Тёмный
No video :(

DIVA THE BAWSE AONYESHA MAISHA YA KIFAHARI/ SOFA YA MILLION 20/AFUNGUKA SAUTI ZA KWA MANGE KIMAMBI 

Carrymastory
Подписаться 471 тыс.
Просмотров 73 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

29 окт 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 570   
@zawadichalale4047
@zawadichalale4047 9 месяцев назад
Sio swala la ukishua ndio uwe unapenda kusoma vitabu mimi pia napenda sana kusoma vitabu sana ila sio mtoto wa kishua ni hobbi ya mtu jamani diva
@starzone0458
@starzone0458 9 месяцев назад
She is hard working she deserves a serious man for love
@novasmgode2943
@novasmgode2943 9 месяцев назад
If that’s the only thing you think men wants, u should do more research
@esthermatisho2604
@esthermatisho2604 9 месяцев назад
Diva ananipa huzuni kila ninapo msikiliza 😢 she needs help kichwa au akili yake imetigisika kwakweli,especially baada ya kusikiliza voice notes kwa Mange App as woman utalia guys 😢😢
@moffimms8211
@moffimms8211 9 месяцев назад
Naomba nitumie namimi iyo voice
@kandydgitaltz
@kandydgitaltz 9 месяцев назад
utakuta hujawahi kuolewa, kuogea utumbo kama huu sio ajabu
@Josephineexsuper
@Josephineexsuper 9 месяцев назад
😅😅😅😅nimecheka hapo akili imetingisika😂😂😂. Huyu dada ana tatizo very serious, she needs help
@user-mr7gl5ox6u
@user-mr7gl5ox6u 9 месяцев назад
Aan vituko ipo hiv 80% waafrika hatujajielewa akili zetu zimeishia hapo kuonyesha saman za ndan tunachekesha kwakwel 😅😅😂😂😂
@Anzalmidel
@Anzalmidel 8 месяцев назад
😂😂😂
@user-jf6vk1qm2b
@user-jf6vk1qm2b 9 месяцев назад
Huyu dada anahitaji msaada wa kisaikolojia ana tatizo kichwani
@ziadasalimu1730
@ziadasalimu1730 9 месяцев назад
Haswa
@catherinekiwipa9271
@catherinekiwipa9271 9 месяцев назад
Yeah anastahiri
@fodeabasi
@fodeabasi 9 месяцев назад
Yani kiukweli ayuko sawa
@godsdaughter2820
@godsdaughter2820 9 месяцев назад
Body language,face expression,can tell everything 😂😂😂the woman is forcing everything 😢alafu Diva una ushamba mwingii,matajiri hawajitangazi,miwani kwa nyumba ndo imenimaliza😂😂😂😂😂
@ReshimaaChitende
@ReshimaaChitende 9 месяцев назад
Miwan nyumban😢mshamba haswaaa😅
@vickyitenyo.
@vickyitenyo. 9 месяцев назад
I know right??! Miwani ni za nini kwa nyumba??
@user-vv1te9fu8q
@user-vv1te9fu8q 9 месяцев назад
Miwigi na miwani mpk nyumbani tena ndani hujiamini mshamba mkubwa nyumba unazopanga kila kitu unakikuta humohumo ukishindwa kodi unasepa na begi lako hizo nyumba nyumba ni parm village mtu yoyote anakaa
@aminamgaya7511
@aminamgaya7511 9 месяцев назад
Kabisa aise halafu ukimwambia ukweli anakublock🤣🤣🤣
@dianerditto
@dianerditto 9 месяцев назад
Tuliokuja moja kwa moja kutokea kwenye app ya mange tujuane
@fatmasaid9400
@fatmasaid9400 9 месяцев назад
Inaitwaje hio app napitwa
@PriskilaMajengo
@PriskilaMajengo 9 месяцев назад
Huyu Diva sijui sura yake vizuri anabadilika Kila siku jamani
@kubrymtutala9574
@kubrymtutala9574 9 месяцев назад
Ana sura 99 bado moja zifike 100
@mozamagaya8618
@mozamagaya8618 9 месяцев назад
Kabisa ata Mimi simjui diva hahaha
@myunaniniahmad6463
@myunaniniahmad6463 9 месяцев назад
@@kubrymtutala9574 😂😂😂😂
@elviuskanena6799
@elviuskanena6799 9 месяцев назад
Huyu analazimisha kuonewa wivu wakati ni wa kuonea huruma.😅
@tunajaribu
@tunajaribu 9 месяцев назад
😂😂😂😂 me naona aibu
@marianabenangodi5522
@marianabenangodi5522 9 месяцев назад
