Тёмный

Mama Mzazi wa aliyepigwa na mume hadi akauawa Dodoma aeleza alivyomuonya mkwewe 

Mwananchi Digital
Подписаться 976 тыс.
Просмотров 226 тыс.
50% 1

Kufuatia kifo cha Aisha Ramadhani anayedaiwa kuuwawa kwa kupigwa na mumewe hapa jijini Dodoma jambo lillopelekea kifo chake Mwananchi Digital imefika nyumbani kwa mama yake mzazi eneo la Changombe jijini hapa na kukutana na mama Mzazi wa aisha ambaye anaeleza namna ambavyo mwanae alikubwa na Masaibu hayo.

Опубликовано:

 

5 сен 2022

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 799   
@user-mt9qg2br8p
@user-mt9qg2br8p 3 дня назад
Jamani siyo wa mama wote mm yamisha nikuta nikatoroka kurd homu mume kanitatiriya wazazi wakamwambiya binti atoki sijarud nimepata mume aritaka kunihuwa siku hiyo nirivyo toka baci mungu ali,kuwa pamoja nami
@user-fb7vo2fh4w
@user-fb7vo2fh4w 4 дня назад
Poleni sana huyo mwanaume nae aueawe iliajuwe kifo cha klazimishwa kinavouma mungu amlaze mahali pema poleni wafiwa mungu awape subraa
@kanankirannko6174
@kanankirannko6174 7 дней назад
Atakuwa aliumizwa figo na damu ikaganda ndani
@user-gv9zo3os2m
@user-gv9zo3os2m День назад
Huyo Peter atakuwa anavuta bangi. Mama pole sana Mwenyezi Mungu ampokee kwake mbinguni
@alimwangabula5060
@alimwangabula5060 Год назад
Wanawake wanakufa kwaajili yawatoto jamani nani kama mama poleni wafiwaa
@letciamapunda8428
@letciamapunda8428 Год назад
Wanawake wenzangu mwanaume akisumbua achananae angalia maisha mengine
@kassimchuo5290
@kassimchuo5290 Год назад
Hivi niulize wenzangu mshawahi sikia mwanamke kamuua mume wke au kampiga mume wke!!!so kwanini kila kukicha sisi wanaume tunawapiga wanawake wetu ambao wanatuzalia watoto na kutujengea familia mpaka tunaitwa baba Fulani na tunawafanyia vtendo vya kinyama hadi kuwauwaa dah I say SUBHANNALLAH THUMMA SUBHANNALLAH InshaaAllah MUNGU amalaze mahali pema peponi na amsamehe dhambi zke za siri na dhahiri yaaa Rabbal aaalamin..
@joycemluga1125
@joycemluga1125 Год назад
Point
@lovvy854
@lovvy854 Год назад
Swalii gumuilo daaadaa😭
@mwazanimnyamani8493
@mwazanimnyamani8493 Год назад
Tunakoelekea kila mtu ataishi maisha yake sioni haja ya kuolewa mana kaolewa ni shida wanawake tunateseka sana na mwisho wetu ni ulemavu na kifo
@nantaembanusurupia5674
@nantaembanusurupia5674 Год назад
Wapo!!
@kifubayusuph8741
@kifubayusuph8741 Год назад
jirekebisheni mama anasema arifata era ya marejesho kwa shoga yake maisha gani ayo
@joycemluga1125
@joycemluga1125 Год назад
Mama samahani umechangia kwa kiasi kifo cha mwanao simulizi yako imeonyesha wewe ni dhaifu ulikua unapata Nini kwa uyo pita ndoa ni mapanga na fimbo pole kwani serikali ulikua huioni mama?
@rehemajuma9733
@rehemajuma9733 Год назад
Point
@heriethmuta2903
@heriethmuta2903 Год назад
Kajengewa hiyo nyumba. Wamama tuache tamaa ya mali
@tonymwalanya3027
@tonymwalanya3027 Год назад
Uyo mama nimchawi kamtoto kafara iyo nisababu mongo mkubwa yeye na uyo mtoto wake mungine wawongo wAkubwa sikiya upuzi wake. Mke
@prosmacharius7074
@prosmacharius7074 Год назад
Hakika.bora anyamaze tu.mtoto umemzaa mwenyewe anakulalamikia kila akija kwako bado huchukui hatua??eti Sina la kukusaidia
@rosendile8235
@rosendile8235 Год назад
Mama yetu mpendwa anatisha kwa kweli ndoa ni maelewano ikishindikana ni vema kurudi nyumbani kupumzika kwa muda. 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@shahashaha6269
@shahashaha6269 Год назад
Kuna cha kujifunza hapa wanawake wenzangu tujifunze hapa kuanzia mume Hadi family zetu innallilah wainalillah rajiun 😥
@marykennedymarwa1641
@marykennedymarwa1641 Год назад
Kitu kinachoniudhi Kwa wamama , ni kutokujali, mwanao anakuja Kila mara amepigwa Bado unamruhusu kurudi Kwa mume . Kweli wamama wanabidi kujitambuwa , labda tunaweza kuokoa maisha ya mabinti zetu ,huyu amekufa Kwa uzembe .rip
@jazeerajuma5014
@jazeerajuma5014 Год назад
Muda mwingine unakuta mtoto mwenyewe king'ang'anizi wanapigana anarudi kwao baadae akipigiwa cm tuu na mume akiambiwa nakupenda baasi awezi sikiliza tena mzazi tusiwalaumu wazazi jani
@fanenchimbi6721
@fanenchimbi6721 Год назад
Wazazi tufike mahali tusishauri mtoto kurudi kwa mwanaume anayepiga,huwa hawaachi.Maana anakuwa keshazoea kumgeuza ngoma.
