Maadili yameporomoka Kwa kiasi kikubwa , familia nyingi znavunjika ,visasi vimetawala mioyoni mwa watu maana utakuta mama anaishi na watoto (single mother) au baba anaishi na watoto (single father) Hili ombwe kubwa sana na si mpango wa Mungu hata kidogo,unakuta mama analea watoto katika misingi ya kumchukia baba yao au baba nae anawalea watoto kumchukia mama Yao,Hiki ndio chanzo kikubwa Cha matukio haya.Inatupasa turudie mpango wa Mungu ya kuwa Baba+mama+watoto waishi kama familia na Kila mmoja ajue nafac yake kwenye familia bila hivi hakika jamii itateketea Kwa kukosa maadili na Kila mmoja Kutaka kuwa mkubwa ndani ya familia✍️
Inasikitisha sana. Hii ni zaidi ya ukatili, ni ushetani!!! Mateso waliyopata huyo Mama na binti yake ni makubwa. Halafu kama vile haitoshi bado ilibidi wapelekwe kituo cha polisi badala ya kuwahishwa hospitali! Huu utaratibu wa kupeleka majeruhi wenye hali mbaya polisi ni vema ukaondolewa. Majeruhi wapelekwe hospitali kwanza ili kujaribu kuokoa maisha yao.
Tanzania hizi habari za ubakaji sasa zimezidi juzi nliona taarifa baba kabaka mwanae umri wa miezi 6.. habari nyengine baba mzee kafungia binti wa darasa la nane ndani kwa siku mbili akimbaka...tena leo hii mama na mtoto kubakwa kisha kuwawa inasikitisha sana😭😭😭😭😭😭🇰🇪
Kila mtu kwa imani yake tutafute siku ya kufunga na kusali haya matukio yaishe.inashtua inaogopesha inaleta woga Hii kubakwa kulawitiwa inatupa tuwaogope wanaume na kuwaona kama sio binadam wakawaida mbona ukatili mkubwa na unazidi siku hadi siku?? Kwanguvu zetu hatuwezi MUNGU simama 😢😢😢😢😢😢😢
Tanzania kunaitaji maombi Watanzania mnabidi mfunge na kuomba Tanzania inatishaa kwa Sasa Mungu wangu Serikali mko wapi nchi imekua ya kinyama naogopa Mimi jmn natetemeka 😭 Mungu Baba naiweka Tanzania mikononi mwako 🙏ni wewe tuu ndio unaweza kutuokoa katika janga hili la ulawiti,ubakiji,mauwaji,utekaji Tanzania inakuitaji Jehovah 😭
Wanakamatwa naushahidi kabisa ilaa unaambiwa uchunguzi unaendelea ile kesi ya yule bint hata hatujuwi imeanda wapiii daaa mungu wangu tusimamia sisi wanyonge 😢😢😭😭😭😭😭
Yaani hii hali itaendelwa nakuendelea maana wale vijana walio mfanyia ukatili yule binty wa yobo mmewaweka tyuu kwahiyo walikuwa natabia kama ya Hawa vijana wataendelea kudhuru wengine kwani Hawa watu wakipatikana wasionyeshwe mfano ili hii hali iwaogopeshe na wengine?? Jmn nihusuni kwakweli 😢😢
Tangu utawala wa Samia uanze Tanzania inazidi kudidimia. Simaanishi tawala zilizopita hapakuwa na maovu. Nawapenda wanawake ila wana udhaifu mkubwa sana linapokuja suala la kulinda maadili.
Unajua Tatizo ni serikali maana haya matendo yanatokea kila kukicha, ila husikii hawa watu wakiwajibishwa, kila siku ushaidi bado haujakamilika. Ndio maana Shetani nae amekaa hapo hapo kwa wasio julikani. Hizi damu kuna siku zitaligharimu taifa.
Wasanii pazeni sauti kwenye hili na siyo tu kutuimbia matusi 😢😢kila mtu atunge wimbo .kukemea huu ukatili naserikali ibadilishe Sheriya mpya anae baka akatwe uume tu ndio dawa😢😢 make nyie ndio mnaweza peleka ujumbe uka fika kwa kasi sana mkiitwa kwenye shughuli za Serikali mnaimba😢😢😢
Ukiingia fb utakutana na viunganishi vingi tu vya video za ngono, kwenye mitandao unakuta mashoga wanacheza na kufurahi alafu leo tunasema mungu tusaidie huyo mungu nae atakuwa hana kazi za kufanya
Kuna Haja Ya Kada Ya Ustawi wa Jamii , Kupewa Hadhi Na Heshima Lakini Na Sheria itakayo Ruhusu Kada Hiii Kufanya Kazi za kujitegemea yaaani Private Firms
Hii ndo Tanzania niijuayo maswala ya utekaji tumeyasahau tunakimbizwa na wahuni eti wamebakwa magori ya mikono tunayapa kisogo eti mama na mwanae wamebakwa hii ndo tanzania wazee wa kuitengeneza kiki na kuifanya jamimi isahau msingi wake wacha tuone wqtekaji wapo wapi maana tunaacha msingi tunakuja kurishwa tango poli😂😂
Kwanza wale police watakiwa wawe mfano wanyongwe au wakiachilwa wanafaa wapigwe mawe ady kufa na wananchi kwnin swala la kubaka kesi yaishi kotini miaka mingi