Demu anajiaibisha, coz ayo sio maisha yake watu tunamjua fika. But anahitaji msaada wa kisaikolojia
@faidhacute
@faidhacute 9 месяцев назад
Acha wivu utakuuua 😢
@jacquelineshija2984
@jacquelineshija2984 9 месяцев назад
We acha tu pengine yuko kwenye tangazo na utoto mwingi sana
@NasraSaid-qc5hf
@NasraSaid-qc5hf 9 месяцев назад
Hilosofa lamilioni 20 naona silioni hapo niyakawaidatuu
@Josephineexsuper
@Josephineexsuper 9 месяцев назад
Kuna muda nawaza hata ndoa na Abdul ilikuwa kiki tuu hamnaga... Yani she is soooo fake
@tunajaribu
@tunajaribu 9 месяцев назад
Hata yangekuwa yake unayaona yanachochote cha maana kweli
@neemajeremiahs8430
@neemajeremiahs8430 9 месяцев назад
Hivi hizi hela si angejenga nyumba yake jamaniii 😔😔😭.. Kwelii tunatofautiana vision
@awadhisarai4331
@awadhisarai4331 9 месяцев назад
Kwani umesauh umsemo wa wenye akili hawana mali na wenye mali hawana......😅😂
@ziadasalimu1730
@ziadasalimu1730 9 месяцев назад
Mmenichekesha mno Hadi raha
@ziadasalimu1730
@ziadasalimu1730 9 месяцев назад
Kweli Kwa kabisa angejenga tu
@monadinadi5295
@monadinadi5295 9 месяцев назад
Umeonaeee
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 9 месяцев назад
yaani anaona amemal8zaaa
@tirzahtess3799
@tirzahtess3799 9 месяцев назад
Aki am kenyan and I love diva am coming so that she can adopt 💞💞me
@tidyclevertz
@tidyclevertz 9 месяцев назад
Ila hili life la kiwaki sana, tunavyooneshwa hiyo nyumba as if she owns it, yet akiumwa wanaanza kuomba michango kubabeeki
@wardawarda-fp3qe
@wardawarda-fp3qe 9 месяцев назад
Kabisaa yaani 😢😢
@jacquelineshija2984
@jacquelineshija2984 9 месяцев назад
Bwana we mara hizo furniture unazikuta unaingia wewe na begi lako la nguo tu
@tidyclevertz
@tidyclevertz 9 месяцев назад
@@jacquelineshija2984 tunapigwa na vitu heavy 🤣🤣🤣
@TausiOmary-od3my
@TausiOmary-od3my 9 месяцев назад
Kodi yenyewe alichangiwa hapo akwende
@user-mr7gl5ox6u
@user-mr7gl5ox6u 9 месяцев назад
Matajir hawajionyesh nyumba ake ipo simple sana
@gres1182
@gres1182 9 месяцев назад
Zari ana pesa lakn sija wai kumuona ana ushamba kma huu jamen 😂😂😂😂😂
@ummySheikh72
@ummySheikh72 9 месяцев назад
Kweli maneno yako! Ila kila mtu na Tabia yake😅
@MwanaishaShattry
@MwanaishaShattry 9 месяцев назад
Mashamba sana katika kwenye maisha ya Chini sasa kama kipofu aliyeona jogoo kila kitu yeye anasema kikubwa kama jogoo
@user-tt6jt8pz5m
@user-tt6jt8pz5m 9 месяцев назад
DIVA MIE HATA UWEJE NAKUPENDA. UKICHEKA LAZMA MIE NICHEKE😂❤❤U MADE MY DAY TODAY WALAH. ILA KWA UTANGAZAJI NI FIRE❤❤my BEST COUPLE IS ABDUL AND DIVA😂😂NAWAPENDAAAA 😂😂😂MNAWACHOMA ROHO WASOWAPENDA
@steveabel5819
@steveabel5819 9 месяцев назад
Acha unafki😂😂
@marthagodson4447
@marthagodson4447 9 месяцев назад
diva ana shida ya afya ya akili
@catherinekiwipa9271
@catherinekiwipa9271 9 месяцев назад
Sana sana
@jazeerajuma5014
@jazeerajuma5014 9 месяцев назад
Alhamdulillah kwa afya mungu alionijalia mengine ni mapambo tuy ya dunia
@glorianikiza3940
@glorianikiza3940 9 месяцев назад
Huyu atatokaga hapa maiti sababu analazimisha saaana mpaka huruma ulivokua unajigamba eti mwanamke unapaswa kua hivi vile kumbe ilikua utopolo tu pole amka bado mapema
@elizabethbwakila3982
@elizabethbwakila3982 9 месяцев назад
Mimi ktk mastaa nampenda sana shilole. Yule ndio staa wa kuigwa jamn yupo kwakeeee. Hata ukiingia kwake kila kitu ni chake.
