Bismillah mashaallah. Allah amuhifadhi, amlinde na ampe umri mrefu pamoja na mama yake,ajaaliye aendelee kutimiza ndoto zake ili na mama yake ale matunda ya kijana wake Amiin Allahuma Amiin. Mama umemlea kijana wako vizuri
Maashallah mtoto arudi kwenye dini, ingawa niisiangalie physical appearance lkn kwa maelezo ya Mama alimpambania kwa Mungu. Honger mama na kijana mwenzangu
Mungu ibarik familia ya huyu Mama Ila asirudi kabisaaaaaaaa labda akistaafu Canada anaweza staafu hata miaka 40 , ajitafute kwanza huku pagumu saaana labda Uwe kwenye familia za Siasa
Mimi nimefurahi kuwa mtanzania wa kwanzaa kiona kijana huyo mwenyeimri wa miaka 22 ametimiza ndoto zake za kurusha ndege. VIJANA KAMA HAO NI LULU & NI ADIMU. RAIS WETU MSIKIVU KWA UNYENYEKEVU KABISA MSAIDIE KIJANA HUYU ILI AWEZE KUFIKIA MALENGO YAKE NA MWISHO WA SIKU AWEZE KURUDI TANZANIA AWE ICON YA TAIFA...❤❤❤❤
@annahngururi6595 Mwengine Mtanzania yupo hapa Canada chuo cha Montreal yeye cha urubani ni shemegi yangu but alikua anaishi Dubai na yeye kaja kusoma chuo juzi tu wazazi wake wameondoka kuja kumuona na yeye saivi anasomesha wanafunzi wenziwe na yeye ana umri mdogo tu kama huyu.
Hongera sana mtoto kwa kutimiza ndoto yako, pia hongera pia wazazi . Baba na mama pia. Baba nae pia lazima hapate hongera yake kwakua nae alianza vizuri ila akatoka kwenye mstari.
Ndugu yangu hizo ndoto za kufungua chuo cha urubani kwa hapa TZ haiwezekani itakuwea ngumu tu kwa namna yeyote ile utabambikiwa mikodi wewe hadi ufe, yaani hapa kwenu ni pagumu. Nakushauri tu ndugu yangu hayo mambo fanyia hukohuko Canada, sisi huku tutumie tu hela ya mboga ya mama yetu huyo aweze kuishi kwisha habari. Hayo mengine fanyia huko isije huku tukakuroga buree mtoto wa watu. Mwenyezimungu akupe maisha marefu na utimize ndoto zako zote. Ila usimsahau aliekiwezesha hayo kwa maana ya mungu wako na pia usimsahau baba yako, pamoja na yote aliyokufanyia lkn still ni baba yako usiache kumfanyia wema ili upate radhi zake. Hayo ya mama yako waachie wenyewe wewe kama mtoto hayakuhusu, cheza nafasi yako kama mtoto kwa baba yako.
Hongera sana kijana mdogo kwa kutimiza ndoto na pia uko very eloquent kwenye kujibu maswali.... Hongera sana kwa wazazi, hasa mama kwa kuheshimu ndoto ya mwanao na kuipambania
Maasha Allah hongera sana mwanangu Allah akuhifadhi na hongera sana mama mwanamke mwenzangu umepambana na Allah akuimarishe zaidi na zaidi...Aamiyn 🤲 ❤
Kwani huyo mtumishi Ezekiel ndio mungu ? Mama anajiombea mwenyewe na mwenyezi mungu anajibu. Wacha upumbavu wako na huyo Ezekiel wako , mnadanganywa na ma pastor .
Nakwambia kweli mwanamke ukiamua kuwa mtu wa maana inawezekena sana tu. Na ukiamua kuwa wa ma connection ya kipuuzi pia inawezekana sana. Cha ajabu story yenye motivation kama hii haipewi kipaumbele sana. Ongera dada yetu
Masha Allah Masha Allah...Mungu akujaliye kijana upate mke mwema..mulee mama vzr ln shaa Allah...usije kupata mwanamke akakufitinisha na mzazi wako....
