hata mie nimechanganya cjaelewa,yani walienda kumuona mmiliki wa nyimbo kabla ya wao kuitoa remix au baada ya wao kutoa remix.km ni baada then hawanaakili wao na management zao,na inabidi waadhibiwe hii ni dharau
sumum bonum kabisa hata mwenyewe hapo anaonekana hayupo radhi kwa hilo jambo waliolifanya, bila kumuomba ushauri, baada wameshalifanya ndio wakumbuka kwenda kumuomba msamaha.
Sio wa kupongezwa mmevunja sheria.Anza kuomba ridhaa ya mtu kisha tumia kitu chake.sio unatumia kwanza....kwani ilikuwa dharura??????tuheshimu kazi za watu.
mwapombe sie mtunzi wa nyimbo hiyo yeye ni muimbaji mtunzi ni sami haji dau mtia muzik ni sami hajidau na wamiliki halali ni culture musical club hata kwenye haki miliki zanzibar cosoza culture ndio wenyewe na tunampango wa mkumpeleka mahakamani aslay na nandi
Wew mjinga kweli mapovu yote aya kisa nimekoment nyimbo sio nzuri tu na hawakuipatia kama alivo imba wenyewe dah pole sana mfuasi wa bilisi ila shobo umeanza ww jengine sitaki unijibu kitu kutoka kwako bilisi wew makaazi yako mungu akuongowe in sha allah
Msilopoke kama mekunywa maji ya ugolo hebu msikilizeni Ashley mwazo kwenye maojiano clouds menejimenti yao wameonananao na wamiliki wa wawimbo wao huo kitambo tu wao si wajinga kuwimba kitu bila kukubaliana na mmiliki wao wamenda zenji km kutoa shukrani tu