@rukiakyaka1827
@rukiakyaka1827 9 месяцев назад
Mashaallah M/Mungu awajaalie kwenye maisha yenu Inshaallah
@user-tx6nz4up5h
@user-tx6nz4up5h 9 месяцев назад
Nilichojifunza hapo ni kujitahidi kuonyesha maisha ya kitajiri lakini kiuhalisia huyu dada ni mwongo, kwenye appartment huwa mara nyingi zinakuwa na vitu ndani, ila huyu dada anajitutumua kumweka mume kwenye maisha flan ili atulie naye, lakini ana fake life
@samwa9496
@samwa9496 9 месяцев назад
Sio zote zingine zinakuwa wazi, au saa ingine wewe mhitaji unaweza waambia huhitaji furniture
@preciouspeter6126
@preciouspeter6126 9 месяцев назад
Apartments zipo ambazo ziko wazi pia my darling. Sio zote ni fully furnished
@aishamridy4774
@aishamridy4774 9 месяцев назад
@@samwa9496hizo Appartement nazijua zina kila kitu ndani humo kaongeza tu vitabu tu hvy 😂😂
@samwa9496
@samwa9496 9 месяцев назад
@@aishamridy4774 😂😂😂
@ElizabethWamcha
@ElizabethWamcha 9 месяцев назад
Ni kweli kila kitu unakikuta umo zaid ya nguo zako tu ndio unaongia nazo 😅
@Boaz22
@Boaz22 9 месяцев назад
Laptop inawekwa kwenye box la viatu halafu na nyie mnamwamini??😂😂 matajiri hua hawaongei, huyu hana kitu, hivyo vitu vyote unakuta kwa apartments, muongo mkubwa Diva. Hana lolote dada kunuka😢
@queenlinda255
@queenlinda255 9 месяцев назад
Jama yani mimi nilitaka kusema ivyo ivyo izo nywele zake zenyewe ni feki yani feki sana sana 🤣🤣🤣
@claudiokelly8944
@claudiokelly8944 9 месяцев назад
Sio box la viatu mbona ni box lake kabsa
@chany9950
@chany9950 9 месяцев назад
Iyo nikweri👍🏽👍🏽👍🏽
@Boaz22
@Boaz22 9 месяцев назад
​@@claudiokelly8944kwahio ata wewe ujui box la viatu lilivyo,? Pole sana
@BrigitaKawau
@BrigitaKawau 9 месяцев назад
Mimi sina kitu na haya maisha yako Diva siyapendi ni ushamba kwakweli Yani hata kama huna akili au unavyosema umesoma Kwanini usiwe mwenye uelewa huu ujinga haufanani kabisa wengi wanapesa na maisha mazuri yakukuzidi ila hawafanyi hivi pole sana
@nancyg8664
@nancyg8664 9 месяцев назад
Diva uwa mshamba yan anatumia nguvu nyingi kutuaminisha vitu sijui yupoje asee
@btylove1870
@btylove1870 9 месяцев назад
Diva anamatatizo ya akili. Kuhusu Abdul hana love kabisa na diva. Wanaume tafuteni pesa please, ukiwa mwanaume hunapesa unakuwa lofa tu.
@hassanmpemba5747
@hassanmpemba5747 9 месяцев назад
ilove diva ana slaying nzuri big up diva
@glorianikiza3940
@glorianikiza3940 9 месяцев назад
Uyu ameshaga changanikiwa anaongea sana tena hajaulizwa yani ana ka mchangnyiko furani waliyo kua karibu nae wamupeleke kuona mganga wa hakili😅😅😅😅
@cdeleo9336
@cdeleo9336 9 месяцев назад
Diva upo kwenye denial mbaya mno. Huyo atakuja kukupiga tukio baya hutaamini maana hakupendi
@BarbaraPatience-qt9cc
@BarbaraPatience-qt9cc 9 месяцев назад
Inakuhusu nini! Si uache apige tuu
@teedullah5708
@teedullah5708 9 месяцев назад
Kabisa
@omaryntagala3740
@omaryntagala3740 9 месяцев назад
Wivu acha wivu
@barikiwa22
@barikiwa22 9 месяцев назад
Ampige matukio mara ngapi 😂😂😂
@ummySheikh72
@ummySheikh72 9 месяцев назад
Hata mimi nimehisi hasa haya maisha yake hayapendi ila anapata pakutelezea tu! Mungu awasaidie
@hamidasalum157
@hamidasalum157 9 месяцев назад