Kule atakua analipwa kama $50 kwa saa (minimum), hivyo ana mshahara wa kama $400 kwa siku. Tafadhali mwacheni huko kwanza ajijenge na asaidie kulipa mikopo
Akisema aje afanye kazi Tanzania kajiroga na yeye ndio atakuwa mchawi wakwanza kwa mwanae Tanzania kunawachawi na mchawi wakwanz wa hili Taifa ni selikali yako ukithubu kumrudisha kwisha habari
Hakuna mwanamke anaweza kukurupuka akasema katelekezwa,tunamaumivu mengi sana miyoyoni wanawake,na kama wanaume hamjajua niwakati wakujirudi muombeni mungu msamaha maana nafasi aliyowapeni mmeitelekeza machozi yetu hayatawaachen salama
Alhamdulillah rabbil'aalamin.hongera kwako mamabkwa namna ulivyompigania mtoto hadi hapo Mungu alipomfikisha na hata huyo baba aliyekutelekeza(sababu zibaki kwenu)hongera sanaaa kwa kijana kuelewa changamoto lakini pia kutokata tamaa hadi ume archieve.umri wake akimtegemea Allah Swt kumpa umri na Siha bilashaka anamengi ya kuchangia katika tasnia ya anga. Mungu awabariki
Bismillah ma sha allah mwenyezi mungu akuongozee uongozo wako na akuepusha na hasada. Big 🎉 kwa mama mzazi kwa jitihada na dua usichoke kumuombea kijana wetu kwani dua ya mama hairudi chini Allah anaipokea ❤
Duh! machozi ya furaha yamenitoka mama mwenzangu amenitia moyo sana nilitaka kukata tamaa kusomesha kwakua sina saport kupitia huyu mama fahad najikuta kupata nguvu mpya Asante milad kutuletea kipindi hiki
Manshaallah warahaula warakwata illah bilaah mungu akusimamie na akupe moyo wakukumbuka ulikotoka na umjali sana mom hongera strong women somo wa my mom
MashaAllah hongera pia mlikuwa na uwezo kimaisha pia mm wangu yupo daimond anasema ipo siku nitakuwa rubani mama namkatisha taamaa kutokana na maisha ya huyu mama naimani ipo siku na mm mungu atajibu maombi yangu mwanangu afikie lego lake haki imenitowa machozi 😢na nimejifunza kitu
Si ndo mlivyoaminishwa afu mvaa suti ndio mtu wa maana, mnaishi na falsafa za miaka 100 iliyopita watu wanaangalia nini kipo ubongoni sio unaonekana vp
Hongera sana Mama kwa kupambana...kwanza, Pamoja na yote! Mchango wa Baba unaonekana kwa kukuchagua wewe na kukupa zawadi Watoto wenye vipaji usiache kushukuru Mungu. Pili, harisa ya kupambana zaidi huenda imetokana na kutokuwajibika kwake moja kwa moja pindi ulipohitaji msaada wake...hiyo pia ichukulie chanya(+) na itakuingezea kupambana zaidi. Tatu, jitahidi kuwashauri vijana wasiwaze wala kuweka mipaka ya mawasiliano kama ipo lakini na Baba yao kutokana na tofauti zetu. Kila jambo hutokea na lina sababu zake. Hongera sana kwa mara nyingine.
MashaAllah,hongera sana mama Fahad kwa kusimamimia ndoto za mwanao,Kina mama wenzangu tuzidi kupambana hata kama tutatelekezwa kama mama Fahad tupambane na watoto wetu,InshaaAllah m'mungu atawajaalia watakuwa,watasoma na watasimama tu uku tukimuomba m'mungu,M'mungu yeye ndio Kun faya kun,Akisema kuwa linakuwa.Amiin.Hongera sana kijana wetu Allah azidi kukujaalia kila la kheir na akuongoze katika mambo yenye kheir,akukinge na hasad za watu na majini.Amiin.
Ni mihemko tu imekuingia na ukajikuta unadhani wote wana moyo wa huruma. Wanaume wengi wanapambana sana kugharamia baadaye za watoto ila hawana kiherehere cha kuongea kama wanawake. Kumbuka pia wanawake wangapi wanatupa au kuua watoto wao ili waendelee na umalaya?