@rehemamaduhu5642
@rehemamaduhu5642 Год назад
Hii familia inaonekana haina ushirikiano kuanzia kwa mama hadi kwa watoto wake
@eyabdimaha3698
@eyabdimaha3698 Год назад
Yote hayo bado tu mulimruhusu arudi kwa huyo mshenzi mulikosea kumuacha wakati mifano tele ya ukatili wa wanawake ishatokea dah ila poleni sana
@ablashaffy2860
@ablashaffy2860 Год назад
Mi sijauelewa huyu mam ktk uuguzaj na kudeal na hlo jambo
@odilomwemeziernest646
@odilomwemeziernest646 6 дней назад
@@ablashaffy2860 mama kakosea wapi,alikuwa anajalibu kulea ndoa
@preciouspeter6126
@preciouspeter6126 Год назад
Ila akina mama wa kitanzania tufike mahali pa mabadiliko. Mwanao anafanyiwa vituko vyote hivyo mmekaa kimya na mnamruhusu kurudi akiwa na maalama ya kipigo mpaka siku anakufa kweli???? Tutaendelea kutoa ushuhuda hadi lini? Kwa nini hatua hazikuchukuliwa mapema? Huyu Peter yuko juu ya Sheria? Mlishindwa hata kutoa taarifa polisi?
@ipyanamwaipaja3720
@ipyanamwaipaja3720 4 дня назад
umeona amepoteza mwane kwa uzembe kabisa
@sabihahamadi2287
@sabihahamadi2287 Год назад
Mtihani pole mama mungu akutiye nguvu
@agnesssimon3976
@agnesssimon3976 Год назад
Ninawalaumu Sana ninyi ndugu za marehemu,Sasa amekufa ni faida gani umepata wewe mama?
@lilianhermenegild7175
@lilianhermenegild7175 Год назад
Pole sana mama lakini ulikua unauwezo wa kumsaidia mwanao tangia uliposikia kweny simu akilalamika ananiua, ungepiga simu police wakatangulia wewe ukifanya utaratibu wa kuelekea eneo la tukio. Pole Sana dear, Mwanamke mwenzangu, mwanaume akishanyanyua mkono Kwa Mara ya kwanza akakupiga usipochukua hatua basi ndo itakua mchezo wake na mwishowe atakumaliza kabisaa. Run girls run for your life.
@janeamsara4845
@janeamsara4845 Год назад
Yaani sehemu anaishi mama na mtoto alipokua anaishi nauli ya pikipiki Ni 2000,very sad indeed
@neemahusseinrajabu8913
@neemahusseinrajabu8913 Год назад
Mama umli nao umekimbia hapo yupoyupo tu
@MwanaishaKarata
@MwanaishaKarata 7 дней назад
ile ya Arusha ya juzi huja sikia mama kamua mume wake 😢
@user-ow2jv4vn8b
@user-ow2jv4vn8b 6 дней назад
Naile ya kumkata mwana mume uume haujawahi sikia😂😂
@hejmabohejhej9
@hejmabohejhej9 4 дня назад
Polisi wangesema gari haina mafuta polisi gani
@sultankivumbi9255
@sultankivumbi9255 Год назад
Pole sana mama mkwe kwauchungu ila dada zetu mkiona wanaume wastaili hii mue mnajiengua mapema msing'ang'anie
@tnerdaniel6198
@tnerdaniel6198 Год назад
Sijui wanang'ang'ania nini kwa mwanaume wa kupiga unakubali kupigwa kweli
@nyangigenyabitwano1180
@nyangigenyabitwano1180 Год назад
Mi mwanaume hanipig hata siku moja, kofi tu naondoka zangu mie , watoto wataishi tu kwani nikifa wataishije
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 Год назад
🤣🤣🤣🤣🙌
@husnamadai7052
@husnamadai7052 Год назад
Sijaelewa kwann watu wavumilivu kiasi hicho cjui ndio sifa
@husnamadai7052
@husnamadai7052 Год назад
Sijaelewa kwann watu wavumilivu kiasi hicho cjui ndio sifa
@happymlowe497
@happymlowe497 Год назад
Ndugu mshukulu mungu huyu mama alikuwa akiludi kwao anaenda kumpigia hukohuko isitoshe hata pale mtaani watu tunamuogopa
@didamanyanya4893
@didamanyanya4893 Год назад
Wewe ni mimi kabisa siku atamke tu nitakupiga atoniona tena nitaama ata mkowa
@zikenims6167
@zikenims6167 Год назад
Pole sana mama mimi nisingeenda uko ningezika kwangu mwanangu
@janeamsara4845
@janeamsara4845 Год назад
Mama anang'ang'ania mke wa ndoa ndio maana kakubali wakati mine was ndoa ndio kamuua😱😱😭😭
@user-yj5zw8yi5i
@user-yj5zw8yi5i 3 месяца назад
Kazi sanaa
@user-mi1ud5jf8b
@user-mi1ud5jf8b 4 дня назад
kaabiiisaaaa
@umiy1971
@umiy1971 Год назад
Anaonekana alipata majiraha ya kuvuja damu ndani kwa ndani, mungemuwahisha matibabu pengine angekuwa hai . Na sie wanawake basi ushashikiwa mpaka panga na mwanaume huyo bado umeng’ang’ania hapo tu.