Huyu dada aibu hana nyumba ya kupanga ndio anajishauwa hivi du kweli bora ukose mali upate akili tuuu uyu dada hama haya sijui ana nini vitu anavyojishauwa na matendo yake tofauti unaona kabisa anajitututumua ili kutafuta sifa
@Rose-ue2ho
@Rose-ue2ho 9 месяцев назад
Naona yupo nyuma sana kimaendeleo😂 watu siku hizi hawaeki perfumes na cream kwenye dressing table kuna kabati maalum za perfume..ww mtangazaji njoo ufanye interview kwangu halafu uone the different kwangu na kwake😂😂
@fatmaabasi6867
@fatmaabasi6867 9 месяцев назад
Hyo hela ya kubadilisha furniture mara hii kannue good quality wigs😢
@jacquelineshija2984
@jacquelineshija2984 9 месяцев назад
For real
@hazimamohammed1340
@hazimamohammed1340 9 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂
@fatmamdihiri4164
@fatmamdihiri4164 9 месяцев назад
😂 😂 😂 😂
@sisifaty9183
@sisifaty9183 9 месяцев назад
Dada pole uko mjinga ,unamajigambo
@chibandamwende3676
@chibandamwende3676 9 месяцев назад
Ila Diva unafosi jamani hivi huyu mhuni bado unamuweka???yani the body language is off !!!alafu dont bother about price alot just give us a tour we will know how much 😅😅😅,good apartment
@maimunaulotu2075
@maimunaulotu2075 9 месяцев назад
Diva dada aaangu usitumie nguvu nyingi kuaminisha watu....kuwa huyo kaka unampeleka.....ndomaana watu wanafanya makusudi kukumiza coz ndounaonyesha uzaifu wa ww kupend sanas
@mackysuphian
@mackysuphian 9 месяцев назад
Hata hao matajiri hawabadilishi furniture after three months😂😂😂khaaa! Kama ni hvyo si bora ujenge tuu..na tuna abari zako umetelekeza furniture huko kazilipie kwanza🤣🤣🤣
@zamdamasondole8272
@zamdamasondole8272 9 месяцев назад
Tumuombe tu baada ya miezi 4 huyu mtabgazaji arudi tena kwake 😅.Diva ni muongo sanaa 😂hao matajiri hawafanyi hiivyi😅.wiki lenyewe fake😅limekakaa km Zombie
@stellahlinusi8215
@stellahlinusi8215 9 месяцев назад
​@@zamdamasondole8272why zombi jamani
@poshsmith4268
@poshsmith4268 9 месяцев назад
😅😅😅😅
@umukulthumu1419
@umukulthumu1419 9 месяцев назад
Waarabu wenye hela zao wenye maisha yao hawabadilishi makochi hovyo😂😂😂 labda mpaka sikukuu ikikalibia wanapeleka kwafund kubadilisha kitambaa chanje hawanunui mpya😆😆😆😆😆😆sijui yy anajikuta nani
@chimamilion
@chimamilion 9 месяцев назад
Diva anapenda sifa mbele zawatu ssa kujifanya ww upojuu zaid yamumeo ndo nn?afu ikitokea kitu namumeo jaribu kuwanaka mfyuuu
@khadijab7066
@khadijab7066 9 месяцев назад
Mungu niweke mie ,unapesa arafu umepanga mtiani jamani master wa bongo pasua kichwa
@faidhacute
@faidhacute 9 месяцев назад
Nakupenda we mdada mpaka naumwa ❤❤❤❤❤ DIVA THE BAWSE ❤❤❤
@happynathan8226
@happynathan8226 9 месяцев назад
Huyu dada nyie ni mgonjwa wallah😂😂 Diva sio mzima kabisa na wambieni 😢
@ireneimbuhira7759
@ireneimbuhira7759 9 месяцев назад
💯 true
@joycekaguo8476
@joycekaguo8476 9 месяцев назад
😃😃
@agnesjohn9382
@agnesjohn9382 9 месяцев назад
Mgonjwa kivipi fafanua daktari wake
@Jamila-cz5ge
@Jamila-cz5ge 9 месяцев назад
UNAJIDAI NA NINI PUMBAVU WW WEWE SIIO MZUNGU AU UMEUZA ASILI YAKO. WAJIDAI KUONGE KIZUNGU RANGI JE ? MBONA WW NI MWAFRICA? WAJIDAI NA VITU JE UNGEKUA UNA UTAJIRI WA KINA BAHWANI UNGEFANYA NN. UNASALI ?
