Hapo kwenye kuvua mashati huko wanakokwendaga😂 naona vunjabei kambonyeza dotto magari maana alikuwa anaelekea kuharibu interview 😂😂😂 hongera sana vunjabei kwa hekima na busara😂
Vunja bei nakuomba mtoto wangu anzisha na pharmacy uvunje bei dawa ni ghali sana. Utaokoa vifo vya watu wengi wasio na uwezo wa kununua dawa bei kubwa. Anzia Kahama hiyo hiyo
Watanzania wanapenda kelele nyingi ii! Sasa duka ndogo kama hili watu wote wamekuja tu kutazama na kuskiza huyu mrasta? Hapa Kenya hili ni duka ndogo sana na haliitaji kujulisha watu.