@abdalaseleman921
@abdalaseleman921 Год назад
Mwanaume kumpiga mwanamke ni kitendo cha woga kabisa na kinyama. Mwanaume ni mlinzi kwa mwanamke. Kama umeshindwa kuishi nae achana nae kwa wema. Tafadhali ukiona dalili za mwanamke yeyote kunyanyaswa na mwanaume toa taarifa kwa mamlaka mapema kwa usaidizi. Majirani msifumbie macho vitendo hivi vya kikatili.
@reginasigera4204
@reginasigera4204 Год назад
Kabisaa abdalah Yani mwanaume tatizo lake kijishusha ndo tatizo mwanaume hataki kujishusha
@ashrafseif9460
@ashrafseif9460 Год назад
Polen jjaman
@judithkiramweni7135
@judithkiramweni7135 Год назад
Mama mzembe sana unapigiwa simu hutaki kwenda , mwanao kapigwa mara nyingi huripoti popote na unazidi kubembeleza mkwelima 😭😭😭😭😭😭😭 nimeudhika sana mamaaa mzembeee sanaaa
@itikamlagalila1911
@itikamlagalila1911 Год назад
Sijawahi kuona mama wa ajabu kama huyu
@nancyg8664
@nancyg8664 Год назад
Halafu kama hana uchungu,au mimi naona vby.
@jeskahaule2867
@jeskahaule2867 Год назад
Alichoniboa ni mzembe huyu mama maana walikuwa wanampigia cm lengo asaidie Tena yeye anakaa kimya Wenda huyo Pita angeshaonywa Wenda hata mauaji yasingetokea
@ezirabatu2734
@ezirabatu2734 Год назад
Wewe mama mm nilijua unaishi mkoa mwingine kumbemlikua jilani nimekuchukia kbs ww mwanamke
@husnamtitiko9312
@husnamtitiko9312 Год назад
@@ezirabatu2734 inaonekana huyo pita ana pesa na pesa ndo alifanya fimbo ya kuwachapia hiyo family na kuwadharau 😭😭😭
@kimcash3079
@kimcash3079 Год назад
Mama ulikosea kumuacha arudi 😭😭rest in peace sister watoto jamani
@mustorytellermullah2737
@mustorytellermullah2737 Год назад
Asee pole Sana mama,wanaume wenzangu Kama tume shindwa kukaa na watoto wa watu tusi wa tese kiivo jamani daah 😢
@tinageofrey9361
@tinageofrey9361 Год назад
Njoo uniowe wewe kaka,maneno kuntu
@gracegeorge9140
@gracegeorge9140 Год назад
Pole mama ulichukulia enzi zenu kwa sass cluhusu mkwe kumpiga mwanangu
@venerandahhayuma4341
@venerandahhayuma4341 Год назад
Njoo nioe sasahivi bila hata mahari
@marcominja8850
@marcominja8850 Год назад
Pole sana mama, hao majirani nao ni wazembe sana mtu mnakaaje kimya mwanamke anashambuliwa hadi kifo, mnashindwa hata kuvunja mlango na kumshikisha adabu huyo bwana.?
@zubedamagambo8139
@zubedamagambo8139 Год назад
Ni mjeshi. Hawamuwezi.
@rosejoseph2093
@rosejoseph2093 Год назад
Kuna geti kubwa
@NamiriNamiri-oz4xs
@NamiriNamiri-oz4xs 23 часа назад
Poleni Sana wapendwa. Kwa Kuondokewa na mtoto wenu na watoto Kuondokewa na mama Yao mungu amsamehe makosa yake kwa kweli haya marejesho ni tatizo mkubwa Sana kwenye nchi zetu za ki Africa yani ndowa zinavunjika maisha WA watu yanaharibika na mwengine Kama hivyo wanasababishiwa mauwaji watoto wanayumba majumbani kwa kukosa male I bora ya Mama mana mama kutwa yuko resi na marejesho hii ni vita baridi kwa kweli
@mwanduelizabeth2282
@mwanduelizabeth2282 Год назад
Daaa jamani pole Sana mama kwa kumpoteza mwanao mpendwa hakika ni huzuni kubwa 😭😭Hii Tanzania yetu imeshakuwa ni nchi ya mauaji sas hivi kila mtu anajiamulia tu kuua ,kuua siku hizi imekuwa ni kawaida tu mauaji yamekuwa too much.Mungu tusaidie tuondolee roho ya umwagaji wa damu.R.I.P
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 Год назад
Pole sana mama yangu mumgu amrehem wajina wangu 🤔😭😭😭 huyu mmewe afie jela in shaaj🤗😭
@njuka3515
@njuka3515 Год назад
hachukuliwi hatua yoyote na ataendelea kuishi tu
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 Год назад
@@njuka3515 saahii yuko ndan😥🤗
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 Год назад
Pengine uyo mama anali,siku inaletwa posa ndie wakwanza kupokea,na kuuliza mkwe anafanya kazi,kaambiwa ana mabiashara yake makubwaa. Magari ya kutembelea,manyumba ya kupangisha,,,tuvumilieni na yabadae yanapo tokea
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 Год назад
@@salumjumaruhaga2513labda
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 Год назад
@@salumjumaruhaga2513 mungu atusa8die waja wake 🤗🤗
@chifuthedoni8889
@chifuthedoni8889 Год назад
Huyo mother nae aache unafki, Inaonekana huyo mtoto wake kapigwa sana tu kila sku afu hachukui hatua, Siangemshauri mtoto wake mapema aachane na huyo mwanaume! Mi siwezi kukubali mtoto wangu nilie mzaa akanyanyaswa! Nitasimama imara kujua ukweli! Siwezi!
