakipata wake wema hawataki najitolea mfano mm mwenyew mume wangu alikua habebi ndoo ya maji kwenda bafuni nitampelekea maji asubuh hatoki bila kula chochote nitampikia chai nitabrash viat akirud chakula tayar nitanyoosha nitamuandalia nguo ya asubuhi.lakin tuliachana kwa sababu. anazini yeye kisha ukimgundua anakutafutia makosa wengi hamjui mnataka nn
@Tiba_ya_meno
@Tiba_ya_meno 2 года назад
Kwakweli vipo vya kuvumilia lakini sio UZINIFUU,ukishindwa kuvumilia ukaiacha ndoa unaonekana NDOA imekushinda kumbe hawajui Madhila unayoyapitia!Na huwezi kumfurahia Mtu anaekusaliti!tafuta furaha yako
@Tiba_ya_meno
@Tiba_ya_meno 2 года назад
@@ismailmasoud6001 Ukaona Hadhi ya MKE ni Kupika na Kupakua?Mapenzi kusaidiana!na Mtafanyiwa vyote lakini hamuachi kua Macho juu juu..!Badilikeni!hakuna Mwanamke Jeuri/Kiburi mbele ya Mume Mwenye Upendo.
@farajagrant4660
@farajagrant4660 2 года назад
Nafwata nyayo zako dida mpaka kiereweke Mimi masikin jeur sitaki kijipa streess
@elmzitomohammad6268
@elmzitomohammad6268 2 года назад
Nyota ya ndoa na nyota ya talaka pia,kumaanisha huna busara mwanamke mdomo punguza na ukae single,siku hzi pia watu hufunga ndoa kwa kufanya ukahaba
@peggywanjiku9638
@peggywanjiku9638 2 года назад
Kwani lazima kuolewa
@joyceabeli3787
@joyceabeli3787 2 года назад
Namkubali sana dida huwezi teseka eti kisa watu watakuonaje ndio maana wanaovumilia wanauliwa kwenye ndoa jiachie mwaya
@claudia1500
@claudia1500 2 года назад
I'la jamani she is right! Ni unwell mchungu kwa wanawake ila msg mmepata,mnataka tuzo au?
@ip_header
@ip_header 2 года назад
Duh wanaume wote 4 ndio wenye makosa, anataka kuishi kwenye ndoa kwa matakwa yake! Non sense
@faisalmwinyi3744
@faisalmwinyi3744 2 года назад
Acha ujinga ndoo star kumbuka utaishi milele kuna kufa usitionee star mbwege utakuja kuokewa mpaka na nani
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 2 года назад
Huyu dada hafai kuwa MKE anae oa huyu ana poteza mda
@faisalmwinyi3744
@faisalmwinyi3744 2 года назад
Ngoja ufeeeee
@hamidakondo1283
@hamidakondo1283 Год назад
Nakukubali dida yani mm niko ivo na mm chrome.cha nne nimeachika na zilobaki hizo ndowa najaxa bot ya azam
@rayanaabdallah6580
@rayanaabdallah6580 2 года назад
Nashangaa wanawake wengine wakimsupport, ndoa ni kuridhia na kuvumilia, mtu kaachika na yuafurahiaaaaaa ASTAGHFIRULLAH!! Dada wewe ndio una Kasoro, uko binadamu wa vipi kila siku Mungu akupa mume mbaya?! Umrongo huenda ikawa ulizoea vya kunyonga vya kuchinja huviwezi.
@husnaali1610
@husnaali1610 Год назад
😂😂😂😂 wedida piachamtoto nasisi tuna nyotayandoa, tukokwenyendoa,tunapiswana mume mwengine we angalao ndoa tatú miemwenzio nnandoatisa ,nannaendelea,kwarahazangu wanaume natengeneza mwenyewe.roho tu anantilia mungu🤣🤣🤣🤣mambo yamjimi ayo
@mcback4384
@mcback4384 2 года назад
Ndoa za mastaa hazidumu hata diamond na Zuchu nawapa miezi 7 tu
@benadetamasanja2720
@benadetamasanja2720 2 года назад
Dida una shida ndugu yangu 😜
@saidizusan7446
@saidizusan7446 2 года назад
Nimependa hii dida safi sana
@negrowaminoty7756
@negrowaminoty7756 2 года назад
Marazote ukiwa huna dini utapotea tu tuna tizama dunia sana bila kufikiria mungu tujalie mwisho mwema huyu hajuwi samani ya ndowa subukhanalaah 😭pole sana dada angu
Далее
SHEKH ATOA NENO KUHUSU NDOA YA DIDA KUVUNJIKA!
5:13
Просмотров 78 тыс.
PENZI LA DADA WA KAZI 💞 | Love Story
30:06
Просмотров 4,9 млн
TAZAMA DIDAH ALIVYOINGIA KAMA MALIKIA KWENYE KIBAO KATA
10:39