I was in my own world of thoughts, depressed but this is a great encouraging message. It own rewind mode.Hoping for a miracle in my life.Can someone pray for me and my 5 children.
Romans 10:11 Anyone who trusts in him will never be disgraced. Kristo ulifanyika aibu ili tuheshimike, in you i will put into trust. Mahali nime vikwa vazi la aibu naomba univike vazi la heshima mara nyingine tena, honor me once again oh Lord this is the cry of my heart
Haleluyah this song comes in the right season,never be ashamed because im walking with you JESUS,umesema utanipigania nami nitakaa kimya.yahweh kaa nami daima.asante kwa kuchukua madhaifu yangu , YESU unishike hata katika madhaifu,unishike mimi na mtoto wangu, YESU unajua tulipotoka,sina wa kunisaidia ila ni wewe tuu YESU, YESU nakuhitaji sijawahi pita katika njia hii ila naamini sitoaibikaaana hakuna aliyekutegea akaaibika.
Wale ambao mwaka huu tunaenda kuwa matajiri si kwa ajili yetu ila kwa ajili ya utukufu wa Mungu.. nikuone kwenye comment please!... Sema chochote tajiri mwenzangu❗hii ni kwa matajiri tu❗💰💵💴💷💳
My Brother Ipyana, I am sure your among those who are chosen, I can’t wait to join your team and support the Kingdom of Almighty Lord Jesus! Kyala akwimileghe, ni Mbombo Jake! Naomba namba yako au email tafadhali.
Huh I really cried my heart out to God when I heard this I took a break from work went home just played on speaker n prayed n prayed Nvr prayed that much n I felt God ❤❤❤
Thank you JESUS for this song. Sina Mungu mwingine ila wewe peke yako. #withYOUnoshame. 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿. Nakutazama na kukutegemea wewe peke yako mbele yangu na nyuma yangu, kulia na kushoto. Psalm 34:5 They looked to Him and were radiant, And their faces were not ashamed.
God I bless you this Song is my anthem for 2024 year give me grace to walk with you lord and engrace me with your power. Dr Ipyana your Prophetic Worshiper of such Time more grace and Anointing
This song has been my prayer.. That I will not be ashamed as I represent God here on earth.So blessed to see it put in a song.i Have prayed so much as I listened to this song...
Amen amen,mtumishi wa Mungu, Huu wimbo umekuja Kwa majira sahihi kwangu nimebarikiwa mno! Mungu azidi kuwatunza na kuwainua ktk viwango vingine!! Dr Ipyna endelea kunyenyekea mbele za Mungu ili azidi kukuinua na kukutumia zaid kadri yeye atakavyo!
Jesus Christ bore my shame on the cross so that i could walk in confidence now snd always. What a wonderful Savior we have in Jesus Christ Son of the Living God Almighty ❤🙏🏾.
Mungu akubariki sana Dr.Ipyana na Remnants wote pamoja na Grand Ibada yote kwa ujumla kiukwel huduma yenu n njema na izid kukua na kufika mbali zaidi ulimwenguni nje ya mipaka ya africa Watu waendelee kuhudumiwa na kubadilsiha maisha yao kumuelekea Jehova kwa kupitia nyimbo hizi zenye baraka sana Mpaka sasa bado ni ibada tosha Tunahudumiwa siku hata siku katika maisha yetu
The song that I have listened athousand x1000 times 🙌❤️and yet am not tired of listening,I just see my studies smooth wth the song....hatuez aibika tukiwa na yeye hakika ...God bless this ministry Listening from tz🇹🇿🇹🇿
East Africa we r blessed 🙌 Tanzania 🇹🇿dr Ipyana, Boaz danken,Gwamaka and many more... Kenya...Sarah k,Njeri Eunice, ...and many more Rwanda .... Israel...few to mantion Uganda I don't know pls anyone from there? West Africa too many,South Africa..... Africa is great
2022 was the shame year and tough ever i was walking in darkness,midst of storms, troubles and trauma but Jesus rescued me and now he walks with me i can see the light in2024 hallelujah hallelujah 😢😊
may God bless you Dr. Ipyana. may that grace follow me to worship God for who He is and praise HIM for what He has done. For His glory and honor of HIS great NAME
Those who trust in the lord will never be ashamed,,amen this is complete fulfillment of God's word,,,he is not a man that he should lie,,,,,I bless the lord for this great revelation from the great singer Dr.ipyana God bless you alot,,more grace always 👏👏
I Peter 2:6 All of Psalm 31, but particularly: In thee, O LORD, do I put my trust; let me never be ashamed: deliver me in thy righteousness. But I trusted in thee, O LORD: I said, Thou art my God.
Hakika nitakuwa na wewe Ee, BWANA wangu nitatembea na wewe na kuongozwa na wewe Ee, MUNGU wangu ninaombi yangu kwako MWAKA huu 2024 ukae na mimi na utembee na mini
The word says that, “if you if you believe in me out of your innermost being shall flow rivers of living water” - John 7:38. Praise be the name of the Most High God which shall never be put to shame for we are also shameless as overcomers by faith in Yeshua Hamashiach!
Will be my sng evrry morning henceforth.God you have forsaken us ,we ahave been humiliated ,never put to shame i shouldn't fear disgrace .With your presence i will have rest .I honour you lord. i love
What a powerful song full of holy spirit. I cry very much when I listen to this song. Coz God has been very faithful in my life. Be blessed Man of God.
Much love from KENYA Dr IpYana & Team your songwriting skills are topNotch!! And the spirit of God so evident in your ministration.Baraka more Grace M.O.G.
Aaaiiii!! Nimebarikiwa na Kuingia Rohoni kwa Maombi Ya mabubujiko. Wimbo mzuri sanaaa Dr.Ipyana MUNGU akubariki sanaaa Unanimotivate Sanaa Dr. Ipyana Nakupenda sanaaa your My Role model 🙏🙏🙏🙇🙇