@tnerdaniel6198
@tnerdaniel6198 Год назад
Ila mama anaongea kama hajaguswa anatuumiza watazamaji Wazazi waambie watoto wao wasivumilie vipigo
@ummySheikh72
@ummySheikh72 Год назад
Wanaume wamekuwa wanyamamwitu! Nakupenda nakupenda nyingii, na makosa wafanye wao tukifanya sisi ni kifo tu! Sasa bora na sisi tuwauwe tu Aaah! Imekuwa hatari bora uishi katikati ya pori utaamka Asubuhi! Kuliko hizi ndoa
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 Год назад
Sista tatizo nyinyi SASA hivi huwa hampendi mtu mnapenda alicho nacho yaani Mali,mwanaume akiwa Fara mnamuona boya,SASA vumilieni iyo Hali
@ummySheikh72
@ummySheikh72 Год назад
@@salumjumaruhaga2513 sio wanawake woote wanao taka mali. Wengine tunawaokota wanaume majalalani tunawaogesha wakisha nga’ara ndio wanakuwa majeuri siku hizi wanawake tuna pambana
@zainabmohammed6700
@zainabmohammed6700 Год назад
Ndo muchukuwe maamuz y kuuwa au mbon nyiny mnatuletea wanawak ndan wanawak tunavumilia,,,,jichungeni
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 Год назад
@@ummySheikh72 ilA ndio inahuzunisha,huyo dada Yule wa geita nae kapigwa visu,,
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 Год назад
@@zainabmohammed6700 SASA madam unakuta mtu amekuoa Kwa pesa zake na sio mapenzi yaliyoko Dani ya moyo,pesa zake ndio zilizo Fanya kwenu akubaliwe,haraka ,Kwa hiyo kama pesa zake anauwezo kufanya lolote,
@estherhamis
@estherhamis Год назад
Pole sana mama Kwa kuondokewa na mwanao pole Kwa watoto wa marehemu pia Kwa kuondokewa na mama Yao. Mungu awape faraja kuu mioyoni mwenu
@angelambondelo2836
@angelambondelo2836 Год назад
Ila wameshindwa mtoto kuita majilani jamani kweli
@telesiakaovera4381
@telesiakaovera4381 Год назад
Ningekuwa Mimi ndo mama huyo mke huyo pita angekomaa
@belinamartini1768
@belinamartini1768 Год назад
Pole mama, Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi
@carinamatt1031
@carinamatt1031 Год назад
Huyo alikuwa na mwanamke mahali
@tabuomary1016
@tabuomary1016 Год назад
Pole Sana mama. Hawa wanaume siku hizi tuanatakiwa tuwaelewe, na ukae mbali na mume Kama tabia zake hazieleweki. Kujifanya unatunza ndoa ndio hivyo mauti yanakukuta. Mume ana tabia za ajabu , kipigo kwanini usiondoke !? Innalillah wainnailayh rajiun.
@mariamswedi1140
@mariamswedi1140 Год назад
kweli kabisa
@nameloidd5241
@nameloidd5241 Год назад
Hii tabia ya kuambiana vumilia vumilia hii ndio mwisho wake mtanisamehee mimi siwezi,sasa watoto watoto leo unawaacha bora ungekuwa nao bila huyo mume
@getrudamatoto5277
@getrudamatoto5277 Год назад
Pole Sana Mama ila kuna uzembe umefanyika ulipigiwa cm kua anapigwa hukuja..amejitahidi amefika hadi kwako mkamrudisha kwa huyo katili badala ya kumtibu, haya umeenda kwake umemkuta na hali mbaya badala ya kumpeleka hospital mkaanza kubishana ukamsikiliza huyo mkalala hadi mauti ikamkuta.. daah pumzika kwa amani mbele yako nyuma yetu inaumiza mnooo🙏🙏😭😭😭😭😭😭😭😭
@elizabethmassawe694
@elizabethmassawe694 Год назад
Pole saana mama ,ungefanya kitu pale ulipopigiwa cm,jiran yangu Aisha mungu akupumzishe salama.r.i.p
@marystelaswai5174
@marystelaswai5174 Год назад
Yaaan kumbe hata ndani haingii af unamuita Mkwe mkwe gan? Pumbafu wazaz tuachee kuwalazimisha watoto wao kwa wanaume, sio lazima
@hamisaabdulhamid529
@hamisaabdulhamid529 Год назад
Mtoto kaja nyumbani hoi mnamrudisha tena kwahuyo shetani mmh pole sana
@zamdakimaro8040
@zamdakimaro8040 Год назад
ALIKOSEA SANA KUMRUDISHA
@dotnathalazaro472
@dotnathalazaro472 Год назад
Nahis huyo baba alikua ndo tegemez ndo mana walikua hawana sauti
@user-mi1ud5jf8b
@user-mi1ud5jf8b 4 дня назад
Yaani hapo ndio nimechoka eti anarudi kwake wapi kama ingekuwa kwake angepigwa hivyo . Hata huo msiba nisingeruhisu ukafanyike huko WA nini sasa. Wakati ndg Yao anaishi na mtt WA watu manyanyasi hivyo INA hawakuwa wanajua eti mkewe WA ndoa msiba ukawe kwake weweeee never
@user-mi1ud5jf8b
@user-mi1ud5jf8b 4 дня назад
​@@dotnathalazaro472hata Nyumbani alikuwa hawaachii pesa ya matumizi wanawe utegemezi huo UPI!! Ni mkatili tuu