@MizeKombeSuleiman-id1rp
@MizeKombeSuleiman-id1rp 9 месяцев назад
Aki uyu dem limbukeni acha tu
@user-sn6dc9gh8k
@user-sn6dc9gh8k 9 месяцев назад
Siyo kwa kujisfia huko duh😊😊😊
@michaeljohn9070
@michaeljohn9070 9 месяцев назад
Palm village na Dar villas apartments gharama zake kwa mwaka unaweza jenga nyumba yako kubwa nzuri tu,,sasa sijui wanafeligi wapi hawa watu,,,
@Fear_Allah394
@Fear_Allah394 9 месяцев назад
Viongozi wa Tnz M/Mungu anakuoeni. Nchi mmeikandamiza mpkaa mtu anafikia kuita waandishi wa habari ndani ya nyumba kuja kuonyesha vyakula, lotions, creams, shower gels, baby wipes, unbranded bags, viatu, miwani nk. Wkt hvyo vtu kwa maisha ya wenzetu ni kawaida???
@FatimaAli-of4gh
@FatimaAli-of4gh 9 месяцев назад
Tutake radhi Diva house wife ni watu wa chini? Hiyo ni heshima tu ya kumfanyia mumeo watu wana pesa na wanapika sema kweli tu hujui kuoika au unataka na sisi tukuoneshe maisha zetu sisi sio marimbukeni like you
@yustamshana-sx8dy
@yustamshana-sx8dy 9 месяцев назад
Mwongo, furniture za appartement za hapo amezikuta 😅
@dayanafelly1488
@dayanafelly1488 9 месяцев назад
Diva kwenye interview unajifanyaga kiswahil kinakupa tabu... Ila ukiwa unamuanika mumeo unaongea kiswahil imenyooka hatari huongez hata neno moja là kimombo😂😂
@mnllyboy_tz9107
@mnllyboy_tz9107 9 месяцев назад
😅😅😂
@user-is7ot7bq9x
@user-is7ot7bq9x 9 месяцев назад
Diva adi namuonea huruma Aseee jinsi Anavyompenda uyu kaka afu uyu kaka Amekaa kihuni sana wala hana mpango na mkewe
@HajatAbdul
@HajatAbdul 9 месяцев назад
Jaman diva ukibadilisha izo sofa na iyo tv naomba unipe nakuomba sana shabiki wako sana kwenye lavi davi
@user-xo4zc9vu5w
@user-xo4zc9vu5w 9 месяцев назад
Mungu akusaidie jamani Mumeo awe mkweli abadirike na husiache kumuombea
@joycemuhoja4729
@joycemuhoja4729 9 месяцев назад
Mkimaliza kwa Diva mje. Kwangu mlekodi jamani😁😁 Hizo fenicha unazobadili kila miezi mitatu naziomba
@awesosaladi3638
@awesosaladi3638 9 месяцев назад
Diva the bawser unyama ni mwingi sanaaa😅😅😅😅
@Anzalmidel
@Anzalmidel 8 месяцев назад
Divaa wacha pombe ur cute hardworking lady 🎉
@Rose-ue2ho
@Rose-ue2ho 9 месяцев назад
Diva ukimaliza nyumba yako nitafute mm nitakufanyia design na kukuwekea vitu vya kisasa mpaka utashangaa..😊
@navyoagrey7523
@navyoagrey7523 9 месяцев назад
Kwa kweli mana apo mh! Cjaona cha ajabu sana 😢
@rahmahabibu4727
@rahmahabibu4727 9 месяцев назад
Mtangazaji kashajua diva hayuko sawa na anaenda nae Ivo ivo 🤣🤣🤣🤣🤣
@umukulthumu1419
@umukulthumu1419 9 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂😂🙌
@user-uj5wg9mm2t
@user-uj5wg9mm2t 5 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂😂
@zawadichalale4047
@zawadichalale4047 9 месяцев назад
Ferniture 20mil then baada ya miezi 3 anagawa loh!
@matridamwalyoyo1735
@matridamwalyoyo1735 9 месяцев назад
Uongo wa kiwango cha rami
@Jamila-cz5ge
@Jamila-cz5ge 9 месяцев назад
MWANAUME ALI SAWASAWA HAWEZI KURIDHIKA AJE MWANAUME KUTEMBEA CHUMBA ANAPO LALA NA MKEO . UNAWAONESHA WATU NYUMBA NA VILIVOMA HUU NIUSHAMBA . NANIASIO KUANAVO. WAPOWATU WAMILIKI MAJUMBA YAMEPAMBWA KWA DHAHABU. NAHAJIGAMBI WALA KUJITANGAZA MITANDAONI. NJOO TUKUONESHE HUKU MAJUMBA NAVILIVOMA UTAZIMIA.
@annamontana2854
@annamontana2854 9 месяцев назад
Wigi limekauka kama limedumbukia kwenye uji
@namsamson3443
@namsamson3443 9 месяцев назад
Hizi ndio hela zetu tulizokuchangia nini😂
@hazimamohammed1340
@hazimamohammed1340 9 месяцев назад
😂😂😂😂😂
@Josephineexsuper
@Josephineexsuper 9 месяцев назад
Mlimchangia za nini?