@@bcozhenry2698ndugu yangu wanaume wanatelekeza sana watoto asilimia kubwa sana wanawake tunateseka mfano mzuri uko kwangu baba wa watoto wangu hajali hana huruma hanisaidii kwenye swala la kulea
Hii interview imenisaidia hw to guide my kids academically na to review harakati za kiuchumi ili kutimiza ndoto za watoto....kuna vitu tunaaminishana huku uraiani ambavyo vinawatisha na kukatisha tamaa wazazi na wanafunzi ukiondoa issue ya uchumi
My dear Habari naomba Kama umepata namba za huyo mama naomba tafadhali hata Mimi mwanangu anahizo jdoto hapo ni mdg Sana lkn kuhusi urubani humwambi kitu
Mama nimefurahishwa na interview yako ila kumwambia mtoto kurudi nyumbani Hapana ..Tanzania mashirika yote ya umma ni hasara na ATC inaongoza kwa hasara Ni vizuri mtoto kwenda kwenye nchi za Gulf kwa kuwa na experience ya nchi za magharibi akienda Gulf atapata contract mzuri sana na mshahara mzuri
No that's private, you don't ask people how much they earn, only the journalists in Tanzania, if they are really journalists no ethics@@silverman6930
Nice interview with great and courageous young man. Ingefaa zaidi kama host angeuliza maswali kwa ufupi zaidi….just provoke the guy to talk don’t do the talking yourself!
Kwaza ashukuriwe Allah Subhanahu Wataala yye ndio apewe sifa zote,Allah alimpa akili akatowa uwezo wa mama kumsomesha na bado Allah amewashika mkono alhamdulilah sifa ni za Mwenyeezi mungu ,badae mama na bba pia katowa sio kidogo hta ikiwa milion 7 imesogeza 3 yye mwenyewe mtto kutulia na kutimiza ndoto zake❤
👏👏👏 wazazi wote wangeelewa ndöto zà watoto wao, tungefika mbali sAna waafrica ila hatujachelewa badó tusiwalazimishe wasomee tunavyovitaka sisi, tuwaunge mkono wasomee wanavyo vipenda wao ndiö zilipo ndöto zào.
Uko sawa ila kuna vingine vigumu kuvikubali ,mwanangu anataka awe mtanzania wa kwanza kuweka bendera ya Tanzania mwezini hiyo kozi ada yake nitaweza wapi? Ingawa ninaishi ulaya..
@@devothasimbi6495devotha hongera Sana kwa kutambua hitaji na tamanio la MWANAO Wala usikate tamaa mtie moyo MWANAO lkn muombe Mungu afungue njia hakuna linaloshindikana chini ya juwa one day yes it's will be the true story
Well done..kijana kajieleza vizuri sana na amenifurahisha kuongea ukweli kuhusu stages za kufikia ndege kubwa za abiria. Mwingine angetia uongo kuwa tayari anaweza kuendesha Airbus au Boeing za abiria kumbe vyote hivyo vinafuata mlolongo wa masaa ya kuwa angani na uzoefu.👍🏾 .
Maji hufuata mkondo sio familia zetu hiI izi bimkubwa anadanga afu mtt aje kua Engineer never. Kudos kwa bimkubwa usomi upo kwemye familia doto magari apitie hii interview apne maana ya neno elimu na sio kuongea ongea ushubwada
Nilichogundua Kweli tupo 3rd word maana mtu wa masomo ya Arts leo anaendesha ndege sisi wa Science tulioangaika na Physics tushakataga Tamaa all in all naipenda Tanzania yangu
Uko sawa ila wachache wanafamilia kuziishi ndoto zao,wengi wakienda ughaibuni kusoma wanaishia kujipjotoa tuu leongo lililikuwa kuishi au kufika ughaibuni😂 na kuishia kujitumbukiza maisha ya kuigiza mitandaoni ,sio rahisi ni kuomba Mungu kuziishi ndoto kiujumla.
Halafu mtt akiwa na kazi nzr na pesa baba ndo atakuja kujitokeza na kulalamika mwanangu hanisaidii wanaume tusome hapa funzo kwetu tuwache ujinga tuwashulikie watt wetu