@mwajumakudema5840
@mwajumakudema5840 4 дня назад
Duh hao ndugu wa mume ni wajanja wanatengeneza mazingira ili ionekane huyo mume hausiki moja kwa moja na hicho kifo,, Yani kosa kubwa hapo mama ni kuamua kukaa na mtoto bila kumpeleka hosp ,,,,huko hosp general sijui hosp gan iliompokea huyo mtu amepigwa na kujeruhiwa mlitibu na pf3 kma ndio basi marehemu atapata haki yake na kma sio hapo uwezekano mkubwa marehm akakosa haki yake . Japo marehemu aliripot police lakini uwezekano mkubwa hapo RB ya marehemu isiunganishwe moja kw moja na sababu ya kifo chake ili kumsaidia mtuhumiwa ,,marehemu hana Haki😭 mungu awakuze watoto na amsameh mama yao
@rayanamrsshariff5777
@rayanamrsshariff5777 Год назад
Mama hukufanya wajubu wako maelezo yako meoesi Sana ,mtu yupo hoi mnakaa nae tu
@mwaget0815
@mwaget0815 Год назад
Umeonaeee... yaani mtu anaugulia yeye anamuangalia tu, angemuwaisha hosp kesi baadae
@suzanamwangingo2995
@suzanamwangingo2995 Год назад
Haya mambo yapo jamani mimi yamenikuta .nasiolewi tena
@ashuiddy9322
@ashuiddy9322 Год назад
Ulipigwa
@naalyhussen3253
@naalyhussen3253 Год назад
Pole
@user-ne1ln5hz9o
@user-ne1ln5hz9o 8 месяцев назад
Poleni sana mama yangu mimi nimwanaume lakini uyo mwanaume niwaku uwawa nayeye hafayi ndowawo tukanishaga wana ume
@syliviakente9460
@syliviakente9460 Год назад
Sasa alirudi.kufuata nini kwa mume
@leokamil6284
@leokamil6284 Год назад
Ndugu yupo Sentro Mama sikitikia mwanao usikubali kurubuniwa na yeyote. Kwa nini usingemshauri mwanao aondoke tu na kama alikuwa anamfanyia hayo kwa nini msingemshitaki siku nyingi ona sasa kamuua mwanao .Hasara kwako ulikosea sana Mama pole sana
@neema_mollel
@neema_mollel Год назад
Kbsa ,alifanyiwa ukatili siku nyingi
@zainabubalama8869
@zainabubalama8869 Год назад
Yani Wanawake tutamalizika kwajili ya Wanaume, Wanaume, Wanaume mkiona mmewachoka wakezenu wapeni talaka warudi makwao
@kingmsanya3524
@kingmsanya3524 Год назад
Umeongea point
@kassimrajabu7805
@kassimrajabu7805 Год назад
Story yako inasikitisha sana…. Mmefanya uzembe wa hali ya juu sana😭😭
@itikamlagalila1911
@itikamlagalila1911 Год назад
Yani mno
@liciouscharles3370
@liciouscharles3370 Год назад
Uzembe mkubwa
@nsumburoote2486
@nsumburoote2486 Год назад
Eti Hata kupeleka hospital wangeweza kuokoa maisha yake
@mariakabonga2
@mariakabonga2 Год назад
wakati mwingine panahitaji maamuzi magumu jirani zangu pole sana mama
@marthaswai1185
@marthaswai1185 Год назад
Ukisikia binti yako anapigwana mume,mshauri akimbie kabla ya kifo.Pepo la kipigo lipo kazini.
@alfarsialfarsi2754
@alfarsialfarsi2754 Год назад
Pole Sana mama Ila kwanini alivyotoka hospital akarudi Tena kwa mumewee yani vipigo ivyooo
@hejmabohejhej9
@hejmabohejhej9 4 дня назад
Karudi kwasababu ya mumewe ndio tunavyojidanganya eti ndoa mavi
@odilomwemeziernest646
@odilomwemeziernest646 6 дней назад
Mimi huyo angekuwa dada yangu,hoooo!!!shemeji angeshakufa bila kuuliza,shemeji yangu alimpiga dada yangu akamvunja ubavu tuliamka asubuhi na fimbo zetu naye tukamvunja mkono ngoma drooo,leo wako wote na heshima ipo kama yote.
@bahatirobert1009
@bahatirobert1009 Год назад
Yaani mtoto wako kauliwa Bado unawapa wanazika wao eti kisa kafunga ndoa duuu mama sijakuelewa 😭😭😭😭😭😭😭
@veronicajulius6741
@veronicajulius6741 Год назад
Mama mpole hajakutana na wamama waliopinda uyo mwanaume mama kashazeeka na ni mpole hawezi ata jinsi ya kutetea kitu nmeumia Sana jmn kwanza mwanae kaja kaumia afu alikua anamwambia apande kwenye gari Tena warud nyumbn sa cjui alichkulia kawaida
@berithatilutoza5492
@berithatilutoza5492 Год назад
mwenyezi mungu anisamehe kama nakosea but kunauzembe hapa pia mkubwa sana kwa upande wa mamake .. alikua mzito sana ! utuuzima anao usema hauingiliani na maumivu mwanae anae alikua anapitia.. ukimsikiliza kwa makini mama hata aina ya majeraha mwanae alikua nayo haelewi kabisaa kwamba hajawai hata mkagua mwanae majeraha alionayo pia kufatilia kama mkwe alimpeleka mwanae hospitali.. very slow mama very slow .