@user-uj5wg9mm2t
@user-uj5wg9mm2t 5 месяцев назад
😂😂😂😂😂
@faidhacute
@faidhacute 9 месяцев назад
Roja fala sana eti huea unalewa kabsa 😂😂😂😂😂😂😂 kwahy mtu anakunywa wine anashindwaje kulewa
@keyla3641
@keyla3641 9 месяцев назад
Diva wewe ni hodari sana unajituma nahitaji mtu sahihi wakuwa nae anaejituma km wewe ishi rahisi useful nyingi ujenge achana na ya dunia kaa kimya fanya yako
@AshaKassim-tu7gz
@AshaKassim-tu7gz 9 месяцев назад
Muongo diva apartment nyingi hukuta kilakitu..nihiyo ck ya kudaiwa Kodi ndo itajua hujui cjui usowako utauweka wp?
@user-df5mj8pf2q
@user-df5mj8pf2q 9 месяцев назад
Nimependa sn maisha yuko acheni kumuonea wifu
@mustafaosman1838
@mustafaosman1838 9 месяцев назад
Kuna watu wanaumia😂😂pambana naww sio kutokwa namapovu😂😂piga kazi dida mungu azidi kukufungulia
@ngotikongotiko2711
@ngotikongotiko2711 9 месяцев назад
Mshamba huyo ndo uamini kwamba kwa mwanamke ndoa inathamani kubwa sana inampa ukamilifu duniani na hata mbele za mungu
@umukulthumu1419
@umukulthumu1419 9 месяцев назад
Ila diva jaman kwahio huyu mwandish kamwita kwaajili ya kuonesha maisha anayoishi😂😂😂😂
@neemaberny3598
@neemaberny3598 9 месяцев назад
Yani mtu anaejopanga kudanganya lazima avae miwanii😂😂 dada hajiamini huyu..
@salhambwana6416
@salhambwana6416 9 месяцев назад
😂😂😂😂
@claudiajames2003
@claudiajames2003 9 месяцев назад
Kwahiyo na miwani ya fashion ukiwa umekaa ndani kwako?😅
@fatmaomar1881
@fatmaomar1881 9 месяцев назад
😂😂😂😂😂
@aminaramadhan3815
@aminaramadhan3815 9 месяцев назад
Unapenda sifa mpk una boa
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 9 месяцев назад
Jamani pazuri mimi binafsi nimependa jinsi ilivyo hasa milango kuelejea balcon
@steveabel5819
@steveabel5819 9 месяцев назад
Apartment ni ya kawaida sanaaaa hamna cha ajabu like for real😅 hata kwenye charts hanusi……huu ni ushamba jmn kusema every worth ya kitu chako cha ndani for what then??!? Huyu hajielewi lol nilikua namwona wa maana kumbe hamna kitu😒 so sad watu wenye expensive life wanajenga mi mansion yeye anatamba na hio cheap apartment😂😂 ndo maana she settle for less kwa huyo mume wake ambae ni queer huh
@salomewandya7257
@salomewandya7257 9 месяцев назад
Duh si bora angejenga nyumba yake jmn 😢😢Nimelia sana 😭😭😭
@user-qs7lj7kj1k
@user-qs7lj7kj1k 9 месяцев назад
Amjengeye nani mbona hana mtoto 🤣🤣🤣🤣
@salomewandya7257
@salomewandya7257 9 месяцев назад
@@user-qs7lj7kj1k Atapata tu,hizo pesa za kodi hapo ni nyingi sn
@tunajaribu
@tunajaribu 9 месяцев назад
Anaishi leo
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 9 месяцев назад
Huenda anamiliki
@rerisamba
@rerisamba 9 месяцев назад
Amesema anajenga na ametaja ana viwanja 3
@marianabenangodi5522
@marianabenangodi5522 9 месяцев назад
Yaan unaita media kutuonyesha vitu vya ndan 😂😂😂
@mariej6962
@mariej6962 9 месяцев назад
Sijaona uspecial wowote wa hiyo nyumba. Nyumba ya kawaida sana! Pili, wanaishi maisha ya ajabu sana kama wanandoa, ila nobody should judge her. Ndoa zina mambo mengi sana ambayo waja hamuwezi kuyajua. Let her make her own decisions. Sure she is mentally not okay, but waachieni watu wake wa karibu wamsaidie inavyowezekana, nyie waja hamna namna. I support her idea kwenda kuishi nje ya nchi. Ana kiingereza kizuri, still anaweza kupata kazi yake ya utangazaji. Ila bwana ni kichefuchefu, atakuletea ukimwi na utaishi nao, ona hawezi hata kumtazama usoni. Mke naye na matatizo yake lukuki, lakini if wanaweza kuyamaliza basi wanajuana wenyewe, sisi wasikilizaji tu. Ila aache kumsingizia Mange, simu aliirekodi mwenyewe kutoka kwenye phone ya simu yake mwenyewe ndiyo maana iko clear.
