Yaani hii nchi ya ajabu Sana😂😂😂 mradi ukiongozwa na serikali unakua na hasara ila mashirika binafsi yanaweza kwa ufanisi mkubwa, swali hao wafanyakazi wa sekta binafsi wanatoka wapi na WA serikali wanatoka wapi? Ama kweli tutampa Mungu kazi kubwa Sana siku ya mwisho, tuombe rehema yake tu
wafanyakazi ndo wale wale, tofauti ni nani anasimamia, sekta binafsi inatunza na kuboresha vitu vyake, serikali inatunza na kuboresha siasa na uongo uongo
Al ran bora sekta binafsi pia wa isaidie serekali.Nchi nyingi sekta binafsi imekuwa fast.Ni rahisi pia ku manage sekta binafsi yupo katika ushindani sanaaa.Kuwa na best things.
MashaAllah nlicho kuja kugundua hapa Africa mashariki mwanachi yoyote ule amkapo hasubui hadi jioni lazima hatatumia biidha ya Azam hiwe yoyote while Pongezi Azam
50,000 per trip, ikifanya trip tatu kwa saa 150,000, ikiwa active masaa 12 trips 36 ni 1.8 milion.. Bado kuna faida ingawa ndogo sidhani kama inatosheleza ila kikubwa ni upungufu wa adha kubwa wananchi wanayopitia na hopefully serikali inatoa subsidies kwa Azam.
Mombasa Kenya wamejenga daraja kwa ajili ya kuvukia watu tu... Lakini magari ndio yanapakiwa kwenye PANTONI ( Kivuko). Na hilo daraja ikipita meli linakunjwa baada ya kupita linakunjuliwa. Daraja limejengwa na kampuni ya kitaliano.
Acha kufukilia Kwa kutumia matako nchi ujengwa na matajili tambua ilo apo saizi utaona uduma bora maana apo ni shilika LA MTU binafsi serikal uduma zao uwa ni goigoi
private sector zinakubalika duniani kaka kuingia ubia na serikali kukuza uchumi wa nchi,kingine tembea uone duniani,hata NCHI ZILIZOENDELEA YANAFANYIKA HAYA WENYE PESA KUINGIA KWENYE BIASHARA NA NCHI
Selikali ni wananchi,acha wananchi tena wazawa wapewe fursa wawekeze selikali isimamie maslai ya wananchi.muda mali iyo midude ya temesa utasema mikonokono ,inajivutaaa muda mali ,yan ikiwezeka balesa alete bot iwe dakika moja chap,we unaetaka selekali inunue ,subiri mumeo au mkeo au babaako au shemeji yako awe raisi umshauli muongeze mikonokono tucheleweshane michongo town.
Acha ujinga, tunataka usafiri mzuri na haijalishi nani anafanya serikali au binafsi wote sawa, serikali imeshindwa wakae pembeni, na wewe kapande cha serikali bado kipo tuachie cha Azam mbwa wewe