@reginasigera4204
@reginasigera4204 Год назад
Nime muelewa mama anacho zungumza Hawa wanaume Hawa eeee mungu anisimamie
@hamadishaibu8490
@hamadishaibu8490 Год назад
Kwanini mkipigwa mnakaa tu
@taturamadhan5940
@taturamadhan5940 Год назад
Wanawake bado hawajajielewa umepigwa hoi bado unarudi kwako, mtu kapigwa hata Kituo cha polisi hamna, lazima tujielewe wanawake hali imekuwa mbaya
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 Год назад
Mshenzi mkubwaa daah
@suzanamwangingo2995
@suzanamwangingo2995 Год назад
Dodoma sasa ivi inamatukio jamani
@suzanamwangingo2995
@suzanamwangingo2995 Год назад
Asanteni kwa kumkamata mtuhumiwa kwakweli shelia ifate mkondo wake.hasila hasala
@hellenngwilla550
@hellenngwilla550 Год назад
Dah wanawake tunatesekaaaa jaman pole sana mama inasikitisha sana Mungu wangu tusaidie
@jescajulius8023
@jescajulius8023 Год назад
Tesekeni tu c mnataka ndoa
@joycekaguo8476
@joycekaguo8476 Год назад
Hadi mapanga we mama weweee
@esterelias8137
@esterelias8137 Год назад
Mimi niliondoka mapemaaaa kabla ya hayo yote ila tanzania tumezoea sana ukirudi nyumbani unaambiwa rudi kwa mumewe kumbe unarudi makaburini
@user-yj5zw8yi5i
@user-yj5zw8yi5i 3 месяца назад
We mie kama mm we nilikua nashikiwa kisu napigwa ovyo now niko kwenye
@naturelle1097
@naturelle1097 Год назад
Wanawake jifunzeni kupigana.. ukipigwa na wewe pigaa kweli kweli!!bora watu wabaki single. Na nyie wazazi mtoto anapigwa kila siku mnabaki kumwambia avumilie. Acheni ujinga. This is nonsense!!
@neema_mollel
@neema_mollel Год назад
Mm namiliki chuma siku akileta upuuz namtwanga ya mguu
@magrethmbuma3045
@magrethmbuma3045 Год назад
@@neema_mollel piga ya kichwa kabisa afeeeee
@angelaloy4332
@angelaloy4332 Год назад
nina shoga angu anapigana mpaka shemu anakimbiaa
@user-kq1xh6mh4q
@user-kq1xh6mh4q 2 часа назад
Dah imeniuma sana jamani nimebaki na machungu tuu yamoyo na kinachonipa machungu ni ivi kufa kifo cha uzembe . 🤐
@khadijasalum2302
@khadijasalum2302 Год назад
Internal bleeding hiyo kumtoa roho mwana wa mwenzio subhanallah
@mariamswedi1140
@mariamswedi1140 Год назад
pole mama yngu hii tabia imekuwa sugu kwa wanaume
@emmanuelmuchunguzi45
@emmanuelmuchunguzi45 Год назад
Ni kweli Kama unamchoka mtoto wa mutu mwambie aludi kwao mrejeshe kwao mtt wa mtu
@TheSalma1999
@TheSalma1999 Год назад
Yesu wangu ntakaa mwenyewe tu hawa wapumbavu sitaki hata kuwasikia
@simplyfay5308
@simplyfay5308 Год назад
Me too Mungu anisamrhe km natenda dhambi🙌
@fredrickymuxhy668
@fredrickymuxhy668 Год назад
Wew mama pia mbaya kwa nin usimpeleke siku zote mpaka alale kwako siku zote hizo
@nyamburanyaega1990
@nyamburanyaega1990 Год назад
Yaan amepigwa amerudi anasema amekuja kuchukua familia yake mnamuruhusu duuuuu .poleni wafiwa ndoa siyo kifungo
@heyumi2340
@heyumi2340 Год назад
hatariiiiiiiiiiii mm ningemwangia petrol ⛽wallah namchoma moto na gar yake
@twiseghekisilu8845
@twiseghekisilu8845 Год назад
Yaani kupigwa na mwanaume siwezi vumilia huu ujinga kwani kuishi single sh ngapi??¿
@heyumi2340
@heyumi2340 Год назад
hapo sasa
@carinamatt1031
@carinamatt1031 Год назад
Kwa kweli haiwezekani nitauza hata vitumbua
@naomisamwel18
@naomisamwel18 Год назад
Yaan duh kwakwel mmi mwenyew huku nimekimbia ctak kbsa upundapunda😏
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 Год назад
Tupo wengi
@jacklindaud5749
@jacklindaud5749 6 дней назад
Tupo wengi
@hamidaalhabsi8568
@hamidaalhabsi8568 Год назад
Subhanaallah inalilah wanaileh rajuuni poleni sana familia. Jamani mbona kazi jamani mwanaume kumpiga mpaka kumuuwa
@magrethmbuma3045
@magrethmbuma3045 Год назад
Ndugu wa marehemu nao wazembe jamaaanik ndugu yenu kaja anaumwa nyiiieeee mnamuangaliiiaaaa tuuu badala mumpeleke hospitali jaaamaani
@fidesbernard4835
@fidesbernard4835 Год назад
Yaani inaumiza.
