Kuomba au kuombwa msamaha imekuwa changamoto kwenye mahusiano ya wengi, je unajua ipo sababu? Kuna vitu usipofahamu vizuri msamaha unao uomba au unao utoa unakosa mashiko. Nifuatilie kwenye somo hili jipya #DrChrisMauki #DrChrisMauki #Kuomba #Msamaha
2 окт 2024