@zenadaudzena2849
@zenadaudzena2849 9 месяцев назад
Mhh hadi mtangazaji kauliza 20 milion halafu kila miezi 3 wanabadilisha uongo mtupu 😊
@ummySheikh72
@ummySheikh72 9 месяцев назад
Ufanye Dada ununue kidogokidogo mikocheni village itakuwa powa saana Diva! Una weza uta achana na kupanga nyumba nzuri enjoy maisha yenyewe mafupi kwanini uteseke Roho jiunge na Diva upooze koo!❤
@fatmamdihiri4164
@fatmamdihiri4164 9 месяцев назад
Kwakweli kbc
@khadijaramadhani5562
@khadijaramadhani5562 9 месяцев назад
Mapovu yanawatoka! Maisha ni kuchagua! Hayo maisha ndo kaona yanampa furaha! Msimpangie!
@sabihasalim942
@sabihasalim942 9 месяцев назад
Absolutely!!! ❤🇬🇧
@user-vv1te9fu8q
@user-vv1te9fu8q 9 месяцев назад
Parm village hiyo ukipanga kila kitu unakuta humohumo ukishindwa kodi unasepa na begi lako usijimwafai bure huna hata kitu kimoja humo ndani zaidi ya nguo zake mawigi na miwani akwende zake huko
@rehemamwandemani5182
@rehemamwandemani5182 9 месяцев назад
Diva usisahau kujenga my det
@mamabyela18
@mamabyela18 9 месяцев назад
Kabati la mawigi hatujaonyeshwa , interview irudiwe. Diva alituambia ana mawigi zaidi ya mia moja, ni muhimu tukaonyeshwa😆😆😆
@hazimamohammed1340
@hazimamohammed1340 9 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂😂
@mishishabani1475
@mishishabani1475 9 месяцев назад
Viko masaki na wewe😂😂😂
@fatmamdihiri4164
@fatmamdihiri4164 9 месяцев назад
Alooooo kwakweli 🤣
@Keyjop
@Keyjop 9 месяцев назад
Ko diva miwani anapikia anaogea ana lalia ana ...in short , question ko miwani Kwa diva ndio Kila kitu
@tunajaribu
@tunajaribu 9 месяцев назад
Alisema huwa anaona aibu
@teedullah5708
@teedullah5708 9 месяцев назад
Sasa hufunquwi dhamana kitu huyo Dada WA kazi napika nini huyo mume km humpikii yuwapikiwa kwenqine tusidanqanyane
@lucasernest6012
@lucasernest6012 9 месяцев назад
Ila kwenye kuomba michango unatuonyesha maisha ya sanaa tu
@user-rh8bu7dq4q
@user-rh8bu7dq4q 4 месяца назад
Kumbe ndo mana abdul anajifanya anakupenda kaona kapata mwanamke anaejiweza kiuchumi, sema cha moto nao and anakipataga hamna cha rahisi sifa ya mwanaume uwe na uwezo kumzidi mwanamke wako na umhudumie apo ndo utaheshimika
@Sam_me01
@Sam_me01 8 месяцев назад
Jamani jamani jamani wabongo tupunguzage aisee huyu dada tayar alikua kajipanga kabisaaa na kilichomfanya ajulikane hiyo miwani ya jua ndani ya nyumba aiseee this is too much wabongo kwa fake life duuuh salout kwenu😅
@happynelson1136
@happynelson1136 9 месяцев назад
Si ndiyo huyo alitaka achangiwe milioni 13 ili ände marekani akapandikizwe ili aweze kupata ujauzito yaani wasanii kwa kuigiza maisha hawajambo siku wakiumwa hawana hata hela ya matibabu
@matridasambali6432
@matridasambali6432 9 месяцев назад
Mh! Yani diva bana wengine wanawaita watangazaji kuongea nao mambo muhim lakin yeye anawaita watangazaji kuonyesha vitu vya ndani jamani mbona mabos hawawagi ivo kwani yeye ubosi wake Ni vipi jamani boss uchala kazi kweli
@ashurakiswamba7085
@ashurakiswamba7085 9 месяцев назад
Huna wakishuwa chochote acha majivuno diva ungekuwa mzuri wallah cjui ingekuwaje .mungu amekupa machoo TU lakini .alikuwa angekupa sura shepu ingekuwa shidah lakini mungu 🙏 amejuwa maskini..Sasa hiyo miwani haivuliwi hiyo sura inashida ganiii?
