dogo nimekusoma sanaaaa, yaaani una 4m2 but kama PhD big up sana young. mmependa sana ulivyomchana vanniboy #mfundishekuvaaa #wewendiobananayake #aachekukopy wanaovaaa
Dogo janja haujui kitu,usijilinganishe na rayvanny,huyo ni msanii mkubwa sana na nguo anazovaa yeye ni za bei ghali,pete yake yeye inaweza kukulisha miaka miwili kwa hivyo jichunguze na ufikirie kabla ya kuongea
lazima ni coment kwa m2 alie pitia maixha yakibabe ka mimi zeni leo kachange kawa strong napenda nyimbo zake nyingi my life.ngalenalo.na na nyingnying but banana iz big and pazima itoe pivubwatu ukimchukia janjaroo hujielewi iz strong boy
janjaro uko vzr maana ww mziki uko damni na mavazi yako damni toka ukiwa Mdogo ulikuwa unapendeza kiukweli we ni kijana unayejipenda bigap janjarooooooooooooo