@jamilakiroga7483
@jamilakiroga7483 4 дня назад
Huyu dada kafa kwa uzembe wa family yake
@maryberege3093
@maryberege3093 Год назад
Kweli huyu mama hata mimi simuelewi kabisa. Hivi kweli mwanao analalamika anasema umsaidie unamwambia jiombee mwenyewe Mungu atakusaidia kweli hakika wewe Mama hauna uchungu kabisa na mwanao. Naona unafurahia mtoto kufariki
@colletatesha5265
@colletatesha5265 Год назад
Pole mama mungu akupe nguvu na akupe uvumilivu
@ZaitunSeif
@ZaitunSeif 3 дня назад
Poleni familia mungu awatunze
@aminaabdalla9949
@aminaabdalla9949 Год назад
Wanaume wabongo kama maisha yanakuwa magumu rudisheni watoto wawenyewe kwao maana vifo hivi hapa nchini imekuwa nikm fashion sasa huyomke anazikwa wewe unaishiya wapi?km sijela?watoto mnawapa mates yamaisha maisha bila mama nimagumu mujue 😭😭😭😭yaani uchungu kwakweli
@arafahhh5574
@arafahhh5574 Год назад
Mama ana roho nzuri saana
@zeldakahitwa7509
@zeldakahitwa7509 6 дней назад
Sijaipenda roho yake ya kurudisha tena huko msiba!!, huyo mke wa ndoa kwiyo??
@marianyalusi6386
@marianyalusi6386 Год назад
Pole sana mama . Mungu ampumzishe kwa amani.
@muragizinourah1042
@muragizinourah1042 Год назад
Wanawake wa tz mgombanie uhuru wenu,wanawake kupigwa mnaona kupigwa nikitu cha kawaida......serikali ya tz isimame kwa hili jambo.sio sawa kwa kweli.mwanamke ni mtu mkubwa Sana katika jamiii.....wanaume wanaua wake zao hovyoooo.kwanini wao wasiuliwe?SAMIA SULUHU mungu kakupa uongozi....tetea wanawake wape we thamani....hata ukitoka dunia tutakukumbuka kwa kuwapa wanawake uhuru
@kimcash3079
@kimcash3079 Год назад
😭😭😭😭😭😭.. Nilipitia kipigo watu walijua nimekufa mungu wa ajabu ni hai mwananyamala hospital mungu awabarki
@aminasuleiman8120
@aminasuleiman8120 Год назад
Ndo uondoke mapema mara ya pili huamki!💃💃💃
@mariyamsalalah8204
@mariyamsalalah8204 Год назад
Mie kipingo siwezi himili ak ndo maana nilijiengua mapema wallah 😭😭😭
@mwanaherhussani7425
@mwanaherhussani7425 Год назад
Me akishaaa subutu tu kunishikia fimbo basi tena me na yeye
@user-yj5zw8yi5i
@user-yj5zw8yi5i 3 месяца назад
Poleeee
@ladyr.hamsini2311
@ladyr.hamsini2311 Год назад
Mama mzembe kwelii,Yani mtoto wako 😳anapigwa unashindwa kuenda kuangaliya mtoto wako,unasubiri arudi mwenyewe,😭😭😭wewe mama mtu mzima mzembe Sana 😭😭 umeniudhi 😭 hiyo familia yenu ya kizembe Sana😭😭Yani munapigiwa mtu munamuacha kea Ajili ya ATI mume wake
@margaretwambete1228
@margaretwambete1228 Год назад
Uzembe kweli
@hellenchristopher2417
@hellenchristopher2417 Год назад
Huyu pita aliizoea hii familia
@janeamsara4845
@janeamsara4845 Год назад
Uzembe wa hali ya juu,wakati chidachi na Changombe pikipiki 2000 mtoto anasema anakufa yeye anasubiri apigiwe simu,cha pili badala ya kuwahi hospitali wanamlaza kwenyekochi,duh! Huzuni aisee:-P😭😭😭
@mariamsindano1953
@mariamsindano1953 Год назад
Hata sielewi, mume ndio nini
@gladnesskweka9699
@gladnesskweka9699 10 дней назад
Huyu mama anakera haoni hata aibu kuhadithia ety anamuomba ety baba usimpige yaan anambembeleza
@inviolatamalifa6871
@inviolatamalifa6871 Год назад
Jamani wazazi mtufikirie Ali kama ile ilitakiwa uangalizi wako mama usingemuachia Arudi tena kwake baraka hivyo.R.I.P.mpenzi.
@lucyjeremia1381
@lucyjeremia1381 Год назад
Ee Mungu baba tusaidie jamn 😭😭😭😭😭Pole Sana Mama
@jamesraphaelmdima4729
@jamesraphaelmdima4729 Год назад
Tatizo ni maisha ya dhambi kwa wanandoa!
@JuliethNgowi-n8f
@JuliethNgowi-n8f 4 дня назад
Poleni sana inauma ila huu ulimbukeni et ndoa nyingine zitawauwa ndoa nyingine nijehanamu lakini mtu anavumilia mateso ukiulizwa ndoa jamani hata bila ndoa maisha yanawezekana mungu yupo hawezi kukunyima riziki
@sabrinaamour1820
@sabrinaamour1820 Год назад
mamazetu wanateseka kwa ajili yetu wanastahamili kwa ajili ya watt anaona achanivumilie wanangu wakuwee
@ClaudiaShirima
@ClaudiaShirima 3 дня назад
Jamaniii. Huyo mume ni muuzaji na katili Sana. Anasahau aluspa kumtunza mkewe, ni ubavu wake ksmzalua watoto na anaitwa baba? Ataona mwanaume mwingine ila mwenzetu kudhamoiteza mwanae. Damu ya mke wake hsitamwacha salama. Pole Sana mwanamke mwenzangu kwa kufiwa na binti yako. Ni msiba wetu Sote naamini Sheria utachukua mkondo wake iwe fundisho kwa mwengine
@Pendoshirima-tp8mm
@Pendoshirima-tp8mm 14 часов назад
Ndugu wamama amkua siliazi mtumnamuona mgonjwa mnalala naenda aiseeee inaumasana mama ulizidi upole kwamkweo
@MamaZena-ph7vm
@MamaZena-ph7vm 2 дня назад
Uyo aukumiwe tu iwefundisho kwawengine mungu akuraze mpema mareemu
@kassimchuo5290
@kassimchuo5290 Год назад
Wallahi wabillahi watallahi i say wanawake wameumbwa na moyo wa subraaa na huruma pia INSHAAALLAH MUNGU AWABARIKI WANAWAKE WOOTE DUNIANI NA AWAJAALI KHERI MAISHANI MWAO PAMOJA NA AKINA MAMA ZETU....
