Mm doctor,,mwwnza wang nimemfuma na mara mbili na mdada wa kazi ,,mara ya kwaza alibisha kwamba ni uongo siwez fanya huo upuuz ndan ya nyumba ,,,nikamsamehe bint wa kaz nikamuondoa nikaleta mwingine nae akafanya vile vile alivyo fanya kwa msichana wa kwaz,,,,😭😭😭 anyways nimeamka kuwa single tu
Kuomba msamaha ni kugum lakini ni raisi kama kweli upendo unakua nao. Moyo shida inakuja pale mnapo dhalauliana kwenye mapenzi!! DHARAU ni moja kati ya kikwazo kikubwa kwenye mausiano unaweza ukawa unataka kuomba msamaha lakini anakidharau nawewe ukawa na asira ukapotezea tuache dharau mapenzi yatadum!!
Nipo na mpenz nimempenda sana,cjui kuwa mm ndio nilitafuta chanzo kwa maana siku moja nilienda nyumban kwakwe japo aniliniambia amesafir lkn ajabu nikamfumania na mwanamke...akanipiga na kuniondoa nyumban...mpaka sasa hajaniomba msamha anadai ameteleza tu.... Kuanzia hapo amebadilika hanitumii ujumbe wala kunipigia mpaka nimpigiw yan nianze mm kumtafuta dk nifanyeje???