Mungu alimpa Markos muda wa kuzima gari. Malaika aliwalinda . Kama alikuwa anaendesha ngari na akaweza kulizima, Mungu anapenda familia yake. Angefanya accident na kufa jamii nzima. Lakini Mungu alimpa neema marehemu Markos kuzima gari. Ingekuwa huzuni kubwa kupiteza jamii nzima. Tushukuru Mungu kwa huu muujiza . Wa Markos kuzima gari. Kweli alikuwa na maumivu tele. Pumzika kwa amani kaka yetu.Asante daktari kwa kueleza vizuri.Asante kwa kazi zuri. Maisha yetu iko mikinoni mwa Mungu.
Asante kwa kazi njema kujaribu kuokoa maisha ya Marcus. Acheni maneno ya wasiojua kitu. Endelea na kazi ya kutusaidia. Mungu Baba Mwenyezi Awatunze na kuwapa hekima zaidi.
Vraiment nous sommes touchés par la mort de Marc car il était l'un de meilleurs chantre de zabron singers et je l'aimait beaucoup jusqu'à maintenant. Quand je commence suivre les chansons sur RU-vid, immédiatement je suis stupéfait de sa mort.😢 nous disons mercie à Dieu, car son amour est grand pour nous, il a aimé Marc plus-que nous. Asante sana.
Bado hatujakuelewa mwanzo maelezo yako ukiwa muhimbili ulieleza kupona ni 50/50 leo unaeleza kupona ni asilimia 87/13 we uonini kama mmemuua Bora mngemuacha afe kwa siku zake.
My God……..doctors salute kiukwelii hata kusikiliza tu inataka moyo Mungu awasaidi kazi yenu ningumu mimi sayansi ilinishinda ikifika kipindi cha kuingia mahabara tu kichwa kinaniumaa na nikafika mahali nikasema jmn mimi team arts adi leo am business woman by profession kwahiyo kwakweli kazi yenu ni ngumu mpewe tu maua yenu mkipambana hata kwa maelezo tuu inaonekana jinsi mlivyotamani kuokoa maisha yake lkn pia Mungu aliona shida itakayomkuta akimwacha hai hivyo akaona mtoto wake apumuzike let him rest in peace kazi ya Mungu haina makosa sisi tuliobaki tutumie ushauri wa doctor tuepuke mengine na Mungu atupe mwisho mwema Ameniii😔
Ecclesiastes <a href="#" class="seekto" data-time="488">8:8</a> "... no one has power over life at the time of his/her death..." May he rest easy. Tutaonana baadaye😭😭😭
Pole kwa Familia ya maiko na waimbaji wa zabron kwa kupoteza kijana muimbaji shubavu. Mungu amulaze mahali pema, tutakuna siku moja. Sisi zote ni marehemu watarajiwa.
Asante madaktari kwa kazi njema mlioifanya kwa maiko, mungu amusitishie maishi muendelee kusaidia engine wengi. Kwa mimi ni na uchungu mwingi 😂 kupoteza maiko aliye kama ndugu, rafiki na muimbaji aliye na kipawa cha uimbaji wa nyimbo za mungu. Musa juma na famia yangu twasema pole kwa Familia na Wana Tanzania kwa kupoteza maiko. Mungu awarehemu, ampe nguvu kwa wakati huu mgumu. Maiko amemaliza safari yake nawe mungu akikuita saa hizi utakuwa wapi?
Alipta kwenye matesoo sanaa huyu mtumishi ila vita umevipga vema mwendo umemalixa salama lala mdogo wangu mwanga wa bwana ukuangziee milele daima kila nafsi itaonja mauti
Sorry pili for interaction Mungu hapangi mtu kufa na ndiomaana anatuumba tunakosea sana kusema hivi omba Mungu akurehemu sana yy hataki ss tufe anapenda tuishi milele
Tumrudieni Mungu vinginevyo tutaangamiza maisha ya watu hivyo kutenda kazi ya shetani! Ole ni wa ulimwengu! Shetani anajua ana wakati mchache tu na hivyo anaghadhabu nyingi.
Madaktari walijitahidi sana lkn huyu ibilisi ni mwerevu sana na aliweza kunyakuwa maisha ya Marcus haijalishi alikuwa na hela nyingi za kuweza kumuokoa maisha yake......tumrudishi Mungu sifa Nina imani nafasi yake ya uimbaji itakuwa covered na Marcus mwingine
Mamangu ako na iyo shida ametumie dawa for long sai tunambiwa anafaa aende oparetion ati mzizi ya moyo aipeleki damu vizuri woi mungu tukumbuke juu sisi tuna uwezo ya pesa nasikia uchungu moyoni vle daktari anaeleza nikikumbuka mamangu😭
Yn risk ya Operation huko nchi za mbali ni ndege kwenye kuruka na kutua halafu kwetu uwezekano wa kipona ukiwa hospital Kwa ajili ya Operation ni 13% kupona du! tujitafakari sana
Nashindwa nicene nini,,MUNGU TU TUNAKUSHUKURU KWA UHAI WA MARCOS ,,AMETUBARIKI SANA KIPINDI CHA UHAI WAKE. Bwana alitoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe🙏
Hv kweli mgonjwa atatoka kenya aje tzania kutibiwa? Poaw kifo ni fumbo lkn matatizo km hayo waachieni madaktari wa nairobi, canada, ubelgiji, china, idia. Ss madocta wetu wanawaza mengi mara biashara mara wake zao