@peragiaisdol3804
@peragiaisdol3804 Год назад
Amina 🙏
@johnonkoba740
@johnonkoba740 Год назад
Shameless wicked somebody. Shame to this family of the deceased
@yaelijoseph8742
@yaelijoseph8742 Год назад
Mimi jamani lawama nazitupia serikali, kwàsababu hata ukienda kushtaki wanawasikiliza wanaume nakutulaumu sisi wanawake 😭😭😭na ndicho kinachopelekea tunauawa kila Siku 🤷🤷🤷🤷
@magrethmbangama1199
@magrethmbangama1199 Год назад
Mmh jmn hv wanawake vipigo vyote hivyoo upo tuu jamani hata Kama ni watoto ona Sasa unakufa unawaacha watoto Bora ungeondoka na watoto wako maisha mengine yaendelee.
@happymlowe497
@happymlowe497 Год назад
Wew usiseme ivo yule mama alikuwa anaenda kwao mwanaume anaenda kumbuluta aludi nyumbani
@angelalyimo2862
@angelalyimo2862 Год назад
Pita akili yake sio nzuri
@lydiampayo597
@lydiampayo597 Год назад
Haya marejesho haya mungu aingilie Kati kwa kweli,,,wapendwa wetu wengi wanapotea kwa ajili ya mikopo😭😭😭😭 Ila wewe pita mungu anakuona,jamani wanaume ukimshindwa mtoto wa watu mrudishe kwa wazazi wake,kwani lazimà kuishi na mtu ambaye humuwezi🙆🤗🤗🤗ona Sasa pengo kubwa kwa watoto na familia😭😭😭😭
@matildamushi1741
@matildamushi1741 Год назад
Hizo hospitali alizopelekwa sijazielewa bdo
@angelalyimo2862
@angelalyimo2862 Год назад
Duu kwanini tena alikua anarudi tena kwa mume duu inauma
@wemakalama6458
@wemakalama6458 Год назад
Huyu mama ameshindwa kumtetea mwanae wazazi wengine mitihani kweli
@arafakiloli749
@arafakiloli749 Год назад
Innahlillah wainnah illah rajiun Allah amrehemu poleni sana.
@stamillusatila9084
@stamillusatila9084 6 дней назад
Jamani mtoto wako anarudi nyumbani hoi baadae mnamkabidhi tena mwanaume amchukue mke wake, nae anaenda kumuweka ndani bila matibabu. Nasi wanawake tupunguze uvumilivu jamani unamuabudu mwanaume kama Mungu
@mariamfritsi4943
@mariamfritsi4943 Год назад
Mama usingekubali msiba uende kule kule alikouawa, ungezika mwanao ukaombolezea hapo hapo kwako. yule mwenzio wa mwanza hakukubali mwanae akazikwe kule alikouawa.
@emanuelkidali9733
@emanuelkidali9733 Год назад
Mmmmmh jmn polen sana ila inauma sana
@rosendile8235
@rosendile8235 Год назад
Mama huyu ni mwenye moyo wa kipekee 😭😭😭😭
@abedysteven4930
@abedysteven4930 Год назад
Hii xaxa inaitwa vitina ndo mana watoto wakikuwa wakubwa unasikia kuwa mtoto ameua baba angalia xaxa peter amejengea nn familia? Mana hapa watoto wataixh wakijua baba aliua mama !! Wanaume nawasihi tunapopiga wanawake piga kwa kiasi ukiwa unaonya sio kupga Kila sehemu utaua! Xaxa kupiga m2 mbavun au kichwani unatarajia nn?
@sheckycobb5240
@sheckycobb5240 Год назад
Alokuambia mke anaonywa na kipigo Nan, wewe mume Nan anakupigag?a
@NashonSawema
@NashonSawema 23 часа назад
Poleni sana
@user-ct3um3fr6j
@user-ct3um3fr6j 4 дня назад
Mungu akupe wepesi una Moyo sana
@rozzymossesshayo6844
@rozzymossesshayo6844 5 дней назад
Yni nakosa maneno ya kusema pole sn family 😢😢
@zaidasalumualute6437
@zaidasalumualute6437 Год назад
Polesana Mama,poleni sisi wamama wotee tunaopatwa namajanga ktk uzaziwetu,Polemchungaji Kiula mtaniwangu,Watoto wetu wakike hawapisalama.
@kilunjupolinah343
@kilunjupolinah343 Год назад
Tatizo wazazi wetu wameamini sana ndoa. Hivi utarudisha vipi mwanao kwa mume anaempiga kumuumiza? Mila zingine bwana! Ila pole Mama
Далее
I Built a SECRET McDonald’s In My Room!
36:00
Просмотров 10 млн
Sinfdosh xotin 7😂
01:01
Просмотров 1,8 млн
Mtoto aliyefariki na kuzikwa apatikana akiwa hai
52:00
I Built a SECRET McDonald’s In My Room!
36:00
Просмотров 10 млн