Тёмный

Dr. Chris Mauki - Kama Kweli Anastahili Msamaha Utayaona Mambo Haya Manne 

Chris Mauki
Подписаться 307 тыс.
Просмотров 3,4 тыс.
50% 1

Mara nyingi ni ngumu kugundua kama mpenzi wako anakuomba msamaha anamaanisha au la, sasa ukiona haya manne basi anastahili kusamehewa.

Опубликовано:

 

2 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 17   
@happinesssupila
@happinesssupila 4 месяца назад
Mm doctor,,mwwnza wang nimemfuma na mara mbili na mdada wa kazi ,,mara ya kwaza alibisha kwamba ni uongo siwez fanya huo upuuz ndan ya nyumba ,,,nikamsamehe bint wa kaz nikamuondoa nikaleta mwingine nae akafanya vile vile alivyo fanya kwa msichana wa kwaz,,,,😭😭😭 anyways nimeamka kuwa single tu
@godfreygerase8713
@godfreygerase8713 4 месяца назад
Kuomba msamaha ni kugum lakini ni raisi kama kweli upendo unakua nao. Moyo shida inakuja pale mnapo dhalauliana kwenye mapenzi!! DHARAU ni moja kati ya kikwazo kikubwa kwenye mausiano unaweza ukawa unataka kuomba msamaha lakini anakidharau nawewe ukawa na asira ukapotezea tuache dharau mapenzi yatadum!!
@ImDidah
@ImDidah 4 месяца назад
Ni bora nimuache aende
@رصقاءللشمري
@رصقاءللشمري 4 месяца назад
Kweli kabisa
@SendiChazzy-dp4on
@SendiChazzy-dp4on 4 месяца назад
Mm ndio naptia magum😢😢😢😢
@owandjanoella9921
@owandjanoella9921 4 месяца назад
🙏🙏🙏
@ImDidah
@ImDidah 4 месяца назад
Nipo na mpenz nimempenda sana,cjui kuwa mm ndio nilitafuta chanzo kwa maana siku moja nilienda nyumban kwakwe japo aniliniambia amesafir lkn ajabu nikamfumania na mwanamke...akanipiga na kuniondoa nyumban...mpaka sasa hajaniomba msamha anadai ameteleza tu.... Kuanzia hapo amebadilika hanitumii ujumbe wala kunipigia mpaka nimpigiw yan nianze mm kumtafuta dk nifanyeje???
@floradaudi1786
@floradaudi1786 4 месяца назад
kabla ya Dr kujibu ila Iko wazi huo sio wako maana hajutii makosa yake
@MbelaMasuwa
@MbelaMasuwa 4 месяца назад
Tafuta pesa dada mungu ana kuonesha huyo sio mtu sahihi kwako
@ChristinaSaimon-qi5in
@ChristinaSaimon-qi5in 4 месяца назад
Pole dada tulia kama kimya mungu atakupatia mwingine
@janenkhwazi2457
@janenkhwazi2457 4 месяца назад
Achana naye
@upendomchaky9618
@upendomchaky9618 4 месяца назад
Hebu acha kumpigia dear relax kwanza maana inaonekana wewe unamhitaj zaid wala so hajisumbui
Далее
Ishi na Wanawake kwa akili - Dr Chris Mauki
9:01
Просмотров 10 тыс.
I Built a SECRET Lamborghini Dealership!
33:02
Просмотров 4 млн
NAMNA YA KUDHIBITI HASIRA.
3:18
Просмотров 1 тыс.
Jinsi ya kuwekeza shilingi Laki moja
6:07
Просмотров 2,7 тыс.