@fatmafatu1128
@fatmafatu1128 9 месяцев назад
Wanawake mna wivu siku zote tuoneshe kwako 😂😂😂
@ashurakiswamba7085
@ashurakiswamba7085 9 месяцев назад
@@fatmafatu1128 kwani mtu aambiwi ukweli sofa za milioni20 Sasa siuongo hayo maneno aseme bosi wake sio yeye kapuku km wewe na mimi.km ukweli mtu anaambiwa km unaona uchungu kajinyonge .huyo mtu wa misifa wewe humjui ndio mana umesema ivyo
@omaryntagala3740
@omaryntagala3740 9 месяцев назад
​@@fatmafatu1128hahahaha mwambie atuoneshe kwake na sura yake
@estherminnahboaz6956
@estherminnahboaz6956 9 месяцев назад
Diva madawa yamemkolea maskini kama ana ndugu wampeleke kwa mtaalam anatia hutuma sana hayupo Sawa 😢😢😢
@kissamwamunyange1018
@kissamwamunyange1018 9 месяцев назад
Una uhakika unachokiongea? Halafu wewe kumbuka ni mwanamke kumsemea mwanamke mwenzio ni dhambi kubwa
@angelgodfrey4870
@angelgodfrey4870 9 месяцев назад
Aaah kumbe ni apartment mm nkajua kajenga, nimeacha ata kuangalia
@SarahKeza-lp1fv
@SarahKeza-lp1fv 9 месяцев назад
😂😂😂😂 naamuwa kufurahia Tu maisha ya diva
@rhexmeer6059
@rhexmeer6059 9 месяцев назад
I do furnitures,'amazon ndogo'🤣🤣🤣🤣
@mery149
@mery149 9 месяцев назад
Hana jipya yn mpk muda huu anapanga alafu madada wa simu Hz kingereza Cha kufunga ukimuhoji English ni ungaunga
@user-su4fm8fb7b
@user-su4fm8fb7b 9 месяцев назад
Mmh mkiumwa mnaomba kuchangiwa jaman😢
@kristofuraha3369
@kristofuraha3369 9 месяцев назад
Maisha ya kofalme kabisa, hakika wewe ndio baraka yenyewe!❤❤🔥🔥🙌🙌
@khadijaamur6032
@khadijaamur6032 9 месяцев назад
Housewife wa maisha ya chini tuko wapi tuonane 😅😅😅 Mashauzi tu fyuuuuu 😂
@jacquelineshija2984
@jacquelineshija2984 9 месяцев назад
Jamani we acha sie wenye maisha chini mbona
@jacqlinejames7568
@jacqlinejames7568 9 месяцев назад
Sasa hlo wigi ndo nn mwandishi humwambii mwenzako
@ibumajaamillah3195
@ibumajaamillah3195 9 месяцев назад
Mim navyojua Apartment zote unakuta kila kitu wew unakuja na nguo zako tu au sio hivyo guys
@user-td3ss6nk2d
@user-td3ss6nk2d 9 месяцев назад
Ila katika hii interview mtangazaji katisha sana😂😂😂😂 yaan jamaa anajua anadeal na mtu mgonjwa wa akili 😂😂😂😂😂😂 kila kitu yes yes😂😂😂😂😂😂 anamsifia tu interview iishe😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@user-vv1te9fu8q
@user-vv1te9fu8q 9 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@user-jn1qz7sh3q
@user-jn1qz7sh3q 9 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂😂😂
@maryammo-gd3me
@maryammo-gd3me 9 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂
@sidikassim6759
@sidikassim6759 9 месяцев назад
Mm ety kila bda ya miez mitatu una badilsha fanicha kweli hmna kitu kichwani
@woah.africa99
@woah.africa99 9 месяцев назад
Wine na msala wapi na wapi duh
@marianabenangodi5522
@marianabenangodi5522 9 месяцев назад
😂😂😂 voice si uliongea mwenyewe. Sasa dada etu wa taifa ana husika wapi .
@aminnoour4788
@aminnoour4788 9 месяцев назад
Wee mtangazaji punguza kutumia pombe zinakufany uso wako waonekana mlevi kbs. Tazama kakitambi
@rehmakondo
@rehmakondo 9 месяцев назад
Ila jmn comment yko imenichekesha waja mna maneno😂😂😂😂😂
@PhyinaElias-mu4wf
@PhyinaElias-mu4wf 9 месяцев назад
🤣🤣🤣
@Queensagarika887
@Queensagarika887 9 месяцев назад
😂
Далее
NOOOO 😂😂😂
00:14
Просмотров 13 млн
BEHIND THE GRAM DIVA & SHEIKH - EPISODE 5
24:23
Просмотров 14 тыс.